Naitwa Ali Pro. kutokea Burundi Napenda saana muziki wa Tanzania Ila hakuna kitu ambacho kina kera siku zote....kuckia kwamba Ali kiba na Diamond wana ugonvi.. sio kweli ninacho weza kusema.. izo team team. Ndo chanzo cha ugonvi mpaka wasanii wanajishtukia... please please Kama ita wezekana.. siku moja Alikiba na Diamond watoa nyimbo pamoja ili kuvunja vunja izo team zinazo peleka ugonvi kati ya Alikiba na Diamond
bizzare!Dunia uwanja wa fujo!! wasamehe tuu!yaani hapa ni chakacha la uzushi! Let me share this! Kwa kiakiri tuu timamamu utamushi huo sidhani kama ni kweli!useme eti "unasikia kichefuchefu""!!usikie kichefuchefu halafu wewe huyo huyo! wa kichefuchefu uende kumpenda dem Jokato!aliyevurugwa na Diamond !before it doesn't make sense!!au ndio matusi yenyewe wanageuzia washabiki!! Mie siamini yote hayo kama ni kweli!!kwanini usiende mbali! ilikuepuka machafuko zaidi!Ni kitu kibaya sana!
@johnyonas14294 жыл бұрын
Xaf br
@sylviaizaack97949 жыл бұрын
😤😤 aaaaaaah ukwel unaujua aiiwezekan gafla gaflaa tyuu tem zikaanza kuleta support upqnde mmoja lazma lazma kutakua na kituu...all in all kila mtu atembelee nyota yake msipende kupitia migongoo ya wat..kwan shiiingap😠😠😠