Mwanamuziki Aslay amezidi kudhihilisha kuwa anatamba kwa sasa baada miji yote aliyopanda kwenye jukwaa la Tigo Fiesta 2017 amekuwa akitumia nguvu kidogo kwa mashabiki wake baaada ya nyimbo zake kuimbwa sana.
Пікірлер: 464
@halmasaidi66887 жыл бұрын
uyu dogo atafika mbali sanaa ankipajii kama unmkubli gonga like hapa+254 mpoo
@sumasuleimani38106 жыл бұрын
Ok
@adsonphilipo1086 жыл бұрын
Kweliiiii
@lesikarisaya42246 жыл бұрын
Halma Saidi atafika mbali sana asley
@thomasmichaelmakundi66246 жыл бұрын
keen j unatixha kijana kikubwa ni kukaza
@miriamladislaus2025 жыл бұрын
Warioba
@stevenmaketa80517 жыл бұрын
Daaaah yaaaani mm ni timu daimond na alikiba lakini kwahuyu dogo tuache kuongea unafki cozz sehemu zoote zashoozake huimba mashabiki nasio yy hyo nijins gn alivyo mkaali nooomaa saaaaNa
@mambolivie076 жыл бұрын
Aslay sasa kwanini hukwenda #afrima badala ya kiba. 💃💃💃🔥🔥🔥
@emanueleugen85087 жыл бұрын
Dogo anajua kuimba na hadhila sure audience that is good I like much
@mudriqfamous7 жыл бұрын
Like nyingi kama unamkubali Aslay👍👍🔥🔥
@severinbwuma32077 жыл бұрын
namkumbili sana
@sabinaphilipo57876 жыл бұрын
Mudrick Famous big up sana kwako aslay
@idahvicky50016 жыл бұрын
Mudrick Famous tishaaaaaaaaa sanaaaaaaaaaaa
@quizchupa79416 жыл бұрын
Mudriq Famous m
@tricenaftaly31536 жыл бұрын
Namkubali aslay mpaka naugua
@aminahamisi73545 жыл бұрын
Aslay jamani nyimbo hiyo inanikumbusha mama yangu mungu amlaze pema peponi ameen yarabi
@usaambassador24606 жыл бұрын
Nawaombeni sana ndugu zangu tusichoke kumu support huyu kijana aslay kiukweli anaimba vizuri sana
@ernestndauka93017 жыл бұрын
Daaaah!!! Hii chata nyingine kabisa!!!! Sio kwa mpera mpera huu!!!! 🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@elastosanga54856 жыл бұрын
ukizooreka utakua kama wengine ila ney zaidi ya
@marrymjelwa19534 жыл бұрын
❤❤
@deulemwangolo8 ай бұрын
Big ups Kijana Aslay 🎉🎉❤❤ much love from Kenya ❤❤❤❤
@danielkilosa33307 жыл бұрын
Mdogo wangu uko vizuri sana Aslay
@halimamshami32795 жыл бұрын
Huyu ndio msaani pekee nnayemkubali Tz....nyimbo zake zinaongelea sanaa historia ya mapenzi
@ashleystarqueen87802 жыл бұрын
Jamani huyu aslay napenda kazi yake sanah mpka nikiona nyimbo zake najawa na machozi y afuraha mm n upcoming artist lkn akija uku kenya maboodgard ni wakali hauwez mkarbia sjui nitampata wapi angalau anipush am an upcoming artist nikimaliza kusoma namuomba Mungu atukutanishe
Mim mtanzania naishi Sweden siwez kuongea kiswahili vizur.ila napenda kumsikiliza Aslay kila ngoma yake sichoki kama na wew unapenda Nyimbo za Aslay Gonga Like hapa👇
@nasirapasical46856 жыл бұрын
namkubali
@allyhassan50815 жыл бұрын
RAMADHANI AKILI nampendasana
@muhorakeyevanessa78786 жыл бұрын
napenda sana nyimbo zauyu kidjana mwenyezimungu amuzidishiye
@perfectedson89997 жыл бұрын
yupo juu
@castormpunga5287 жыл бұрын
fire aslay
@mtokambali23207 жыл бұрын
Wengine hapo Show ikiisha wanadandia Ungo wanarudi magetoni Fresh tuu
@amounanyale92206 жыл бұрын
Mtokambali kkkkkk aah wwe umenichekesha
@atupaksyeminga85676 жыл бұрын
+hamisi nyale unavituko ww! hapo kuna wengine wameingia hta bila kulipa chapaaaaaa
@amounanyale92206 жыл бұрын
Mtokambali kkkkkk
@joshuamgaya35186 жыл бұрын
Mtokambali hahahahaha wamepaki fisi
@nasrarubeiya41506 жыл бұрын
Mtokambali haaaaa haaaaaa haaaaaa haaaaa haaaaaa
@mwanasioneric85926 жыл бұрын
Always Rockn'Dogo am locked ,,,ndani ndani kabisaaaaaaaaa am in love with your work so talented Nakurank😎😎
@jracine93832 жыл бұрын
Ubarikiw bab nakupendag san nasan unasaut nzuli
@mesalimmohammed37896 жыл бұрын
salute kwako dogo nakukubali mpaka bac
@florawilla95787 жыл бұрын
Aslay unatisha baba nakubali sana @$--::!;:";'
@suediyahya81916 жыл бұрын
Flora Willa
@LuaiAb6 жыл бұрын
Flora Willa aslay
@kenyanjuiceteesy18396 жыл бұрын
Lv ur show and ur songs dogo keep up bro
@franknakbliwilium36664 жыл бұрын
Daaaa hyu dogo Anabalaa zto nakbli sn Asly
@agu7tv2867 жыл бұрын
Namwelewa sana pacha wangu
@mwantumumsumi69307 жыл бұрын
Emungu mzibishi uyukumbe
@Adeen.16 жыл бұрын
kama ni dawa mdogo wangu naku dm unipe niweke kwenye biashara yangu ila kama dua bhasi nifundishe namna yankuiomba sio kwa love hii ya wananchi yani watu wanasahau njaa za mjomba magu kwa muda mzee.... we mkali dogo lake
@salymukapalas82866 жыл бұрын
Hahahhahahahaaaa umenifurahisha sanaaaa
@nasirapasical46856 жыл бұрын
kweli atuambie dua gan nasi tuiseme daaaaaah
@samsafimreno57355 жыл бұрын
sele Big duuh
@eliashope14844 жыл бұрын
AaaaAaaaaaaahhhg
@josematemu38227 жыл бұрын
nakukubali sana aslay
@stor40595 жыл бұрын
Namupenda sana Mungu amuzidishe 💞💞
@clariskamau87116 жыл бұрын
aslm alkm,ni Claris aka jamillah kutoka Kenya,ur the boom,kip up the spirit ,man ur good n swt,iove u
@yusuphjaphari1547 жыл бұрын
firee 🔥 🔥 fire aslay
@jumajux52826 жыл бұрын
Aya
@shabanjuma83017 жыл бұрын
hongera sana kijana mwenzetu 🏃🚄💨💨💨 coming!
@rashardpodo88517 жыл бұрын
aslay daaaaah! basi tu nashindwa hata nseme nn
@estertomas21044 жыл бұрын
Aslay nakkubali dog
@dianaalice94347 жыл бұрын
God be with you #aslya utimize ndoto zako
@LewisonlyTV6 жыл бұрын
Aslay gonna be a big thing in coming days i believe God bless
@felisterwilson73256 жыл бұрын
BREEZYBOY LEWIS Amen
@wilsonoreti61215 жыл бұрын
Mung atujalie tufike hichi kiwango. Barikiwa sana Aslay. Lots of love
@mohammedsuleyman49976 жыл бұрын
we fundi aslay nakubali xana kazi zako
@luchypamasai39785 жыл бұрын
Nakubali na naipenda.....Nakupenda bure Aslay
@uqairsande73202 жыл бұрын
Jaman fiesta imepowa tafuta wengine bhana
@shukribante76955 жыл бұрын
Aki nakupenda sanaaaa Aslay najua husomi hii message lakn ukweli lazma usemwe
@chusseboywcb28084 жыл бұрын
Umetishaa sama\aaa🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🙏🙏🔥🔥🔥🔥
@brianmuyanzi58995 жыл бұрын
Aslay u are one in million I hope that u will far and further may God be with u bro
@RataDry-lm2jh Жыл бұрын
❤kazi nzuri
@samuelosogo6216 Жыл бұрын
@@RataDry-lm2jh Rt
@zaitunmohammed7203 Жыл бұрын
Mm jamani nampenda nyimbo zake
@baimarrajahbuayan6237 Жыл бұрын
Aslay kama. Aslay ❤️❤️❤️❤️📌📌📌
@lilyemmanuel32546 жыл бұрын
Aslay nakukubali asee songea kwa wakwe zangu hongereni mmemuona king wa baadae
@fatimaamees1706 жыл бұрын
Jamon wew mtot mbon unakuja💣🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥unajua kunikonga moyo🎶🎶🎵🔔🕭mzik mzur upo vizur
@wigomcstv36626 жыл бұрын
Saaaanatyu naili poa saana. Happy new year 2018
@mosesmsemne82537 жыл бұрын
tisha sana
@justapetro59836 жыл бұрын
mungu hakupe uwezo zaidi
@bensonfrank6436 жыл бұрын
NGUVU YA UMMA 👊👊
@doricematindiko53505 жыл бұрын
Umetisha Aslay,uko juuu
@nicodemozacharia87107 жыл бұрын
dogo ulitisha sana..ulituburudisha sana ck iyo
@barakamwasumbi16467 жыл бұрын
kipaji unacho kjana wawatu
@usaambassador24606 жыл бұрын
Aslay watamba kbs hiyo ndiyo furaha yetu utambe
@emmanueldeus15427 жыл бұрын
Very nice
@nelsonngethe56696 жыл бұрын
Kali sanna
@sammyamani7006 жыл бұрын
+254 missd the show live by watching the video makes me feel i was there # TZ my keep up
@jamesmaina73636 жыл бұрын
diamond and kiba u gotta watch out,,he soo guud..
@ommyking36562 жыл бұрын
Fundi sana uyu sema ukimya wake una nichanganya sana rudi mzee
@jumamanzi93996 жыл бұрын
Washa moto aslay wee diye tengemeo taifa letu, nakupenda sana, wape moto kwel kwel
Hii nyimbo ya kwanza Reggae inaitwa aje? Naitaka sana
@glorymohamedy3754 жыл бұрын
DJ RHINO inaitwa PUSHA
@faithisaac2116 жыл бұрын
Aslay nakupendaga bure tu..waenda mbali congrats..+254
@desmunduwandameno496 жыл бұрын
mmmmmm😁😁😁
@nafisamohamad31826 жыл бұрын
Fiesta ya mwaka jana nlikoma hadi mwaka huu nimeona bora nikaenyumbani maana huo umati wa watu umenishinda kupumua vzuri ukipumua left harufu za jasho ukipumua right unavuta pumzi za wengine na ukipumua centre nyuma kuna wanaokutach wowowo.yani nilijutia kwa kweli nimeenda kuenjoy napata maudhiko
@agathamugema25286 жыл бұрын
Nafisa Mohamad we ni shida
@agathamugema25286 жыл бұрын
ha ha haaa
@kellythateacher15706 жыл бұрын
Hiyo ndo raha ya kuparrrrty
@irenejerrylugose9966 жыл бұрын
Hio ndio raha yake
@neemaseury2376 жыл бұрын
aslay namkubl xan kwa kaz anazozifny mung akupe maish maref uzd kuwa juu zaid
@graceblessings21135 жыл бұрын
Nice sana aslay big up am from 001
@mwanasitiali23632 жыл бұрын
💯 more luv Aslay
@mwanamisiomaromar16525 жыл бұрын
nakubali xna aslay uko juu broo 😘😘😘😘
@gaboy71116 жыл бұрын
nakubali aslay we n mkali from kenya
@mamanillan54174 жыл бұрын
Hatareeeeeeeeeeeee aslay jomoniiii
@edwinfrancis46596 жыл бұрын
nimeipenda hiyo ngoma
@trayphoneraymond59046 жыл бұрын
nomaaaa xhow kam xo bongooo,kaza aslay Bob we lovev u
@sheillahchisika84146 жыл бұрын
Aslay hiyo reggae yako inauwa from 254
@labumua86566 жыл бұрын
like kama zote toka kwangu. uko juu doooo
@dismashamaro72166 жыл бұрын
Dogo amebakiza siri moja tu amfunike kila msanii, dancers. Akipata dancers wa uhakika atawaaibisha watu wengi wenye timu zao