ASANTENI WOTE KWA SUPPORT YENU NAOMBA USISAHAU KUSHARE 🙏🙏🙏
@ClovisDusabe-xl7mv4 ай бұрын
I like your own style kutoka Burundi🇧🇮🇧🇮🌺🎯🎉🎉🎉your sound kill me all days❤❤❤
@appytz4 ай бұрын
@@ClovisDusabe-xl7mv Thank you so much truly appreciate your support
@NjokiNyawira-d9d4 ай бұрын
Love you 💞 your voice
@lwanzonarcisse4 ай бұрын
Bi Appy una niuwanga sana kwa nyimbo zako Tena sana kabisa Mziki wako una ni fanya Crazy You are my super music lover I swear
@NeemaJuma-xn9nw4 ай бұрын
Kushare nini mamaaa?
@essaumachibula90124 ай бұрын
Kalamu yako ni nzuri sana mdogo wangu naomba wino usiishie please!, kichwa chako kina madini mengi mno, hiyo sauti yako sasa itoshe kusema kipaji unacho. keep it burning aseee......
@MagidaFafa4 ай бұрын
Wasani wanafki sana uyu demu anakipaji sana ila kwenye tamasha nyingi aitwi apewi kolabo ila kwanguvu yamungu anatobowa kwakweli sotalended iki nizaidi yakipaji siyo kwasauti iyo bonge lamsani axe ongera dada unajua mpaka unakera🔥🔥🔥🔥
CROWN MEDIA IMENIFIKISHA HAPA.. BIG UP “THE THRONE”
@praygodsamwel44124 ай бұрын
Tunataka goma moja la kibabe la kucheza,,yani romantic dancing,,,ninauwakika utapata dancing challenges za kutosha...iyo ni idea mpya tuu,tunatamani kukuona unatikisa hadi kwenye dancing songs, listening songs and emotional songs....I love you appy mm ni shabik yako namba 1❤❤❤
So much love from Kenya.Never mind your underestimaters,we love you.Keep on winning.
@titus_maridhia4 ай бұрын
Huu wimbo wakiujua watatutag sana
@berlcanny80064 ай бұрын
Walai😂😂😂
@NeemaJohn-z8v4 ай бұрын
kontawa hapana😂😂labla mr nice
@evelynmartin83694 ай бұрын
😂😂😂
@Boog_p4 ай бұрын
The voice, woow🥰.. love your songs❤ keep it up
@appytz4 ай бұрын
🙏🙏🙏
@gandhiblack2110Ай бұрын
Very unique style sauti nzuri wimbo mzuri
@esthermatisho26042 ай бұрын
Waoooo,bila The Junction Show nisinge discovered AppyTz. So talented girl,unique voice and beautiful pia 🔥 kila la kheri 😍
@irankundafalidajolie54994 ай бұрын
Ila Maa unasauti kabisa we number 1🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👏👏👏👏👏👏👏👌👌👌👌👌
@appytz4 ай бұрын
🙏🙏🙏
@mdkkomba54034 ай бұрын
Dada uko pouwa Sana mzik unajua kwakweli na aidia unazo 🔥👏👏
@MusaJoel-fc4bk4 ай бұрын
Moto mwinginee teena 🔥🔥🔥 uzidi kubarikiwa appy💪
@appytz4 ай бұрын
Amina 🙏🙏🙏
@praygodsamwel44124 ай бұрын
I really appreciate uuu appy...umeshawavuka hao wakina nandi,wewe ni Star ⭐ nyimbo zako zinaelimisha sanaaaa, keep going Mom 🎉🎉🎉
@bivugiremwanaidi4 ай бұрын
Mungu azidi kukupa nguvu sauti yko iko vzri❤
@abubakarmusa19124 ай бұрын
You've got a new follower. Much love from kenya. Your voice is angelic. So unique . Laiti ungejua venye nafuatilia your music, ungenifuatilia pia😅. Mshindi still hits me everyday. Wewe ni bonga la star😊
@appytz4 ай бұрын
Wow thank you so much keep supporting good music🙏🙏🙏
@Ngurenjoroge4 ай бұрын
What a nice song,... shoutout frm kenya... i love you Tz
@appytz4 ай бұрын
❤❤❤
@jessicarachier6887Ай бұрын
I'm in love with Appy. You have a beautiful voice.... I love every song ❤❤❤
@EdwinAthanas-yj7my4 ай бұрын
Kipaji kizuri pambana we ni mwimbaji mzuri Mungu akupe ujasiri tele
@appytz4 ай бұрын
🙏🙏🙏
@IssackMmtule3 күн бұрын
Ujumbe mkali sana usi chenji mashairi ukifanikiwa
@hanceironfurnitureog62523 ай бұрын
Nasfi,sikio na moyo,vinapokea saut nzur toka kwako,nakubal kazi zako asee
appy eeh asee unajua hadi unakelaaaaa chukua maua yako momy soon mi pia naomba kollabo 🙏🙏
@BizeddOfficial3 ай бұрын
Unamaokoto? Ya kulipa management?
@AugustKisaka-qy7kl4 ай бұрын
Mpendwa wangu niamɓe shoo unafanyia wapi nakuelewa sana dada wa shoka
@alfredlaurent17284 ай бұрын
One of my favourite artist Appy
@appytz4 ай бұрын
😍😍😍
@noreentuheri69864 ай бұрын
I love the fact you put the Bible Verse in this.. thanks for the message Appy ❤ and amazing music.
@appytz4 ай бұрын
Thank you so much Sis
@chale0ify4 ай бұрын
Mm kma kijana wa kitanzania imenigusa maana hata huyu niliyenae sijui LINI ntamuoa 😮
@BizeddOfficial3 ай бұрын
Haha kweli
@user-eg1pk1sw4j4 ай бұрын
Speechless,may God bless appy for a gud music take your 🎉🎉🎉🎉
@GloryMalisa-f8m4 ай бұрын
ifike mahali ao wasanii wenzako wajifunze kutoka kwako maana kunamagoma mwanzo mwisho amna cha manaa...big up ..ngoma kali
@appytz4 ай бұрын
🙏🙏🙏
@nicken32504 ай бұрын
Aisee we dadaa...❤❤❤❤💥💥💥🔥🔥🔥🔥🔥
@appytz4 ай бұрын
🙏🙏🙏
@lucamartin65844 ай бұрын
Subiri kidogo, just a moment najipanga kwanza nataka nikikuoa niwe na maisha mazuri, nyumba na gari mtt mzuri usiteseke keep on loving me usichoke. I was thinking out loud. Bonge la Song as always unajua unachofanya big up.
@sarunikutukai16564 ай бұрын
Your voice🥰🥰ooh my.. lots of love🇰🇪🇰🇪
@seur_ke32864 ай бұрын
@Appy you been a motivation since "watu feki" and you were an angel send to me during my hard times of depression I pray to God that he takes you where you want to be Lots 💝 of love from +254
@mohdkhalifa88284 ай бұрын
Appy nakupenda bure bure speciol sound haufanan
@appytz4 ай бұрын
🙏🙏🙏
@alexmahenge94084 ай бұрын
Style yako ya kuchana inanikosha sana Appy
@josephatSwai4 ай бұрын
Nakubali kibaji Atari sana wakupa nafac kidogo wameisha wapi king's musc uyo dada atar vip midia zetu azionii jamani kweli hii Africa ni nomaaa
@ShafiiMbande4 ай бұрын
Anajua sana, uyu
@KAIYAN_STAR4 ай бұрын
Kazi nzuri Ila ubadilike utuletee Nyimbo za furaha pia 😊
@appytz4 ай бұрын
🤔🤔🤔
@frankjames90314 ай бұрын
@@appytz Hapana keep it up, be different from the rest, ujumbe huu ni maalum kwa watu wengi wasiojua hatma yao katika mahusiano ... ni wengin sana. ubarikiwe
@gajalugano68084 ай бұрын
We mchuchu ni nomaa Sana we level zingine sema support zetu zitakufikisha mbalii Sana your are so talented baby Appy
@InnocentJoseph-mi9nd4 ай бұрын
😂😂 lini utaniiiio🎉🎉
@shyneafya24684 ай бұрын
Yan ni unajua Sanaa APPY VOCALIST IKO JUU SANA NA UNA IDEA TOFAUTI SANA CONGRATULATIONS TO YOU MADAM
@nathanboy26174 ай бұрын
Mziki wako mzurii sanaa🎉
@appytz4 ай бұрын
😍😍😍
@amosdesdery84824 ай бұрын
Appy unajua mpaka Basi Ani haichoki kusikiliza played it more than 20times before I had to download it waoooooooh......big message in a simple relaxed presentation .....big up 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹 love you much Appytz
@IsdoryJohn-tt8md4 ай бұрын
Uko vizur Sana dada. apy music
@MadimonsMsera4 ай бұрын
Ntakuoa jpo sin maokoto nakukubali San appy😊😊😊😊🎉🎉🎉🎉
@Vj_Tally_474 ай бұрын
Big up Ghee 💯💪 Apply Tz 🙏well Represented
@appytz4 ай бұрын
🙏🙏🙏
@innogladson88694 ай бұрын
bado najipanga aisee. ngoma nzuri kiukweli
@shabaninayopa-nw9cf4 ай бұрын
Much respect Happy 100% upo vzr
@appytz4 ай бұрын
❤❤❤
@davidmwambebhule87334 ай бұрын
Unajua sana Happy ❤❤❤
@appytz4 ай бұрын
🙏🙏🙏
@challychaimah51234 ай бұрын
You made it always tangu nianze kusikiliza mziki wako kiukweli unajua sana hii game ni yako una kila kitu nakuona mbali zaidi ktk mziki wako
@becampayage26434 ай бұрын
🔥🔥 stamina au lunya katika remix hapo kutetea WA kiume
@telvinmwore247428 күн бұрын
napenda ngoma zako❤️💯
@arnoldalphonce68774 ай бұрын
My favorite artist all the time your the best keep pushing
@appytz4 ай бұрын
🙏🙏🙏
@sinklay-roxy4 ай бұрын
Huyu hapa fan kutoka kenya,, Tunakupenda Appy🎉🎉
@appytz4 ай бұрын
Thank you so much💌
@princesumary73564 ай бұрын
Amazing voice❤❤❤ I like it!!!
@Dartich4 ай бұрын
Pure class. U hold yourself with such dignity & grace...simply stunning elegance of your vocals & perfect production💯👏🏼👏🏼👏🏼 Becka...Real Definition Music 🎶 🇬🇧
@bowattanga7 күн бұрын
motooooooooo sana!!!
@sixneym10683 ай бұрын
That singing style, hainichoshagi, that's Uniq, in NAMUACHIA MUNGU umekill aisee, am your fan, I love you
@khaloiyse4 ай бұрын
I really like your voice, am watching your good song from Zambia 🇿🇲🇿🇲
@cellestinelucas1654 ай бұрын
wimbo mkali madamu ila hapo sauti ya kiume ingeingia ingekuwa poa sana ❤
@sunsol47784 ай бұрын
How bad i want to see her perform live she's a real deal appy tz
Why is Appy being underrated,.It's Epic song though
@appytz4 ай бұрын
❤❤❤
@AmazingWars4 ай бұрын
naomba wimbo usikatwe ila aingie kontawa au stamina atutetee sisi wanaume kwa nini huwa inatokea hivi.. ila ni bonge la nyimbo, kali kuliko zote nilizosikia. melody kali
@lavishboy36724 ай бұрын
She's got a Melodic voice 😍
@appytz4 ай бұрын
🙏🙏🙏
@HappyAstronomicalModel-rl7un4 ай бұрын
Kuna hii verse kwa wimbo yako" kwa sababu ya changamoto ya maisha nikawa single mam" please jina ya wimbo
@appytz4 ай бұрын
wanawake moto
@alfrededwin64794 ай бұрын
Fredy na. Appy since day one🎉🎉🎉❤
@appytz4 ай бұрын
🙏🙏🙏
@shebbybrain93464 ай бұрын
Kwangu mimi hii ni ngoma kubwa Duniani 🎉
@NeemaJohn-z8v4 ай бұрын
Kontawa hapana😂😂labla mista nice
@VamosChape74 ай бұрын
Godsent❤
@augustinojohn94814 ай бұрын
Tuko pamoja ❤❤❤
@IlungaMaliki-rs3fp4 ай бұрын
vizur sana ❤❤❤
@talentshow20243 ай бұрын
Kweli we like the way unapresent uafrika wetu
@hopspaulvink66254 ай бұрын
Una Faa sana Appy
@Gersah4 ай бұрын
Goooo Appy ❤❤❤
@setiaeiloontubu5604 ай бұрын
Damn!!!!!!❤❤❤❤❤i love it
@pc_boy4264 ай бұрын
🔥🙌❤🎹 congratulations Sister #Appy
@LilUzi-uc9dc4 ай бұрын
Obsessed 😭
@Adolphine124 ай бұрын
Your voice is everything to me dada❤️🤭
@appytz4 ай бұрын
Wow thank you Love💌
@mtindaog93004 ай бұрын
Kubabakeeee what a songggggghg
@thelonewolf44294 ай бұрын
Apparently East Africans we don’t know good music, see, this lady deserves more recognition,attention for she got an incredible talent 😊
@appytz4 ай бұрын
🙏🙏🙏
@zotto_boy4 ай бұрын
kazi nzurii sana ❤🔥🔥
@One_5_l4 ай бұрын
nakubali sauti na melody zako
@appytz4 ай бұрын
😍
@amedeusfredrick16144 ай бұрын
Fave
@browsekidcleymmo4 ай бұрын
Wow..nmechelewa sana but appy you're de best ever ...vibes zijawai ona buana ..Tamu saana
@topgrademukishiboy81764 ай бұрын
Force a toi ma meilleure JM l'énergie que tu dégage 🔥🔥🔥💪
@einsteinmboje47304 ай бұрын
1.Zuchu 2.Nandy 3.Appy (Na Anakuja Kwa Kasi Saana Nandy Ajiangalie)
@sunsol47784 ай бұрын
Phina
@jahonetz32604 ай бұрын
Yah phina
@jay_stinoh4 ай бұрын
The voice🔥🔥🔥🔥🔥
@appytz4 ай бұрын
🙏🙏🙏
@jay_stinoh4 ай бұрын
@@appytzI wish you all the best. My mom loves you so much.😂😂❤❤
@kenzo-jungle91334 ай бұрын
NICE ONE ❤❤❤❤
@lexlister1Ай бұрын
This lady has such a very unique voice damn wow I love it love from Qatar ❤