Chama ni hatariii , amehusika gori tano , Kule simba alikuwa haonekani, Pasi unampa pa jobe au fred anapiga nje , huku yanga ukimpa dube chuma ukimpa ki chuma ukimpa muda chuma ukimpa mzize chuma, hatariii xanaaa
@kitomarijames350718 күн бұрын
Hakuna kuzubaa huku
@JacquelineMtoni18 күн бұрын
😂😂😂😂
@njohollesolloolesoyaih492118 күн бұрын
Chama wakati akiwa simba sikumfuatilia Sana lakini kumbe Chama mchezaji mmoja mzuri Sana , siyo mchoyo wa mpira , halafu hapotezi muda pale anatengeneza nafasi ya goli , nimemkubali sana
@KhaledEbrahem-d9x18 күн бұрын
Ila Kwa yanga hii naitabiria final inshallah
@Festoffesto8719 күн бұрын
Yanga raha sana vijana wajitume tunapenda ball na wachezaji waongeze concentration zaidi tuongeze possession na effectiveness tukiwa ktk pitch
@user-th4ns4sw6h19 күн бұрын
Semaji la taifa 💚
@CharlesSylvester-r3r19 күн бұрын
Umeona eee
@allymwashambwa592018 күн бұрын
semaji la burundi
@CharlesSylvester-r3r19 күн бұрын
Wananchiiiiiii kikubwa ni money tumetoka na milioni 50 jamani azamu wajifunze
@RosePetro-ck8pt18 күн бұрын
Chama.wewe ni next level bro
@HalfanStanley19 күн бұрын
Hii ndo yanga daima mbele nyuma mwiko 🎉
@KellyKana-q1t19 күн бұрын
Kaka comedy zisizidi kak unafurahisha sana 😂😂😂😂😂😂😂
@Prince-rafael19 күн бұрын
Mashabiki wa yanga wanachama wa yanga tusipende kabisa kusikiliza redio za uchwala au wachambuzi viande zaid Sana tusikilize viongozi wetu tu maana Kuna baadhi ya wachambuzi walevi wachambuzi mbugira mbugira wanatumika kutaka kututeteresha wanadahau yanga hii sio yanga Ile Tena, mchambuzi ananunuliwa konyagi wanzuki na chibuku wakaponde kauli ya yanga kugoma kumwachia mzize.
@user-rt8ox1ht1m17 күн бұрын
Nakupnda kwel ali ❤️hun bay ✌️
@mohamedkhalid-bg8tk19 күн бұрын
Respect chama.......... See more
@henelckneatunga272019 күн бұрын
WEWE UNAESEMA ROBO SISI HATUWAZI ROBO TUNAWAZA NUSU FINALLY AU FINALLY MAANA HAKUNA WA KUTUZUIA
@ZainabuJabiri-c5s19 күн бұрын
Alikamwe 😂😂😂 utatuua nakicheko na raha pia😂😂😂🎉 ali baki kua msemaji wetu milele inshallah
@DaudiLusana-b1o19 күн бұрын
Hapo saw makolo wanaumia saaaana
@AdrianaRobert-o4k18 күн бұрын
Tunazingatia maokotoooooooo, ❤ yangaaaa
@jeremiahchitechi851319 күн бұрын
Bonge la semaji ❤ Ana cheche kweli kweli
@HappyLingula19 күн бұрын
😂😂😂 kwel we mnafk nimecheka sana
@Prince-rafael19 күн бұрын
Ifike muda yanga na sisi Sasa tuwe na wimbo wetu maalumu sio mara mejja kunta sjui mzee wa bwax sijui Mario sjui dulla makabila hii jau bnaa wote waungane kutunga wimbo mmoja wa timu ili kuwa kioo Cha Africa lazma uwage na vitu kma hzo.
@StevenkundaelyShao19 күн бұрын
Wimbo xi upo ule wa pepekale young Africa
@suleimanh182618 күн бұрын
😅😅😅@@StevenkundaelyShao
@AdolophinaShawa-pd8yo18 күн бұрын
Mbona kama ka msemo ka ubaya ubwela ndo kangekua ka yanga❤❤❤
@MwileEmanuel19 күн бұрын
Sema bossssss❤❤
@PiusAgustino18 күн бұрын
Noma kwel
@Prince-rafael19 күн бұрын
Uku tunapoenda yanga itaanza kuidai serekali Sasa maana sio kwa migoli hyo khaaaa serekali msije tu mkatuchongea vimbao kama chief godlove
@nickomdete723219 күн бұрын
Wakatupa hundi fake😅😅😅😅 badala ya cash
@KhaledEbrahem-d9x18 күн бұрын
Bao Moja assist 4 hapo ndy chama mzee je! angekuwa kijana?!.....
@user-xi1xl7sk2q19 күн бұрын
Yanga Safi sana❤❤❤❤
@SalamaKambangwa19 күн бұрын
Uyu chama noma sana😅😅😅😅😅
@sadih533319 күн бұрын
Kwa kweli kwavile mmemfunga vitalo hakuna mpizani Africa.
@athumanishabani114319 күн бұрын
Mashaallah
@user-wr1iu5re2c19 күн бұрын
Karibuni mabingwa wa nchi Amani
@user-up9nc4ed2t18 күн бұрын
hatuna taimu Nate anajua Kwa vitalo wenye kad mbil sijaon kit
@MohamedSalumu-w5v18 күн бұрын
Hii.ndio.yanga
@deboraelias333318 күн бұрын
Ila Ally Kamwe bhn,,,, kweli unafiki ni kazi sana 😅😅😅😅
@abuumapozi19 күн бұрын
Tunataka tuwaone na wao wavuke robo club bingwa
@athumanishabani114319 күн бұрын
Wananchiiiiiiiiiiiiiiii
@AdoniasBwire14 күн бұрын
Unaki2 bro
@CarolineLyimo19 күн бұрын
alafu muwe mnatoa kwa wahitaji kuna mtoto yupo kwa Mc Pilipili foundation anahitaji wapo weng sana
@dicksonmwenyembegu252318 күн бұрын
kama hua unafuatilia kila yanga ikienda mechi ya ugenini kwenye ligi lazima wafanye matukio ya kurudisha kwa jamii
@omarMchoya18 күн бұрын
Jmn asahv chama letu linafanya vurz nass tusiwe mashabiki wakuongea tuy bal tuichangie Tim yatu ili ifanye vuzur zaid
@SelemanNyakunga18 күн бұрын
💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💚
@amanileonard876314 күн бұрын
Hivi ni chama kweli huyu
@Rajabu.dobeye-qw7fq19 күн бұрын
Magoal sio stor,Stor ni hela,,
@nickomdete723219 күн бұрын
Kwani tumezoea
@amanijm74619 күн бұрын
Kwanini kusubiri mwezi wa kumi? Chama ameacha gap kubwa sana Simba
@yugemasanza100819 күн бұрын
Kwa hiyo mmefurahi kufungwa kwa Azam
@princekassimtz584819 күн бұрын
🎉
@DhahabuSafi19 күн бұрын
Ukweli utabaki kuwa ukweli uwezo wetu ni Mkubwaaaa.Hiyo ndio yanga.Haya tungoje Ethiopia kichapo.
@allymwashambwa592019 күн бұрын
kwa timu ipi sasa jaman ,vijana wa vital o wanashindwa hata kutuliza mpira
@TamarieKiluwa18 күн бұрын
😂😂😂😂 punguza wivuuu
@antipasifabiano856018 күн бұрын
Wewe ulikula 5 nyamaza hko
@allymwashambwa592018 күн бұрын
@@antipasifabiano8560 unajisahaulisha nilizokupiga et
@allymwashambwa592018 күн бұрын
@@TamarieKiluwani Kweli yanga wako vizuri ila sio kwa timu kama vital o , ni km sisimizi tu wale
@JumaJuma-g5e19 күн бұрын
Mpira. Wa. Azam. Ni. Domo. Jingii. .
@kasimmrisho780419 күн бұрын
unajua sana all
@CharlesSylvester-r3r19 күн бұрын
Sana sana
@abuumapozi19 күн бұрын
Asiongee kama mtu asiejielewa
@StevenkundaelyShao19 күн бұрын
Watembezi😅😅
@user-nm2jq7xo5f17 күн бұрын
Azam wajipange hawana watuwampira kwanamna hii wahipange
@aloycemaarifa860319 күн бұрын
Kolo wanaumiajeee!!!!!!😂😂😂
@JustineChacha-t5u19 күн бұрын
Chamaaaaaaaaaaaa
@TeklaDouglas19 күн бұрын
Waaaan chiiiiiiiiiiiiiii
@FaustinaMkama19 күн бұрын
Ally safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
@barakatlemu697619 күн бұрын
Siyo mbuzi bhana ni beberu
@SalimaBuneku19 күн бұрын
💚💚💚💚💚💚💚💚💚🙏🙏🙏🙏🔰
@joshuaoscar818319 күн бұрын
.dose dose tu
@Leonard-jl8gt19 күн бұрын
We kenge anaongelea mpira kalale kama utaki
@suzanasimonqwarsan19 күн бұрын
Hamna kitu nyie
@MohamedSalumu-w5v18 күн бұрын
😅
@marthaadam238519 күн бұрын
Mnafiki sn ali
@ziadamiraji951119 күн бұрын
Yanga ipo vzur na chama Mzee wa miasissit😂😂
@EliaAbel-o6e5 күн бұрын
Ai😂🎉😢😮😅
@EliaAbel-o6e5 күн бұрын
😂😢🎉😮😅
@domymerinyo816519 күн бұрын
Chama chukueni nachama cha wananchi wajinga nyie. Hatumtaki hatumpendi mhujumu uchumi mkubwa
@EzekieliLaizer98219 күн бұрын
Punguza makasiriko 🤣🤣🤣
@levislwamba569519 күн бұрын
Pole Sana kaka, naona unakoelekea utakuja kufa na pressure ya ilo litimu lako, kwani ni mama yako si uondoke tu