Part 1 ya Big Suprise Bonyeza Hapa 👇 kzbin.info/www/bejne/aJK0knSCj72Umc0
@patiencembekelu240 Жыл бұрын
Pole sana Moreen kwa yale yote uliopitia.Lakini kama mama kiukweli yuko tayari kufanya lolote ili watoto wake wapate mahitaji yote .lesson learned to all of us 🤗
@saumunyadzua Жыл бұрын
Tunasubiri kwa hamu na gamu ,much love from 🇰🇪
@ziadamtebwa3712 Жыл бұрын
Asante Anko J kwa simulizi nzuri yenye mafunzo na kusisimua
Asante sana Anko Jay kwa simulizi tamu na yenye mafunzo kibao. Kweli utamu wa asali haushimbishi ila wang'oa meno
@shantellekwamboka7444 Жыл бұрын
Kweli maisha kitendawili,watu huyapitia mengi,Mungu n mkuu n kila kitu huwa n mwisho tu, na ni vizuri mtu unapojijua n kubadirika huwa n shangwe kwa Muumba wetu
@RahelIbrahim-id2li5 ай бұрын
Daaaah,hao watoto walijisikia vibaya sana kwa kuzaliwa ktk mazingira mabaya ya kisodoma na gomora
@AdmiringGrazingCows-im1kh2 ай бұрын
Wa mama wenzangu kunasimulizi sio zakuathiya watoto sio bien
@fadhaluhembwe3 ай бұрын
Mutukumbuke jamani munitumiye namba 4 milelle
@hamidabaliyanga2584Ай бұрын
Asante sana Ankojay
@PhoebeWafula-d6c10 ай бұрын
Aki simulizi hii Ina inatiya huruma jamani sasa watoto wake wataonaje mama yao Aki hatuwezi mulaumu huyo mama jamani mashabiki ausiyo❤❤❤❤❤
@shazyqull2547 Жыл бұрын
Thanks tumesubiri saaana aisee asante
@EpimackChami-g2f6 ай бұрын
Kwanza maurun. Nikupe . Ongera kwa mpambano mzto
@MamakeJanetuser-ds8sz1mw4r6 ай бұрын
😂😂😂😂😂 yeah kweli huyu mourine ni mpambanaji
@girukwishakaclaudine5374 Жыл бұрын
Asante Anko Jay nimejifuza kweli 🙏🙌😅😂
@nurafedrick378 Жыл бұрын
Eee Mungu niepushe nakikombe hiki huyu dada amepitia hadi analala na babake ila ss wanawake tusemege na nyege zetu kwasababu umedanga mwisho umepata kivuli ungetulia tuu nahicho namxee mradi mambo yako yanaenda vixuri wanao wanasoma wewe unaishi poa lkn bado zakutawala hadi unaleta vijana lkn wewe ndounakuwa mkali kweli jamani tusemege nazo saingine kama mm natulia tuli
@ankojay_ Жыл бұрын
Kweli kabisa 👍
@jabuali5739 Жыл бұрын
Mama anaweza jisacrifice 4 her kids happiness nice story bt alikosea kufanya km hobby after her kids succeeded
@binthassan9191 Жыл бұрын
Leo nimewahi mno😂,,Asante sana msimuliaji mr.Anko jay 😍
@maggiesadock Жыл бұрын
Jamani morlyne sivema kuwambia watoto wako mapito yako duh!😢😢😢😢😢 sawa kuwa ulitebea n'a baba yako mzazi jamani😢😢😢😢😢ila pole sana mommy
@mayasamayasa1205 Жыл бұрын
Mama ni mama hata angekua vp❤❤
@AliBadi-p4i7 ай бұрын
🥰🥰🥰🥰
@MarimGodifrey2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@PhilibetiJosaphati-vh1fb10 ай бұрын
mama nibola kusema ukweli kuliko watoto wasije wakayasikia kwawat
@christinahaule-p8i11 ай бұрын
unaanzaje kumchukua mwanaume na kumpeleka nyumbani kwa mume wake
@HaluwaMosi3 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@issanuru9552 Жыл бұрын
Wakwanza jamani nimewahi❤😂😂😂
@ziadamtebwa3712 Жыл бұрын
Uyu dada ana roho ngum kuwaeleza mambo makubwa kama hayo
@saumunyadzua Жыл бұрын
Hatimaye
@salhakristina9434 Жыл бұрын
Niliisubiri kwa ham sana
@hijamwinyi3233 Жыл бұрын
Mama ana utu huyu awaeleza watoto khabar ndefu
@SalmaSalma-cb2pl Жыл бұрын
Nzur sana jamani
@avelinabaluhya2804 Жыл бұрын
Mh,maisha yoyote mabaya ambavyo Mungu ameyakataza nawe ukayafanya lazima utakipata cha moto
@ankojay_ Жыл бұрын
Kwakweli
@cadeaualiza4 ай бұрын
Sasa anko ,iyi simulizi mbona ina historia kama ile ya utamu wa pipi ya kijiti?,ni moja au?
@salhakristina9434 Жыл бұрын
😢😢😢😢😢nimeumia sana 😢
@beatricesemiti5997 Жыл бұрын
👍👍
@dorocasndunge1829 Жыл бұрын
Asante sana anko j
@raiyaanyusufyusuf17 Жыл бұрын
Simulizi zako haziboeshi ....endelea kututumbuiza
@khadijashabani6167 Жыл бұрын
Jmn mbona ivo
@medinahsamita3981 Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤🙏🇰🇪
@IreneNathan-i9m Жыл бұрын
Anko mbona this story inafanana na utamu wa pipi?
@espererancesudi7600 Жыл бұрын
To be continued
@jabuali5739 Жыл бұрын
Atleast sijachelewa wacha niisubiri
@annakinyi218 Жыл бұрын
😢😢😢😢🤔🤔🤔
@mariamjuma743 Жыл бұрын
Mbna hivo haitaki kufunguka mbna Anko J 😅
@maryammaryam5503 Жыл бұрын
Hata mimi nimeshangaa😢😂
@mariamjuma743 Жыл бұрын
Twasubiri,,Anko j 😋 x uiachelie bas tuko ndani ya Anko j na simulizi zake tamutamu🥰
@ankojay_ Жыл бұрын
Mko tayari niiachie.?
@zenasalum3107 Жыл бұрын
Unatuchelewesha Anko j bahna😅😅
@aminah9557 Жыл бұрын
@@ankojay_ weee Anko unatani mwingi sana😂😂
@joykatakana1099 Жыл бұрын
Tuna kupenda pia anko bt huyo Mourne haja toa funzo lolote kwa wa toi wake bali n aibu tupo akwende kabxa na mchukia kwa maneno yake alio yaongea mbele ya watoi wake tena wakubwa ghaiiii naona aibu 😂😂
@kisaagustino3278 Жыл бұрын
@@joykatakana1099 yaan nifezeha tupu nibora angenyamaza tuu
@StellaMalando2 ай бұрын
Duuuh jamn lazima awaambie kilicho kipitia ili wajuwe mama yao alipitia nini..
@fatumajumanne5961 Жыл бұрын
❤❤❤
@catewanjiru53787 ай бұрын
Jamani ss wazazi twafanya watoto wetu wapitie maisha mangumu sana ee mungu wasaidie madem wanao pitia maisha kama aya anko zidi kutupa fuzo nzuri kama hivi bt tamaa mbaya 😢😢
@RahelIbrahim-id2li5 ай бұрын
Daaaaah,nashindwa hata nicomment nn
@RahelIbrahim-id2li5 ай бұрын
Duuuuh,huyu mam alikuwa mziki mwingine kbs,ktk simuliz zote za anko j alizosimulia hii ,,huyu mam alikuwa chuma kingine kwa umafia na huo uchangudoa kweli watoto mlipata mama
@QueenElizabethmamyАй бұрын
,😂😂😂😂😂
@ruthwaithera2650 Жыл бұрын
STRENGH OF A WOMAN.Things women go though for the sake of their children.waoh moureen for the courage to tell your children the truth that set you free.happy happy life in you marriage.
@MaSI-p5oКүн бұрын
Yani we anko jay kwa hali hii haki umechemsha,mama wwngine niwazimu kabisa.
@nadrasalum6039 Жыл бұрын
Daah Mungu tusamehe😢😢 makosa yetu na utusaindie wanawake wote duniani
@racheluwda65529 ай бұрын
Mama ni mama hatakama ni yko vip😢😢😢❤❤❤from Kenya 🇰🇪🇰🇪
@HuaweiY-wx7we Жыл бұрын
Mmh Ila Moroni haina maana ya kueleza vyote hivyo kwan angesema ya muhimu tu wale ni watto
@rizikinyamz3383 Жыл бұрын
Much love from this side🇰🇪🇰🇪 tunajifunza mengi big up🥰🥰🥰
@nurafedrick378 Жыл бұрын
Sikuzote ukweli huacha mtu huru mnaosema asingewaambia hapana bora awaambie tuu waumie wajue mamayao maisha waliolelewaa
@NeemaNeem-ex2oi2 ай бұрын
huyu mama atakua hana akili timamu hawezi kuwahadisia watoto mambo kama haya
@AdmiringGrazingCows-im1kh2 ай бұрын
Hata kama ba to balimushitukiza haikuwa bien kusema iile maneno
@rizikih689823 күн бұрын
Hauna aibu kusemulia watoto Mimi siwezi
@VeronikaJerome26 күн бұрын
Simu tamu sana Ina fundisha visuri sana
@AdmiringGrazingCows-im1kh2 ай бұрын
Haikuwa bien kubasimuliya batoto
@RoseMbuya-cn5dg6 ай бұрын
Kuna wazazi wengine hawanaga Siri kwa watoto wao
@khadija.kkhadija.k78857 ай бұрын
Mmh ww mama atari iyo sio stori yakuwapa watoto
@reachelchemtai2604 Жыл бұрын
Laana kali Sana kutoka kwa wazizi kuhuwa watu maisha hiziyo pendaza watu na mungu asende anko I
@rachypsalms2869 Жыл бұрын
Much ❤love Anko, for beautiful stories and educative lessons,
@ankojay_ Жыл бұрын
Thank you
@HafashimanaDorine4 ай бұрын
Pole sana
@janethdaud201 Жыл бұрын
Kweli morine maisha ni msumeno,hukata huku na huku .Anko asante kwa simulizi.💅
@avelinabaluhya2804 Жыл бұрын
Mh! kiukweli unapoonesha mwenzako kidole kimoja vitatu vinakurudia mwenyewe,huyu baba Moreen ana mambo
@ankojay_ Жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@EpimackChami-g2f6 ай бұрын
Iv uyo mama afai ata kuwa kwenye ii dunia afe2
@MamakeJanetuser-ds8sz1mw4r6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 kumbe tuko wengi wa marudio 😅😅😅
@Mopao17 Жыл бұрын
Mmmhhhh jamani huyu mama hakutakiwa kabisa kusimulia watoto maneno mengine makali uwiiiii
@ankojay_ Жыл бұрын
Kweli kabisa 👍
@fetreshazKhamisi8 ай бұрын
❤❤❤❤❤🔥🔥🔥
@Pretty22750 Жыл бұрын
Shukran sana mr Jay we still having a good lesson day by day through all your stories much love 😘😘
@ankojay_ Жыл бұрын
Thank you so much
@anastaziasanga Жыл бұрын
Jamani Leo nimechelewa🤔🤔🤔
@ZaiZainabu-o4p3 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉
@dashuushu6883 Жыл бұрын
❤❤❤❤
@AminaChazy Жыл бұрын
❤❤❤
@hijamwinyi3233 Жыл бұрын
Huyo mzee ni mtu mzima kisheti
@avelinabaluhya2804 Жыл бұрын
Asante sana
@rehemacharlesmasingija7470 Жыл бұрын
Nimeisubiri kwa hamu sana hatimaye 🇸🇪
@ataamansi8941 Жыл бұрын
Anko Jay hii nakupongeza ina uhalisia si mambo ya kufikirika,👏 duu sasa umeanza KUWA makini katika story, pia sauti yako katika usimuliaji ni kipaji cha kutufanya tufurahie 👍
@ankojay_ Жыл бұрын
Ahsante
@saumukambi8562 Жыл бұрын
@@ankojay_ asny sanaa Imenitoa machozi❤
@sparkbingabon3312 Жыл бұрын
Sie wa Congo ndo tuna sema mzigo ukiwa mzito lazima utuweee kweny kinyesi kwaiyo iyo adithi ya uyo mom ili mzidi uzito ndo aka hamua kusema kwa wanae
@Mopao17 Жыл бұрын
Mmmhhhh jamani huyu mama hakutakiwa kabisa kusimulia watoto maneno mengine makali uwiiiii
@sabinamasangwa293 Жыл бұрын
Asantee sana anko mungu akuzidishie kipaji chako hicho Zaid na zaidi🙏🙏🙏
@uwimanalidiascheilla3256 Жыл бұрын
Woow Leo nimewahi😅😅haya acha tusikiliz surprise ya anko jay na Lisa mwala
@binthassan9191 Жыл бұрын
Tunaisubiria kwa hamu,, Asante anko jay kwa burudani maridhawa tunaenjoy mno
@Winniequinepretty-wm7rr Жыл бұрын
thank you anko jay for the good narration i really learned
@mercymusundi8779 Жыл бұрын
🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑
@nawmijdodk733 Жыл бұрын
Shukran sana kwa muendelozo🙏🙏🙏🙏
@dayanaamoit6951 Жыл бұрын
Safi Sana Anko J, simulizi nzuri sana ina mafunzo mengi sana👏
@halimahaji3856 Жыл бұрын
Tupo kumalizia big surprise, na anko jay
@رحيمةتنزانيا Жыл бұрын
Nimeumia sana😢😢😢😢😢😢
@williammukhwana8905 Жыл бұрын
Nimejifunzi mengi sana bro
@hijamwinyi3233 Жыл бұрын
Anko jay unajua vittu vingi
@hawasaid2670 Жыл бұрын
nimeumia sana 😭😭😭😭😭😭
@shantellekwamboka7444 Жыл бұрын
Finally, Amudulillah am d first
@sabinamasangwa293 Жыл бұрын
Asanteee anko pamoja sanaa
@anthobarengeke3200 Жыл бұрын
Mama alienda mbali saaaaaaana kwa maelezo yeye nawanae. Asingefika huko Kate nakuchimba mpaka huko.