Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili
Пікірлер: 20
@shadrackjacob8003 күн бұрын
Mungu wangu ! Sudani..... Ubinadamu uko wapi duniani ? Uchu wa madaraka , mnawaua wananchi wenu kwa njaa ? Nani atalipa kodi ya serikali na ni nani mtamtawala sasa !
@jamesshirima333 күн бұрын
Asante sana 🎉❤
@abdallahomari76302 күн бұрын
Daah mung awajalie
@KenedyMboma-zb4cq3 күн бұрын
Irani imeyakanyaga
@RaphaelMbughi-n1g3 күн бұрын
Hakuna chakufanyika maana hao nikupe wanatafuta Damu nimajini tuuuu alie yafuga ashakufa hataishi kamwe!!
@innocentbangirinama50083 күн бұрын
Rwanda 🇷🇼 hawalimi kahawa wao wanauza kahawa ya kutoka Burundi 🇧🇮 muwe mnafanya uchunguzi wakina kwenye habari zenu
@MarckMasaki3 күн бұрын
Leo nimeshangaa sana mmetangaza kichapo kulichowakuta mashoga,vp muanze kutudanganya tena wazuiya aslimia99 wakati tumeshaona mzigo unavotua TelAviv kuna Waka moto yajayo yanafuraishà Vodacom kazi ni kwako
@PaulOrenge-eo4hb2 күн бұрын
Maeneo ya Marekani kusini nakupata mbashara Nairobi Kenya nyumbani
@NuruJuma-zv3yz2 күн бұрын
Sudan mlimuondoa alba sheer kwa sababu tu ya mkate kupanda bei Sasa hatahuo uliopanda bei hauko poleni
Nyinyi waongo mnaeleza tu Israeli ndo inapigaka?wao hawafaki?mnaupendeleo wa maelezo nyinyi vibaraka
@christinewomanoffaith54793 күн бұрын
😂usiteseke,uzuri vyombo vya habari ni vingi tu sio lzm hapa Btw,hawataiweza Israel acha wahangaike! Makombora yameangushwa
@mwema50093 күн бұрын
@@christinewomanoffaith5479 acha upuuzi wewe
@FrankMpembu-l7z2 күн бұрын
@@mwema5009Iran imeyakanyaga, Subiri jibu la Israel, hakuna kulialia, hakuna kusema Israel magaidi, mara ohoo inaua watoto, mara ohoo sijui nini, mnatakiwa mtulie
@christinewomanoffaith54793 күн бұрын
Hii sio vita km vita nyingine hii ni spirtual war Its not jus ordinary war.... Asikiae na afahamu Hezbollah/hamas they are powerd by spirit from marine kingdom Tuwafungue ubongo mnaodhani ni vita ya kawaida Safi Israel, iran mmeanza eeh Haya na USA anaingia kazini ss