Akubali Kumlisha Mbwa wa Wema, hii ni kauli ya kijan kutoka Bukoba ambaye ni shabiki wa damu wa Wema Sepetu baada ya kuamua kumtafuta kwa siku nyingi bila mafanikio.
Hizo juhdi za kumtafuta wema unge mtafta Mungu au ukafanya kazi kwabdii nadhan ungefakiwa kimaisha.
@selemanimasatu24217 жыл бұрын
Maisha yako mkabidhi Mungu na si mwanadamu, maisha yapo tu fight yourself lakin mtegemee Mungu na si mwanadamu.
@sipendiujinga5517 жыл бұрын
bwana ee acheni maneno mwacheni, kijana atafanikiwa huyo ni binadamu mwenzenu hamna aja ya kumtukana wala kumkashifu, wema tenda wema wako kama jina lako, mwenyez mungu akutangulie,,
sawa sawa kaka hongera .....kusema kilio chako ndani ya moyo...ila kuna na mungu .....hata yy anamtege mea mungu kaka makinika wacha kutafta kiki zaburee ww
@mjedengwapoizon87267 жыл бұрын
kijana wacha kujiteka kiasi hicho mee nadhani ungetafuta kwanza ushauri kabla hujachukua maamuzi hayo, alafu kijana mwenzangu nikukumbushe kitu kidogo nafahamu maisha ni magumu lakini sasa hayawezi kuwa rahisi kwa kujirahisisha tambua kabisa wewe ni wathamani kwa hyo usipende kuuchezea utu wako na kufikiri ya kwamba kupitia wema suluhisho la matatizo yako yatakoma wewe ni matokeo lakini huku unakoelekea unakwenda kuwa tukio .Njoo Bukoba tulime bona kuna mvua za kutosha wacha kulialia kwenye media
sifa sanga mungu wangu wema unakazi aki dadangu, mm napita2
@sifasanga78667 жыл бұрын
Julia maina Kupewa moyo wa mtu sio kazi ndogo😅😅😅
@juliamaina38307 жыл бұрын
yenyewe ndoto ya huyu kinjana wema aikubali2
@sifasanga78667 жыл бұрын
Julia maina sanaa
@sipendiujinga5517 жыл бұрын
mm mshukuru mungu ulipo, ww
@hadijasaid87217 жыл бұрын
uwiiiii jamani sema huyu jamn msaidie tuu
@DeeDiyo57 жыл бұрын
labda madame ndo atakae kuwa funguo la maisha yangu.
@feymumy95477 жыл бұрын
duuuh inshallah madam ataskia kauli yako kwa sababu umeongea. kwa heshima ungesema unamtaka,kimapenzi madam angechukia ila kwa hilo inshallah
@jazirshabanishabani69627 жыл бұрын
ameonyesha hisia zake Goodluck
@janewacera78127 жыл бұрын
Sawa
@Chris-cb2dj7 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂harmorapa prt2
@arafsaaa88447 жыл бұрын
Chris 11 😂😂😂😂😂
@siamwacha56287 жыл бұрын
njaa kali
@qutesugar25347 жыл бұрын
Duh atareee
@venture_rafael7 жыл бұрын
duuh harmorapa kuna pacha ako apa
@bonnyjanja11444 жыл бұрын
Dahaaa nimeshangaaa huyu dogo nimesoma nae na anaitwa meksadeki ni noma sana
@HBaby-re7gq7 жыл бұрын
Saidi Ally hahahahaahahaaaa hatari ananjaa huyo za kijijini
@sheymahabdulwahidkhalid63557 жыл бұрын
watu mna maneno Da tatz sisi wabongo tuna dharauliana sana jipe moyo kijana utapata tu sepenga
@martinmpusso87037 жыл бұрын
anamtaka kimapenz maana huwez kuwa na shida alafu ukubali kulisha mbwa.....
@josephkisembe66637 жыл бұрын
Mlilie Mungu usimlilie mwanadam hata Huyo unae mlilia anashida.
@Stellakayr8j7 жыл бұрын
miaka19 ndo kafika dar aongee kiswahili mcharazo ivoo???? na anabana pua???? co mhaya uyo
@godenfrank84597 жыл бұрын
we stela unaakili sana unafaa kuwa mwalim au mpelelez
@denisgrevasegmailcom7 жыл бұрын
Stella Rwegoshora uyu sio muhaya bhana
@fabiankapela37607 жыл бұрын
mhhh bangi ni dawa
@dexvlogdexstar86737 жыл бұрын
wemarapa huyo
@abbiecox17 жыл бұрын
wapenda urahisi wa maisha! jitahidi hana noma anaweza pia akakupa mzigo!
@mnaliwilliamf.51477 жыл бұрын
nice
@queencashmadam83407 жыл бұрын
Yangu macho
@kinglance98167 жыл бұрын
Tanzania aiendelei
@EcoEssence_wellness7 жыл бұрын
Okay
@doctorjuniour94597 жыл бұрын
Kuna mashamba mengi Bukoba kalime tu....
@namwaichambua94627 жыл бұрын
daaaaaaaaaah.kusaka kikiiiiiiiii kuna garama zake ..kama sio kuuza utuu ni kujichora na mavisu mwili mzimaaaaaa.....ila ningamshauri dogo acheck na mastaazi wanaotekea Bukoba mbona wapo town hapa tuu ..akina Lulu na wengine wengi nadhani wataelewama luga ..au veeeepeeee.
@fafi90927 жыл бұрын
Anaacha kutafuta kaz akafanya anaongea pumba hapa
@lucyhadwiger31647 жыл бұрын
Moyo sukuma damu..
@mariamissa41867 жыл бұрын
Lucy Hadwiger umenifulaixha ataree eeeee
@rahmamteri55927 жыл бұрын
Lucy Hadwiger hahaha kweli
@jaffyamosi98097 жыл бұрын
kwa kweli madame atakuwa chiz kama hayackiliza baadhi ya ma fans wake ila akina hamorapa mhhh''''''''''.....
@berryprince87957 жыл бұрын
Muombe mungu ndo vyote
@salamakadzo2407 жыл бұрын
siku hizi kila mtu akitaka kutoka lazima atumie jina la star looh kiki kweli
@ruditaboti31577 жыл бұрын
mmmh mara yakwanza alivyo hojiwa anasema anafanya kazi yaurembo leo hii anasema hana kazi maranyingi tuna zani hawa mastar wanauwezo wakutusaidia kumbe nawao maisha yao yakawaida tu. haya ngoja tuone.
@nessa48997 жыл бұрын
I see hiyo ni strong
@saidially67547 жыл бұрын
uyo jamaaa atali
@kintakunte70877 жыл бұрын
niaje wadau mko pw
@mariambb46837 жыл бұрын
wema mpe kazi kijana anakupenda kweli
@DeeDiyo57 жыл бұрын
la maisha yake
@daybrelimite61267 жыл бұрын
ahaaaa! muwayaaa
@halimamlili88037 жыл бұрын
WSB USINIUWE NIKO JAMANI KWELI strong
@rechochofrank29537 жыл бұрын
acheni bangi buana halafu ninyi watangazaji muwe mnaangalia enter view za kufanya
@aaaaa91237 жыл бұрын
uyukijana mwandazimu
@apolinemalungano58547 жыл бұрын
Wanadam bwana nishida kuliko umtegemee Mungu unategemea mwanadamu mwenzako kwani Wema ananini yakukusaidia nimwanadam kama wewe kwani wenye walifanyikiwa yeye njoo anawasaidiaka bushenzi tu
@rosemarybenjamin58667 жыл бұрын
yan miez mili bangi Tupu,,,lkin sepetu mama msikilize sio kam hamorapa anae sem atakulish atakuvsha kila kitu😂😂😂,,uyu mwenzio ata mbwa wako tu atamlisha
@hamsinitimbersupplytanzani49287 жыл бұрын
wema usikubalii kabisaa hii movie ya kushutii hata na cm
@kingsdaughter20407 жыл бұрын
mtegemea mwanadamu amelaaniwa mtegemee mungu wema atatumika tu kama Malaika maanake ni mwanadamu hawezi kukufanyia kila kitu mwanaume ni kuhustle
@jigijigi23737 жыл бұрын
Moyo uko strong😁😀😂or u have a strong feeling
@aloycekiwia86137 жыл бұрын
Bukoba mbona kuna MIGOMBA mingiii tuu..!?
@bashirismail14437 жыл бұрын
Bangi hizo zinaongea..
@furahamadina16657 жыл бұрын
madam , uyoooo,
@yolakahmathews69136 жыл бұрын
Bange bange mweeeee!!!!
@zenamilanzi14717 жыл бұрын
pole hii yote ni shida
@famitoissanawanda70115 жыл бұрын
Chaukucha yeye anacheza bongo mv kkkkķ daaaa!!!!! Kwli magufuli tanzania inaenda kasi
@jumahassani61657 жыл бұрын
Maadam msikilize kijana
@denisgrevasegmailcom7 жыл бұрын
Ww mtto kichaaa kweli kafanye kazi uko
@esthernjorog92707 жыл бұрын
wema wema wema nikuite tena wema .....wewe nikipenzi chawatu..
@metalcombat44707 жыл бұрын
Kuwa makini Wema Sepetu! Huyo ni muongo. Nina wasi wasi ame tumwa kukudhuru. Lafudhi yake kwanza si ya Bukoba. Kama huja mtuma wala hatafuti kiki basi kaa naye mbali huyo kijana
@zuhuraakida59327 жыл бұрын
lahaula😉 ze ndindindi😄
@antidiusmugashe59917 жыл бұрын
haaaaaaahhhh hii hatari sana!!! usitake nikufananishe na wimbo wa Ney Kuna vidume vinalelewa (WAPO)
@happymlelwa88307 жыл бұрын
wema angalia inawezekana katumwa na walio mteka Roma
@sibawayhisalum27077 жыл бұрын
kelvin sasa siumpeleke kwa madam
@arafsaaa88447 жыл бұрын
rud kwenu ukalime ndiz huko😩😩😩😩😩
@abcdefgger7 жыл бұрын
Haahaha weye kaka una mambo Tafuta mungu kaka
@terrykamau9027 жыл бұрын
😗😗😗😗
@carendaniel61177 жыл бұрын
dogo mjinga kweli,tafuta kaz hata kwny viwanda siyo kubana poa.
@taussumwa1527 жыл бұрын
hahahahahaha jaman haya maisha jamani mungu atakusaidia
@mamuuomar25967 жыл бұрын
hehehehee jitokezeni mmojammoja kwa wema
@rosemarybenjamin58667 жыл бұрын
wapi sepenga wap hamorapa 😂😂😂
@halimamlili88037 жыл бұрын
😂😃😃😃😁 nicheke mie
@leylahomar77407 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 hatareee kweli
@ignassulili60537 жыл бұрын
wema kuwa makini sana watu kama hawa maana mara nyingine wanakuaga usalama ta***fa so uwe makini mana ci unajjua unatafutwa na ...... ...... .. ...
@tonnyford81967 жыл бұрын
kapandikizwa uyo umaarufu hauji bila kujiweka bize
@kidawakindamba24347 жыл бұрын
wema msikilize huyu kijana
@shakilamasoud89797 жыл бұрын
bukoba bishooo mhh
@shyneplatnumz25837 жыл бұрын
Huyu kichaaa kabsaa
@ahmedalminshad12117 жыл бұрын
😂😂😂😂 madam Wema uko wapi?
@josephkisembe66637 жыл бұрын
Unaamini ukikutananae utatoka kimaisha?fikiria kwanza SK nyngne uskurpuke.
@barikikagine89777 жыл бұрын
anabana sana pua
@oliverlyimo19727 жыл бұрын
akimkaribisha amekwisha,muongo kabisa huyo,kiswahili kinaonyesha hata si wa Bukoba, Mwizi huyo.
@ARFIddy7 жыл бұрын
omba MUNGU. 2
@josephinemakungu84477 жыл бұрын
wewe kijana wacha ujinga madam nini omba God akusaidie
@godenfrank84597 жыл бұрын
uyo kijana labda utandiboi,kudadeki
@roymills2377 жыл бұрын
VIP kampata
@josphinebaya23317 жыл бұрын
Madam Wema kuja apa😁😁😁😁
@nataliakihio85507 жыл бұрын
unachelewa kujua nijinsi gani utajikwamua kiuchumi unamuwaza mtu akiri mgando
@noelsanga68537 жыл бұрын
Jembe la uongo hilo
@mariambb46837 жыл бұрын
😁😀😁😃 katowa lamoyoni mwake
@kinakithemr10427 жыл бұрын
nna strong kwenye moyo wangu!! buushit ndyo nn hii? wachen kujifanya wazungu bhaaana