Akubali Kumlisha Mbwa wa Wema kwa Sababu Hizi

  Рет қаралды 37,821

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Akubali Kumlisha Mbwa wa Wema, hii ni kauli ya kijan kutoka Bukoba ambaye ni shabiki wa damu wa Wema Sepetu baada ya kuamua kumtafuta kwa siku nyingi bila mafanikio.

Пікірлер: 162
@prettyakoth4306
@prettyakoth4306 7 жыл бұрын
kama ninavyio muelewa madam Wema, Nina hakika kua atamkubali kijana huyu
@josephkisembe6663
@josephkisembe6663 7 жыл бұрын
Hizo juhdi za kumtafuta wema unge mtafta Mungu au ukafanya kazi kwabdii nadhan ungefakiwa kimaisha.
@selemanimasatu2421
@selemanimasatu2421 7 жыл бұрын
Maisha yako mkabidhi Mungu na si mwanadamu, maisha yapo tu fight yourself lakin mtegemee Mungu na si mwanadamu.
@sipendiujinga551
@sipendiujinga551 7 жыл бұрын
bwana ee acheni maneno mwacheni, kijana atafanikiwa huyo ni binadamu mwenzenu hamna aja ya kumtukana wala kumkashifu, wema tenda wema wako kama jina lako, mwenyez mungu akutangulie,,
@joycemartin8829
@joycemartin8829 7 жыл бұрын
Idefons Lukange
@mauwahusseiny682
@mauwahusseiny682 7 жыл бұрын
Idefons Lukange ukosahihi namungu hashushi toka mbinguni mungu anapitia kwabinadamu naukitaka kupona sema ungojwawako labda atafanikiwa
@sipendiujinga551
@sipendiujinga551 7 жыл бұрын
+mauwa hussein Y yani baada ya kumpa moyo binadamu mwenzetu unamkatisha tamaa mwenyez mungu atamsaidia
@Rashidmhedhery
@Rashidmhedhery 7 жыл бұрын
wema kawa Mungu? hili toto jinga saaana!!!
@doctorjuniour9459
@doctorjuniour9459 7 жыл бұрын
nna strong kwenye moyo wangu 😂😂😂😂
@edeba01haji66
@edeba01haji66 7 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@metalcombat4470
@metalcombat4470 7 жыл бұрын
Mcheke mtanzania asiye jua kiswahili, usi mcheke mtanzania aliye chapia maana ya neno la kiingereza, WCB_REPOSTER Maurice
@kadadahamisi5631
@kadadahamisi5631 7 жыл бұрын
WCB_REPOSTER Maurice 😂😂😂😂😂😂😂😂😂strong iyo veeeepe
@salmakasmakasma3005
@salmakasmakasma3005 7 жыл бұрын
hahaha kwel strong
@annaantonopop4644
@annaantonopop4644 7 жыл бұрын
haaaaaahhhaaaa muobe mungu atakusaidiya cbinadamu kwani mungu dokilakitu katika maisha yabinadami
@ronardgodfrey9257
@ronardgodfrey9257 7 жыл бұрын
loooooh!!!👌👌👌 huyu jamaa hana haya jaman,.....all the way from Bukoba looooh, Ajielewe huyu bwana
@daybrelimite6126
@daybrelimite6126 7 жыл бұрын
hiii bongo jamani inakoenda shida sanaaaa!
@mwanahalimamwachili9679
@mwanahalimamwachili9679 7 жыл бұрын
Waaah James John usihofu mungu yupo utampata Madam wema. muomba mungu hachoki.
@tumainimanga9409
@tumainimanga9409 7 жыл бұрын
Nina strong,hahaaaaaa,Tanzania bana....dogo umenifurahisha
@faridabakari8511
@faridabakari8511 7 жыл бұрын
sawa sawa kaka hongera .....kusema kilio chako ndani ya moyo...ila kuna na mungu .....hata yy anamtege mea mungu kaka makinika wacha kutafta kiki zaburee ww
@mjedengwapoizon8726
@mjedengwapoizon8726 7 жыл бұрын
kijana wacha kujiteka kiasi hicho mee nadhani ungetafuta kwanza ushauri kabla hujachukua maamuzi hayo, alafu kijana mwenzangu nikukumbushe kitu kidogo nafahamu maisha ni magumu lakini sasa hayawezi kuwa rahisi kwa kujirahisisha tambua kabisa wewe ni wathamani kwa hyo usipende kuuchezea utu wako na kufikiri ya kwamba kupitia wema suluhisho la matatizo yako yatakoma wewe ni matokeo lakini huku unakoelekea unakwenda kuwa tukio .Njoo Bukoba tulime bona kuna mvua za kutosha wacha kulialia kwenye media
@oswinathuman3860
@oswinathuman3860 7 жыл бұрын
ww 4errryy
@sifasanga7866
@sifasanga7866 7 жыл бұрын
Hahahahaaaaa.....uwiiiiii mpelekeni Kanisani au Msikitini.....ana shida kiakiri....eti nimkabidhi moyo wangu....hahaha....Mwanaume unaliaaaaa
@juliamaina3830
@juliamaina3830 7 жыл бұрын
sifa sanga mungu wangu wema unakazi aki dadangu, mm napita2
@sifasanga7866
@sifasanga7866 7 жыл бұрын
Julia maina Kupewa moyo wa mtu sio kazi ndogo😅😅😅
@juliamaina3830
@juliamaina3830 7 жыл бұрын
yenyewe ndoto ya huyu kinjana wema aikubali2
@sifasanga7866
@sifasanga7866 7 жыл бұрын
Julia maina sanaa
@sipendiujinga551
@sipendiujinga551 7 жыл бұрын
mm mshukuru mungu ulipo, ww
@hadijasaid8721
@hadijasaid8721 7 жыл бұрын
uwiiiii jamani sema huyu jamn msaidie tuu
@DeeDiyo5
@DeeDiyo5 7 жыл бұрын
labda madame ndo atakae kuwa funguo la maisha yangu.
@feymumy9547
@feymumy9547 7 жыл бұрын
duuuh inshallah madam ataskia kauli yako kwa sababu umeongea. kwa heshima ungesema unamtaka,kimapenzi madam angechukia ila kwa hilo inshallah
@jazirshabanishabani6962
@jazirshabanishabani6962 7 жыл бұрын
ameonyesha hisia zake Goodluck
@janewacera7812
@janewacera7812 7 жыл бұрын
Sawa
@Chris-cb2dj
@Chris-cb2dj 7 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂harmorapa prt2
@arafsaaa8844
@arafsaaa8844 7 жыл бұрын
Chris 11 😂😂😂😂😂
@siamwacha5628
@siamwacha5628 7 жыл бұрын
njaa kali
@qutesugar2534
@qutesugar2534 7 жыл бұрын
Duh atareee
@venture_rafael
@venture_rafael 7 жыл бұрын
duuh harmorapa kuna pacha ako apa
@bonnyjanja1144
@bonnyjanja1144 4 жыл бұрын
Dahaaa nimeshangaaa huyu dogo nimesoma nae na anaitwa meksadeki ni noma sana
@HBaby-re7gq
@HBaby-re7gq 7 жыл бұрын
Saidi Ally hahahahaahahaaaa hatari ananjaa huyo za kijijini
@sheymahabdulwahidkhalid6355
@sheymahabdulwahidkhalid6355 7 жыл бұрын
watu mna maneno Da tatz sisi wabongo tuna dharauliana sana jipe moyo kijana utapata tu sepenga
@martinmpusso8703
@martinmpusso8703 7 жыл бұрын
anamtaka kimapenz maana huwez kuwa na shida alafu ukubali kulisha mbwa.....
@josephkisembe6663
@josephkisembe6663 7 жыл бұрын
Mlilie Mungu usimlilie mwanadam hata Huyo unae mlilia anashida.
@Stellakayr8j
@Stellakayr8j 7 жыл бұрын
miaka19 ndo kafika dar aongee kiswahili mcharazo ivoo???? na anabana pua???? co mhaya uyo
@godenfrank8459
@godenfrank8459 7 жыл бұрын
we stela unaakili sana unafaa kuwa mwalim au mpelelez
@denisgrevasegmailcom
@denisgrevasegmailcom 7 жыл бұрын
Stella Rwegoshora uyu sio muhaya bhana
@fabiankapela3760
@fabiankapela3760 7 жыл бұрын
mhhh bangi ni dawa
@dexvlogdexstar8673
@dexvlogdexstar8673 7 жыл бұрын
wemarapa huyo
@abbiecox1
@abbiecox1 7 жыл бұрын
wapenda urahisi wa maisha! jitahidi hana noma anaweza pia akakupa mzigo!
@mnaliwilliamf.5147
@mnaliwilliamf.5147 7 жыл бұрын
nice
@queencashmadam8340
@queencashmadam8340 7 жыл бұрын
Yangu macho
@kinglance9816
@kinglance9816 7 жыл бұрын
Tanzania aiendelei
@EcoEssence_wellness
@EcoEssence_wellness 7 жыл бұрын
Okay
@doctorjuniour9459
@doctorjuniour9459 7 жыл бұрын
Kuna mashamba mengi Bukoba kalime tu....
@namwaichambua9462
@namwaichambua9462 7 жыл бұрын
daaaaaaaaaah.kusaka kikiiiiiiiii kuna garama zake ..kama sio kuuza utuu ni kujichora na mavisu mwili mzimaaaaaa.....ila ningamshauri dogo acheck na mastaazi wanaotekea Bukoba mbona wapo town hapa tuu ..akina Lulu na wengine wengi nadhani wataelewama luga ..au veeeepeeee.
@fafi9092
@fafi9092 7 жыл бұрын
Anaacha kutafuta kaz akafanya anaongea pumba hapa
@lucyhadwiger3164
@lucyhadwiger3164 7 жыл бұрын
Moyo sukuma damu..
@mariamissa4186
@mariamissa4186 7 жыл бұрын
Lucy Hadwiger umenifulaixha ataree eeeee
@rahmamteri5592
@rahmamteri5592 7 жыл бұрын
Lucy Hadwiger hahaha kweli
@jaffyamosi9809
@jaffyamosi9809 7 жыл бұрын
kwa kweli madame atakuwa chiz kama hayackiliza baadhi ya ma fans wake ila akina hamorapa mhhh''''''''''.....
@berryprince8795
@berryprince8795 7 жыл бұрын
Muombe mungu ndo vyote
@salamakadzo240
@salamakadzo240 7 жыл бұрын
siku hizi kila mtu akitaka kutoka lazima atumie jina la star looh kiki kweli
@ruditaboti3157
@ruditaboti3157 7 жыл бұрын
mmmh mara yakwanza alivyo hojiwa anasema anafanya kazi yaurembo leo hii anasema hana kazi maranyingi tuna zani hawa mastar wanauwezo wakutusaidia kumbe nawao maisha yao yakawaida tu. haya ngoja tuone.
@nessa4899
@nessa4899 7 жыл бұрын
I see hiyo ni strong
@saidially6754
@saidially6754 7 жыл бұрын
uyo jamaaa atali
@kintakunte7087
@kintakunte7087 7 жыл бұрын
niaje wadau mko pw
@mariambb4683
@mariambb4683 7 жыл бұрын
wema mpe kazi kijana anakupenda kweli
@DeeDiyo5
@DeeDiyo5 7 жыл бұрын
la maisha yake
@daybrelimite6126
@daybrelimite6126 7 жыл бұрын
ahaaaa! muwayaaa
@halimamlili8803
@halimamlili8803 7 жыл бұрын
WSB USINIUWE NIKO JAMANI KWELI strong
@rechochofrank2953
@rechochofrank2953 7 жыл бұрын
acheni bangi buana halafu ninyi watangazaji muwe mnaangalia enter view za kufanya
@aaaaa9123
@aaaaa9123 7 жыл бұрын
uyukijana mwandazimu
@apolinemalungano5854
@apolinemalungano5854 7 жыл бұрын
Wanadam bwana nishida kuliko umtegemee Mungu unategemea mwanadamu mwenzako kwani Wema ananini yakukusaidia nimwanadam kama wewe kwani wenye walifanyikiwa yeye njoo anawasaidiaka bushenzi tu
@rosemarybenjamin5866
@rosemarybenjamin5866 7 жыл бұрын
yan miez mili bangi Tupu,,,lkin sepetu mama msikilize sio kam hamorapa anae sem atakulish atakuvsha kila kitu😂😂😂,,uyu mwenzio ata mbwa wako tu atamlisha
@hamsinitimbersupplytanzani4928
@hamsinitimbersupplytanzani4928 7 жыл бұрын
wema usikubalii kabisaa hii movie ya kushutii hata na cm
@kingsdaughter2040
@kingsdaughter2040 7 жыл бұрын
mtegemea mwanadamu amelaaniwa mtegemee mungu wema atatumika tu kama Malaika maanake ni mwanadamu hawezi kukufanyia kila kitu mwanaume ni kuhustle
@jigijigi2373
@jigijigi2373 7 жыл бұрын
Moyo uko strong😁😀😂or u have a strong feeling
@aloycekiwia8613
@aloycekiwia8613 7 жыл бұрын
Bukoba mbona kuna MIGOMBA mingiii tuu..!?
@bashirismail1443
@bashirismail1443 7 жыл бұрын
Bangi hizo zinaongea..
@furahamadina1665
@furahamadina1665 7 жыл бұрын
madam , uyoooo,
@yolakahmathews6913
@yolakahmathews6913 6 жыл бұрын
Bange bange mweeeee!!!!
@zenamilanzi1471
@zenamilanzi1471 7 жыл бұрын
pole hii yote ni shida
@famitoissanawanda7011
@famitoissanawanda7011 5 жыл бұрын
Chaukucha yeye anacheza bongo mv kkkkķ daaaa!!!!! Kwli magufuli tanzania inaenda kasi
@jumahassani6165
@jumahassani6165 7 жыл бұрын
Maadam msikilize kijana
@denisgrevasegmailcom
@denisgrevasegmailcom 7 жыл бұрын
Ww mtto kichaaa kweli kafanye kazi uko
@esthernjorog9270
@esthernjorog9270 7 жыл бұрын
wema wema wema nikuite tena wema .....wewe nikipenzi chawatu..
@metalcombat4470
@metalcombat4470 7 жыл бұрын
Kuwa makini Wema Sepetu! Huyo ni muongo. Nina wasi wasi ame tumwa kukudhuru. Lafudhi yake kwanza si ya Bukoba. Kama huja mtuma wala hatafuti kiki basi kaa naye mbali huyo kijana
@zuhuraakida5932
@zuhuraakida5932 7 жыл бұрын
lahaula😉 ze ndindindi😄
@antidiusmugashe5991
@antidiusmugashe5991 7 жыл бұрын
haaaaaaahhhh hii hatari sana!!! usitake nikufananishe na wimbo wa Ney Kuna vidume vinalelewa (WAPO)
@happymlelwa8830
@happymlelwa8830 7 жыл бұрын
wema angalia inawezekana katumwa na walio mteka Roma
@sibawayhisalum2707
@sibawayhisalum2707 7 жыл бұрын
kelvin sasa siumpeleke kwa madam
@arafsaaa8844
@arafsaaa8844 7 жыл бұрын
rud kwenu ukalime ndiz huko😩😩😩😩😩
@abcdefgger
@abcdefgger 7 жыл бұрын
Haahaha weye kaka una mambo Tafuta mungu kaka
@terrykamau902
@terrykamau902 7 жыл бұрын
😗😗😗😗
@carendaniel6117
@carendaniel6117 7 жыл бұрын
dogo mjinga kweli,tafuta kaz hata kwny viwanda siyo kubana poa.
@taussumwa152
@taussumwa152 7 жыл бұрын
hahahahahaha jaman haya maisha jamani mungu atakusaidia
@mamuuomar2596
@mamuuomar2596 7 жыл бұрын
hehehehee jitokezeni mmojammoja kwa wema
@rosemarybenjamin5866
@rosemarybenjamin5866 7 жыл бұрын
wapi sepenga wap hamorapa 😂😂😂
@halimamlili8803
@halimamlili8803 7 жыл бұрын
😂😃😃😃😁 nicheke mie
@leylahomar7740
@leylahomar7740 7 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 hatareee kweli
@ignassulili6053
@ignassulili6053 7 жыл бұрын
wema kuwa makini sana watu kama hawa maana mara nyingine wanakuaga usalama ta***fa so uwe makini mana ci unajjua unatafutwa na ...... ...... .. ...
@tonnyford8196
@tonnyford8196 7 жыл бұрын
kapandikizwa uyo umaarufu hauji bila kujiweka bize
@kidawakindamba2434
@kidawakindamba2434 7 жыл бұрын
wema msikilize huyu kijana
@shakilamasoud8979
@shakilamasoud8979 7 жыл бұрын
bukoba bishooo mhh
@shyneplatnumz2583
@shyneplatnumz2583 7 жыл бұрын
Huyu kichaaa kabsaa
@ahmedalminshad1211
@ahmedalminshad1211 7 жыл бұрын
😂😂😂😂 madam Wema uko wapi?
@josephkisembe6663
@josephkisembe6663 7 жыл бұрын
Unaamini ukikutananae utatoka kimaisha?fikiria kwanza SK nyngne uskurpuke.
@barikikagine8977
@barikikagine8977 7 жыл бұрын
anabana sana pua
@oliverlyimo1972
@oliverlyimo1972 7 жыл бұрын
akimkaribisha amekwisha,muongo kabisa huyo,kiswahili kinaonyesha hata si wa Bukoba, Mwizi huyo.
@ARFIddy
@ARFIddy 7 жыл бұрын
omba MUNGU. 2
@josephinemakungu8447
@josephinemakungu8447 7 жыл бұрын
wewe kijana wacha ujinga madam nini omba God akusaidie
@godenfrank8459
@godenfrank8459 7 жыл бұрын
uyo kijana labda utandiboi,kudadeki
@roymills237
@roymills237 7 жыл бұрын
VIP kampata
@josphinebaya2331
@josphinebaya2331 7 жыл бұрын
Madam Wema kuja apa😁😁😁😁
@nataliakihio8550
@nataliakihio8550 7 жыл бұрын
unachelewa kujua nijinsi gani utajikwamua kiuchumi unamuwaza mtu akiri mgando
@noelsanga6853
@noelsanga6853 7 жыл бұрын
Jembe la uongo hilo
@mariambb4683
@mariambb4683 7 жыл бұрын
😁😀😁😃 katowa lamoyoni mwake
@kinakithemr1042
@kinakithemr1042 7 жыл бұрын
nna strong kwenye moyo wangu!! buushit ndyo nn hii? wachen kujifanya wazungu bhaaana
@karimumduma4062
@karimumduma4062 7 жыл бұрын
kwani huko kwao hamna mashamba ya kulima
@ediphabakunda8759
@ediphabakunda8759 7 жыл бұрын
mdogo wake harmorapa nn?
Самое неинтересное видео
00:32
Miracle
Рет қаралды 2,6 МЛН
Magic or …? 😱 reveal video on profile 🫢
00:14
Andrey Grechka
Рет қаралды 86 МЛН
Minecraft Creeper Family is back! #minecraft #funny #memes
00:26
10 Things True Muslims Never Talk About (Privacy in Islam) | ISLAM
19:12
Intention of Islam
Рет қаралды 7 М.
BABA YANGU KIPOFU Full episode /39/ #love
23:12
BabaJoan
Рет қаралды 221 М.
TUNDU LISSU AICHAMBUA SERIKALI "HAKUNA LOLOTE"
9:35
JAMBO TV
Рет қаралды 14 М.