Ni katika mkutano mkuu wa CCM uliofanyika leo mjini Dodoma
Пікірлер: 87
@yusuphyasin6016 жыл бұрын
mbowe na wewe upishe sasa mwenyekiti miaka yote
@abdalahgunda1319 Жыл бұрын
Makamba is not. Polition already on his age has to muser plan for keeping his wisdom In place politics Wich makamba has got is for yang polition But makamba already got challenge on his speech on different way from yang polition Type of speech makamba has to creat is like speech of late Julia's kambarage nyerere or Ally type atlist or Hassan mwinyi number 2 president Pablic of tanzania How he gaide his wisdom This is what makamba has to covered himself on wisdom speech apart from that makamba has to asepty lmbarasing in different ways speech of opposition Yang generation
@njombohainga30276 жыл бұрын
uko sawa baba magufuri hapa kazi tuu
@rajabali77692 жыл бұрын
I am Kenyan of Tz roots i proudly admire Mzee Makamba.
@husseinkingai26946 жыл бұрын
Mzee anazeeka mwili Bali akili aminia hongera sana fadha
@happinessmwenda27732 жыл бұрын
YESU NA MITUME WAKE NA WATU WAOVU WAPI NA WAPI.????MSIMDHIHAKI YESU MNAKOSEA HATA KUTAJA JINA LAKE NA MITUME WAKE.MMEYAONA YALIYOWATOKEA.
@زيتونتنزانيا2 жыл бұрын
Kwahiyo Wewe ndio mkristo sana kuliko yesu hovyoooooo
@mkurangacnajemasabatochane46266 жыл бұрын
dhambi ni mbaya xana hua malipo hapa hapa utabatzwa wewe kabla huja uonja umauti kamwe Mungu hawi radhi na dhambi
@aggreykyongosya63142 жыл бұрын
AnononoooooonnnnnnnonnN. J. O positive nn
@bisekoc.k.jenjela79366 жыл бұрын
Mzee wetu safi sana.
@gracethomas6836 жыл бұрын
I like mzee Yusuph Makamba 😍😍😍
@mwajumabulugu41156 жыл бұрын
ccm oyeeee
@mgasamalulu35576 жыл бұрын
Nimekubali sana mzee una busara sana
@raphaelraphael98022 жыл бұрын
Mizee mingine bwana
@trophainamagogwa95905 жыл бұрын
Makamba umeisoma nchi ya Nje kwa upande wa kujua nani mshindi,maana Usioshinda nyumba kumi kumi huko mbele ni kugumu hata Marekani walianza kuogopa baada ya kuona ngazi ndogo ndogo hakuna kitu
@josephmlwafu80515 жыл бұрын
Saizi maneno y'ako VIP xaiz
@rashidmohamedomar83006 жыл бұрын
Kumekucha "mzee mkapa baada maneno haya unahitaji mengine"
@ramadhanishabani95956 жыл бұрын
kumbe makamba nijembe
@elisantewawa30476 жыл бұрын
Gasper kimario wazee ni hazina akili wanayo.labuda we we duo huna akili
@subramashs22366 жыл бұрын
Elisante Wawa kweli kabisa
@jacobukakuju91716 жыл бұрын
amnakitu
@julianajohn52562 жыл бұрын
Nyie nao mshukuruni jpm,ccm ilikuwa imekufa na hivi mmerudi mnaiua sasa hivi wapinzani watachukua nchi.
@sebastiannyambweta98636 жыл бұрын
Maneno haya yana mchongo mkubwa katika kujenga chama
@revocatussebastian24272 жыл бұрын
Anaongea kama yupo kwenye muhazara iyo team wapigaji na safari za ulaya
@jacquelinemabula25196 жыл бұрын
Nakupendaga saana wewe mzee quote zako baba hakuna anaye toboa unafanya kurejea tu kwa bibilia takatifu na quran takatifu ubarikiwe
@mnzavachris54236 жыл бұрын
jacqueline mabula mnh
@johnsinyinza74502 жыл бұрын
Acha upuzi wakudangañya wàtu
@habibomary74446 жыл бұрын
hawa wazee ukiwapa nafasi ya kuzungumzaaa mmmh...hatari
Safi Sana Makamba wewe ni Mtu muhiimusa Sana Tanzanian
@radhiyahassan27553 жыл бұрын
Unafaa mzee sasaungekuwa kijana ingekuwa balaa
@doreenkahunde31864 жыл бұрын
Mzee Mungu akubarike
@trophainamagogwa95905 жыл бұрын
Makamba siku zoote uko Imara nakumbukuka Kigoma Kabanga ulichokifanya ,kabisa Uko Jembe
@buildtekconsultants96876 жыл бұрын
Upinzani sio dhambi. Kuua upinzani ni kosa la jinai maanake mnawalazimisha wananchi waweke mayai yao yote kwenye kikapu kimoja. Ukosefu wa mawazo mbadala sio jambo la maendeleo. Ukiangalia kwa makini mambo mengi yanayofanywa sasa hivi na kusifiwa na wananchi ni hoja au mawazo yaliyoibuliwa na upinzani na kuporwa na chama tawala. Upinzani wenye nguvu ni chachu ya maendeleo ya nchi yoyote.
@gabrielmugabo92236 жыл бұрын
Peter Salyeem hata kama wamepolwa agenda wangetekelezaje na madalakani hawapo?
@tabusalum13186 жыл бұрын
Mbowe ang,atuke awaaache vijana washike hatamu
@emmanuelsamwelu1222 Жыл бұрын
Leo wema hawafi hii ndio dunia
@saidisalesi73136 жыл бұрын
Hakuna maandiko ya mtindo huo. Usitafsiri maandiko kama upendavyo wewe.
@ThobiasMarandu6 жыл бұрын
Acha Kumtaja Yesu kwenye Ushetani Wewe Changudoa Mchumia Tumbo
@omarimasanga6 жыл бұрын
Mzee makamba hiyo aya ya pili ktk surat baqra haizungumzii hicho ulicho kisema.
@shanelmbunga75224 жыл бұрын
Uishi miaka mingi unasema ukwel
@tereseamasawe81116 жыл бұрын
MZEE MAKAMBA SAFI SANA.MSEMA UKWELI NI MPENZI WA MUNGU.
@saudakambi1956 жыл бұрын
Nsipenda ccm sana
@husseinkonz51926 жыл бұрын
Kibali cha matus tz kumbe kipo
@ssiddenniuussddeenniss82936 жыл бұрын
kazi IPO wapinzani wanaunekana hawana maaana msilazimishe mawazo ya mmoja yawe ya ote,na hayo yote in batili
@priscamallya36613 жыл бұрын
Haki ilitendeka mzee
@shanelmbunga75224 жыл бұрын
Mzee makamba nakuelewa sana kwa utabili wa ukwel
@felixkamkala33036 жыл бұрын
Wapinzani watapata tabu sana2020!!
@matembelerichard94166 жыл бұрын
vipi redio hamna nyie mnadili na luninga tu
@mcjabbyevents49386 жыл бұрын
Ccm oyee mzeee Makamba unamaneno yaliyojaaa neno tupuuuuuuuuuuuuu uendeleeee baba safi nakuombea maisha marefu
@yahayaolomi10573 жыл бұрын
Huyu mzee ni ana style yake
@omariidarushizaomariidarus43385 жыл бұрын
لم تقولون مال تعلمون
@charleskihiyo33936 жыл бұрын
wachumia tumbo wote hao
@emmanuelmujungu27346 жыл бұрын
Mungu tusamehe maana hakuna aliye mkamilifu..
@asiakheir38466 жыл бұрын
Ubatizo wamoto kanisa gani?
@hindisaidi50976 жыл бұрын
upinzani unaothamini maendeleo ya kweli .sio upinzani unaobeza kiiila kitu cha serikali .kudharau askari WA nchi yako mwenyewe.Israel kuna vyama vingi lakini "policy" ya serikali haibezwi inathaminiwa na wote.upinzani WA KWELI mi naupenda .
@angelinnamkingi71066 жыл бұрын
Hindi saidi Ni kweli, hapa kwetu Tanzania upinzani sio kabisa.
@albanosimon67086 жыл бұрын
Hindi saidi we ulifika Israel au ndo kiki zenyewe faida za upinzani unazijua leo tz tupo hvi kwa sbb ya upinzn
@isululumashimba21436 жыл бұрын
Mh,makamba
@shukurumuhaya74266 жыл бұрын
Hapa kazi tu.
@faridmobji6 жыл бұрын
Daaaah! 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
@perediusmartin2216 жыл бұрын
Safi mzee
@gitu4me6 жыл бұрын
Hahha
@kevinjeremiah69726 жыл бұрын
hakuna cha HP kz
@karanjakamau576 жыл бұрын
Hii ndio sababu wabongo watakuwa MASIKI MPAKA MWISHO WA DUNIA
@josephmarwa39246 жыл бұрын
MAENDELEO HAYAWEZ KULETWA NA CHAMA KIMOJA. IJAWATOKEA DUNIANI ( KATIBA MPYA INAHITAJIKA)
@lothanathanael22866 жыл бұрын
Tuseme ccm inahubiriwa injili ni kwa nini isiwe katba yao, KWA hiyo siasa nayo NI ruhusa kanisani sio.
@gasperkimario84116 жыл бұрын
hivi hawa wasee wana akili kweli Tanzania hii mungu anaona
@stevenmamba24646 жыл бұрын
HAHAHAHA
@subramashs22366 жыл бұрын
Gasper Kimario usimtaje Mungu bure hivi nyie watu mnataka nini
@subramashs22366 жыл бұрын
Gasper Kimario nyie ndio mnao wadharau wazee wenu
@mariachahe70776 жыл бұрын
Gasper Kimario we we ndio huna akili unadharau wazee na kutaja jina Mungu Bure😕
@gothardmwango61196 жыл бұрын
Maarifa gani yaliyozidi baba kama sio kubaka demokrasia? Tuache porojo . . . na tufanye siasa za kimaendeleo!
@rukiaabdallah926 жыл бұрын
Shida hiii
@allydaraja19496 жыл бұрын
Kweli huu moto si wa nchi hii ni noma.
@bizoojoh91456 жыл бұрын
Safiii sanaa hawa wazeee
@ThobiasMarandu6 жыл бұрын
Magufuli Sio Nabii ni Mbwa mhalifu Takataka na Ajali kwa Taifa
@tobesimatiku19876 жыл бұрын
rushwa Kutoka 23:8 aiseeee
@trophainamagogwa95905 жыл бұрын
Thobias Marandu Kalete Raisi unayemuona anafaa,uchaguzi ukipita ujao nitakutafuta ili utuambie kama umempata Raisi mzuri Kuliko aliyepo
@saidomary49506 жыл бұрын
Mzee makamba yani umeongea pumba sana nilitegemea ungeongea mambo ya kukemea kutumia nguvu ya dola wewe na familia yako matatizo haya wapati
@tanzanite99446 жыл бұрын
Mbona anavyojinengea uwanja wa ndege kijijini kwake humsemi? Mzee kapumzike acha kutusome mistari ya biblia ambayo tunaijua. Wewe ulikuwa kiongozi miaka kibao na rushwa ulizion ukagumbia macho mpaka ukastaaf. Pumba tuu mzee na mwanao alochomekwa serkalini.
@mnzavachris54236 жыл бұрын
Afanikiwe Chaula u/ndege bloo!!!!!!??? hospitali sawa wal cn ttzo nalo hata chembe.