Mara baada ya hapo, familia nzima ya Wanjiku ikawa na shughuli nyingi!
Пікірлер: 296
@violetmulya3 ай бұрын
Kenny amefanya nikamkumbuka hensi WA Alvin yupo wapi jameni😢 then having a friend like alvin is just a blessing i love the way he is protecting chestar❤
@lilianeerica33183 ай бұрын
Hans yupo amekuwa mwenyekiti wa K.M.International
@violetmulya3 ай бұрын
@@lilianeerica3318 ni muda umepita bila kutajwa, alafu kipenzi changu Jacky yupo hai ni furaha ilioje🥰
@FatumaRamadan.Mwalim3 ай бұрын
@@violetmulyaAlhamdhulilah
@TeklaNdekeja3 ай бұрын
❤❤❤ as ant ankojy familia muko poa tunaendelea piteni namimi niko apa tim kipori uhondo tayali tunahondomola jack kimaro karud tumpongeze kwa makofi👏👏 tunetena furaha tele acha tuhondooo km tuko pamoja gonga nakwangu tuungane🌹🌹 🏃
@Anzazinyanje-bz6xb3 ай бұрын
Anko mungu akupe chenye unataka uzima na maisha marefu tuzidi kufurahia kazi zako
@FatumaRamadan.Mwalim3 ай бұрын
Amin
@MarimGodifrey3 ай бұрын
Amina
@Lucy-vp8pm3 ай бұрын
Hodi hodi wana familiya ya ankoj nawapungia mkono ndo naingia ❤❤❤❤kwako ankoj wale tuna penda ankoj simulizi gonga like hapa
@sadatsadiq51833 ай бұрын
🎉❤
@Shadia5443 ай бұрын
Eid mubaraqa WANAFAMILIYA wezangu nilikuwa naisubili hapa kila muda nachungulia haya wangapi WAMEBOEKA kumkosa LISA LIKE 10 ✌️
@FatmaMohammed-eo6qd3 ай бұрын
Takabal Allahu waminkum
@azzocirty3063 ай бұрын
IDD MUBARAK TOO
@MuzznaMo123 ай бұрын
tupo
@saodashabani26523 ай бұрын
Tagqba Allah waminkum
@Ukhtytifah3 ай бұрын
Taqaballa Allahu minna wa minkum
@saumukambi85623 ай бұрын
Mm nakupa bg up uishi miaka Uone vijukuu na mkuuu mmoja arithi kazi yako.❤❤❤❤❤❤
@TsfighoCjkgoyy3 ай бұрын
Eid mbarak to all Muslims ankojey mwenyezi mungu azidi kkupa nguvu na subra kwenye kzi yko pamoja na jomba wanjoo maua ynu ndio hyo 🎉🎉🎉
@FatumaRamadan.Mwalim3 ай бұрын
Mpe na haya mauwa yangu 🎉🎉🎉❤
@UmayyaNkya-ze3ri3 ай бұрын
Naingia kwa kulia😢😢😢 nimekuwa wa mwisho tena😢naomben like za kufuta machoz
@AjrasMobile-q8j3 ай бұрын
Bint lisa imerudi kua tam upya kama zamani nmefurahi Jack kua hai asante sana ankoj upewe maua yako🎉🎉
@avelinabaluhya28043 ай бұрын
Da,hakuna mtu aliyeniuma kama Jack kwa kifo chake,nililia sana,nimefurahi sana leo,sijui Alvin na mzee Tikisa watafurahi vipi 😭😭
@ZabibuHassan-ci5vz3 ай бұрын
Wee nmecheka sana et mzee tingisha
@avelinabaluhya28043 ай бұрын
@@ZabibuHassan-ci5vz 😂😂😂😂 hivi ni Tikisa eh 🤣🤣 ah samahani Zabibu
@MwanatumuJumaa-rj4fg3 ай бұрын
Kila kwenye chuki kuna msamaha jack atasamehe na atarudi kwa familia yake na vile naona mzee Tikisa anaweza rudiana na mkewe iwe familia kamili Tena❤❤ ni maoni tuu
@avelinabaluhya28043 ай бұрын
@@MwanatumuJumaa-rj4fg hata mimi naamini hilo,sababu Jack ana hasira sana sasa,hata ungekuwa wewe,ila muda unatibu,atasamehe tu yataisha
@Fathum7633 ай бұрын
😂😂😂😂tngisha
@TeklaNdekeja3 ай бұрын
Bi wanjiku we noma,achahizo c kwamdomo mchafu huo. usimzaru mtu usiemujua mwisho waubaya niaibu
@FatumaRamadan.Mwalim3 ай бұрын
😊😊😊
@peninahmmbone46483 ай бұрын
No 11 from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 with Love Asante sana Ankojay 🙏 be blessed
@OmanBahla-i5g3 ай бұрын
Nimechelewa ila tukopamoja wapenzi twende kaziii!!¡!😀😀😀♥️♥️♥️♥️♥️🔥🔥🔥🙏
@binthassan91913 ай бұрын
Wanaume kama chesta kwenye karne hii yetu ya sasa hakuna walizikwa kitambo 😂😂
@Lucy-vp8pm3 ай бұрын
Kweli kabisaa
@FatumaRamadan.Mwalim3 ай бұрын
Wanaume Malaya watesaji wanawake wadharauji wanawake wenye kibri au ni vile yuwajutia kumtesa charit je kama angekufa jela angejuta saa ngapi usimtese mtu kwasababu Kuna neno msamaa jitahid kuwa mwema Moja Kwa Moja unae mdharau siku Moja huenda akawa malikia siku Moja Dunia duwara
@binthassan91913 ай бұрын
@FatumaRamadan.Mwalim absolutely right ✅️
@yalalakashindi45943 ай бұрын
Jamani jamani hivi surprise mie hoi ❤️❤️Ankojay ubarikiwe sana , ila leo nimekuwa mwisho jaman nawaombeni like😢
iyi simulizi iko inapoteza laza jamani kama lumewona kama mimi semeni basi yani bila kivuruge kwenye simulizi hainogi wangapi mumemukumbuka rodey like apa iyani anabooo sana
@MarimGodifrey3 ай бұрын
Umeongea my Rodney anachabgamsha banah nimemmisi sana
@MamaFei-o2i3 ай бұрын
Yani apo umeongea poent daa mm mwenyew inanishocha saivii Rodney wangu nimemis lkn hata sioni dalili ya kulud apa ikifika mbk 90 Rodney hatajwi Tena naacha kusklizaa
@MamaFei-o2i3 ай бұрын
@@MarimGodifrey kbsa yani nimemss kwel Rodney
@saumunyadzua3 ай бұрын
Kabisa Rodney alifaa kua na Pamela charity na Chester lisa na Alvin wake jamani jomba wajo basi fanyaambo yako Rodney prudish akili zake
@fallymetoo1913 ай бұрын
KHERI YA EID - AL - ADHA'HA Wapenzi wasikilizaji wa Ankojay na Ankojay mwenyewe 🙏🏼
@susynjambi3 ай бұрын
Hi
@JosphineJeptanui-u4i3 ай бұрын
Jamani leo at list nimewai❤️❤️❤️ thanks Anko jay the king of simulizi
@mariam-yw3nn3 ай бұрын
Jamani watu wa viporo mpo Kama kweli wewe ni familia ya anko jay gonga like ❤
@RoseMbuya-cn5dg3 ай бұрын
Lazima charity ataolewa na Chester wangapi wananiunga mikono🙋 na like🎉🎉❤😂
@khadejarajab80073 ай бұрын
Hii ni sapries ya eddi kwa Anko jey maua yako🎉🎉🎉
@maresianazengo63173 ай бұрын
Waoo Jack wetu karudi mpaka nimelia machozi ya furaha du❤❤ sana Jack wetu
@khadijamohd57413 ай бұрын
Tulofurahi Jack kurudi tujuwane
@Lucy-vp8pm3 ай бұрын
😂😂😂😂akoj umenivunja mbavu na kicheko isee hapo kwa ubora zaidi hongera kwako
@PopoHiga3 ай бұрын
Nimeipenda hii bora zaidi Leo nimecheka bora zaidi
@priscillahsirya65443 ай бұрын
Wale tulio kisia ni jacky baada ya charity kumuona tujuane hapa kwa like❤❤❤❤❤
@SusanNeema-re3hr3 ай бұрын
Nimekua wa 8 ....anko asante sana nawe unajua kutufurahisha kweli 🎉🎉🎉
@BethMdoe3 ай бұрын
Hahahaa asee ni ubora zaid❤
@StellaMalando3 ай бұрын
Asante anko jay nimechelewa sana jamn leo hadi 🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷💐💐💐💐🌹🌹🌹🌹
@nusibamohammed39953 ай бұрын
Timu viporo jaman kujen huku nipeni like zenu❤❤❤🎉😊
@mariamsaidi16583 ай бұрын
Mzee choka ni shetani Kabisa 😢
@DorcasMuomba-gd3sw3 ай бұрын
Nikama Kelvin Moshi
@lucykarii68603 ай бұрын
Liankoj simulizi nilikubwa sana natunalipenda sana sana ❤❤❤😂
@fatimafoaani22632 ай бұрын
Nice story be blessed my wetu kipenzi ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@MargaretMuguti3 ай бұрын
Asante anko jay.......wiki imeanza vizuri kwa hii simulizi
@ruthwaithera26503 ай бұрын
❤❤❤ jack is alive🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉
@Ahmada153 ай бұрын
Kweri mama❤😅😅💃🏻💃🏻
@fatmasalum83343 ай бұрын
Dah anko umeamua jamani we ninma ubalikiwe much love❤❤❤❤🎉🎉🎉
@FatmaHaji-u9k3 ай бұрын
Ahasante kipenzi Cha wote
@NancyKwimba3 ай бұрын
Tunasikiliza kwa ubora zaidi
@MercylineKatana-h8f3 ай бұрын
Hakika nime furahia jack yuko Hai Kwa ubora zaidi😂😂😂
@elizabethfrank2713 ай бұрын
Wakwanza mim hapa you tube like zenu tafadhali 🎉🎉🎉🎉
@candidamushi-se9mb3 ай бұрын
Mambo ni boraaa zaidiii❤❤❤
@sabrinarashid79903 ай бұрын
Shukran uncle jay Mmungu akupe umri mrefu inshalah
@avelinabaluhya28043 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 ah! ila Ankojay 🤣🤣🤣
@hdhjdh7753 ай бұрын
❤❤❤❤ Asante sana Anko wetu 🎉🎉🎉
@linetkhavugwi2093 ай бұрын
Nirudishieni rodney anaikasirishe Sasa naona jack asharudi
@fatumakama87603 ай бұрын
Nakwambia nimemix mno
@MishyYusuph3 ай бұрын
Japo nimechelewa ila nimo, Ahsante sana Anko kwa muendelezo wetu huu mzuri wa bint Lisa, usisahau bado tuko pamoya, Ankoo much love ❤.
@anunalamin64723 ай бұрын
Anko bwana nimeipenda hio ya ubora zaidi nimecheka kaaa mbwa
@ankojay_3 ай бұрын
😃😃
@FatumaRamadan.Mwalim3 ай бұрын
@@ankojay_tunaomba Lisa Leo tusherehekee kumpata jack na idi pamoja please love ❤si wajua ww ni Bora zaidi twakupenda Kwa ubora wake zaidi shika mauwa yake hayo 🎉🎉🎉
@سيدا-ص1ز3 ай бұрын
Sumulizi ya lisa sasa nitamu kama zamani jamani wenzangu simunaona kabisa kwa ya leo tamu sana kwa jack kuwa hai imekuwa bora zaidi sana tu ubarikiwe musumuliaji wetu bora zaidi
@AnnaMundia-d3o3 ай бұрын
Leo nimefurahi sana Jack yuko hai ..thanks ankojay
😂😂😂😂😂😂😂halooooo k.i.m.international.....ank jay umrweza hahaaaaaa hongera
@maseleenaesleen81493 ай бұрын
Tunakaa mkao wa kusubiri sehemu ya 88 kwa ubora zaidi 😂😂😂❤❤❤
@vailethmwakipesile66983 ай бұрын
Ila uyu baba ni mbwa huyu kha!! 😂😂
@avelinabaluhya28043 ай бұрын
Tena ni mbwa mbaya asiye na akili hata tone😢😢
@Mariam55-hz8if3 ай бұрын
Anakera sana huko mbele atakuja kujuta upuuzi wake
@monia_nduwimana3 ай бұрын
Asante kwa simulizi bora zaidi😂😂😂🎉
@Loy-g2m3 ай бұрын
Alvin anapiga nyieeee 😂😂😂
@NurahMummy3 ай бұрын
😂 😂 😂 😂anapiga tena anakupiga na dharau😅😅
@Loy-g2m3 ай бұрын
😂😂😂
@elizabethkeli9563 ай бұрын
Hii inakaa nzuri zaidi ❤❤
@MwanatumuJumaa-rj4fg3 ай бұрын
Wacha tuone vita ya ndugu inaishia wapi sasa
@CarolyneWetala3 ай бұрын
Mimi pia niko kwa ubora zaidi 😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉 asante anko jay kwa ubora zaidi na. Zaidi
@nurafedrick3783 ай бұрын
Woow kumbe Jack hakufaa sasa huyo mamamkwe anamdhihaki naona atampigia saluti na hao wasichana wake..baba Chester naye akili kisoda anataka kuua mtoto anasahau mazuri anakumbuka mabayaa looo
@MariamJuma-o9z3 ай бұрын
Anko jay simulizi bora zaidi shukran sana ❤❤❤❤💯💯💯💯🔥🔥🔥🔥🔥
@annahnyansiaboka4513 ай бұрын
Aisee hii ni kali sana uyu mama atakufa akiona mwenye kiti ni chake Wai basi 88 aki
@mozabayabanda42483 ай бұрын
Asante sana Anko jay yani unatufuraisha sana ila tunataka tumuone chesta naye ❤❤❤❤❤❤
@fatumamatano82163 ай бұрын
Anko kwani ulitususia na movie mbna uleti tena saivi.
@UmayyaNkya-ze3ri3 ай бұрын
Leo anko katurudisha kulee😂😂utam utam leo tumeckia sana alivin jmn wow jack iz back😅😅🤣bado kina kelvin watarud
@emilyadhiambo45403 ай бұрын
Asante Mungu Jack wetu hajafa 🧜🧜🧜
@AbelinJoselini3 ай бұрын
Lisa kumnogile sasa......❤
@حليمةيوسف-ل9ت3 ай бұрын
Idd mubarak kakangu mzuri anko jay
@avelinabaluhya28043 ай бұрын
Bi Wanjiku na wanae hadi huruma wanavyojivua nguo mbele ya Jack 😂😂😂😂
@Ahmada153 ай бұрын
Sana waca tusubili part 88..Anko Jay tupe muzingo
@مريمكينيا-ش8ح3 ай бұрын
Hatari
@speciozamikole21943 ай бұрын
Ubora zaidi😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤
@Sidrasidra6363 ай бұрын
Kwakweli hi 87 iko kwenye ubora zaidi sio zile za Ian na Pamela
@NsimireMurumbi3 ай бұрын
Part za Ian na Pamela zilikuwa ziri sana, nilikuwa nazipenda sana🎉🎉🎉
@MamahetuChikuti-mp5lj3 ай бұрын
Yap part za Alvin na Lissa pamoja na hii zanoga sana Kwa kweli Anko ubarikiwe sana Kwa kweli
@ZuwenaIsmail-vb4md3 ай бұрын
😮HATA miye na sikiliza ktk ubora zaidi /nainjoy ktk Ubora zaid die nafurahishwa ktk ubora zaidi 😂😂😂😂😂😂😂bye bye 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ZaiZainabu-o4p3 ай бұрын
Ancojey niseme asante sana
@monicahndirangu67643 ай бұрын
EID MUBARAK ankojay family
@happyalberto89033 ай бұрын
Waoooooh jack is back❤️❤️❤️
@salmazwallo59203 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 hafu ckuu ya mkutano atokee Jackson kwenye ubora zaidi😂😂😂 cpati pichaa watakavoshuka kwenye ubora zaidi😂
@Madameochu3 ай бұрын
Asante anko jay 🎉🎉
@donaldchacha3 ай бұрын
Sehemu ya. Gerald na Jacky inafanana na kisa Fulani kwenye story Fulani nilisoma kwenye kitabu fulani
@elizabethkatoko88673 ай бұрын
kuchelewa ndio kawaida yangu tu aki
@Holiness-to3wp3 ай бұрын
Duuu nani amefurahia kuwa Jack yuko hai iseee hii ni tamu sana je bi wanjiko atalichukuliaje hili kuwa mtu mwenye walikuwa wakindharau ndie mwenyeketi wa k m I???mambo yanizudi kuwa motooooo
@felistahaule67893 ай бұрын
Hakika tunaenderea kuinjoi simlizi ni pambe
@MaryamOthman-i5y3 ай бұрын
Eidy mubaraka wana family ya ankojay
@agnesagnes52883 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@Ahmada153 ай бұрын
💪💪💪💪Jack amerudi🥰🥰
@Janetkamwangi3 ай бұрын
Li anko Jay simulizi
@EstarFredy3 ай бұрын
Ubora zaidi
@nyamvulafatuma53833 ай бұрын
Tupo timu viporo 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@susansamira81373 ай бұрын
Mambo poa kabisa kaka Ankojay vipi na wewe mzima ❤❤❤❤
@MariahMariahmambo3 ай бұрын
😂😂😂😂🎉🎉🎉 ubora zaidi asante Anko jay 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
@khadija.kkhadija.k78853 ай бұрын
Maskini chestr mungu wasaidie awa wawhili
@wertqwe83263 ай бұрын
Jamani anko jay nasubiria huo utambulishachi wa mweyekiti ambaye anaambiwa nimchafu na nitakataka duuuuuuh patamu hapo
@lucyjohn13423 ай бұрын
🤗😁👏👏👏👏 asantee
@YonasKessy3 ай бұрын
Aante ankoj ❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@victoriangasa3 ай бұрын
Msikilizaji na msoma comment ndo anaingia kiustarabu bila kukanyagana💃💃😢😂😂❤🎉
@FatumaRamadan.Mwalim3 ай бұрын
Mm ndio nafika sahii mdogo mdogo bila tabu na mtumm mpenda amani❤