Mm nachokukubali mjeruman ni kwamba timu ikifany vzur unasema na ikifany vbaya unasema piah 🙌 big up san nakuelewa
@HamadiMgeja3 күн бұрын
Nakukubali sana mzee upo sahihi kabsa
@danielchamoto9376Күн бұрын
Mshaanza kurudisha chenchi ubaya ubwela is everywhere 😂😂
@LindaMbilinyi-n3n3 күн бұрын
Hamjasema bdo simba hii mtatapika sanaaa😂😂😂😂😂😂
@AmosiMugishaКүн бұрын
Umeongea kwel Wana yanga hatufulahii matokeo yatim yetu
@chiefnumborecords48192 күн бұрын
Ila jean baleke jamani eti Coach Migueli Gamondi anamuweka beanch daaah kama Yanga tumelogwa ivi jamani daaah
@jimmymnuano7165Күн бұрын
Wa Tanzania kweli ni watu wa kushangaza timu ikifungwa magoli mengi watu wanataka Takukulu eti amenunuwa mechi na timu ikidindisha kufungwa pia watu wanaongea kwa nini timu haikufungwa magoli mengi ? Hivi hawa watu wanaujuwa mchezo wa mpira kweli ? Au hawo watu ni wazee wa kubeti nini ? Maana nini nashangaa
@MichaelErasme-x4q2 күн бұрын
Kazuramimba unamuongelea Nani Ww Kwan Ww wa wapi?
@johnmgoroba3792 күн бұрын
eti gari limewaka!wewe jamaa muongo sana,usitudanganye wana simba
@johnmgoroba3792 күн бұрын
nani kakwambia hakuna mwana yanga anaefurahia?Research umefanya wapi na lini?
@chiefnumborecords48192 күн бұрын
Mjerumani upo sahihi sana unaongea kitu sahihi ila kumbukeni kwamba ata mwaka jana ilianza kwa kusua sua ila mliisema weeee mliisema weee mwisho wa siku zikapasuka timu hapa bongo mpaka watu wakagombana
@MgazaMhina2 күн бұрын
Yanga msimu ulioisha ilianza vizuri,mechi 3 za kwanza gori 10 mechi ya 4 ndio ikachezaga na Namungo.