Haya ndio Mambo anasema Prof lumumba balozi wa marekani anatafuta nini hapo na kwanini aongee angekuwa mtazamaji tu. Dini zinatumika kuendelea kututawala. Ni aibu kwa mwendo huu tutakuwa watumwa milele uwe mkristo au muislam.
@tumusiimeomukama3151 Жыл бұрын
Be postive, au acha kutumia Simu kwamaana haijatengenezwa Afrika.
@husseinmkanga7794 Жыл бұрын
@@tumusiimeomukama3151 Jielimishe siwezi kuacha kutumia simu kwasababu bila ya Africa hakuna simu wala computer, Tatizo ni watu kama nyinyi mnaofikiri mzumgu ndio amegundua kila kitu. Tukiamua tunatengeneza kila kitu ila viongozi wanatuangusha pamoja na hao wadini. Hata dini tulianzisha watu weusi lakini picha za yesu ni mzungu na Mohamed ni mwarabu. Kuna mambo mengi tunafanya au tulifanya watu weusi. Amka babu bado umelala.