Wanne jamani likes zenu asante sana sana Don luca kwa mwendelezo wa simulizi hii tamu kweli kweli 🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🍕 💪 🇹🇿 ciao ciao
@zenaathumani814411 күн бұрын
Kwakweli tungoje sehemu ya 3 ndio kijulikane 😂😂😂😂😂
@TeklaNdekeja11 күн бұрын
❤❤Mmmh aisee chimbo🔥👏 Lucas hawa watu hawakulala jamen? Nimepen like ata 5 twende sawa vipenzi, Lucas ubalikiwe💖🤝
@avelinabaluhya280411 күн бұрын
Vipi hilo jino linaendeleaje😅😅😅😅
@Babyfaty-m3y11 күн бұрын
Mumeniwahi leo😅😅😅😅😅😅
@BintalyB11 күн бұрын
❤❤❤❤
@BintalyB11 күн бұрын
Tukitoka kwa ankoj tunakuja uku kama kawa😂😂😂
@avelinabaluhya280411 күн бұрын
@BintalyB 😅😅ndio viwanja vya uhakika sasa😅😅😅
@Rehemaa-uz8rj11 күн бұрын
Kabisa ❤❤❤
@ZaiZainabu-o4p11 күн бұрын
Nimekua nimelala kumbe mi njo wamwisho😂😂😂😂❤❤
@hijamwinyi323311 күн бұрын
❤❤❤❤❤nice
@asmajuma-kp8jq11 күн бұрын
🎉🎉asnte 😊
@BintalyB11 күн бұрын
Nmewahi leo❤❤
@TeklaNdekeja11 күн бұрын
Afueni naweza jalibu ata kuisikiza hii sehem nimetoa nashukuru kwa Dua na pore mambo yameenda sawa 🙏🙏 limtoka bila shida hiv viporo nitakula mdogo mdogo ila cucoment ata fund sikumaliza Yani Jana sim ilikua ikiongea km kisinadi kunanichoma
@BintalyB11 күн бұрын
Pole sna kpnzi mungu atakuponya utakuwa sw inshallah 2ko pmj na ww
@Regina-p6r11 күн бұрын
Jamani ivi imetoka Leo au Jana
@Evelynmoreen365511 күн бұрын
Kurudisha mapenzi kwiyo inahuuu❤❤❤❤❤❤ dada mwenyewe malaya na wazazi wake hawajuwi tabia zake kama vipi Lolah akubali kuwa na Felix na huo boss wake simuamini 😂😂😂😂😂😂 Shania mwenyewe hajuwi kama anazungukwa na Nuru.
@Babyfaty-m3y11 күн бұрын
Me naona anachelew tu kuw naye mna ilo litakuw bonge la pigo kwa shania
@@Evelynmoreen3655 🤣🤣🤣🤣🤣🤣mwish atakitowa mwenyew tu uyo
@TumaLauden-f3e11 күн бұрын
Asante kaka lukas kwa kutupa simulizi mapema 🎉
@Husnaathman-n3t11 күн бұрын
😢😢mh jamn mbona haiogeii
@AviaMahenge10 күн бұрын
Aiseee mi naenjoy mnoooooooo Mungu akutunze lucas lumbas
@nyamvulafatuma538311 күн бұрын
Mmmh jamani😥😥
@Shadia54411 күн бұрын
Haya tunaendelea pale tulipo ishia haya tunasikiliza hapa ili tujuwe mwisho wa MAPENZI WA DADA 🎧🎧🪑🪑
@RitaannyManegabe11 күн бұрын
Wa tano jamani like zunu nilazima apa ❤❤❤🎉🎉🎉
@Lucy-vp8pm11 күн бұрын
Leo nmekua wa 14 wp ❤❤❤❤kwa kaka lucas lumbasi wale tumefurahi mzigo kushushwa like hapa
@ImeldaKadogoo11 күн бұрын
Aisee hii ni Kali sana thank you
@AthumaniHalima11 күн бұрын
Smulizi nzur sana jamn ila watu wanawai jamn
@jasminmohagthari373011 күн бұрын
Kaaaaah umeamua utak watu tufanye kazi kuleta hadith asubuh😅😅
@mwajumhamiselly691811 күн бұрын
Kabisa😂😂
@YusraBadru11 күн бұрын
❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥
@avelinabaluhya280411 күн бұрын
Bubu akiongea ni hatari sana 😂😂😂Shania analilia pesa za Felix tu hapo🤣🤣🤣ila mwisho wa ubaya ni aibu, arudishe mahusiano ambayo hayakuwepo🤣🤣
@Evelynmoreen365511 күн бұрын
Shania anashanganza yeye ni pesa ,pesa na yeye😂😂😂😂
@avelinabaluhya280411 күн бұрын
@Evelynmoreen3655 huyu mwisho wake itakuwa zamu yake kuvurugika kama anavyowavuruga wenzake sasa🤣🤣kwani tamaa mbele mauti nyuma🤣🤣
@Evelynmoreen365511 күн бұрын
@@avelinabaluhya2804 kweli kabisa kitakacho mkuta atasimulia hadi wajuku zake🤣
@MariahMariahmambo-r2s11 күн бұрын
😂😂😂😂@@Evelynmoreen3655
@avelinabaluhya280411 күн бұрын
😮❤❤❤🎋🎋🎋🥀🥀🥀🌹🌹🌹🎋🎋🥀🥀🌹🌹🔥🔥💃
@AishaBakari-d4i11 күн бұрын
Mbona haifanyi jamani 😢
@Babyfaty-m3y11 күн бұрын
Haifany imella au😅😅
@Evelynmoreen365511 күн бұрын
Haifanyi nini tena😂😂😂😂😂😂😂
@Babyfaty-m3y11 күн бұрын
@@Evelynmoreen3655 ndo nauliz haifanyi imella au ina nn🤣🤣🤣🤣🤣
@Evelynmoreen365511 күн бұрын
@@Babyfaty-m3y 🤣🤣🤣🤣🤣inafanya kazi ila Lolah kakimbia zake hataki kuzini 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@Babyfaty-m3y11 күн бұрын
@@Evelynmoreen3655 atatowa tu uyo mwish wa cku 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@rehemakiulla378611 күн бұрын
Jamani rola uwe tu felix
@Fayek-o9i10 күн бұрын
Leoleo kaka Lucas story nzuri
@NeleaStephano11 күн бұрын
jamani simlizi ninzur mno duu watu awachelewi et aya miwamwisho kabisa nawapenda ote tunao sikiliza❤❤😂
@Gediz2111 күн бұрын
Kaka Lucas nn hii jouman😢🥺
@FaithPeter-j4w11 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Zina-t5j11 күн бұрын
Nimekuwa wa 13 likes zangu team lola❤🎉🎉🎉🎉
@FabiaRamadhan11 күн бұрын
Jaman Lola nae Yuko vzur
@rehemakiulla378611 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@everlinekenga43711 күн бұрын
Asante sana mr lucas kwa simulizi tamu ❤❤❤❤
@Fayek-o9i10 күн бұрын
Félix mimi nasubir 😂😂😂
@KhadijaTsumo11 күн бұрын
Shem kama Shem 😀😀
@Sss-b9w6f11 күн бұрын
❤❤❤😂😂🎉🎉🎉😢
@MariamHawa-b4w10 күн бұрын
Yuko freshi chm kabisa
@HadijaSaid-n5p10 күн бұрын
..mwendelezo😊
@candidekaneza858711 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@zuhramwavyoni840011 күн бұрын
❤❤❤
@Dhulkifli-k9g11 күн бұрын
Jmn fny utowe sehemu inayofata
@FarahaShwaibu8 күн бұрын
❤❤❤tam san
@NademaHasani9 күн бұрын
Pole Sana Felix Ila Shania siyo mke mwema Wala asimuoe
@JeromeBaraka11 күн бұрын
Naomba mwènderezo waisanadeo karekezii
@asmamohammed94611 күн бұрын
Me wa 20 today ❤❤❤🎉🎉
@salmaIssa-q5i11 күн бұрын
jmn jmn watu munakuwa munateg🙄 au vp nawez kuseme ninewah nikajikut wa tiro😂😂
@rahimaomarybabu180811 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@Fayek-o9i10 күн бұрын
Flixe mimi nipo😂😂😂
@priscamakoi500811 күн бұрын
Nice
@furahangoty505910 күн бұрын
Tuletee hii kaka Lucas Marietta mpumzishe , tena tuletee mbili mbili
@MonicaSimon-yu4pt5 күн бұрын
Kama unasikiliza hii simulizi huku ukila pizza like hapa.
@mercyamagove835411 күн бұрын
Mbona inakataa ni download
@RayaEsther11 күн бұрын
Kama una mama kama mamake lolah gonga like hapa na kama una dada matirial kama dadake lolah likes pia
@nurafedrick37811 күн бұрын
Upandee wangu napenda offer isiokua na malipo kama utataka nikulipe offer siitaki.. haya huyo sijui monca ndo best wa husna nandoyy nyoka anamuendea kunyume bi dada hajui huyu umbwaa atakuja kulia bs tuu.lola umejiingiza mazima etii unampendaa felex ss wasikilizaji pamoja najuli tulijua kitambo unampenda felex sasa hapo kuna kivumbi mbele utajua ww
@BeatriceGelon-l5b10 күн бұрын
Kaka Lumbaci hii kipande Cha tatu lini
@Fayek-o9i10 күн бұрын
Powa
@FabiaRamadhan10 күн бұрын
Jaman Sehem ya tatu jaman man ni tamu san
@Sanita-g4v11 күн бұрын
❤❤❤🎉🎉🎉
@nurafedrick37811 күн бұрын
Huyu lola hatumii akili sawa sawa ameenda kwashemeji yake angemwambia vile wazazi wamepitisha kisha huyo shemejii angeenda kijijini akasawaxishee naaseme ujinga wa husna ndowaone aibuu lkn kwakua unamtaka shemeji yako wewe kaa naye na boss pia kaa naye sijui kuna mwanamke wa mahusiano mara mbili tuona kwako mana hujielewii wewe
@RAHEEMARa-y9j11 күн бұрын
Hakuna cha haramu hapo..awache moyo upende unapo pendwa....dada mjinga km huyo hafai ht kwa matumizi ya kawaida ya binaadam 😅
@OmarSaab-m6g10 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉
@EastherGrace-e9l11 күн бұрын
Me nikk tu kusikiliz maana me yatima wa wapenzi
@FeisalRobert11 күн бұрын
Muendelezo wa hii simulizi ni lini jamani😢
@DaynesNickodem10 күн бұрын
mbona picha ya. Clinton. wa naijeria?????
@saumurajab754210 күн бұрын
🙋♀️
@FatimaRamadan-s4f11 күн бұрын
Kama ni mm nimkubali boss kwakua nikimkubal filex itaonekana kama nikweli mm ndio nilivunja mahusiano yao kukwepa lawama nakaa kado ili nione kama watarudiana au la