Azam TV - Mzee Makamba awasha moto tena, ampiga dongo Lowassa

  Рет қаралды 245,432

Azam TV

Azam TV

Күн бұрын

Ni katika mkutano mkuu wa CCM uliofanyika leo mjini Dodoma

Пікірлер: 87
@yusuphyasin601
@yusuphyasin601 6 жыл бұрын
mbowe na wewe upishe sasa mwenyekiti miaka yote
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 Жыл бұрын
Makamba is not. Polition already on his age has to muser plan for keeping his wisdom In place politics Wich makamba has got is for yang polition But makamba already got challenge on his speech on different way from yang polition Type of speech makamba has to creat is like speech of late Julia's kambarage nyerere or Ally type atlist or Hassan mwinyi number 2 president Pablic of tanzania How he gaide his wisdom This is what makamba has to covered himself on wisdom speech apart from that makamba has to asepty lmbarasing in different ways speech of opposition Yang generation
@njombohainga3027
@njombohainga3027 6 жыл бұрын
uko sawa baba magufuri hapa kazi tuu
@rajabali7769
@rajabali7769 2 жыл бұрын
I am Kenyan of Tz roots i proudly admire Mzee Makamba.
@husseinkingai2694
@husseinkingai2694 6 жыл бұрын
Mzee anazeeka mwili Bali akili aminia hongera sana fadha
@happinessmwenda2773
@happinessmwenda2773 2 жыл бұрын
YESU NA MITUME WAKE NA WATU WAOVU WAPI NA WAPI.????MSIMDHIHAKI YESU MNAKOSEA HATA KUTAJA JINA LAKE NA MITUME WAKE.MMEYAONA YALIYOWATOKEA.
@زيتونتنزانيا
@زيتونتنزانيا 2 жыл бұрын
Kwahiyo Wewe ndio mkristo sana kuliko yesu hovyoooooo
@mkurangacnajemasabatochane4626
@mkurangacnajemasabatochane4626 6 жыл бұрын
dhambi ni mbaya xana hua malipo hapa hapa utabatzwa wewe kabla huja uonja umauti kamwe Mungu hawi radhi na dhambi
@aggreykyongosya6314
@aggreykyongosya6314 2 жыл бұрын
AnononoooooonnnnnnnonnN. J. O positive nn
@bisekoc.k.jenjela7936
@bisekoc.k.jenjela7936 6 жыл бұрын
Mzee wetu safi sana.
@gracethomas683
@gracethomas683 6 жыл бұрын
I like mzee Yusuph Makamba 😍😍😍
@mwajumabulugu4115
@mwajumabulugu4115 6 жыл бұрын
ccm oyeeee
@mgasamalulu3557
@mgasamalulu3557 6 жыл бұрын
Nimekubali sana mzee una busara sana
@raphaelraphael9802
@raphaelraphael9802 2 жыл бұрын
Mizee mingine bwana
@trophainamagogwa9590
@trophainamagogwa9590 5 жыл бұрын
Makamba umeisoma nchi ya Nje kwa upande wa kujua nani mshindi,maana Usioshinda nyumba kumi kumi huko mbele ni kugumu hata Marekani walianza kuogopa baada ya kuona ngazi ndogo ndogo hakuna kitu
@josephmlwafu8051
@josephmlwafu8051 5 жыл бұрын
Saizi maneno y'ako VIP xaiz
@rashidmohamedomar8300
@rashidmohamedomar8300 6 жыл бұрын
Kumekucha "mzee mkapa baada maneno haya unahitaji mengine"
@ramadhanishabani9595
@ramadhanishabani9595 6 жыл бұрын
kumbe makamba nijembe
@elisantewawa3047
@elisantewawa3047 6 жыл бұрын
Gasper kimario wazee ni hazina akili wanayo.labuda we we duo huna akili
@subramashs2236
@subramashs2236 6 жыл бұрын
Elisante Wawa kweli kabisa
@jacobukakuju9171
@jacobukakuju9171 6 жыл бұрын
amnakitu
@julianajohn5256
@julianajohn5256 2 жыл бұрын
Nyie nao mshukuruni jpm,ccm ilikuwa imekufa na hivi mmerudi mnaiua sasa hivi wapinzani watachukua nchi.
@sebastiannyambweta9863
@sebastiannyambweta9863 6 жыл бұрын
Maneno haya yana mchongo mkubwa katika kujenga chama
@revocatussebastian2427
@revocatussebastian2427 2 жыл бұрын
Anaongea kama yupo kwenye muhazara iyo team wapigaji na safari za ulaya
@jacquelinemabula2519
@jacquelinemabula2519 6 жыл бұрын
Nakupendaga saana wewe mzee quote zako baba hakuna anaye toboa unafanya kurejea tu kwa bibilia takatifu na quran takatifu ubarikiwe
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 6 жыл бұрын
jacqueline mabula mnh
@johnsinyinza7450
@johnsinyinza7450 2 жыл бұрын
Acha upuzi wakudangañya wàtu
@habibomary7444
@habibomary7444 6 жыл бұрын
hawa wazee ukiwapa nafasi ya kuzungumzaaa mmmh...hatari
@ivanymtaki3585
@ivanymtaki3585 6 жыл бұрын
Hahahaha kumbe Kuna wenyeviti wa maisha
@yuventmpiru7738
@yuventmpiru7738 4 жыл бұрын
Ngoja ubatizo uhamie kwako sasa, unalipwa ulichopanda
@mropeamadeus5445
@mropeamadeus5445 6 жыл бұрын
Safi Sana Makamba wewe ni Mtu muhiimusa Sana Tanzanian
@radhiyahassan2755
@radhiyahassan2755 3 жыл бұрын
Unafaa mzee sasaungekuwa kijana ingekuwa balaa
@doreenkahunde3186
@doreenkahunde3186 4 жыл бұрын
Mzee Mungu akubarike
@trophainamagogwa9590
@trophainamagogwa9590 5 жыл бұрын
Makamba siku zoote uko Imara nakumbukuka Kigoma Kabanga ulichokifanya ,kabisa Uko Jembe
@buildtekconsultants9687
@buildtekconsultants9687 6 жыл бұрын
Upinzani sio dhambi. Kuua upinzani ni kosa la jinai maanake mnawalazimisha wananchi waweke mayai yao yote kwenye kikapu kimoja. Ukosefu wa mawazo mbadala sio jambo la maendeleo. Ukiangalia kwa makini mambo mengi yanayofanywa sasa hivi na kusifiwa na wananchi ni hoja au mawazo yaliyoibuliwa na upinzani na kuporwa na chama tawala. Upinzani wenye nguvu ni chachu ya maendeleo ya nchi yoyote.
@gabrielmugabo9223
@gabrielmugabo9223 6 жыл бұрын
Peter Salyeem hata kama wamepolwa agenda wangetekelezaje na madalakani hawapo?
@tabusalum1318
@tabusalum1318 6 жыл бұрын
Mbowe ang,atuke awaaache vijana washike hatamu
@emmanuelsamwelu1222
@emmanuelsamwelu1222 Жыл бұрын
Leo wema hawafi hii ndio dunia
@saidisalesi7313
@saidisalesi7313 6 жыл бұрын
Hakuna maandiko ya mtindo huo. Usitafsiri maandiko kama upendavyo wewe.
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu 6 жыл бұрын
Acha Kumtaja Yesu kwenye Ushetani Wewe Changudoa Mchumia Tumbo
@omarimasanga
@omarimasanga 6 жыл бұрын
Mzee makamba hiyo aya ya pili ktk surat baqra haizungumzii hicho ulicho kisema.
@shanelmbunga7522
@shanelmbunga7522 4 жыл бұрын
Uishi miaka mingi unasema ukwel
@tereseamasawe8111
@tereseamasawe8111 6 жыл бұрын
MZEE MAKAMBA SAFI SANA.MSEMA UKWELI NI MPENZI WA MUNGU.
@saudakambi195
@saudakambi195 6 жыл бұрын
Nsipenda ccm sana
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 6 жыл бұрын
Kibali cha matus tz kumbe kipo
@ssiddenniuussddeenniss8293
@ssiddenniuussddeenniss8293 6 жыл бұрын
kazi IPO wapinzani wanaunekana hawana maaana msilazimishe mawazo ya mmoja yawe ya ote,na hayo yote in batili
@priscamallya3661
@priscamallya3661 3 жыл бұрын
Haki ilitendeka mzee
@shanelmbunga7522
@shanelmbunga7522 4 жыл бұрын
Mzee makamba nakuelewa sana kwa utabili wa ukwel
@felixkamkala3303
@felixkamkala3303 6 жыл бұрын
Wapinzani watapata tabu sana2020!!
@matembelerichard9416
@matembelerichard9416 6 жыл бұрын
vipi redio hamna nyie mnadili na luninga tu
@mcjabbyevents4938
@mcjabbyevents4938 6 жыл бұрын
Ccm oyee mzeee Makamba unamaneno yaliyojaaa neno tupuuuuuuuuuuuuu uendeleeee baba safi nakuombea maisha marefu
@yahayaolomi1057
@yahayaolomi1057 3 жыл бұрын
Huyu mzee ni ana style yake
@omariidarushizaomariidarus4338
@omariidarushizaomariidarus4338 5 жыл бұрын
لم تقولون مال تعلمون
@charleskihiyo3393
@charleskihiyo3393 6 жыл бұрын
wachumia tumbo wote hao
@emmanuelmujungu2734
@emmanuelmujungu2734 6 жыл бұрын
Mungu tusamehe maana hakuna aliye mkamilifu..
@asiakheir3846
@asiakheir3846 6 жыл бұрын
Ubatizo wamoto kanisa gani?
@hindisaidi5097
@hindisaidi5097 6 жыл бұрын
upinzani unaothamini maendeleo ya kweli .sio upinzani unaobeza kiiila kitu cha serikali .kudharau askari WA nchi yako mwenyewe.Israel kuna vyama vingi lakini "policy" ya serikali haibezwi inathaminiwa na wote.upinzani WA KWELI mi naupenda .
@angelinnamkingi7106
@angelinnamkingi7106 6 жыл бұрын
Hindi saidi Ni kweli, hapa kwetu Tanzania upinzani sio kabisa.
@albanosimon6708
@albanosimon6708 6 жыл бұрын
Hindi saidi we ulifika Israel au ndo kiki zenyewe faida za upinzani unazijua leo tz tupo hvi kwa sbb ya upinzn
@isululumashimba2143
@isululumashimba2143 6 жыл бұрын
Mh,makamba
@shukurumuhaya7426
@shukurumuhaya7426 6 жыл бұрын
Hapa kazi tu.
@faridmobji
@faridmobji 6 жыл бұрын
Daaaah! 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
@perediusmartin221
@perediusmartin221 6 жыл бұрын
Safi mzee
@gitu4me
@gitu4me 6 жыл бұрын
Hahha
@kevinjeremiah6972
@kevinjeremiah6972 6 жыл бұрын
hakuna cha HP kz
@karanjakamau57
@karanjakamau57 6 жыл бұрын
Hii ndio sababu wabongo watakuwa MASIKI MPAKA MWISHO WA DUNIA
@josephmarwa3924
@josephmarwa3924 6 жыл бұрын
MAENDELEO HAYAWEZ KULETWA NA CHAMA KIMOJA. IJAWATOKEA DUNIANI ( KATIBA MPYA INAHITAJIKA)
@lothanathanael2286
@lothanathanael2286 6 жыл бұрын
Tuseme ccm inahubiriwa injili ni kwa nini isiwe katba yao, KWA hiyo siasa nayo NI ruhusa kanisani sio.
@gasperkimario8411
@gasperkimario8411 6 жыл бұрын
hivi hawa wasee wana akili kweli Tanzania hii mungu anaona
@stevenmamba2464
@stevenmamba2464 6 жыл бұрын
HAHAHAHA
@subramashs2236
@subramashs2236 6 жыл бұрын
Gasper Kimario usimtaje Mungu bure hivi nyie watu mnataka nini
@subramashs2236
@subramashs2236 6 жыл бұрын
Gasper Kimario nyie ndio mnao wadharau wazee wenu
@mariachahe7077
@mariachahe7077 6 жыл бұрын
Gasper Kimario we we ndio huna akili unadharau wazee na kutaja jina Mungu Bure😕
@gothardmwango6119
@gothardmwango6119 6 жыл бұрын
Maarifa gani yaliyozidi baba kama sio kubaka demokrasia? Tuache porojo . . . na tufanye siasa za kimaendeleo!
@rukiaabdallah92
@rukiaabdallah92 6 жыл бұрын
Shida hiii
@allydaraja1949
@allydaraja1949 6 жыл бұрын
Kweli huu moto si wa nchi hii ni noma.
@bizoojoh9145
@bizoojoh9145 6 жыл бұрын
Safiii sanaa hawa wazeee
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu 6 жыл бұрын
Magufuli Sio Nabii ni Mbwa mhalifu Takataka na Ajali kwa Taifa
@tobesimatiku1987
@tobesimatiku1987 6 жыл бұрын
rushwa Kutoka 23:8 aiseeee
@trophainamagogwa9590
@trophainamagogwa9590 5 жыл бұрын
Thobias Marandu Kalete Raisi unayemuona anafaa,uchaguzi ukipita ujao nitakutafuta ili utuambie kama umempata Raisi mzuri Kuliko aliyepo
@saidomary4950
@saidomary4950 6 жыл бұрын
Mzee makamba yani umeongea pumba sana nilitegemea ungeongea mambo ya kukemea kutumia nguvu ya dola wewe na familia yako matatizo haya wapati
@tanzanite9944
@tanzanite9944 6 жыл бұрын
Mbona anavyojinengea uwanja wa ndege kijijini kwake humsemi? Mzee kapumzike acha kutusome mistari ya biblia ambayo tunaijua. Wewe ulikuwa kiongozi miaka kibao na rushwa ulizion ukagumbia macho mpaka ukastaaf. Pumba tuu mzee na mwanao alochomekwa serkalini.
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 6 жыл бұрын
Afanikiwe Chaula u/ndege bloo!!!!!!??? hospitali sawa wal cn ttzo nalo hata chembe.
@Ishengoma1
@Ishengoma1 6 жыл бұрын
Eti hana majivuno? Weee muogope mungu
Стойкость Фёдора поразила всех!
00:58
МИНУС БАЛЛ
Рет қаралды 4,5 МЛН
LIFEHACK😳 Rate our backpacks 1-10 😜🔥🎒
00:13
Diana Belitskay
Рет қаралды 3,9 МЛН
💩Поу и Поулина ☠️МОЧАТ 😖Хмурых Тварей?!
00:34
Ной Анимация
Рет қаралды 2 МЛН
小天使和小丑太会演了!#小丑#天使#家庭#搞笑
00:25
家庭搞笑日记
Рет қаралды 31 МЛН
Yusuph Makamba akimpamba Magufuli na vijembe kwa upinzani
18:40
Salamu za Mzee Makamba
9:50
KKKT DKMS Online TV
Рет қаралды 159 М.
MZEE YUSUF MAKAMBA KATIKA MKUTANO MKUU WA CCM KIZOTA
13:59
MUHIDIN MICHUZI
Рет қаралды 127 М.
ON AIR: Mshahara wa kwanza wa Waziri January Makamba mwaka 94
26:39
Стойкость Фёдора поразила всех!
00:58
МИНУС БАЛЛ
Рет қаралды 4,5 МЛН