Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv
Пікірлер: 50
@user-ox3ij7ki3t2 ай бұрын
Tatzo watu wanakimbilia hiyo kauli ya mwisho kwamb hamna kesi fifa lakin hawataki kusikiliza hayo maelezo ya mwanzo kwamba fifa wenyewe ndo wametoa siku tano kwa mchezaji akathibitshe kama pesa zake zimashaingia na hapo ndipo yanga itafunguliwa
@mrfinest_chiichaa2 ай бұрын
Pia niwaombe Fifa wawe na kifungu cha kuitetea club kama mchezaji anaeidai kama ameitendea haki club kwa kutekeleza wajibu wake kwa asilimia 100 na kama hajatimiza wajibu wake kwenye kiwango chake kutokidhi mahitaji ya timu basi nae ailipe club au akatwe kiasi cha madai yake anayodai yalipwe kwa club kufidia kutopata kile wanachohitaji kutoka miguuni mwake😊
@user-ox3ij7ki3t2 ай бұрын
Yaan nimeskiliza East afrika radio nimeshangaa wanasema ali kamwe aache kupotosha sasa ni wapi wao wamemsikia ali kamwe akisema yanga imefunguliwa kusajil maan sis kama mashabik tulichosikia ni kuwa baad ya mchezaj kampole atakapothibitishia fifa kuwa kashapata hela zake ndipo fifa itakapo ifungulia yanga lakin wachambuz sasa wanavyokazia kuwa ali kamwe anakanusha mara ooh anapotosha duh!!
@HOLINESSPIUSE-gv8ud2 ай бұрын
Ana mawenge wenge huyoo mtoto kama kijana wa mtaani
@sosomacharles99202 ай бұрын
Chama akitua Yanga kolo mwafa
@TheodoryCharles-mg9sr2 ай бұрын
Kilamsimu mnamsajili Chama lakini anachezea Simba
@sosomacharles99202 ай бұрын
@@TheodoryCharles-mg9sr Temu hii tatu mzuka mtaelewa tu.
@user-yu2xc2rh1b2 ай бұрын
Walikuwepo kuliko huyo na wasaliti wote tuna puluwa
@johannmaloda60272 ай бұрын
Come come
@tegemeakyangenyenka61112 ай бұрын
Waambie hao Ally viherehere
@user-mo7qi3do1x2 ай бұрын
Mnamsajili Kila msimu anachezea kwinginee
@sosomacharles99202 ай бұрын
Temu hii ndo mtaelewa tu
@pianotv64652 ай бұрын
Come come come😂
@anithaedgar10262 ай бұрын
Kubwa jinga hilo
@amosicommedy69172 ай бұрын
Nimemuona jeni kishai nimefurahi
@user-lw6on7dd7h2 ай бұрын
Simlisema ni mzee na amechuja ss karudi ujanani mchukueni kati ya mshabiki wa simba ambaye nilitaka chama haondoke simba ni mm
@AbisinaRashidi-wg5jt2 ай бұрын
Kwanza mtu mwenyewe Simba washammaliza utamu kila kinachoachwa Simba mwamchukua okra mmeona mnawakomoa Simba Kiko wapi chukueni TU
@RuhumbikaManyama2 ай бұрын
Dah😅😅
@JUU-lw2je2 ай бұрын
Wewe ally hatumtaki chama kazeeka mpira wa yanga wa kasi hawezi
@johndavid60472 ай бұрын
Chama hajazeeka bali makolo hawana kocha wa viungo ngoja aje wataelewa tu, sisi tunafanya kuwakomoa tu...I LOVE YANGA
@amanijampion30452 ай бұрын
Duh jamaa unaelewaje anasema kocha wa viungo? Viungo vya mwili sio viungo mpirani?
@user-qq7dx3ez6x2 ай бұрын
Tabia zakishoga
@AshaNchira2 ай бұрын
Tena anadharau Sana safari ijayo itaisoma namba tuuu
@robertphilip3852 ай бұрын
Namba ipi hiyo
@ashrafally1442 ай бұрын
Ni prince Dube huyo
@abdallahakida79082 ай бұрын
Huyu ni mwanaume mke huropokwa tu kama mzazi ikiwa kwa wodi ya uzazi