AMEANZA KUTOA MAKUCHA YAKE / TEKATEKA NA KUBAMBIKIZIA KESI WANAHARAKATI IMERUDI -ADO

  Рет қаралды 9,893

MwanaHALISI TV

MwanaHALISI TV

Күн бұрын

🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 692 318213)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...

Пікірлер: 19
@enocepaulkumba9362
@enocepaulkumba9362 19 сағат бұрын
Saf sana katibu mkuu! Hongera sana!
@SamweliAdamu-x7t
@SamweliAdamu-x7t 15 сағат бұрын
Sema baba
@felixmsengi1084
@felixmsengi1084 19 сағат бұрын
Safi ila muwe mnamaanisha maamuzi, muungane kwa Jambo la katiba na kuwa weka wagombea wenye ushindani pia chukueni wasomi na wanaccm wenyewe hawana mawaa
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 14 сағат бұрын
Stronger together
@leonardramiye8207
@leonardramiye8207 2 сағат бұрын
Safiii sana addo
@PaschalKiteaKitea
@PaschalKiteaKitea Күн бұрын
Sawasawa ccm ndio chama pekee cha wezi majambazi mafisadi wahalifu sugu
@festokemibala5832
@festokemibala5832 20 сағат бұрын
Kila aliye na mwenza mwalimu ajitafakari kama tunataka ukombozi wa kifikra!
@martinkisha6307
@martinkisha6307 Күн бұрын
Uko sawa
@salama1113
@salama1113 Күн бұрын
angalau ww unaongea ukweli kuliko kiongozi wako
@johnsinyinza7450
@johnsinyinza7450 22 сағат бұрын
Kumbe wanahubiri rushwa kumbe wawo ndiyo nambari one wa kuiba kura. Takataka kuna haja kupiga kura situnapoteza mda.
@albertkamala6843
@albertkamala6843 5 сағат бұрын
>SABABU TOSHA UMMA KUUNGANA KUDAI KUFUMULIWA KATIBA..KIPENGERE KINACHOHUSU UCHAGUZI! >IELEWEKE KWAMBA, NI UBATILI KUFANYA UCHAGUZI PASIPO MAREKEBISHO..CHAMBILECHO, "NO REFORMS, NO ELECTIONS"!.
@obadiajuma436
@obadiajuma436 19 сағат бұрын
Niaibu
@joachimkalungwana8654
@joachimkalungwana8654 Күн бұрын
Kwa Dr Slaa hapana naye anachuki binafsi na watu Kam aliyekuwa mwenyekiti wa chadema alisema mangapi ya kumsingizia!!!?Kama ni upanga ukate kote kote Hilo vipi acheni nanyi uchawa na mtu!!!
@johnsinyinza7450
@johnsinyinza7450 23 сағат бұрын
Tobowa mtoto wapashe wazandiki hawo
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 Күн бұрын
Well said
@ThomasGai-kz5cu
@ThomasGai-kz5cu Күн бұрын
Clip ya Dr. Slaa umeisikiliza kweli? Ninachotamani haki itendeke ila wanasiasa acheni kuamini kuwa ninyi mnajua kila kitu au mmesoma sana kuliko wananchi wote.
@stewartdyamvunye-wz6rn
@stewartdyamvunye-wz6rn Күн бұрын
Accidental president = rais aliyeingia madarakani kwa bahati mbaya na hakuwa amejiandaa. Hilo nalo neno!
@JacksonMartin-pb2vq
@JacksonMartin-pb2vq Күн бұрын
Hayo ndio yamekaponza kale kàzee sasa hivi hana ushahidi anasota huko
@ChalesLukumai
@ChalesLukumai Күн бұрын
Anaetakiwa kuwa na ushahidi ni nani? Msimamisheni kizimbani mumdai ushahidi. Mnaogopa nini?
VITA YA WASIRA NA CHADEMA HECHE AVUNJA UKIMYA 'HUYU MZEE ANATUITA VIBAKA'
8:20
Caleb Pressley Shows TSA How It’s Done
0:28
Barstool Sports
Рет қаралды 60 МЛН
Every team from the Bracket Buster! Who ya got? 😏
0:53
FailArmy Shorts
Рет қаралды 13 МЛН