Askofu mpya wa LINDI alivyokabidhiwa gari ya Kifahari na Waziri mkuu Majaliwa pamoja na Membe Ni katika Misa Takatifu Kusimikwa Kwa Ask.Wolfgang Pisa Jimbo Katoliki Lindi SOURCE:KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC
Пікірлер: 41
@JacksoniJoeli-tb7be Жыл бұрын
Baba askofu hongera sana ni jacksoni kutoka Bargish uwaa nakupa pongeza kubwa sanaa endelea kumtumikia kazii ya mwenyezi Munguu 🙏🙏🙏
@nicolauswandao89882 жыл бұрын
Mapendo daima, Tumsifu Yesu kristu milele Amina, Sinodi ya pili Nuru yenu iangaze mbele za watu, Kristo tumaini letu, Ushiki ushirika na ukatekumeni. Sitamaliza naomba tu niseme tu asante baba
@augustinoevarist67542 жыл бұрын
In love with My Church. Hongereni Lindi
@samsonsamson98112 жыл бұрын
hongera sana my lecturer ulietoka chuo cha saut arusha , mungu awe nawe kuwachunga kodoo zako ili wampendeze mungu kwa matendo yao
@merinachalinze64552 жыл бұрын
Hongera sana wana Lindi. Mbarikiwe sana kwa moyo wa ukarim
@ordasstephanoords98822 жыл бұрын
Hongera. Asokofu wanaliindi hongereni
@seciliamaze4512 жыл бұрын
Hongera Baba Askofu Mpya wa Jimbo la lindi. Sisi kondoo wako tunakuombea sana kwenye utume w ako.
@benedictmrisho59472 жыл бұрын
Waumini madhehebu kikristu na waisilamu sote tukumbuke babu yetu wa Imani ni mmoja Ibrahim. Tuendelee kushilkamana. Hongereni Wana Lindi na Mtwara kwa upendo, umoja, mshikamano na ukarimu.. Baba Askofu umepata kondoo ambao Wako tayari kusikia sauti ya mchungaji mwema.
@andrew294682 жыл бұрын
Kimsingi waislamu hawana ndgu wa imani isipokuwa wakristo, Waislamu hawana uhusiano na mabudha isipokuwa wakristo ambao wanashare vitu vingi mnoooo
@happymsaki17202 жыл бұрын
Mh Membe hapo nimekupa bg up uko vzr sanaaaaaaaaaaa
@teresiamgimba54982 жыл бұрын
Hongereni Sana Asanteni Sana kwa umoja
@ordasstephanoords98822 жыл бұрын
Mungu akuimarishe uwachunge kondoo uwafikishe kwa mwana kondoo mkuu yesu pekee
@benedictmrisho59472 жыл бұрын
Mzee Bernard Membe hakika eonesha uzee ni dawa.
@fridaernestmkedege9002 жыл бұрын
Ahsante Mungu!
@fridaernestmkedege9002 жыл бұрын
Lindi mmeweza!!!
@Expedito25122 жыл бұрын
Hilo ndo kanisa katoliki bwana. Upendo upendo upendo! Waislam ni ndugu zetu, wakristu wengine ni ndugu zetu. Upendo upendo upendo!
@teresiamgimba54982 жыл бұрын
Kazi nzuri kwa kweli
@sylvesterkwembe36862 жыл бұрын
Superb!💪🇹🇿👍
@aloyceponela32492 жыл бұрын
Ongera mtumishi wa mungu.chungaa sana kondoo wako
@dicksonisakwe30632 жыл бұрын
Hapo shetan kanuna balaa,,,navuta picha domo lake alivyolivuta🤣🤣🤣
@imelidamfikwa79542 жыл бұрын
Huo ndio utaifa wa hakika.Tuwe pamoja kiimani na kisiasa.Nani huanzisha chokochoko wakati hatukuzoea
@happymsaki17202 жыл бұрын
KUSINI HOYEEEEEEE MUNGU AWATUNZE MEMBE NA TIMU YAKE
@zachariamakamillo19652 жыл бұрын
Simpendi mnafiki huyu yani
@tagkibadanewcity64732 жыл бұрын
,🙏💯
@zachariamakamillo19652 жыл бұрын
Yaani Membe hovyo kabisa.
@juliussilvestar89882 жыл бұрын
Ally musira hilo gari halijanunuliwa na serekali
@marykayombo90762 жыл бұрын
HAHAHHA tupo, taayari!
@robsonlotyloy56782 жыл бұрын
Mna tapakanya fedha huku wananchi wana shida. Askofu haitaji vituhivi bali anaitaji waumini wake watubu thambi zao na kuungana nao na Kuwahita wengine zaidi ya walio ungama nao wajikomboe.
@superangeltv46152 жыл бұрын
din zilezile zinawakubali wajipendao wenyewe siwi mkatoriki tena
@sarafinafranci84812 жыл бұрын
Hulazimishwi wala siyo lazima.
@breezonlinetv2 жыл бұрын
Utajua mwenyewe.
@superangeltv46152 жыл бұрын
siko tayari kuambatana na wanafiki daima na milele
@revocatusrubaba44162 жыл бұрын
@@superangeltv4615 Yesu daima alikaa na watenda dhambi sasa kama wewe unahukumu hao ni watenda dhambi hiyo ni dhambi ya kwanza ya pili ni kujitenga tafakari
@devidkingu24392 жыл бұрын
Tafuta hela ndg. Chuki inauwa
@michaelndilima62102 жыл бұрын
Ngekuwa vyema kusaidia wagonjwa yatima na masking kuliko kununia gari.
@allymusira21532 жыл бұрын
Mumpe na Sheikh wa mkoa wa Lindi kuweka usawa
@breezonlinetv2 жыл бұрын
Hatutafiti usawa
@rayisadesigns26462 жыл бұрын
@@breezonlinetv hayo siyo majibu... wewe ni mtoa habari simama kwenye misingi na mipaka yako ya kazi utafanikiwa, lakini ikianza habari za mipasho kwa kujibishana na watoa maoni hautafika popote. Ndugu zingatia hilo.
@richardnganya23112 жыл бұрын
Sasa suala la usawa hapo halipo. Hapo ni wakatoliki. Pengine kutakuwepo na Anglikana.. Moravian.. Lutheran.. EAGT.. FPCT.. TAG.. Nk. Nadhani itakuwa fujo badala ya usawa. Sio kila jambo lina usawa !!