Рет қаралды 54
Busega
Mkuu wa wilaya ya Busega Gabriel Zakaria amesema Asilimia 70 ya kesi za ubakaji katika mahakama ya wilaya ya Bariadi zinatoka Busega.
Hivyo amewataka viongozi wa serikali wilayani hapo kuhakikisha wanawaeleza wazazi umuhimu wa kuwalinda watoto na kuwapeleka shule.