ASANTENI SANA KWA KUA PAMOJA NASI KWAANZIA MWANZO WA TAMTHILIA YETU MPAKA MWISHO,, KESHO TUNAANZA TAMTHILIA YETU NYINGINE YA DUNIA,, HIVYO KAA TAYARI KWA JIWE LINGINE,, HAKUNA KUPOA, MUNGU AWABARIKI SANA TUNA WAPENDA
@SalamaKhatibu-yp6wi19 сағат бұрын
Tunawapenda pia hongereni kwa kazi mzuri mungu awe pamoja nanyi
@MwanaidyHamis-rg1pu19 сағат бұрын
hongerenibsannkwa Kaz nzuri mme Tisha sana kwenye tamdhilia hii
@mauwabanda274619 сағат бұрын
Tunakupenda pia KAZI nzuri sana tunasubir kwa hamu ije na hiyo
@abdulhamid959319 сағат бұрын
kazi nzur ila ondoen neno download mpate views nyingi
@OchiengDaniel-pg2sr18 сағат бұрын
Bila shaka napongeza kazi yenyu
@NathaSMART21 сағат бұрын
Mumefany vizur ❤ Latifa😂😂😂😂 much love kwa hio game ❤😂😂😂😂
@Godwin-g6m20 сағат бұрын
Ongereni sana kwa kazi nzuri sana, sis kama mashabiki zenu tunategemea kazi nzuri zaidi na zaidi MUNGU AWABARIKI SANA NYOTE
@Young_p200721 сағат бұрын
Wakwaza leo naombeni like zangu🎉🎉
@jazminewatanzi185421 сағат бұрын
Thnx for the good work 👏 🙌 👍 the entertaining and educative movie
@user-rq9sf8fr4wmorisjumbe21 сағат бұрын
Wa 21 leo jmn naomben like zang kama ndot
@NoelaGustave18 сағат бұрын
Tunasubir nyingine nzuri zaidi ya hii ongereni san kwa wote mlio husika❤❤❤❤❤❤
@abrahimfathery812621 сағат бұрын
Wakwanza leo jamani sijawahi kupata like from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@NicholausMziray17 сағат бұрын
Mama ake doctor anajua kuvaa uhalisia wake nimempenda bure❤❤❤
@psychologist79920 сағат бұрын
Hahahahhaaa huyo malkia kajamba alipoanguka
@Katuni86220 сағат бұрын
Nan kamuon Latifah kasuka leo
@MarkOlubayo16 сағат бұрын
Nami nashukuru tokea mwanzo hadi mwisho huu nimekuwa nanyi. ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 kazi nzuri asma Comedian na kundi love. Mimi mkenya na nawapenda sana.
@wilmotkarisa617411 сағат бұрын
Ama kweli mwisho wa ubaya ni AIBU....Tutende mema jameni😢😢
@Evaline-n1p20 сағат бұрын
Tunaisubiri dunia sasa❤,,,,
@RosebellahOwasi15 сағат бұрын
Imekuwa kazi nzuri sana
@KoreanDramaMoviesKiswahili17 сағат бұрын
❤❤❤
@MusaUreni19 сағат бұрын
Ila kanji hatujui hatima yake nandonilitegemea awe staring pia kifo cha afisa salama hakijaeleweka nafainali pia mmemaliza mapema pia binti aliekua amegeuzwa njiwa kwaajili yakua mtumishi wa agano pia hajaeleweka ila congratulations🎉
@niyogusengwaalexis29220 сағат бұрын
Kutoka BURUNDI❤ nipe like zangu
@IrenewillyMwenda19 сағат бұрын
Ila hawa watu jaman niseme ty ukwel wanajua wanajua sana hayupo kicheche lakin wameupig mwingi mno ten mno onger zao nawapenda
@TuyajengeYaishe-q8v21 сағат бұрын
Aisee mko vzr sana nakila mmoja anaitendea haki nafasi yake daaah Mungu awabariki sana ❤❤❤❤
@kadegeolesaita651518 сағат бұрын
Mapemaaa wakuuu
@BRANDIAFRICA15 сағат бұрын
Wanao penda kuponza wazazi soma hi comment alafu usi like umemtukana mzazi wako
@anitamgonwa222121 сағат бұрын
Wakwanza na mi leo jaman toka mwanzo tulikua pamoja na mpaka final hongera kwa move nzuri sana asanteni kwa ujumbe mzuri pia
@DonMooFILMES_Express9 сағат бұрын
Kwasasa msanii wangu bora namsogeza MANYANYA ❤ Huyu kijana anatembea na script hadi natamani mimi ndiye ningekuwa Manyanya 🔥💯⚘ kazi nzuri sana Baba Asma Gang ❤
@Rosemaryhamisi15 сағат бұрын
Hii ni bonge la movie sijawah kuona kazi nzuri sana Doctor
@ninjacomedy962221 сағат бұрын
Wa kwanza kutoka kenyaaa.....c mnipe izo likes
@JoelMukulu-f4i19 сағат бұрын
Ila kinacho ni shangaza uyu mama kalogwa na uchawi ina maana ni nguvu za Giza zinazo mtesa sasa toka lini jameni uchawi Uwe na dawa hospitatalini ?naona Hapa mungetumia pasta.
@MamuBintally19 сағат бұрын
Hakutumiya sana madwa y hosi kma unamkumbuka cha pombe pia ilkuwa akimleteya dawa y kienyj
@givenrichard809419 сағат бұрын
Kweli kabisa
@JoelMukulu-f4i19 сағат бұрын
@@MamuBintally lakini Kuna mda huyo chapombe Ali fukuzwa na ma dawa yake. Ila mama aliendelea kupata dawa kuwa mzima huko mtoto wake akiendelea Pia kusisitiza kwamba yéyé anaiamini iyo dawa japokuwa alikuwa hamuamini Cha pombe.
@MamuBintally19 сағат бұрын
@@JoelMukulu-f4i ndio cha pombe alikufa ile dawa y chupani ilkuwa n y nini haswa eee sijakat kma ilkuwa hapt matibabu, ilkuwa anamtibu kotekote
@OnesmusMwikya-k7z21 сағат бұрын
Mimi wa kwanza comment zenu sikam na like zenu
@JenifaJafeti21 сағат бұрын
Namm nipeni ata like moja😢😢😢😢
@QueenShakers-i4c14 сағат бұрын
Ayaaa mie wa mwisho😂😂 🎉🎉🎉🎉
@liylahahmed82921 сағат бұрын
Oooh hatimaee........Safi sanaa🎬
@SalmaSaid-v3d20 сағат бұрын
Uyu latifa ni star kwa kweli ❤
@richardmloha176219 сағат бұрын
Sooo guuuud HONGERENI 🔥🔥🔥
@JustinBirori-e7q21 сағат бұрын
Wakwanza leo mimi🇧🇮🇧🇮
@NdyamukamaEdmund21 сағат бұрын
Ewaaah mama anatembea sasa
@luswagawamba223215 сағат бұрын
Sawa na njiwa vp
@JoelMukulu-f4i20 сағат бұрын
From congo I say thank you so much
@davidmutiso782021 сағат бұрын
Nice one, from Kenya
@aimen558421 сағат бұрын
Wakwanzaa❤
@AbuubakarySalumu9 сағат бұрын
Congratulations my brother manyanya and team zima ya BICHWA production
@sharu15677 сағат бұрын
Ongereni saana movie nimeilewaiyoo❤❤ leteni movie mzuri zaidi kulikoo hiyoo❤❤❤
@evelnjuma183419 сағат бұрын
Nzuri sana mko vizuli mwisho wa kigongo hiki ndio mwanzo wa kigongo kingine kizuli Zaid nawakubali sana tunawapenda 🎁💃🏼💐🎥🇹🇿
@EtienneNsengi5 сағат бұрын
Asante sana kwakutupa muchezo nina jifunza amo vitu mingi❤❤❤❤
@wilmotkarisa617411 сағат бұрын
Yeyote Aliyekuwa akitazama AGANO toka mwanzo hadi hapa mwisho Mungu ampe maisha marefu....reply kwa kusema AMEEN...
@SAMANTHACHEGEChege6 сағат бұрын
Amen 🙏 🙏 🙏
@DismassSteven6 сағат бұрын
Amen 🙏
@NikizaGamariel21 сағат бұрын
Nampongeza mwandishi wa hii video alikua amefikilia kweli kweli hasa hasa Ratifa mchawi Na Dr manyanya Ebu naomba likes nyingi sanaaaaa😊
@GospelPrince25410 сағат бұрын
Ila latifa jamani, si angempeq doctor ata show mara ya mwisho jamani😂😂 sijapanda
@AbdallahSelemani-tr1ph8 сағат бұрын
Congratulations kwa kazi nzuri from 🇿🇦 nawatakia kazi njema ndg zang
@KWIBEAMISIOBAMA-congo18 сағат бұрын
Ms Obama from Congo Kolwezi 🎉🎉
@oswaldminja824120 сағат бұрын
Safi movie nzuri sana short and clear sio mtu wanaweka vipengele vitu maneno yanakuwa ya kurudia rudia mpaka board
@PrettyTarah-12219 сағат бұрын
Leteni nyengine nzuri kma hii
@MleviInternational19 сағат бұрын
dunia inakuja
@halima23827 сағат бұрын
🎉🎉🤣🤣🤣🤣kikohozi tena latifaa umewakomesha sana hao🤣🤣🤣🙌🙌