Mimi Mwenyewe Ambwene Namkubali Sana sanaaa hata kuna kipindi Niko Pregnant Mwaka mpya wa kumaliza 2010 na kuongia 2011 Kwenye Mkesha wa Calzmatic Emaus Pale Ubungo Aiseee alikuwa akipanda Madhabahuni Kuimba Mwanangu aka wa anafurahi Sana Tumboni anarukaruka Anacheza Tumboni mpaka nafeel furaha ndani ya moyo wangu,Na Huyu Mtoto ni Baraka Sana kwangu na ana hofu ya Mungu Sana Sana 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@StanMbega10 ай бұрын
Amina,ubarikiwe
@ngoshamsabato174710 ай бұрын
KUTOKA USA 🇺🇸 AMBWENE MWASONGWE 🎉NAKUKUBALI SANA KAKA HUDUMA YAKO IENDELEE🙌🏿🙌🏿
@namelockmaasailady800210 ай бұрын
Vido vidox you are the best presenter,unajua Sana unachokifanya,unajua halafu unajua tena💪💪💪💪
@SelemanMuhamed-ir5zl10 ай бұрын
Abwene the best . Najisikia Furaha kumuona Abwene akizidi kumtumikia Mungu. Mungu akuzidishe zaidi na zaidi
@EmmmaTembo10 ай бұрын
Kwa mala ya kwanza nilimufahamu kwenye nyimbo ya Majaribu ni mtaji huyo wakati sikuwa nauwezo hata wakujilisha wala kulipa kwa wakati kodi ya chumba kimoja ambacho nilikuwa nakodi nilikuwa katika maisha Magumu sana.nanyimbo ile ilikuwa pendwa kwangu na leo nina kila kitu nilichokuwa na omba Mungu wakati yule.Kiukweli toka moyoni na furahi sana kila ninapo muona huyu baba.asante Ayo tv Tunafatilia vipindi vyenu tukiwa Zambia
@juliusmartin183910 ай бұрын
Majaribu ni Mtaji...wow! Ulinifariji sana kwenye uvuli wa mauti. Wonderful.
@deborahjustinerwambogo849010 ай бұрын
Hajawahi kuchuja,Wala kuwa na skendo mbovu. Yaani miongoni mwa waimbaji wa injili wasiochuja❤ chukua maua yako kaka. Kyala akubhonekele
@boscoafikile473710 ай бұрын
Mungu akubariki na aendelee kukuinua, umekuwa mfanzo wa kuigwa.
@RoseJoseph-y8b10 ай бұрын
Am always blessed with this man o God❤❤
@jessicamwasandube94410 ай бұрын
Safi sana Ambwene, Mungu akuinue zaidi,napenda sana nyimbo zako
@giztony200910 ай бұрын
One of the best interview ever!
@atudave107610 ай бұрын
Host yuko vizuri sana sana ! Mungu akubariki
@eliamtani284010 ай бұрын
yaani hapo Ayo Tv, mtangazaji anaejua kufanya interviews vizuri ni mmoja tu ukimtoa Millard mwenyewe, na si mwingine ni VIDO VIDOX, VIDO VIDENGA. One of the Best Interview 2023. 🙌🙌🙌🙌
@winnerjudith200710 ай бұрын
je na yule alie mhoji Kikeke
@eliamtani284010 ай бұрын
@@winnerjudith2007 ngoja tumpe mda na yeye tumuone kama ata maintain au atakuja kazingua. But he's good too.
@gladnessshola271810 ай бұрын
Waooooooooow Mtumishi wa Mungu, Ambwene anajibu maswali Kwa hekima sana.
@andreakulisha514410 ай бұрын
Ambwene Mtumishi wa Mungu, tunakupenda sana
@christinamwangoc477910 ай бұрын
Namshukur MUNGU kwa ajili yako, nakuheshim sana.
@irakozeshakiru11319 ай бұрын
Yani wewe ninabi wangu nyimbozako zinanitunza zinanifaliji sana ubalikiwe sana ❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮
@gracewankara800410 ай бұрын
Ombi langu wimbo wangu Bora wakati wotee❤❤
@gilbatvienja72047 ай бұрын
Tuliko toka ni mbali in the best kwangu mungu ni mwaema
@SheillaJaffery10 ай бұрын
Ambwene nyimbo zako zinainua imani ni pamoja na mimi ubarikiwe sana
@tusiimerwihura63410 ай бұрын
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu,wewe ni kioo changu,najifunza vingi kupitia wewe una unyenyekevu katika wokovu na Mungu anawapenda watu kama wewe,nakuombea ufanikiwe huku duniani ila mwisho wa siku uje uione mbingu,uketi pamoja na Baba Mungu,ufurahie matunda ya unyenyekevu wako kwa Mungu
@eaglemaris32710 ай бұрын
Best interview
@mropeamadeus5410 ай бұрын
Ameuliza vizuri amejibu vizuri 🙏
@NeemaJulius-qo2xz10 ай бұрын
Mungu akutunze
@priscillahmushi447510 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu,Mungu akuinue zaidi nyimbo zako zinavusha wengi
@AmaniEzekiel-fl6cl10 ай бұрын
I love this man of god
@winnerjudith200710 ай бұрын
spelling ya god sio sawa it is God or GOD
@patrickwilondja7596 ай бұрын
Wimbo huu kweli unatiaka moyo na kuzidi kumwomba Mungu anipe nguvu ya kuvumilia mitiani ya misuli ya imani
@adelinachengula851910 ай бұрын
God bless you
@NdituTV10 ай бұрын
The best interview, ambwene vs vido
@MoajGraphics10 ай бұрын
Ambwene amekuwa baraka kwa kila mtu. Mungu azidi kumtunza
@petroprenge871610 ай бұрын
Vido nimependa sana mpangilio wa maswali yako, nice interview!
@atudave107610 ай бұрын
Ambwene! Majibu ya hekima sana sana.👏🏽👏🏽👏🏽
@matridasambali643210 ай бұрын
Duh hongera sana bwana umejituma inavotakiwa
@NkundwaMwasenga2 ай бұрын
Kiongozi hakika nakuelewa sana na ninamuona MUNGU kupitia nyimbo zako
@PatrickMafuru-m3z10 ай бұрын
Tumekubalika ❤
@MsevenFokoro10 ай бұрын
Nimebalikiwa leo
@charlesyohanaa10 ай бұрын
Hakika MUNGU azidi kukuinua zaidi mm MWENYEWE nakubari sana,,, napia alubm ya misuli ya imani
@maryowen749010 ай бұрын
ila wakaka wa kinyakyusa huwa wazuuuri sana aisee....MUNGU azidi kukubariki Mtumishi wa MUNGU Ambwene
@DavidWandabwa10 ай бұрын
Nimejifunza mengi sana kutoka mtumishi pia vido umeuliza maswali mazuri na amejibu vizuri,mbarikiwe sana
@faudhiasalum727910 ай бұрын
Awesome 🎉Ambwene 🔥🔥
@ceciliapatrick821710 ай бұрын
Vidox binafc nakupa maua yako unajua kumuhoji mtu vzur huna hofo unaujacr na umepangilia maswali yako 🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺❤️
@jessicamwasandube94410 ай бұрын
Good interview vido🎉
@niyiesther65717 ай бұрын
Ameeeen sisi hatushindani
@EvelinaDitram-xi9co5 ай бұрын
Wao vz
@SyliviaJohn-io5sz10 ай бұрын
Be blessed always Ambwene
@niyiesther65717 ай бұрын
Ameeen..myimbo za mafumzo
@spensiozakato60010 ай бұрын
Mungu azidi kukuinua sana na akutunze.
@Anselmekipandauli6 ай бұрын
Aksante Sana
@fridamgalla603310 ай бұрын
Upo vizr sana Ambwene unanibariki
@JudythAsiko10 ай бұрын
Blessings ❤🎉
@selemanisalum72836 ай бұрын
Nyimbo za huyu mwamba sijawai kuzichoka yaani nyimbo zake huwa nazisikiliza kila siku
@maribaisack209710 ай бұрын
Bonge Moja la interview
@andrewmagwila160210 ай бұрын
Man of God Unabariki wengi kwa huduma yako Mungu akutunze kwa utukufu wake
@daudpius13010 ай бұрын
Namkubali sana ambwwne
@yusuphlukas-k1d10 ай бұрын
MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU
@mlokozijofta829510 ай бұрын
Nilijua nyimbo za Ambwene nikiwa mdogo uwa zinakitu na ukikijua unafika mbali
@sijaonalujinama10 ай бұрын
Nice one
@naghemsuya521810 ай бұрын
Ayo na kampan yko Mungu awatunze kwakwel mna vpindi vzr sana
@eaglemaris32710 ай бұрын
Maswali ya kikubwa sana
@moriskalegeleshusha261910 ай бұрын
Boaz Danken cjamsikia kaka
@foodbasiccourt20287 ай бұрын
Unawaumini waisilum kwa maelfu.wapagani.kweli ukifungua kanisa utawaacha hao
@NdealetsaNkashuma-pv7xe10 ай бұрын
Kaishia la 7 WAKATI NIMESOMA NAE CHUO TIA MBEYA ALINITANGULIA DARASA MOJA?
@stevenmnzavajoseph10 ай бұрын
Alikuja kusoma QT baadae, akaenda chuo kusoma certificate, Diploma na Bachelor ya uhasibu. Amesema kila kitu hapo.
@juliusmartin183910 ай бұрын
Dhambi, tunajikwaa sote, katika nia kwa kuwaza, kunena n.k
@George-jz3jg10 ай бұрын
Asante Ambwene mwasongwe Kwa historia Yako iliyo nzuri na njema sana hasa kuichagua njia iliyosahihi ya kuipitia kwenda mbinguni TAG ni njia sahihi ya kumpeleka mtu mbinguni Asante nipo kwenye mapito lakini MUNGU anisaidie na kunitoa kwenye pito
@michaelramadhan946610 ай бұрын
VIGEZO VYA MTU KWENDA MBINGUNI ANATAKIWA KUPITIA TAG?😂
@JBB87510 ай бұрын
Hahaha dah umenichekesha TAG ni njia ya kwenda mbinguni😂😂😂😂😂😂😂😂😂, njia ya kwenda mbinguni ni YESU tu sio TAG my friend
@elizabethmpangala595010 ай бұрын
Yesu ni njia sahihi ya kwenda mbiguni sio TAG wala taasisi yoyote
@daudmtega942910 ай бұрын
Matendo Yako na iman Yako ndio vitakavyo kupeleka mbinguni,dhehebu ni uongo tu.....
@farajaMezza-qn4be2 ай бұрын
Pole sana mpendwa unaweza kuwa TAG na kuzimu ukawa Kuni, NJIA NI YESU TU