Fadlu namjua vizuri ashakaa Sana Pietermaritzburg Kule DURBAN kaifelisha Ile timu,then akaja Orlando km assistant then Kocha mkuu,Hakuna la maana alilofanya,Simba wamefeli Tena,sio Kocha huyo WA kukoch timu km Simba,Yanga atapiga 8,tupo hapa😅😅
@ebisomola99893 ай бұрын
Mm pia ni simba sana tena ila mengi umeongea mengi mazuri japo kwa asilimia za ubingwa wa yanga. Ni 60% sio 70 na pia tusikatae ukweli huyo mwamba anaongea ukweli kabisa. Wachezaji wengi tunaokota okota tu. Tunachukua wale wale walio maliza mikataba na hatujui walikuwa wanatakiwa na timu zingine zipi mpaka wakaja simba. Ila tuseme mda utaongea. Kama kweli au si kweli
@adamgwila33953 ай бұрын
Tuache na Simba yetu wewe we sio mungu tutaona
@benjaminnelson48343 ай бұрын
Mbona Tim ya taifa anachukua wachezaji kutoka timu tofauti na wanafanya vizuri pili KAZI ya kocha Nini mbona chama alikwenda Belkane mbona kaferi
@iddrisanyange81753 ай бұрын
Weto masta na wanajuwa mpira
@msemakweli...2 ай бұрын
Kwahiyo utopolo wa mo dewji nao wamechukua wachezaji kama timu ya taifa? kwasababu timu ya taifa huwa inaita wachezaji wanaong'aa kwenye vilabu vyao. Halafu sijawahi kuona timu ya .taifa inashiriki ligi kuu au kombe la shirikisho🙄😂😂.
@IsayaJoseph-ty3kq3 ай бұрын
waambie ukweli
@sauka96223 ай бұрын
Shida ligi ya bongo inawachambuz wengi adi vimjusi vipo vngi sana
@collectionline60553 ай бұрын
Huo ndo ukweli kaka😊 umechambua vizur 🙌🙌
@RashidiMkongewa3 ай бұрын
Ngao yanga 8 vs simba 0
@salymgaimale2353 ай бұрын
Jamaa ni maandazi kweli huyu hajui kitu
@kasimuhamidu84673 ай бұрын
We fala tu
@HamadMkubwa3 ай бұрын
ww hakuna uchawa wowote huyu jamaa anaongea ukwel na ww kama humuamini subir ligi ianze utaona ukweli 😢
@kainkamwagila60463 ай бұрын
We ni shabiki yanga😅
@suitbertmaro57923 ай бұрын
Jinga hili
@seniormagali55802 ай бұрын
Mbn hujaitwa crown media we mchambuzi mzur unaujua mpira swala si ushabiki
@KS-iw7qv3 ай бұрын
Ukweli ndio huu Simba Wenzangu.... #Nguvu moja
@Graceyust3 ай бұрын
mtukaneni tu ila mda ukifika mtamkumbuka
@shalooboyburundi3 ай бұрын
ays unaongeya ukwr
@jumapindi23133 ай бұрын
Jamaa anaongea ukweli SEMA atapingwa vikali
@sophyodago50623 ай бұрын
Mchambuzi maandazi kwelikweli
@kabujeasukile54623 ай бұрын
Kauli Yako MAKOLO watatoa sana MAPOVU🤣🤣🤣🤣
@christopherchisuligwe5123 ай бұрын
Huyu ni utopolo siku zote, mwandishi ambaye elimu yake ya mpira ni ndogo sana
@reinfridlipili56662 ай бұрын
Huu ubishi wenu ndio unawafikisha huku na mtapotea zaidi ya msimu ujao! Hampendi kuambiwa ukweli.
@reinfridlipili56662 ай бұрын
Anaongea UKWELI na waswahili hampendi ukweli
@AdenSator3 ай бұрын
😂😂😂😂kweli kaka
@VLADDYNDANZI2 ай бұрын
Mchambuzi mahili sana anajua pia ni mkweli
@AlfredRutaguza3 ай бұрын
Ili uonekane kuwa ni mwanasimba lazima maisha Yako yote uwe muongo Sana ndio mwanasimba wa kweli
@SanziNzige2 ай бұрын
Dube mnamjualakini.na huyu nae ajiongelesha.eti simba anajenga timu.ubinwa yanga.jamani mpira hamuujui ninyi.na hilo kalio gelee kwa mama yako
@IreneJoely3 ай бұрын
Ambukile ndo ww
@jonathansirkintungi74343 ай бұрын
Huu ndio uchawa unaoitafuna nchi yetu jinga moja kwasababu ya tumbo lake linajitokeza kuwasemea wengine.
@maulidkawala1043 ай бұрын
Pokea fact iyo acha kiburi uchawa upo wap xx wakat m2 anaongea ukwel
@idrisanaumanga64103 ай бұрын
Makolo tulia boya wewe, jamaa anaongea fact!
@benjaminnelson48343 ай бұрын
We muongo ata Simba wanaboresha kikosi uwezi kujenga kikosi unachukua wachezaji Bora