Regardless of how the breakup was, people should respect what was and keep your memories special. Especially when children are involved. Honestly how do some parents in TZ raise children. This is not good at all.
@beesmarttv37923 жыл бұрын
Fact
@humphreyvidonyi2533 жыл бұрын
The host her self is foolish and not professional you can ask those silly questions remember mose daughter will listen to that thing one day
@hahmadhabibu20763 жыл бұрын
@@humphreyvidonyi253 but she is doing her job...I blame the man to over sharing
@humphreyvidonyi2533 жыл бұрын
@@hahmadhabibu2076 that the point n we ask describe your education (mose)
@queenestherngrit64153 жыл бұрын
Wen rship breaks stop using excuses to cover urself like ur the best one kzbin.info/www/bejne/o4LdiX-cdt6gsKc
@pax64473 жыл бұрын
Mose is so HUMBLE 💟
@jorgettemwajuma54283 жыл бұрын
Mose kweli umekuwa na confidence interview ni mependa congratulations na happy birthday 🎂🥳
@beautyibrahim84283 жыл бұрын
Ukiona hivyo ujue mwanamke ndio alianzisha mifarakano
@saumusalimuhassan24993 жыл бұрын
@@beautyibrahim8428 yes
@dadollary3 жыл бұрын
Naomba namba ya kk
@jorgettemwajuma54283 жыл бұрын
@@dadollary ya kwangu tuma yako nitakuandikiya
@jorgettemwajuma54283 жыл бұрын
@@beautyibrahim8428 ndio ila patam apo
@khadijaabdullah63283 жыл бұрын
Jmn hapa ruby kapata mume na nusu ❤❤❤❤❤
@lyricallyclassic11123 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/nKbceYyjnd6kqNE
@baimarrajahbuayan62373 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@nyamwinukankwera37493 жыл бұрын
Hahaha nimecheka sana
@samuellacecille7173 жыл бұрын
Ila Mose ni Handsome boy jaman ❤️❤️
@floraundisa36883 жыл бұрын
Moze u are amazing and handsome
@vanessalaizer43633 жыл бұрын
It was aunty who made him look handsome n that’s periodt
@umfahad26093 жыл бұрын
Mose anaonekana kijana mpole na mstaarabu saana. 💕🇴🇲🇹🇿
@twentyacresfarms34643 жыл бұрын
Wakaka wapole tupo Wawili tu kwa hapa africa 😂😂😂
@totobigi7983 жыл бұрын
Lakini hafungi mdomo.
@mosamossile91133 жыл бұрын
Diva ilikuwaje ukaachana na Her music, tujibu kwa ufasahaa apa demu ulitowa mimba wew Takataka
@japhetjohnson84933 жыл бұрын
pia atueleze kwanini aliachana na king crazy GK
@mosamossile91133 жыл бұрын
@@japhetjohnson8493 Na zitto kabwe
@namuyidihamiim77593 жыл бұрын
This guy is so handsome
@bigkeys150 Жыл бұрын
The voice of Mose. Waouhhhhhhhhhhhh
@ashuramhando52853 жыл бұрын
Hapo wala haitokwenda nikama kulipiza vile mh! tutayaona mengi ila kule Mama lao katisha na Kussah wake 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@PhinaGeorge-o5m Жыл бұрын
Kabsa yaani mwanaume anajimaliza huyu.
@joycechaz28403 жыл бұрын
Mmh diva unapenda maswali ya hovyo dah
@ilhamb12873 жыл бұрын
Venye Mose anamuita aunt 'bi mkubwa'🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@emilywanjala91613 жыл бұрын
🤣🤣
@mercyndujilo53633 жыл бұрын
Kwakweli🤣
@nyamwinukankwera37493 жыл бұрын
Hahaha jamani
@PhinaGeorge-o5m Жыл бұрын
Yaani bi mkubwa si dharau hizo
@stellaathanas3983 жыл бұрын
Mose mudhuriii jaman😘😘😘😘 nimependa sauti yako😁😁😁
@teclamastone70983 жыл бұрын
Mose yobo🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️
@princekagame82033 жыл бұрын
Ni rahisi kumwamini mose kuliko unt wanapokuwa wanaongea
@baimarrajahbuayan62373 жыл бұрын
Mose mpole jaman Saut tu MI hoiiiii😂😂😂😂😂👌👌👌👌👌Ruby nisameheee 🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
@estherlonyorie8293 жыл бұрын
Nmeipenda so humble asee huyu jamaa
@leonardflavour75333 жыл бұрын
Yaaa mm nimwanaum lakini nikimuangalia mshikaj naon Kama ka2lia🙏🙏
@olgacaleb68223 жыл бұрын
Sipati picha kwa tisheti aliovaa moze kama namuona ruby alivyokua akimuandalia mmewe yobo nguo ya kwendea maojiano kama umemkubali ruby piga kelele kwa ruby yake weweee,ruby kapata Mme kweli Mme moja na nusu
Maombi yangu kwa Ruby yametimia kama anasomaga comments zangu atakua shahidi nilisha semaga sana Ruby uezo mkubwa Ila alikokua hapakua sahihi
@ghulamjuma28833 жыл бұрын
Mtangazaji ongea lugha ya Taifa kiswahili
@sukariyao65373 жыл бұрын
Kabisa yani hadi linaboa 😏
@sanurandune80663 жыл бұрын
Ajifanya msomi mpaka kiswahili akiongea kama mzungu
@vanessalaizer43633 жыл бұрын
Anajifanya kiswahili kinamsumbua sana ushamba tu, anakera mnoooo
@dragon_tz3 жыл бұрын
Ruby tunakukarbisha WCB WASAFIIIII.....JIANDAE KWA MAKOLABO
@aaa64sa133 жыл бұрын
Kama kawa itakuwa🔥🔥🔥🔥🤣
@saumusalimuhassan24993 жыл бұрын
@@aaa64sa13 Inshallah 🌹🌹
@dragon_tz3 жыл бұрын
Watakubali2
@Waytozanzibar3 жыл бұрын
Safi 😍
@ilynpayne74913 жыл бұрын
Mose ni jamaa yuko poa sana 🙏🙏🙏🙏
@lightnessjohnson63533 жыл бұрын
Jmn mose ana good sound walah vile
@bibiejumabibie88353 жыл бұрын
Mwandishi nyoko maswali gani hayo eti mlianza mapenzi mda gani
@alimaamwangome4663 жыл бұрын
Sana Hadi nimempenda
@rhodabagango32212 жыл бұрын
One week ooooopsss bongo movie tamuuu
@agnessnkana80793 жыл бұрын
Upo vizur Sana Mose hongera sana uongeaji wako unaleta mvuto
@azizaabubakar55953 жыл бұрын
Mtangazaji unakosea ktk kiti chako wewe nimtanzania tena kioo cha jamii kwanini ubachanganya na kiingereza ebu fatilieni watangazaji wa rwanda burundi wakiogea kifaransa nikifaransa kintaruanda kinyaruanda huwa nawashangaa sana watangazaji hasa wakike mjitafakari. Ampeda gea Dida nawengine wapo wanajitahidia sana kuongea kiswahili
@victorkamaleki84203 жыл бұрын
Mkali mosse we mpelekee moto #ruby achana na kelele za kusah
@mustafaazizi97123 жыл бұрын
Nakubal iyobo
@lyricallyclassic11123 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/nKbceYyjnd6kqNE
@zanzibarspice86863 жыл бұрын
Jamani Mose Pose nying sana I dont know maisha yake ya kawaida anatabia Gan ila hapa he seems yo be so Humble and kind hearted person
@magejuliani52933 жыл бұрын
Hawa wasanii bana! Anamuita mwenzie bi mkubwa! Mungu awasaidie maana hata kupima hampimi
@yusrasalum3 жыл бұрын
Jamani mkapa muda wa kufanya mapenzi ujue diva kipindi chako noma 😂😘
@pax64473 жыл бұрын
Hana maswali huyu🤣🤣🤣🤣
@pendolazaro46863 жыл бұрын
😂😂😂
@vanessalaizer43633 жыл бұрын
Mkapa tena??🤣🤣🤣
@believeroppah7443 жыл бұрын
mose my son nakukubari sana
@humphreyleodgar94349 ай бұрын
Ukimsikiliza kwenye redio unaweza kudhani ni ........
@abelteonest98893 жыл бұрын
Wanawake nanyie.mlizike jaman
@sweetienadia8373 жыл бұрын
Big up bro endelea na Rubi plz
@annatoriamkombo59253 жыл бұрын
Mungu akuongoze na ruby wako
@saumusalimuhassan24993 жыл бұрын
Mashallah, nice stor
@lyricallyclassic11123 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/nKbceYyjnd6kqNE
@TeacherBoda Жыл бұрын
Hata kama mwanmke alikutongoza au alianza yeye kuonyesha husia kwako mwanume hupaswi kusimama na kusema et yeye ndio alinitongoza..You have to be a gentleman
@official_neemamlay180tz2 жыл бұрын
Sikujua kama ipo siku mtaachana na Auntie
@salhamrisho81383 жыл бұрын
Kka nampenda saana uyu
@kadzitumapesah79964 күн бұрын
Unaogea kama mwanamke ihate the voixe ksah iz real ata cjui Aunty aliona nini😂😂😂
@farhadhassansaid88303 жыл бұрын
Maswali ya kufanya mapenzi ww unauliza inakuhusu nn, mmbo na mahusiano ni ya watu wawili manake hayo ni mmbo ya ndani ni bora uulize maswali mengine
@dorothmungure93933 жыл бұрын
Kweli aisee hata Mimi ameniboa, utadhani siyo professional bwana.
@theblessedone75263 жыл бұрын
Huyu diva msenge tu wakawaida Yani anaudhi kweli
@farhadhassansaid88303 жыл бұрын
@@theblessedone7526 ndio hivo, mbne yake hayasemi
@farhadhassansaid88303 жыл бұрын
@@dorothmungure9393 sana tu
@cybrithyjdm56053 жыл бұрын
Kakosea haswa utazan ye bk
@chrisjacob40573 жыл бұрын
Ety me na B,kubwa tulikutana south Africa
@jenifajuma53953 жыл бұрын
Ni bimkubwa coz now atakuwa na 41 au 40 kama sikosei
@jumakapilima72954 ай бұрын
Ni dharau kubwa
@lilianhumphrey83993 жыл бұрын
Unapo ulizwa maswali unatakiwa mtt wa kiume ujibu strait kujicheke lesha chekelesha halafu mtu mzima mwanaume kingine ktk mahusiano kilamtu afiche mapungufu ya mwenzie sio kitu kizur kutangaziana au kuweka public mapungufu ya mtu but diva kipindi chako nikizur mno nakipenda
@topranking0133 жыл бұрын
Anacheka cheka had wengne tunashndwa kuvumilia kuendelea kutazama
@ignassindabaha18133 жыл бұрын
Ndo shida ya dancers wanacheka cheka muda wote
@samwelmwaimu90713 жыл бұрын
Msimjaj mtu kwa kumuona physical appearance yake without knowing what exactly he feel inside after what has been through
@topranking0133 жыл бұрын
@@samwelmwaimu9071 yan kuongelea physical motion zake yeye kama mtot wa kiume we unaona tumem judge? Au kwako wew ku judge kuna maana gan adi umesem ivo
@vanessalaizer43633 жыл бұрын
Kuchekacheka ni dalili ya kutokujiamini, mwanamke akicheka wanasemaga ooh anajichekesha kama ma..la..ya, mwanaume akicheka sijui ndo wanaitaje sasa
@agnesmoriss74633 жыл бұрын
kumbe mose ni mhandii❤
@dragon_tz3 жыл бұрын
Acha aende..sisi tunabaki na RUBY WETU..tenatutampa korabo za zuchu hahahahaaaa
@emmanueljoseph25763 жыл бұрын
Siyo zuchu na mond kabisa
@saumusalimuhassan24993 жыл бұрын
Wewe 😄😄
@dragon_tz3 жыл бұрын
Hahahahah.....,
@jeyshillyjack44703 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣jamani
@dragon_tz3 жыл бұрын
@@jeyshillyjack4470 ndy WCB hatutaki mchezoo
@ismailyusuph7403 жыл бұрын
Ah..!...yule Aunt Ezekieli mbona chizi uboo ‘ Watu walikua na WANAJIPAKULIA hovyo tu mpk Sasa...!...pale unatakiwa UNGONGA halafu unafanya mambo yako..!..Lkn kusema wa peke yako SAHAU..!
@embeothman36313 жыл бұрын
unalegeza sana sauti kama dem.... sauti haifanani na mwili au mwonekano wako....pozi za sauti kwa mwanaume inapendeza iwe base na sio sauti ya puani.
@alibakari71762 жыл бұрын
ndio sauti yake
@jumakapilima72954 ай бұрын
Afadhali Kaka umeona, inaonekana kama anapakuliwa,,,
@mdzainb37223 жыл бұрын
Kuna maswali ya kipumbavu alafu mjue mnapouliza maswali kuna watoto wenu watakuja kuona hizo
@mwanaidhassan99773 жыл бұрын
Kabisa my dear yaan huyu mose yaan hawajijui kama wanatoto
@lyricallyclassic11123 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/nKbceYyjnd6kqNE
@humphreyvidonyi2533 жыл бұрын
Hpo tukifika hpo tunaulizia kuhusu shule ya mtu
@zumbeshauri81143 жыл бұрын
Kabisa eti mlianza kufanya mapenzi mdagani 😂 siusiku?
@saudamnyeusi Жыл бұрын
❤
@salmaabdulabdul52003 жыл бұрын
Piga kelele kwa bi mkubwaa wake 🤣🤣🤣🤣 tenaaaaaaaa
@Papi.Al.Pacino3 жыл бұрын
Usaliti upo 6:50
@evodiusantony21153 жыл бұрын
Kweli Kweli
@anga360updates43 жыл бұрын
Ila jikaze kidogo usilegee sana bro
@lightnessjohnson63533 жыл бұрын
Nan ameskia anaitwa bi Mkubwa ohooo
@mathewungani97246 ай бұрын
Ndugu yake,Jose Micisone
@israelnibigira49903 жыл бұрын
Sio poa kuuliza mambo kama hao
@judyngowi3912 жыл бұрын
Kavulana kazurii.. kanafaa kwa matumizi ya nyumbani, ningekuwa star ningekaiba...
@delishbby85423 жыл бұрын
Yaani diva ni mfupi kwelikweli
@paulhumay48293 жыл бұрын
Sema mwana anabana pua sana kaza sauti kama mwanaume unacheka kama shori aise..
@bintiiddy70433 жыл бұрын
Et Bi mkubwa 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😢😢😢😢😢😢😢🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂
@vanessalaizer43633 жыл бұрын
All in all yalopita sindwele mgange yajayo
@kulway46693 жыл бұрын
Hii
@zainabmaulid963710 ай бұрын
Iyo sauti vipi mbona kama msenge wa buza mtt wa kiume kaza sauti
@subirajohn7283 жыл бұрын
Diva bwana😄😄😄😄😄😄😄😀😀😀
@monicahjared24123 жыл бұрын
Bi mkubwa tena jamani mapenzi shikamoooo
@annahfrancis70463 жыл бұрын
Ukifatilia interview nyingi za uyu dada ana maswali yanakera ambayo yalikuwa hayana ata umuhim wa kumuuliza mtu. Usisahau hii atakuja kuangalia hata mwanae baadae. Uwe unbalance maswali yako diva.
@humphreyvidonyi2533 жыл бұрын
Huyu hanaga uweledi ktk tasnia hii kwanza cdhani kama anamtoto ? Huwezi uliza maswali yakipuuzi namna hii vey stupid
@bigdreamer88573 жыл бұрын
Kabisa ana maswali ya hovyo na mtirirko mbovu
@mahmoudaziz47173 жыл бұрын
Kweli kabisa
@fatumayusufu17063 жыл бұрын
Tarent zero
@baimarrajahbuayan62373 жыл бұрын
Kabisa yaaan anaboa muda mwingine, mmbea Sana tatizo anataka kujua had ya ndan Zaid
@joycenicodemus.22323 жыл бұрын
Eti bimkubwa mmmmmh nyie mastar wakike acheni kuwapenda wavulana wadogo Sasa aunt unaitwa bi,mkubwa🤔🤔🤔
@pax64473 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@shamimhassan43853 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂Sini bikubwa tu
@mwajabuissa12543 жыл бұрын
😂😂😂
@joycenicodemus.22323 жыл бұрын
@@shamimhassan4385 🤣🤣🤣🤣eti bimkubwa
@crershawmafia10093 жыл бұрын
🤣😂😂😂🤣🤣 bimkubwa ndio
@shivobs44853 жыл бұрын
Yeye amesahau yake na heri music
@OmarMohamed-tp4uf3 жыл бұрын
eid amini yobo
@liliansalama50813 жыл бұрын
Lkn yataka moyo kumuacha aunty maana sikwauzuri huo lkn kujiheshimu na kujithamini pia yatakikana
@gashershadrack67733 жыл бұрын
Hahah
@rukiakhamsin92203 жыл бұрын
Jamani 🤣🤣🤣jamani leo iyobo anamuita mama kukii bi mkubwa 🤣🤣makubwa 🙉🙉
@ambokileosward88503 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@fanjosfaraja23543 жыл бұрын
sizani kamuita vibaya nikama ilo neno nahisi nilakumuheshinsha hajamaanisha ni mtu mzima
@lyricallyclassic11123 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/nKbceYyjnd6kqNE
@pendolazaro46863 жыл бұрын
😂😂😂
@abuukamanda.s.mkenga66873 жыл бұрын
Duuu! Diva hata hau. Edity hata kidogo duuu🙊🙊
@janetahmed69483 жыл бұрын
Huo aunty ni malaya sana tu na huo kusah wataachana mi nipo hap
@lylianlylian87862 жыл бұрын
Saaaafi saana jibu bila uoga jiamini tu wewe simwanume jamani
@humphreyvidonyi2533 жыл бұрын
Hvi kwa mtu kama auntezekiel na huo ulevi wake asim saliti kweli mshikaji ni kitu ambacho akiwezikani mpaka YESU anarudi
@theblessedone75263 жыл бұрын
Msijifanye hamjasikia Anty akiitwa bi Mkubwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂
@saummustaf3233 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😁😀😁😂😂😂😂😁😆
@kombakomba79223 жыл бұрын
Ndo nashangaa
@crershawmafia10093 жыл бұрын
😅😅😅😅😅😅😅
@jamilajamila45723 жыл бұрын
Uyu moze iyobo nimtu mtaratibu sana
@jamilasalimvilog67523 жыл бұрын
Umeona somo 🥰🥰🤝
@lyricallyclassic11123 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/nKbceYyjnd6kqNE
@linethowire7031 Жыл бұрын
Nyie wenye Talents ziko wapi?jifunzeni KUWAFURAHIA wengine ktk KAZI Zao....acheni maneno machafu....mnajionyesha mko na VERY NARROW SHALLOW MINDED...
@ilhamb12873 жыл бұрын
Et sio ile kunitongooooooooooooozaaaaaa😊
@esthersilas65802 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@germanerwilliamu46983 жыл бұрын
Mbona inaonekana anajiongelesha tu hapo bado anampenda aunt ' atarudiana nae huyo walahi kuna mikomoano tu inapita kwakunyata
@rajabzando87303 жыл бұрын
wasafi
@lyricallyclassic11123 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/nKbceYyjnd6kqNE
@chrisjacob40573 жыл бұрын
Just a single 1 week duh
@rachelkikwesha8273 жыл бұрын
Huy ndiy anaonekan handsome san kulik hat huy cheupe wak lakin mm naona alimfat ili hapat mtot mweup ila kwa yule kabug
@daishajumanne59903 жыл бұрын
Heeh bi mkubwa tena basi muite bimdashi kabisa😂😂😁😁😁😁😁😁😀😀😀😂😂😂
@jenifajuma53953 жыл бұрын
😄😄😄😄
@aminarashid73523 жыл бұрын
Mmh huy siyo mwana ume saut gan hiyo
@catherinemasiga66663 жыл бұрын
Bi mkubwa jamani
@fettymurhan2293 жыл бұрын
hapa ruby kapata mume jamaniii
@agnesagnes50823 жыл бұрын
Ata bila shaka huyo kusah pia alimtongoza iiii tabia mbovu kweli
@IddaItuga-o9d8 ай бұрын
Mwanaume gani sauti yenyewe kamamwanamke
@mamayassin50803 жыл бұрын
Uyo nae Ayo maswali yke
@subirachuta81693 жыл бұрын
Duuuuh!!!! Bi mkubwa!!!!!!
@hailinhelen46753 жыл бұрын
Huyu jamaa anaonesha ana akili za kitoto bado ..acha kukata viuno vinatowa akili same time