Рет қаралды 7
Katibu tawala Wilaya ya Serengeti Angelina Marco amewapongeza Maafisa na askari wa uhifadhi kwa kuhakikisha idadi ya faru inaongezeka ukilinganisha na miaka ya 90.
Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Serengeti, jana kwenye maadhimisho ya siku ya faru duniani katibu tawala huyo amesema Faru ni miongoni mwa wanyama adimu na wa kipekee ambao wapo katika kundi la wanyama wakubwa watano wanaopatikana Serengeti.