Safi sana BAWACHA! Mmefanya kitu sahihi katika muda sahihi!! Mungu akubarikini Sanaa!!
@AishaNgoyi-vi2ku18 күн бұрын
Huyu mama hpn hv mungu kwnn ulimchukua baba yetu mapema magufuli
@MussaSuleiman-ui9fy18 күн бұрын
Hawa wanawake washenzi hawana huruma hii ni kudhirika Kwa ukatili wao
@clemencemkondya856117 күн бұрын
Mnatekana wenyewe kwani mkichoma vitenge ndiyo hao watu watarudi niwajinga sana ninyi wanawake wa Bawacha Hanna Sera wala hoja .
@leilayathumani229517 күн бұрын
Ushungi mkubwa afu unachoma nguo baada ya kupeleka kwa wasojiweza
@jumakapilima729518 күн бұрын
Samia for Presidency 2025
@rogersiddy18 күн бұрын
Kwa mawazo ya mbaaali sana nikiangalia yule Mama alijifanya kuwa karibu nao ili awateke kiakili autangaze umma na kimataifa kuwa mtu safi lkn hamna kitu kbs
@AishaNgoyi-vi2ku18 күн бұрын
Kweli kabisaa huyu mama hpn
@jumakapilima729518 күн бұрын
Kumbe bado hamna akili
@Dutichgogo18 күн бұрын
Sawa kina mama
@RamadhanAthuman-d4c18 күн бұрын
Safi sana
@ZainabuVeriuse-q5h14 күн бұрын
Mngechoma siku mnapewa mmevaa vimechoka ndiyo mchome hahaha
@HijaSaid-xd7fg17 күн бұрын
Mlivipokea vya nini
@onesmomasala-rg2wd18 күн бұрын
Nawapongeza bawacha
@ameirzapy131818 күн бұрын
Hii ni sawa na ile Unakataa maneno mazur kisa kasema mlevi 😢, homa za siasa hizi😅
@NuruJuma-zv3yz16 күн бұрын
Mzanzibar hata hujui kusoma hiyo risala ulimaliza kweli darasa la saba fyatu wewe
@ammonkagoro728818 күн бұрын
So painful
@abdulrahmanhamza493218 күн бұрын
Nyie ikifika viti maalum mnachaguana na mademu zenu mwanza atuna mwakilishi toka alivyokufa Leticia nyerere na kura nyingi mnapata uku nyie wabaguzi tu. Mnaenda kuishiwa kama CUF, chama kikuu cha upinzani ACT WAZALENDO WAZALENDO. 2025. maandamano furahisha mwanza, ikifika vitu maalum kilimanjaro, arusha, dar, na manyara. Af kelele na kutafuta huruma Furahisha mwanza
@yusufurhobi967818 күн бұрын
Kwa kweli haya ni mamuzi magumu
@SleepyDrink-yp7yg18 күн бұрын
Mungu tunaomba utulinde wanachadema tunaonekana kama hatuna haki yakuishi kwenye nchi yetu
@harouniddy462618 күн бұрын
Inaumizà sana kwa kweli jamaani hii sio sawa. Tunaitaji kuishi maisha yenyewe mafupi. Alafu mnasema eti kuna AMANI je ni amani au UTULIVU
@ÀvelinaMchamba17 күн бұрын
Mama nZima linataka kufia jela mbwà nyie
@ammonkagoro728818 күн бұрын
Nimejikuta nalia, machozi yangu yawe ukombozi kwa kizazi changu na vizazi vya wanaoumizwa.
@HashimYahaya-hd3zm18 күн бұрын
Kumeabza kuchangamka
@AkimuWaziri-l4w18 күн бұрын
Kumeanza kuchangamka
@johnlightmkose472318 күн бұрын
Kofia haijaweza kuvitumia vyombo vyake vya usalama na kuviwajibisha
@aronimanirakiza565518 күн бұрын
Infers. Mama
@DottSayi-v7e15 күн бұрын
H
@zainabnaheem835818 күн бұрын
Afya ya akili
@CopperBelt18 күн бұрын
Nakumbuka nilikua nchi fulani sitoitaja wakati vita vikiendelea wanawake wengi walibakwa na kuuwawa lakin nashangaa skuiz wanawake Tanzania eti wako na front line kuleta machafuko najiuliza kukinuna je wataweza au ni mdomo tu😂😂😂😂😂😂
@joshuahamis273818 күн бұрын
Mnaosifia ccm hamna akili kabisa haiwezekan watu wasio na hatia wanatekwa na wengine kuuawa hakuna hatua yoyote inayochukuliwa. Vp km wangekua ni ndg zene wamfanyiwa hayo mngejisikije?
@thetruth897918 күн бұрын
mbona ni nyinyi wenyewe mnafanya hayo kumchafulia jina rais na taarifa mnazijua sana