JINSI YA KUPIKA PIZZA -KISWAHILI

  Рет қаралды 531,519

Aroma Of Zanzibar & Beyond

Aroma Of Zanzibar & Beyond

Күн бұрын

Sosi ya pizza
Mahitaji
Mkebe mmoja wa nyanya 280z/794 gms
Nyanya za kawaida mbichi kiasi gram 800
Vitunguu thom kiasi chem 4/5
Mafuta ya halizeti vinjiko 2 vikubwa
Sukari kijiko 1 kikubwa au zaidi
Chumvi kijiko 1 kidogo
Pilipili mannga 1/2 kijiko kidogo
majani ya zaatari/saatari makavu na mabichi kama utapenda
Kwa Unga wa pizza
Unga wa ngano vikombe 3 1/2 - 437gm
Maji ya vuguvugu kikombe 1 - 250ml
Sukari vijiko 2 vikubwa
Chumvi kijiko 1 kidogo
Hamira vijiko 2 1/2 vidogo ( gms 7)
Mafuta ya halizeti vijiko 2 vikubwa
OKA PIZZA MARA YA KWANZA MOTO 400F/260C kwa dakika 5 , halafu endeles kwa dakika 7/8
Jinsi ya kupika nyanya mbichi (blanching) • How to Blanch Tomatoes

Пікірлер: 439
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
FOR ENGLISH VERSION PLEASE PRESS THIS LINK kzbin.info/www/bejne/oJK5oaF3i7iMebM
@MariamsLifestyle
@MariamsLifestyle 7 жыл бұрын
Aroma of Zanzibar mashaallah dada upo vizuri kwenye mapishi,imekolea cheese hadi raha
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Ahsante sana lakini nyie wataliani mnaniua kwa vyakula vizuri,
@ashraflema7297
@ashraflema7297 7 жыл бұрын
Wawooooo...asantee dada nataman kukutembelea siku moja...Ila kwa sas niko dubai nikija tnz nitakutafuta
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Ahsante sana lakini mie sipo TZ nipo America
@metalcombat4470
@metalcombat4470 7 жыл бұрын
Uyoga!
@princesssalmahtz4531
@princesssalmahtz4531 5 жыл бұрын
Wazanzibar kwa mapishi 😋😋😋 mashaallah adi huku Omani wanasifu vyakula vya zanji
@khalfanmbarouk112
@khalfanmbarouk112 4 жыл бұрын
Princess Salmah Tz sana nam ni mmoja wapo ninatamba na mapishi ya aroma of zanzibar napenda sana kufatilia hivi vipindi Mashaallah zanzibar one
@joycemapunda1428
@joycemapunda1428 6 жыл бұрын
nakupenda dada, unafundisha vizur mpaka mtu anaelewa big up to uuu
@sophiakasim5153
@sophiakasim5153 5 жыл бұрын
Sanaaaa she's really a good teacher
@mozzahbadruu1713
@mozzahbadruu1713 4 жыл бұрын
Nam
@asabalabdalla1111
@asabalabdalla1111 4 жыл бұрын
nimechelewa kuona hii rec,but it made me crazy , im salivating mhh masha Allah shukriyaaa
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 4 жыл бұрын
Pole sana, lakini better late than never
@asabalabdalla1111
@asabalabdalla1111 4 жыл бұрын
Asante habibty,nimependa sna
@ابوعشر
@ابوعشر 6 жыл бұрын
Mashaallah mapishi yako mazuri sana ndio tunapenda sisi wa omani mungu akupe afya
@faulatafahmi7733
@faulatafahmi7733 5 жыл бұрын
Pizza Maasha'Allah yaani u r inspire me...siagizi tena nje...unafanya inaonekana rahisi kufanya..najaribu In Shaa Allah..yaani.wewe ni mpishi and half Maasha'Allah
@rahimasaid4702
@rahimasaid4702 3 жыл бұрын
Shukran sana جزاكم الله خيرا و احسن الجزء
@mrstwalib5751
@mrstwalib5751 2 жыл бұрын
Aroma mashallah vyakula vyako vizuriii you are the best wallahi ❤❤❤
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 2 жыл бұрын
Shukran 🙏🏽😘🌹
@kamutua6376
@kamutua6376 5 жыл бұрын
Tamu sana yaano hata sijaonja. Asante sana kwa muonyesho mzuri nitajaribu hii yako naona itakua sawa
@abinarisy1080
@abinarisy1080 5 жыл бұрын
Kwa hayo majina ya viungo umeniacha!. Huku bara hivyo viungo vya kitaliano tutavipata kweli.Ila kiukweli cjawahi kula pizza,nitajaribu cku moja.ahsante kwa muongozo.
@sallyfahmy2139
@sallyfahmy2139 4 жыл бұрын
Assalam aleikum warahmatullah wabarakatuh. Jamany we dada nakupenda snaaa. Jikon kwangu unanisaidia sana . MashaAllah nashukur, mungu akubariki❤❤❤
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 4 жыл бұрын
Aleikum Musalaam, ahsante sana kwa support
@mozzahbadruu1713
@mozzahbadruu1713 4 жыл бұрын
Thanks so much without your support I would have been lost ( without this video) shukran
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 4 жыл бұрын
Glad I could help, thank you for your support
@shamisabokor3990
@shamisabokor3990 3 жыл бұрын
@@aromaofzanzibar amfromlondonamverypleasedtoseeyourcookerylessenoihavetoseeaverytimeweeldone
@lmmaculatetoto3957
@lmmaculatetoto3957 5 жыл бұрын
Nakupenda Sana dada nimejifudisha mengi kutokana na mafudisho yako yaupishi nimetayarisha Leo naimetokea vizuri Sana thank you dear mungu akuongezee nguvu mingi hongera Sana
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 5 жыл бұрын
Amin, ahsante sana. Nashkuru
@parisz
@parisz 7 жыл бұрын
Shikamoo, mama. Your Kiswahili is absolutely beautiful, so pure Mashallah.
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Ahsante sana dear
@fartumahmed7862
@fartumahmed7862 7 жыл бұрын
Ma shaa Allaah.nimeipenda pizza.ukhty Aroma .shukran Allaah yaatikil Afyah.
@mariama1490
@mariama1490 7 жыл бұрын
Shukran habibty, nimefurahi Kwa mapishi ya pizza nitajaribu in shaa Allah, Allah akufanyie wepesi na akutilie barka ktk kazi yako.
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Shukran dear, Amin kwetu sote
@husnamohad2158
@husnamohad2158 Жыл бұрын
Nimependa jins ya kupika pizza asante
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar Жыл бұрын
Shukran
@mommywarda5529
@mommywarda5529 7 жыл бұрын
Aromaa of zanzibar mabrouk napenda sana kutizama mapishi natamani nipike lakini siwezi nashindwa kwa maradhi tu nilijaribu kalmati zashira siku moja shape kutowa zikatoka vibaya basi mtoto alionja akanambia mama nimeshiba hakutaka tena kuzila etii shape zatisha jamaani nabakia kuchekaa lakini texture ilitokea nzuri basi sasa nawengine tuchekeni sote loh alhamdillah thanks alot sistet
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Ahsante sana for your support x pole sana kwa misuko suko ya kaimati lol, kweli umenichekesha. It takes time to get them into nice shape at least umejaribu
@mwanahalimamwachili9679
@mwanahalimamwachili9679 5 жыл бұрын
Shukran sana Hongera sana kwa Mapishi bora barikiwa.
@marrymakando3696
@marrymakando3696 7 жыл бұрын
ahsante sana kwa kutufundisha jinsi ya kupika napenda sana kanuni zako za mapishi na unavyo pika
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Ahsante sana
@najatmrang4634
@najatmrang4634 6 жыл бұрын
mashaal 👍
@ruwaidaubwa7263
@ruwaidaubwa7263 5 жыл бұрын
I like
@shemelaruhinda6113
@shemelaruhinda6113 6 жыл бұрын
Asante Dada kwa upishi mzuri na pia kwa mafundisho mazuri. Pia nomejifunza zaidi
@shukranjulius7310
@shukranjulius7310 6 жыл бұрын
Nilikosea Mandi ya ng'ombe,dada natamani niwempishi mzuri,mungu akujalie kila lenyekher
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 жыл бұрын
Inshallah nitajitahidi nilete haraka
@nasekilemwaisaka7813
@nasekilemwaisaka7813 6 жыл бұрын
Napenda mapishi yko cku nikijua kupika vitu hv mume wng atafurah sana
@suzybultazary950
@suzybultazary950 6 жыл бұрын
mashaallah mashaallah mapishi ya pizza nimependa mno mie napenda sana piza
@tunuabuu6569
@tunuabuu6569 7 жыл бұрын
Mashallah...u inspire many...may Allah continue to give u good health tuzidi kufaidika zaidi
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Ahsnate, shukran and Min kwetu sote dear
@hawaabubakar2619
@hawaabubakar2619 6 жыл бұрын
Ma Sha Allah Hongera kwamafunzo shukran ya habibty
@moshiibrahim1490
@moshiibrahim1490 4 жыл бұрын
Wooow my best friend nimekumiss mnooo wallah leo km nimebahatika vile napenda sana jins unavyoelekeza mapishi asante kwa kutumegea ulichojaaliwa'
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 4 жыл бұрын
Nashkuru sana
@fatmaally2196
@fatmaally2196 4 жыл бұрын
MashaAllah, i just love what you do, you have been blessed with gifted hands...
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 4 жыл бұрын
Thanks
@papaajrrm7360
@papaajrrm7360 7 жыл бұрын
i love cooking and your channel has really helped me a lot thank you Allahu bariq
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Thank you Nasser, I am glad I could help. Amin
@linguafranca2923
@linguafranca2923 7 жыл бұрын
mashallah I tried your recipe imetokea just right.Normally my dough hua dry but this was soft hata siku ya pili haiku kauka kua mgumu.Though nime badilisha kidogo recipe by adding a few things.Shukran and may you be blessed
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Awesome, good to know that it worked well with you. I always encourage people to add their own twist to the recipe just use the base. Thanks for taking time to share your feedback. Have a wonderful weekend
@shamimabdullah5118
@shamimabdullah5118 7 жыл бұрын
Asalamu aleykum warahmatulahi wabarakatu mashaaAllah ajaaabbb na mimi nataka😍shukraan kwa kutuilimisha Allah akujaaze kheri amiin
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Aleikum Musalaam, Amin kwetu sote
@suleimanali4653
@suleimanali4653 5 жыл бұрын
Muviza.chakor
@suleimanali4653
@suleimanali4653 5 жыл бұрын
Habithi.za.kiswahili
@samiasalim8322
@samiasalim8322 3 жыл бұрын
Ni sawa kabisa organo ni zaatar😘
@halimazubeir1114
@halimazubeir1114 4 жыл бұрын
Mashaallah mpishi hodariiiiii Allah akujaalie uzma tuendelee kujfunza mengi big up yumma
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 4 жыл бұрын
Amin , shukran
@joankiera8345
@joankiera8345 6 жыл бұрын
love your cooking.umenifunza mapishi mazuri.God bless the work of your hands.
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 жыл бұрын
Ahsante dear , amin kwetu sote
@thambulilucia9898
@thambulilucia9898 7 жыл бұрын
I'm your favorite subbie..I just love what you do and the fact that you share to the world...Thanks a lot
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Thanks for your love and support
@MariamsLifestyle
@MariamsLifestyle 7 жыл бұрын
Mimi nlivyokuja huku italy nlikua hata sijui kupika sema nimejitahidi kujifunza hadi sasa hv imekua hobby yangu nakumbuka mara kwanza kupika chapati ilitokaje ngumu,😂😂😂siku nkakutana na channel yako ndo nikajifunza siku hyo chapati ilitoka laini nilifurahi hadi ss hv najua kupika chapati!
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Ni jitihada na interest ukiwa nayo. Nashkuru kujua nimekusaidia kidogo. Mie siwezi kukosa chakula cha nyumbani atleast once a week . Thank you for your wonderful support dear
@zaharaaliy6658
@zaharaaliy6658 5 жыл бұрын
Mariam's Lifestyle yaan mm sasa jam siku yakwanza no licheka chapat ndogo alafu ngumu hatala
@maureenngala493
@maureenngala493 5 жыл бұрын
Vipiukofesbook
@sabinaonline6575
@sabinaonline6575 5 жыл бұрын
Unafanya Italia sehemu gani?
@florakilasi8027
@florakilasi8027 4 жыл бұрын
Hellow dear...naomba unitajie cheese nzuri!
@abdallahnassor8875
@abdallahnassor8875 5 жыл бұрын
I love that tray for cooking pizaa .i have always requested my mum to buy for me but i never got till now. But i love to cook .i enjoy it veey much.
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 5 жыл бұрын
I hope you get the tray soon
@abdallahnassor8875
@abdallahnassor8875 5 жыл бұрын
In shaa Allah Ameeen
@meimunaissack744
@meimunaissack744 2 жыл бұрын
Good 👍 job my sister l love it
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 2 жыл бұрын
Shukran 😘
@MariamsLifestyle
@MariamsLifestyle 7 жыл бұрын
Mashaallah dada upo vzuri kwenye mapishi 👌🏾pizza imekolea cheese hadi raha
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Najitahidi, na chukula nikipenda lazima nikijue kupika vizuri . Ahsante
@naomimmary3885
@naomimmary3885 4 жыл бұрын
Chiz zinapatikana sanasana wapy
@peterotuoma6817
@peterotuoma6817 2 жыл бұрын
I agree with you daa your right
@fahas6779
@fahas6779 7 жыл бұрын
Thanks for the recipe, I tried it and it was lovely and nice!
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Alhamdulilah, glad mme emjoy pizza yenu
@aeshaha8770
@aeshaha8770 7 жыл бұрын
Mashaallah hapa nimekupata vzr mm nilikua unga naukanda na maziwa ya unga bt hii naona ninafuu
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Pizaa ni maji tu na mafuta
@sarahkaranjamuhoro6041
@sarahkaranjamuhoro6041 3 жыл бұрын
This is a must try .Thanks for sharing 🇰🇪
@zeyanahmuhammad4897
@zeyanahmuhammad4897 5 жыл бұрын
Actually l really love ur voice, the way u talk😊and ur dishes
@fatumanoor578
@fatumanoor578 4 жыл бұрын
Mashaallah u have nicely cooked l like your style Allahmudulilahi
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 3 жыл бұрын
Thank you so much 😊
@manjaugodwin1218
@manjaugodwin1218 4 жыл бұрын
Haloo dd nakupenda mpaka naumwa kwa mapishi yako tu unanikosha naomba kuja zanzibar corona ikiisha nije nionje mapishi yako .Naitwa maria nipo Dar
@manjaugodwin1218
@manjaugodwin1218 4 жыл бұрын
Haloo kwa unavyofundisha tu .wafundisha vzr sana sana ahsante sana sana
@manjaugodwin1218
@manjaugodwin1218 4 жыл бұрын
Jaman unajuaaa hongera mnoo ahsante nitakuja
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 4 жыл бұрын
Ahsante sana, mimi siishi Zanzibar pola sana
@mrstwalib5751
@mrstwalib5751 2 жыл бұрын
Mashallah aroma you are the best i swear ❤❤😘😘
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 2 жыл бұрын
Shukran for your support 😘😘
@evantoti3564
@evantoti3564 7 жыл бұрын
You are a good cook and thanks for your time
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Thank you for your support dear
@rahmamaalim3673
@rahmamaalim3673 7 жыл бұрын
MashaAllah MashaAllah yummyyy Allah ebarik mikono yako
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Amin
@salimasalimu7313
@salimasalimu7313 7 жыл бұрын
Asante daa kwa mapishi
@abudebinabri1287
@abudebinabri1287 7 жыл бұрын
shukran aroma mungu akuhifadhi
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Amin kwetu sote
@ffahima2010
@ffahima2010 6 жыл бұрын
Shukran kwa mapish mazur sn, cheese gani ukitumia inakua pizaa km inajivuta hiv yani zile chee zinajivuta ukikata, na tunaomba utufundishe jinsi ya kupika bashamela
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 жыл бұрын
Nimetumia cheeze ya mozzarella hapo na sosi ya beshamel nimeshaonyesha bofya hapa utapata kzbin.info/www/bejne/h4DNc3yfbbeeeJY
@jumaabdulmajid3023
@jumaabdulmajid3023 7 жыл бұрын
Nashukuru kwa video zako va mapishi, ni kwa muda nmekua nikifatilia maoishi yako lakini hujipata nashida vitu ama ingredients unazotumia kwamaana wengi kutoka huku bara hatujazoea majina ya kiswahili hata ukienda kwa maduka ya ummah pia wao haelewi majina hayo, ningepomba kama utakua unapeana majina kwa kiswahili pia kwa kizungu ili iwe rahiusi kwa wengine kutafta vifaa
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Ahsante sana kwa support, mie video zangu na fanya lugha zote mbili, nitaweka link ya English hapa angalia desciption box utaona ingredients in English as well kzbin.info/www/bejne/oJK5oaF3i7iMebM
@niaanthony9588
@niaanthony9588 7 жыл бұрын
Wooow very nice and simple to make
@asabraabdulah1130
@asabraabdulah1130 7 жыл бұрын
umekua malkia njozi aunty fathiya nasema rohoni jana natamani pizza kujua kupika mara nyingi nkipa haiwi perfect lkn inshaAllah tomorrow ntapika for my family.
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Inshallah dear, this time itakua nzuri
@jumasalum8213
@jumasalum8213 5 жыл бұрын
Hongera mamy jmn upo vizur jikon had rahaaaa mapishi yak yapo amazing sawaaa mama ntakuja zenji,nimeeenda sana keki
@claramilanzi9170
@claramilanzi9170 7 жыл бұрын
waaoh jaman nice and lovely.....nilikumis nusu nipande ndege bila pasport 😂😂😂😂😘
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Haha , ahsante karibu hata bila passport
@izabelaganze1380
@izabelaganze1380 4 жыл бұрын
beautiful !! I tried it today for supper.
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 4 жыл бұрын
Thanks a lot 😊
@babyramadan9045
@babyramadan9045 5 жыл бұрын
Sawa my dear nitaenda kuitafuta iyo bizari ya talion
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 4 жыл бұрын
Walah juz nmewapikia wanngu pizza lkn imetoka liugali liunga halijaiva.kumbe unga unakua mlaini afu hausukumi.kila ktu nmepatia lkn nilsukumA .I will try my best insh ..thanks sster.moto unawasha juu na chini?
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 4 жыл бұрын
Pole sana, dnio natumia moto wa juu na chini
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 4 жыл бұрын
@@aromaofzanzibar 🥰🥰🥰🥰thanks love
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 4 жыл бұрын
Dada Niko hapa 🥰🥰🥰
@halimamshami3279
@halimamshami3279 5 жыл бұрын
MashaaAllah nimejaribu family ime enjoy, shukran habibbty Alahibariqfiii♥.
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 5 жыл бұрын
Alhamdulilah
@halimamshami3279
@halimamshami3279 5 жыл бұрын
Shukran sanaaa yaani umetusaidia wanawake wenzio , Allah akulipe kwa kila mda ulo utumia kutujuzaa mapishii♥♡♥ahsante kwa kunijibu nimefurahi
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 5 жыл бұрын
Shukran, wewe pika ufurahi na family yako
@halimamshami3279
@halimamshami3279 5 жыл бұрын
@@aromaofzanzibar Ahsante kwa mara ya pili umenifanyaa mpishi /mama bora kwa mapishi na milo ilo mitamu na yenye kuvutia , shukran sanaaaa♥.
@Lifeisgoodkitty
@Lifeisgoodkitty 7 жыл бұрын
Sasa natamani pizza😋😋 Asante!
@mwajumasaleh6007
@mwajumasaleh6007 6 жыл бұрын
Nice I like it
@adangubi9822
@adangubi9822 6 жыл бұрын
mashaallah najifunza mengi kupitia mapishi yako dada mungu akuweke wallah
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 жыл бұрын
Shukran, amin kwetu sote
@khadijamasoud4825
@khadijamasoud4825 5 жыл бұрын
asante mama kwa sadaka yko allah akulipe ujira wko ww sio mchoyo nakupenda sna.
@khaykaw
@khaykaw 4 жыл бұрын
Surely homemade pizza is superb
@Zakiya-iy8so
@Zakiya-iy8so 6 жыл бұрын
Mashaallah ni dhattar
@jaklinifaustini4259
@jaklinifaustini4259 4 жыл бұрын
Honger pia asant
@sopiaahmad7795
@sopiaahmad7795 6 жыл бұрын
Very nice pizza,I really like it
@kemigishajoyce9331
@kemigishajoyce9331 5 жыл бұрын
Thanks am going to try....i was scared👍👍
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 5 жыл бұрын
Why scared, this is very easy
@kadamairine6442
@kadamairine6442 6 жыл бұрын
Kweli Anti unajua kuelekeza hadi mtu ambaye hana idea anajia::::Shukrani
@marywamutti7530
@marywamutti7530 7 жыл бұрын
Asante kwa mapishi ya pizza
@venantgoliama4898
@venantgoliama4898 7 жыл бұрын
amaizing!!!!!!
@salamaaziz155
@salamaaziz155 7 жыл бұрын
Thanks soo much nilikua naingoja sanaaa pizza
@fatmabashamakh554
@fatmabashamakh554 6 жыл бұрын
Shukran sana nimejaribu imetokea vizuri
@rukiaissabakkar9455
@rukiaissabakkar9455 6 жыл бұрын
Very nice
@mamuujay7379
@mamuujay7379 6 жыл бұрын
mashaAllah shukran
@khadijasalim2117
@khadijasalim2117 5 жыл бұрын
Assalaam alykm habbty hivo vikombe va unga nikiasi gani mfano kama kikombe kimoja nirobo aw nusu? Plz naonba jibu habbty.
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 5 жыл бұрын
Nimeandika vipimo vyote hapo chini kwenye description box
@aminasuliman7780
@aminasuliman7780 7 жыл бұрын
shukuran jazakaallahu khayra
@rosemadelemo4974
@rosemadelemo4974 Жыл бұрын
Asante
@metalcombat4470
@metalcombat4470 7 жыл бұрын
Ahsante sana madam! Ingawa si mpenzi wa pizza wala shawarma, but ume okoa pesa yangu kuishia restaurants! Lol!
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Kumbe!!!
@metalcombat4470
@metalcombat4470 7 жыл бұрын
Wallahi!
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Haya basi nakuamini
@maimunawarose5905
@maimunawarose5905 6 жыл бұрын
MashaAllah dada mm hapa Kenya nataka nijaribu kupika hiyo pizza ya mozarella
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 жыл бұрын
Inshallah
@claramilanzi9170
@claramilanzi9170 7 жыл бұрын
Mmmmhh jaman mpaka raha sio siri thanks kwa mafunzo...
@salmahassan6809
@salmahassan6809 7 жыл бұрын
mashaa allah. Inaonekana tamu sana. Ntajaribu hii recipe
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Inshallah
@fatmamasoud3831
@fatmamasoud3831 7 жыл бұрын
salams aunty.nilipo changanya hamira na unga haikufanya bubbles.will it rise when cooked.shukran
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Jee ilipanda, kama imependa sio neno hakikihsa hamira sio ya zamani ssana
@fatmamasoud3831
@fatmamasoud3831 7 жыл бұрын
Aroma of Zanzibar imepanda aunty shukran.
@edsonkamunga519
@edsonkamunga519 7 жыл бұрын
nzuri hyo nmeipenda
@satwanthoogan6429
@satwanthoogan6429 2 жыл бұрын
Yummy!😋❤
@shukranjulius7310
@shukranjulius7310 6 жыл бұрын
Asante dada,natamani kujua kupika mandi
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 жыл бұрын
Mandi nimeshaweka Armani tafuta utaona
@mamyssmoe6706
@mamyssmoe6706 7 жыл бұрын
Bismillakh mashallakh tamu tamu wow 💋💋
@mohamedsoilihi1974
@mohamedsoilihi1974 3 жыл бұрын
Mi mgazidja soilihi mohamed naka paris.nakupendra sana
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 3 жыл бұрын
Asante sana
@cynlym1847
@cynlym1847 5 жыл бұрын
Very delicious😋 thank you I gonna try
@estherwairimo4767
@estherwairimo4767 6 жыл бұрын
MashaAllah asante sana kwa hii recipe yani nimeitafuta kwa mda mrefu
@Hdhjdj-pr6xm
@Hdhjdj-pr6xm 5 ай бұрын
A Allaykum Je unalo darasa la mapishi n km unalo unafundisha wapi naomba taratibu zak.
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 5 ай бұрын
darasa ni hapa tu youtube, mie naishi Marekani
@adeeloyo6568
@adeeloyo6568 6 жыл бұрын
MasAllah very delicious. With love and support from Kampala Uganda. :)
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 жыл бұрын
Shukran, thank you for your wonderful support
@peterotuoma6817
@peterotuoma6817 2 жыл бұрын
Mashalah very nice keep it up madam
@Raya-zm9wv
@Raya-zm9wv 7 жыл бұрын
Ok shukran habibty nilikuwa nimekosea sore kuandika
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Its OK dear, nilikua sijafaham
@ummusamira3518
@ummusamira3518 7 жыл бұрын
Shukran jazzakallahu lkheri
@farhiyachina6308
@farhiyachina6308 7 жыл бұрын
Masha Allah yummy
@eshafamau1533
@eshafamau1533 6 жыл бұрын
mungu akuweke
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 жыл бұрын
Esha Famau Ahsante, Amin kwetu sote
@ummukulthumhafidh6599
@ummukulthumhafidh6599 7 жыл бұрын
wow mashallah like it
@mirfatmwazini7431
@mirfatmwazini7431 3 жыл бұрын
Nilijaribu ila suprizingly cheese haikuyayuka,,,n nlikua najiuliza how u make de cheese kua ivo can u assist me please.... au ni coz niliiwek kwny friji
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 3 жыл бұрын
Cheese always inawekwa kwenye fridge swali ni cheese gani umetumia kwani sio cheese zote zinayayuka
@mirfatmwazini7431
@mirfatmwazini7431 3 жыл бұрын
Oky Thanks...so cheese gn hua inayeyuka?mozerrela wil do?
@mariamrajabu8768
@mariamrajabu8768 6 жыл бұрын
Shukran sana
@abdullamwipi4608
@abdullamwipi4608 5 жыл бұрын
Dada unapika kwa jiko aina gani ili pizza kuiva nakupata hiyo Brown
Jinsi Ya Kutengeneza Pizza | How to Make Pizza
15:29
Cooking With Tina
Рет қаралды 273 М.
How to Make Perfect Homemade Pizza! Best Pizza Recipe You'll Ever Eat at Home!
8:34
Когда отец одевает ребёнка @JaySharon
00:16
История одного вокалиста
Рет қаралды 14 МЛН
World‘s Strongest Man VS Apple
01:00
Browney
Рет қаралды 69 МЛН
1 сквиш тебе или 2 другому? 😌 #шортс #виола
00:36
Всё пошло не по плану 😮
00:36
Miracle
Рет қаралды 2,7 МЛН
Best Delicious Cheesy Chicken Pizza Recipe By Food Mood
5:00
Food Mood
Рет қаралды 41 М.
How to make the BEST HOMEMADE PIZZA / 2 ways
12:09
Kikifoodies
Рет қаралды 2 МЛН
Mini Pizza bila ya oven | Mini Pizza without oven
10:03
Shuna's Kitchen
Рет қаралды 63 М.
Biriani/Biriyani ya Zanzibar - Kiswahili
12:20
Aroma Of Zanzibar & Beyond
Рет қаралды 1,5 МЛН
Cooking Classic Köfte : Turkish Stuffed Kibbeh | Mediterranean Food
24:29
The Mind, Body & Soul | Ustadh Mohammed Isaaq
25:44
Medology
Рет қаралды 5 М.
Когда отец одевает ребёнка @JaySharon
00:16
История одного вокалиста
Рет қаралды 14 МЛН