ALLY KAMWE: ATAMBA NA CHAMA BAADA YA USHINDI WA GOLI 6 | AWACHEKA AZAM | CAFCL: YANGA 6-0 VITAL' O

  Рет қаралды 91,883

Ayoma Media

Ayoma Media

Күн бұрын

Пікірлер: 91
@SebaMluge
@SebaMluge 19 күн бұрын
Chama ni hatariii , amehusika gori tano , Kule simba alikuwa haonekani, Pasi unampa pa jobe au fred anapiga nje , huku yanga ukimpa dube chuma ukimpa ki chuma ukimpa muda chuma ukimpa mzize chuma, hatariii xanaaa
@kitomarijames3507
@kitomarijames3507 18 күн бұрын
Hakuna kuzubaa huku
@JacquelineMtoni
@JacquelineMtoni 18 күн бұрын
😂😂😂😂
@njohollesolloolesoyaih4921
@njohollesolloolesoyaih4921 18 күн бұрын
Chama wakati akiwa simba sikumfuatilia Sana lakini kumbe Chama mchezaji mmoja mzuri Sana , siyo mchoyo wa mpira , halafu hapotezi muda pale anatengeneza nafasi ya goli , nimemkubali sana
@KhaledEbrahem-d9x
@KhaledEbrahem-d9x 18 күн бұрын
Ila Kwa yanga hii naitabiria final inshallah
@Festoffesto87
@Festoffesto87 19 күн бұрын
Yanga raha sana vijana wajitume tunapenda ball na wachezaji waongeze concentration zaidi tuongeze possession na effectiveness tukiwa ktk pitch
@user-th4ns4sw6h
@user-th4ns4sw6h 19 күн бұрын
Semaji la taifa 💚
@CharlesSylvester-r3r
@CharlesSylvester-r3r 19 күн бұрын
Umeona eee
@allymwashambwa5920
@allymwashambwa5920 18 күн бұрын
semaji la burundi
@CharlesSylvester-r3r
@CharlesSylvester-r3r 19 күн бұрын
Wananchiiiiiii kikubwa ni money tumetoka na milioni 50 jamani azamu wajifunze
@RosePetro-ck8pt
@RosePetro-ck8pt 18 күн бұрын
Chama.wewe ni next level bro
@HalfanStanley
@HalfanStanley 19 күн бұрын
Hii ndo yanga daima mbele nyuma mwiko 🎉
@KellyKana-q1t
@KellyKana-q1t 19 күн бұрын
Kaka comedy zisizidi kak unafurahisha sana 😂😂😂😂😂😂😂
@Prince-rafael
@Prince-rafael 19 күн бұрын
Mashabiki wa yanga wanachama wa yanga tusipende kabisa kusikiliza redio za uchwala au wachambuzi viande zaid Sana tusikilize viongozi wetu tu maana Kuna baadhi ya wachambuzi walevi wachambuzi mbugira mbugira wanatumika kutaka kututeteresha wanadahau yanga hii sio yanga Ile Tena, mchambuzi ananunuliwa konyagi wanzuki na chibuku wakaponde kauli ya yanga kugoma kumwachia mzize.
@user-rt8ox1ht1m
@user-rt8ox1ht1m 17 күн бұрын
Nakupnda kwel ali ❤️hun bay ✌️
@mohamedkhalid-bg8tk
@mohamedkhalid-bg8tk 19 күн бұрын
Respect chama.......... See more
@henelckneatunga2720
@henelckneatunga2720 19 күн бұрын
WEWE UNAESEMA ROBO SISI HATUWAZI ROBO TUNAWAZA NUSU FINALLY AU FINALLY MAANA HAKUNA WA KUTUZUIA
@ZainabuJabiri-c5s
@ZainabuJabiri-c5s 19 күн бұрын
Alikamwe 😂😂😂 utatuua nakicheko na raha pia😂😂😂🎉 ali baki kua msemaji wetu milele inshallah
@DaudiLusana-b1o
@DaudiLusana-b1o 19 күн бұрын
Hapo saw makolo wanaumia saaaana
@AdrianaRobert-o4k
@AdrianaRobert-o4k 18 күн бұрын
Tunazingatia maokotoooooooo, ❤ yangaaaa
@jeremiahchitechi8513
@jeremiahchitechi8513 19 күн бұрын
Bonge la semaji ❤ Ana cheche kweli kweli
@HappyLingula
@HappyLingula 19 күн бұрын
😂😂😂 kwel we mnafk nimecheka sana
@Prince-rafael
@Prince-rafael 19 күн бұрын
Ifike muda yanga na sisi Sasa tuwe na wimbo wetu maalumu sio mara mejja kunta sjui mzee wa bwax sijui Mario sjui dulla makabila hii jau bnaa wote waungane kutunga wimbo mmoja wa timu ili kuwa kioo Cha Africa lazma uwage na vitu kma hzo.
@StevenkundaelyShao
@StevenkundaelyShao 19 күн бұрын
Wimbo xi upo ule wa pepekale young Africa
@suleimanh1826
@suleimanh1826 18 күн бұрын
😅😅😅​@@StevenkundaelyShao
@AdolophinaShawa-pd8yo
@AdolophinaShawa-pd8yo 18 күн бұрын
Mbona kama ka msemo ka ubaya ubwela ndo kangekua ka yanga❤❤❤
@MwileEmanuel
@MwileEmanuel 19 күн бұрын
Sema bossssss❤❤
@PiusAgustino
@PiusAgustino 18 күн бұрын
Noma kwel
@Prince-rafael
@Prince-rafael 19 күн бұрын
Uku tunapoenda yanga itaanza kuidai serekali Sasa maana sio kwa migoli hyo khaaaa serekali msije tu mkatuchongea vimbao kama chief godlove
@nickomdete7232
@nickomdete7232 19 күн бұрын
Wakatupa hundi fake😅😅😅😅 badala ya cash
@KhaledEbrahem-d9x
@KhaledEbrahem-d9x 18 күн бұрын
Bao Moja assist 4 hapo ndy chama mzee je! angekuwa kijana?!.....
@user-xi1xl7sk2q
@user-xi1xl7sk2q 19 күн бұрын
Yanga Safi sana❤❤❤❤
@SalamaKambangwa
@SalamaKambangwa 19 күн бұрын
Uyu chama noma sana😅😅😅😅😅
@sadih5333
@sadih5333 19 күн бұрын
Kwa kweli kwavile mmemfunga vitalo hakuna mpizani Africa.
@athumanishabani1143
@athumanishabani1143 19 күн бұрын
Mashaallah
@user-wr1iu5re2c
@user-wr1iu5re2c 19 күн бұрын
Karibuni mabingwa wa nchi Amani
@user-up9nc4ed2t
@user-up9nc4ed2t 18 күн бұрын
hatuna taimu Nate anajua Kwa vitalo wenye kad mbil sijaon kit
@MohamedSalumu-w5v
@MohamedSalumu-w5v 18 күн бұрын
Hii.ndio.yanga
@deboraelias3333
@deboraelias3333 18 күн бұрын
Ila Ally Kamwe bhn,,,, kweli unafiki ni kazi sana 😅😅😅😅
@abuumapozi
@abuumapozi 19 күн бұрын
Tunataka tuwaone na wao wavuke robo club bingwa
@athumanishabani1143
@athumanishabani1143 19 күн бұрын
Wananchiiiiiiiiiiiiiiii
@AdoniasBwire
@AdoniasBwire 14 күн бұрын
Unaki2 bro
@CarolineLyimo
@CarolineLyimo 19 күн бұрын
alafu muwe mnatoa kwa wahitaji kuna mtoto yupo kwa Mc Pilipili foundation anahitaji wapo weng sana
@dicksonmwenyembegu2523
@dicksonmwenyembegu2523 18 күн бұрын
kama hua unafuatilia kila yanga ikienda mechi ya ugenini kwenye ligi lazima wafanye matukio ya kurudisha kwa jamii
@omarMchoya
@omarMchoya 18 күн бұрын
Jmn asahv chama letu linafanya vurz nass tusiwe mashabiki wakuongea tuy bal tuichangie Tim yatu ili ifanye vuzur zaid
@SelemanNyakunga
@SelemanNyakunga 18 күн бұрын
💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💚
@amanileonard8763
@amanileonard8763 14 күн бұрын
Hivi ni chama kweli huyu
@Rajabu.dobeye-qw7fq
@Rajabu.dobeye-qw7fq 19 күн бұрын
Magoal sio stor,Stor ni hela,,
@nickomdete7232
@nickomdete7232 19 күн бұрын
Kwani tumezoea
@amanijm746
@amanijm746 19 күн бұрын
Kwanini kusubiri mwezi wa kumi? Chama ameacha gap kubwa sana Simba
@yugemasanza1008
@yugemasanza1008 19 күн бұрын
Kwa hiyo mmefurahi kufungwa kwa Azam
@princekassimtz5848
@princekassimtz5848 19 күн бұрын
🎉
@DhahabuSafi
@DhahabuSafi 19 күн бұрын
Ukweli utabaki kuwa ukweli uwezo wetu ni Mkubwaaaa.Hiyo ndio yanga.Haya tungoje Ethiopia kichapo.
@allymwashambwa5920
@allymwashambwa5920 19 күн бұрын
kwa timu ipi sasa jaman ,vijana wa vital o wanashindwa hata kutuliza mpira
@TamarieKiluwa
@TamarieKiluwa 18 күн бұрын
😂😂😂😂 punguza wivuuu
@antipasifabiano8560
@antipasifabiano8560 18 күн бұрын
Wewe ulikula 5 nyamaza hko
@allymwashambwa5920
@allymwashambwa5920 18 күн бұрын
@@antipasifabiano8560 unajisahaulisha nilizokupiga et
@allymwashambwa5920
@allymwashambwa5920 18 күн бұрын
@@TamarieKiluwani Kweli yanga wako vizuri ila sio kwa timu kama vital o , ni km sisimizi tu wale
@JumaJuma-g5e
@JumaJuma-g5e 19 күн бұрын
Mpira. Wa. Azam. Ni. Domo. Jingii. .
@kasimmrisho7804
@kasimmrisho7804 19 күн бұрын
unajua sana all
@CharlesSylvester-r3r
@CharlesSylvester-r3r 19 күн бұрын
Sana sana
@abuumapozi
@abuumapozi 19 күн бұрын
Asiongee kama mtu asiejielewa
@StevenkundaelyShao
@StevenkundaelyShao 19 күн бұрын
Watembezi😅😅
@user-nm2jq7xo5f
@user-nm2jq7xo5f 17 күн бұрын
Azam wajipange hawana watuwampira kwanamna hii wahipange
@aloycemaarifa8603
@aloycemaarifa8603 19 күн бұрын
Kolo wanaumiajeee!!!!!!😂😂😂
@JustineChacha-t5u
@JustineChacha-t5u 19 күн бұрын
Chamaaaaaaaaaaaa
@TeklaDouglas
@TeklaDouglas 19 күн бұрын
Waaaan chiiiiiiiiiiiiiii
@FaustinaMkama
@FaustinaMkama 19 күн бұрын
Ally safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
@barakatlemu6976
@barakatlemu6976 19 күн бұрын
Siyo mbuzi bhana ni beberu
@SalimaBuneku
@SalimaBuneku 19 күн бұрын
💚💚💚💚💚💚💚💚💚🙏🙏🙏🙏🔰
@joshuaoscar8183
@joshuaoscar8183 19 күн бұрын
.dose dose tu
@Leonard-jl8gt
@Leonard-jl8gt 19 күн бұрын
We kenge anaongelea mpira kalale kama utaki
@suzanasimonqwarsan
@suzanasimonqwarsan 19 күн бұрын
Hamna kitu nyie
@MohamedSalumu-w5v
@MohamedSalumu-w5v 18 күн бұрын
😅
@marthaadam2385
@marthaadam2385 19 күн бұрын
Mnafiki sn ali
@ziadamiraji9511
@ziadamiraji9511 19 күн бұрын
Yanga ipo vzur na chama Mzee wa miasissit😂😂
@EliaAbel-o6e
@EliaAbel-o6e 5 күн бұрын
Ai😂🎉😢😮😅
@EliaAbel-o6e
@EliaAbel-o6e 5 күн бұрын
😂😢🎉😮😅
@domymerinyo8165
@domymerinyo8165 19 күн бұрын
Chama chukueni nachama cha wananchi wajinga nyie. Hatumtaki hatumpendi mhujumu uchumi mkubwa
@EzekieliLaizer982
@EzekieliLaizer982 19 күн бұрын
Punguza makasiriko 🤣🤣🤣
@levislwamba5695
@levislwamba5695 19 күн бұрын
Pole Sana kaka, naona unakoelekea utakuja kufa na pressure ya ilo litimu lako, kwani ni mama yako si uondoke tu
@StevenkundaelyShao
@StevenkundaelyShao 19 күн бұрын
Kwani shida iko wapi!?
@jamesraphael9581
@jamesraphael9581 19 күн бұрын
Ongelea tumu yako acha ushoga ubwa wewe
@user-hy2qw6gi3e
@user-hy2qw6gi3e 19 күн бұрын
Shoga mwenyewe ubaya ubwege shwaini wewe
@majutobugali5763
@majutobugali5763 19 күн бұрын
Kama hutaki kusikiliza acha fala ww
@mahamudhimu7934
@mahamudhimu7934 19 күн бұрын
Acha usha wwe
@DarliotonTumaini
@DarliotonTumaini 19 күн бұрын
Ana boeka​@@majutobugali5763
@Cosrey
@Cosrey 19 күн бұрын
inaumwa
@DaudiLusana-b1o
@DaudiLusana-b1o 19 күн бұрын
Hapo saw makolo wanaumia saaaana
Or is Harriet Quinn good? #cosplay#joker #Harriet Quinn
00:20
佐助与鸣人
Рет қаралды 50 МЛН
МЕБЕЛЬ ВЫДАСТ СОТРУДНИКАМ ПОЛИЦИИ ТАБЕЛЬНУЮ МЕБЕЛЬ
00:20
Tazama kauli 06 za Magufuli zilizoitikisa nchi.
3:13
Makala zetu.
Рет қаралды 865
RONALDO VS MESSI #shorts
0:12
iStephan Clips
Рет қаралды 2,2 МЛН
Аршавин круче Дембеле? 🤔 #футбол #аршавин #псж
0:30
Это футбол, брат!
Рет қаралды 1,2 МЛН
Қазақстан 5:4 Қырғызстан. КӨКПАР. Финал. V ДҮНИЕЖҮЗІЛІК КӨШПЕНДІЛЕР ОЙЫНДАРЫ
1:12:31