Leo me wamwisho😂😂 na mjawai nipa like naomba ata 5 ❤❤❤
@Rukua-i3o9 күн бұрын
Alafu ZENI napenda vyenye unatia Mungu kwenye hio misehe yetu ❤❤😂😂😂😂😂nasemaje tutafaulu na baba tutampa mali zake tu in sha Allah 🎉🎉🎉😂😂😂😂😂tunajiamn hata tukitishwa nyau Ongeren
Chado is the best actor mbona sana big up broo berry from Kenya
@CHADOMASTAA7 күн бұрын
Safi sana🎉🎉🎉🎉
@lovenessmichael70989 күн бұрын
Wa 9 leo kazi nzur zein
@SadikiRashidi-v3n9 күн бұрын
Jaman mbona me nakuwa wa mwisho kila siku kuna watu kam wanalala umu jaman nipen na mim like zangu ata kama nimechelewa❤️❤️❤️
@NagibHaddad2 күн бұрын
Chado uko juu mzee balala from mombasa 🇰🇪
@KareemJuma-n7b9 күн бұрын
Kazi zuri saaan 🎉🎉tuko pamoj 🤝
@Pat139enZaeadic9 күн бұрын
Nakupenda sana zein hujawai niangusha 🎉🎉🎉❤❤❤❤
@webnet56528 күн бұрын
Ongera san Zai kwa kuziwiya kofi la bikidawa😂😂😂
@Angelvivian-l7u9 күн бұрын
Mimi WA Kwanza nataka likes jamani please 🥺🙏🙏🙏
@Prettyrodah9 күн бұрын
Jamani bi kidawa apewe maua🎉yake🥰
@JosephineEbuela9 күн бұрын
Mimi zai a niachie Zain jamani Nampenda bure ❤❤❤
@RahemaOman8 күн бұрын
Hahahahaaaa njooooeni uku mbo yamenogaaa 😂😂😂😂 wap like 😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@LoiceKatana-ci1tx8 күн бұрын
Waa uku mambo ni moto 🎉🎉🎉❤ big up guys
@FaizaKabibi-tb2dj9 күн бұрын
Yaan hili linyanya macho makubwa anawaza Tu kua nimemchukia
@MariaMayon-xl1vw14 сағат бұрын
Mungu akusaidie zen coz naamini ushindi utakuwa wako🎉🎉🎉
@BakariMatano-i5f9 күн бұрын
safi sana chado
@LydiaLuganzu9 күн бұрын
wa kwanza naombq likes zenu kutoka kenya
@akimanaVanilla-su8pz9 күн бұрын
Wakwanz leo🌹
@SereneDonuts-nn6vq9 күн бұрын
Wakwanza jamani❤❤❤❤❤
@MwanashaMatao8 күн бұрын
Napenda zein jinsi unavyojitumaa❤
@RukiaShomary8 күн бұрын
Na utakua chiz bikadawa so uwendazimu tuuh
@MalkiorySusa8 күн бұрын
❤
@fatumaselemani38079 күн бұрын
Oyooooooooo ❤❤❤❤❤❤
@nurusaid46989 күн бұрын
Aya Msemo Mpaya Mumeusikiya Fadhili Fadhili Mbizi.....Bako Anamaudhi 😂😂😂😂😂😂😂😂
@MariaSalim-u5z8 күн бұрын
😂😂😂😂
@nurusaid46988 күн бұрын
@MariaSalim-u5z Hahahahha
@FaizaKabibi-tb2dj9 күн бұрын
Kwan unakula vichwa vya watu we Bibi maana unaitisha kichwa cha moze😅😂😂
@olicej78379 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂bi kidawa anakitaka kichwa cha mose😂😂😂😂
@LoveElly-c7u9 күн бұрын
Sloop na mimi nimejtahid kuwah😂😂
@JescaNowary9 күн бұрын
Mi pia wakwaza naomba like zenu wapendwa
@FidelisMutui8 күн бұрын
Nko apa kutoka Kenya ❤🎉
@jubaidamiss24099 күн бұрын
Next ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@BothainaBothaina-k6c9 күн бұрын
Bi kidawa kila MTU unataka auwawe Nani atabaki kwenye movie 😂😂 anyways congratulations 👏 Kwa kazi nzuri next plz 🎉🎉❤
@olicej78379 күн бұрын
Anabaki yeye na cm yake😂😂😂😂
@magogokarim52204 күн бұрын
Chado master😅😅😅😅, hapo umekutana na chuma kudadeki😅😅😅😅
@AsiaMsuo-k7w9 күн бұрын
Hi wapenz wezang wa BAKO THE KILLER
@winniemwaka32029 күн бұрын
Bikidawa😅😅😅kitakursmba😅😅😅😅zein mauwa kwako uko ww tu lakini wawafanya😅😅hawana imani🎉🎉🎉🎉😅😅😅
@FaizaKabibi-tb2dj9 күн бұрын
Kwan mnalala humu
@alexkalama42789 күн бұрын
Wakwanz kutok Kenya ✊✊💥
@RisgaRisga-x1d7 күн бұрын
😂😂😂weeee bikidawa
@AlexWilliam-o9s9 күн бұрын
Wa kwanz leo jaman ili likipind lina2p burudan kama unakubal chado gonga lik
@SkeetoSsaa8 күн бұрын
😂😂😂😂😂bi kidawa umetakq kuzimiq au
@NeemaMzur8 күн бұрын
Steering auwawi kamwe ila misukosuko ni lazima. ZEIN❤❤ mapambano yaendelee. Hiki kitaalam inaitwajeeee😢😢
@SakinaHassani-xm7ti8 күн бұрын
😂😂😂😂
@kwekwetsuma35249 күн бұрын
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
@JanetRiziki-ut2is8 күн бұрын
Bikidawa suburi kikurambe sasa😂😂😂😂
@LettyLussi9 күн бұрын
Binafsii Niko apa kwa ajili ya chado😂
@TyOp-qp6mm9 күн бұрын
Naomba lake zenu🎉🎉🎉❤❤
@LindaUrassa9 күн бұрын
Ukiwa na mhukuu kma zai jman had raha nmempenda bureeee maua yke plsss🎉😅
@Tilove129 күн бұрын
Mungu ni mwema
@LilianJuma-q6y8 күн бұрын
Zein naamini utashinda tu maana wewe ni jasiri mno, lazma ushinde
@JamilaBocha9 күн бұрын
Mm maoni yangu zeni hafai kuwachana na zai atamsaidia kwa hii vita
@SakinaHassani-xm7ti8 күн бұрын
Naam waungane ndio Kes itakuwa rais
@mishiabdhallah52288 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hiii episode bibi ameniacha hoiiiii nakubali chado, wasema bibi KAZI yake ni kuamuru tu😂😂😂
@FacetheMacomz-f2y7 күн бұрын
Haise nikazi mzuri
@AsmaAsma-og6ul8 күн бұрын
😂😂😂😂😂 bi kidaw
@FaridaJohn-f2s9 күн бұрын
❤❤❤
@mariamumdoe14668 күн бұрын
❤❤🎉🎉
@KhairatSaateni8 күн бұрын
Bi kidawa ata ikimalz hii movie na ww tukakupime pressure maan sio kwa sukari unazo kunywa😅😅😂😂😅
@Pasicke9 күн бұрын
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@FaizaKabibi-tb2dj9 күн бұрын
Next tuone Bibi akila vichwa😂😂
@FurahaMweci8 күн бұрын
❤❤❤😊😊😂
@Deborahdestiny-sy9ie8 күн бұрын
Zain kuwa makini sana ukijua wanapanga mabaya 😢
@NaseebMustafa9 күн бұрын
Eti kesi ya nyani umupelekee ngedele😂😂
@nasrinahirwete81118 күн бұрын
Chado kitengo tunakusubil kwenye kazi yetu uku
@RooRoo-mg3iu9 күн бұрын
Bikidawa kayakanyaga
@AminaMaisha-vd6mf9 күн бұрын
❤❤🇰🇪🇰🇪
@SalomeMideva-p4x9 күн бұрын
Wee bi kidawa n chado nikuua tu mtakufa vibaya halafu napenda movie zako chado zinafunza Tim zeni tunakuombea ushindi.
@BakariBogonko9 күн бұрын
Master
@FahadAli-ni5eu9 күн бұрын
Upo tayar afe m2 ili ufaidike wee pia muuaji zein
@RAJABUKAZUNGU8 күн бұрын
Hii Kali san
@ZuberiHamza-r3i9 күн бұрын
Jamani like ndio nini?
@UnrulyHope-e9j7 күн бұрын
Ila B kidawa simuelewi kabisa nataka kimkute kitu kizito
@NoorNoor-y4w3t9 күн бұрын
Kesho mtoe
@LevinaMacha-x7g9 күн бұрын
Zen amtoe wap😅😅😅
@HanifaHanifa-yw4pl9 күн бұрын
🎉🎉
@LilianJuma-q6y8 күн бұрын
Bi kidawa bado hujafaint mchezo ndio kwanza umeanza utashindwa tu
@AllyMjenga-g9s7 күн бұрын
Bi kidawa utakunywa pombe mpaka maini yaungue kwa dhambi
@AbibaSalleh9 күн бұрын
Bikidawa presha inashuka
@JameesJuma6 күн бұрын
Bi kidawa ipo siku uta jutia hay unay yafany kenge ww
@RizikiZiki9 күн бұрын
Sasa zeni mi nilizani unaakili kumbe wapi kwaiyo ulivyoteka mpaka kifo unakiona mbele yako hukomi tu kwaiyo umeamuwa kupeleka na dada yako ili mufeote pamoja naishiwa kiukweli yani kifo unakitafuta mwenyewe ushahidi wote wameshakua nao huna ushaidi wowote ivi sasa lakini unajipeleka kimbelembele mi naona kifo mbele yenu siosiri
@agnesmarcus-n8q8 күн бұрын
Ila bikidawa tozi 5:58
@HadijaKenya9 күн бұрын
❤❤❤❤😂😂😂
@fatuma60118 күн бұрын
Ila Bibi WWE unajua kucheza unyama
@OfficialAggy-p1k8 күн бұрын
Mwambien bi kidawa huo wanja apake vizur jaman😅
@olicej78379 күн бұрын
Kwenye hii series nimemkubali zizi kavaa uhusika wa dada vzr😂😂😂😂bi kidawa bi kidawa 😂😂😂