Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili
Пікірлер: 7
@augustinembola150219 күн бұрын
Mungu iepushie thahama congo
@user-gb7tu1zm1u19 күн бұрын
BBC Hakika mnachimbua mambo hadi najihisi niko studio ya ukweli, asanteni sana. Nawapata nikiwa Tukuyu Mbeya Tanzania
@JohnCage-we6tp19 күн бұрын
Mbona Rwandan hajapewa vikwazo hat kimmoj na muna uhakik kam wanasapoti M23 ila Iran 🇮🇷 walipewa vikwazo kisa kuisaport Hizbullah na Houth
@Godfreyolekidongo18 күн бұрын
Kunamataifa makubwa yanayoisapoti m23 Ruanda hainauwezo huo
@mrsilverclassic678518 күн бұрын
Eeeeeti anafanya marekebisho katika Tume ya uchaguzi😂😂.Watu wanahitaji vitu vingine wanauliwa ndugu zetu huko kenya,wanalalamika vitu kadhaa wakadhaa weunaenda kuweka tume mpya ya uchaguzi, watu wanataka barabara ya chini weunaenda kununua Ndege.
@marickmtz486119 күн бұрын
Kongo inatakiwa itangaze vita na rwanda ichapike Rwanda yan ka inchi kama mkoa wa kagera kanaisumbua kongo kwel .kongo chapa huyo Rwanda. Tanzania tupo nyuma yako ukipigwa tutakusaidia 😅😅😅
@seniormahamed748119 күн бұрын
Biden ajiuzulu tu maana hakuna namna kutokana na hali halisi ya baadhi ya matukio yake mbele ya kadamnasi mbali mbali.