Kwakweli tultamkumbuka daima ameacha pengo kubwa sote wa allaah kwake tutalejea amina
@ChancelineKiruru2 ай бұрын
From Burundi 🇧🇮 tunaumiya sana 😭😭😭😭
@ChukiMjinga-jw2ql2 ай бұрын
Nimesikitika maana Nilikuwa napenda kuangaria sana huba mungu akualaze pens peponi
@MphilipinoJerry2 ай бұрын
Daah I can't believe lakin bwana alitoa na bwana ametwaa jina lake lihidimiwe mungu ailaze roho ya mama yetu mahala pema peponi poleni sana
@zahraabdul96522 ай бұрын
Imna lilahi wa Ina ileyhi rajiun 😭😭😭😭😭😭😭 Hadi hii imenistua moyo sana sasa tesa katuondokea ivo hii Dunia kweli twaipita 💔💔💔💔💔💔💔 Yarabby mrehemu mama yetu tesa kwa mengi ametuigizia tukafurahia sana popote alikosea Yarabby mrehemu 😢😢🙏🙏🙏
@joycemachibya43802 ай бұрын
Daaah yaan moyo unaniuma aseee Pumzika kwa amani mama 😢😢daah
@SarahEdward-m2y2 ай бұрын
Jaman nampenda uyu mama mbn ametutoka gala ivi uyu mama nampenda na ntaendelea kumpenda
@LutambiDaudiАй бұрын
Dah mungu akulaze mahali pemapepon amina
@AminaIssa-ee6kl2 ай бұрын
Innah lillah waina aleyhi rajioon. I can't believe mama Tessa. Watching from Kenya. ❤
@MunaMuna-j5e2 ай бұрын
Inaa maana hauwamini kama mungu yupo??
@zahraabdul96522 ай бұрын
What!!! Tesa katuondokea nani atapamba huba tulio zoea tuone ndio tulale 💔💔💔💔💔💔💔this is very heartbroken 😭😭😭😭😭😭😭
@HekimamlGodwin2 ай бұрын
Da jaman mama mzur kwel polen xana watoto wake😢😢😢😢
@JOHARYMAHIKOJOHARYMAHIKO2 ай бұрын
Mungu akupunguzie adhabu ya kabli
@ZenaAlly-i9t2 ай бұрын
Mungu aiweke rohoyamarahem mahala pema😂
@FainaJaffari2 ай бұрын
Mungu akupunguzie adhabu mom😢
@celinaduka33462 ай бұрын
Huzuni saana 😢😢.. pumuzika kwa Amani Mama yetu Tesa
@rukiyahussein27382 ай бұрын
Mungu ailaze roho yake peponi tulimpeda na Mungu kampenda zaidi,😂😂😂😂😂😂😂
@MunaMuna-j5e2 ай бұрын
Pepo gani wakusudia??
@LylahMrombo2 ай бұрын
Inalillahi wainalillah rajun😭😭😭😭my favourite actress in huna series
@HabintZay2 ай бұрын
Duu inalilah wainaillah lajiuna Allah amuepushie mahali pema peponi mama ety jamn dunia imeisha😢😢
@LuluAbdi-sm9ie2 ай бұрын
Inauma San pole kwa msimb mzto sote n wa mafumbn .jmn 😭😭😭
@NadzuaMrema2 ай бұрын
May she rest in peace 🙏 🕊 mbele yakee nyuma yetu tulikupenda lakin Allah alikupenda zaidi 😢😢
@PaulinaThomas-ln5fq2 ай бұрын
Jamanii mama tesa ni ngum sana kuamini, lakini mipango ya mungu hiyo tumwombee tuu apumzike Kwa amani mama yeti kipenz
@DionesiaAudax2 ай бұрын
Dah! Kwel sote n waptaj nmeamin umeniacha na maswal meng mama pumzika kwa aman
@FranceJulias2 ай бұрын
😢😢😢😢hakika tutakukumbuka sana mamaetu kipenzi
@ChristineMuinde-fq2jo2 ай бұрын
Niuchungu jamani ila itabidi tukubali,,,tesa Rip
@MariamMariam-f6s2 ай бұрын
Inalilah wainn ilaih rajiun mungu ilaze roho yake mahala pama pepon yarbbi nilikuwa nafatiliya humba kwa sababu ya upendo maneno mazur hununi pumzika salama mama yetu inauma 😭😭😭😭🤲🤲
@EvodiaEvondius2 ай бұрын
Jameni duuu mbona vifo vya gafura vimezid duuu mungu airaze maar pema peponi😂😂😂😂😂
@ManirambonaShabani2 ай бұрын
Nuta sikitika sana😢😢😢😢 3:31
@saidothmani75222 ай бұрын
Njamana ndunia inaenda wapi 😭😭😭😭😭😭😭
@NeemaJuma-t4g2 ай бұрын
duuuuuh pole sana 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@shebetaimur2 ай бұрын
Allah ailaze roho yake mahali pema pepon movie zake nzuri
@MunaMuna-j5e2 ай бұрын
Acha kukufuru ndungu
@celinaduka33462 ай бұрын
Nenda salama Mama hata sijaamini...💔😭😭😭
@GraceLeonard-v1e2 ай бұрын
Duuu! Hata siamini
@JanethSylvester2 ай бұрын
Jamaniii 😭😭 kumbe kweliii dah Mungu akupunguzie adhabu ya kabuli
@SaumukasimuSaumu2 ай бұрын
😢😢😢 mungo akulaz mahalipem
@saumunassor15072 ай бұрын
Inna lilai wainna lilai rajiuun,, sote n w Allah n khakika kwake tutarejea,, poleni sna ,, anyways kuna matamshi aliyatamka tima jana walipokua wamekosana n Dem kuhusu kwenda ushwazi bila ruksa yke'unajua n wangapi wko nje bila y wazazi ' hii iliniweka kinywa wazima n endapo ilikua Moja y dalili tulikuwa tunapewa
@NadzuaMrema2 ай бұрын
Allah amrehemu inshaallah 🙏 😢😢
@RoselyneKhavere2 ай бұрын
😭😭😭😭..jamani tesa wangu.mungu aiweke roho yako mahali pema peponi..sijaamini😭😭
@HekimamlGodwin2 ай бұрын
Da jaman mama mzur kwel polen xana watoto wake
@AaaAaa-s7e2 ай бұрын
Innalillah wainailaih rajiun
@NasraJuma-y9h2 ай бұрын
😢😂😂😂😢 inalillah wainalillah rajiun mungu ailaze mahali pema
@Zuwenamchuzi2 ай бұрын
Mimi pia siamini😢
@DianBigaya2 ай бұрын
Pole sana 😭😭😭😭
@Chezue3162 ай бұрын
RIP Tessa nikuwa nakupenda sana kwa kujiamini minutes
@RoselyneKhavere2 ай бұрын
Wenye mko Tanzania..tafadhali tesa alikua anaugua..
@mwajumasuleiman97672 ай бұрын
Hata.mimi.siamini.hata.inaniuma.sanaaa.
@juliethhope72812 ай бұрын
JAMANIII😢
@BukuruIbrahim-o3m2 ай бұрын
Ninaomba minitiye nafasi yake yakuigiza nitaweza n naomba niko burundi
@MarianaChiboss2 ай бұрын
Rip in peace grace mapunda a😭😭😭
@ManirambonaShabani2 ай бұрын
Nuta sikitika sana😢😢😢😢
@stellahwilfred57622 ай бұрын
Hakuna atakaeziba.. MUNGU TUREHEMU
@magrethsumuni90082 ай бұрын
Hatasiamini jamani 3:04
@MwanamisiHamisi-ze3pz2 ай бұрын
Inalillah wainalillah rajiun Mungu ailaze roho yeke mahali pema peponi inshallah 😭😭😭😭 ila siamini Jamani
@shabanimmanga48852 ай бұрын
@@MwanamisiHamisi-ze3pz Dua yako haisaidii chochote kwamtu alikua hatak kumjua allah
@MwanamisiHamisi-ze3pz2 ай бұрын
@shabanimmanga4885 ww ni mungu
@rannyokuto16042 ай бұрын
Kweli siamini
@MunaMuna-j5e2 ай бұрын
@@MwanamisiHamisi-ze3pz Subuhna Allah
@MunaMuna-j5e2 ай бұрын
Ina maana hauja soma madrasa au nn??@@MwanamisiHamisi-ze3pz
@InnocentMboya-q1p2 ай бұрын
Mi siamini jamani
@KudraEliasa2 ай бұрын
Polen san
@mamasia9741Ай бұрын
Haaa tesa jmn
@NaomiWamum2 ай бұрын
Eti what tesa? 😭😭😭😭
@sterbabypaizony46492 ай бұрын
Achem utani huyu mama kafa lini
@marietacristovao13872 ай бұрын
R.i.p Mama Tesa,
@fatmasalim88692 ай бұрын
Kwa dida tuliamini kwa Sababu tuliona tukio Zima lkn tesa atuoni chochote tuone mazish bas ya tesa
@THETHIRDTV_2 ай бұрын
Tutakuletea updates zote za msiba🥺
@MishalCro2 ай бұрын
So sad rest easy mama tesa 😭😭😭
@MuktaliMkesso2 ай бұрын
Jamani ivi ni kwer lakin
@LuluPeter-o1t2 ай бұрын
Rest in peace grace mapunda
@MagrethJoseph-u2b2 ай бұрын
Mbele yetu nyuma yake nakuombea upumzike kwa amani kipenzi chetu tesa😭😭😭😭😭
@florahmahenge55192 ай бұрын
Jmn amkufa lini
@SarahCharls2 ай бұрын
Afya yake ilikua imerudi jmn, ni bora angefarik kwa kipind alipokua kakonda lkn kwa sasa jmn alokua vzr jmn du😭😭😭
@AnitaApolinary2 ай бұрын
Yaani Kuna kipindi alidhoofika😭😭😭
@KhalifaMziray2 ай бұрын
Pumzika kwaamabi mamaetu kipenzi
@JaziraHassani7202 ай бұрын
Ivi nikweli jamn sikweli
@HekimamlGodwin2 ай бұрын
Rip tesa ulale pema pepon
@ChristinaDeogratius2 ай бұрын
Upumzik kwa aman mama yangu nimeumia.san 😂
@BINTIwaKITANGAАй бұрын
Sasa unacheka nini?
@UwamariyaSadrine-r5c2 ай бұрын
Inalillah wainalilah rajiun
@NurathSuileman2 ай бұрын
Wanatudangany haw alikuw anaumwa nn jaman mamaet jaman
@AnitaApolinary2 ай бұрын
Ni kwl mmy😢 unajua kuna kipindi aliugua alionekana amedhoofika hasa kwny tamthiliya ya huba, apumzike kwa amani 😪
@JaphethLucas-q5j2 ай бұрын
Hvi nikweli amefariki au nimitandao
@jenymtafya34302 ай бұрын
@@JaphethLucas-q5j amefariki kweli jamani 😥😥
@aishaomar96212 ай бұрын
Innalillah wainna ilayh rajiun poleni wanafamilia 😢 Mungu ampe amuhifadhi mahali pema peponi 🙏😭💔💔😩
@IbFhg2 ай бұрын
Inna lilah in a lilah lajuuun
@MirandaKabwe2 ай бұрын
lnalillahi wainalillah rajun
@BertinajoseJúlio2 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭💔💔💔💔💔
@omarhome22602 ай бұрын
😢😢😢😢
@rannyokuto16042 ай бұрын
Kweli huyu akafa
@rannyokuto16042 ай бұрын
😱😱😱😱😱😱😱
@AmainaBacha2 ай бұрын
Mbele yake nyuma yetu
@fatumamkuzi80512 ай бұрын
😢😢
@Atijanfalume-q9n2 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭
@aloycesteven59982 ай бұрын
To live and die it's just a second
@MaryIddy-i2n2 ай бұрын
Ata siamin
@janetdama49232 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭💔💔💔💔💔💔💔
@fridahlenah-cf2ni2 ай бұрын
Rip
@EsterPetro-n7s2 ай бұрын
Eeee mung mpumzishe Kwa aman na umnusu na adhabu ya kaburi