Morrison seemed to be danger player hongereni wananchi mm ni simba lakini nimemkubali
@husseinmtima61064 жыл бұрын
We ni miongon mwa washabiki wachache sana tz ambae anaweza akawa upande mwingine na akazungumza ukweli weng huwa wanashabikia timu na si mpira Wa miguu!!wanasahau timu zpo kweny mpira Wa miguu !!hongera akili kubwa !!
@muamedmuamed51554 жыл бұрын
M ninachojua yuajichenga mwenyewe
@allenmwambije81193 жыл бұрын
Hahaha hamna haja ya kutaja timu yako kama umemkubali MTU we msifie tu.
@pauljoseph18002 жыл бұрын
@@husseinmtima6106 Vipi na wewe saivi unamuonaje Morrison?
@barakaroby30822 жыл бұрын
@@pauljoseph1800 mambo yamebadilika😂😂😂
@ansifridmkongoja33374 жыл бұрын
kazoea viwanja vizuri aje uku akutane na uwanja wa sokoine mbeya ila Kwa moto huo uko vizuri
😂😂 Yanga Afilika a.k.a Utopoli FC leo hawataki kumuona mchezaji mkubwa kuliko klabu
@makambakodhh24664 жыл бұрын
Mshikaji yup kamala tumbleweed aisee anafungaga na mkono pia
@ramadhanihamisi30974 жыл бұрын
Tunaitaji vikombe sio show
@sa7cancelo651 Жыл бұрын
العساكر بانو هنا❤🖤💚
@paulmatonange67184 жыл бұрын
Mmi cjaona maajabu take anajipiga chenga mwenyewe na pass sake zote zinapotea cjaona hats cha kumuona was maana hats molinga kwenye CLP sake ni hatari Sana
@daniellaaidal22334 жыл бұрын
Kuandika kwenyewe haujui,,utaweza kuona uwezo wa Morrison???? Kapumulie mkundu huko
@tindokamuti81424 жыл бұрын
Paul Matonange huna macho
@richarddinda81234 жыл бұрын
Haruna hapo kati alf uyu jamaa pemben na tariq seif namba 9 kuna timu itakula kumi siku iyo pale kwa mkapa
@nasorospati30754 жыл бұрын
Jamaa anaweza xana
@buluush97414 жыл бұрын
😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣
@aidanjulius30334 жыл бұрын
Tariq kweli ni mzuri sana kuwazidi hawa akina molinga na yikpe
@allyshenkawa37304 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
@thomasjunior32724 жыл бұрын
@@allyshenkawa3730 🤣🤣🐸🐸🐸
@saidu_th3 жыл бұрын
Great content again bro
@divamrembo87884 жыл бұрын
Huyu msenge anajua sana mpira
@abdulseleman86314 жыл бұрын
Hatari nanusu kbs
@divamrembo87884 жыл бұрын
@@abdulseleman8631 Msimu ujao kuna timu itapigwa goli 20 na simba
@aggreymsemwa12494 жыл бұрын
Kazi Nzur mbon Watakoma Haki Ntamcheka Shafii Dauda Siku Akifunga Huy mwamba
@goodluckmmasa68244 жыл бұрын
Vp kasemaje kwani hawezi kufunga?
@aggreymsemwa12494 жыл бұрын
@@goodluckmmasa6824 Kaja na Vitakwimu vyake Vya Kuokota okota Sijui Hata kavitoa Wap Yan Wemwenyew Si unamjuwaga Yule Kazi kuisema2 vibaya Yetu yetu
@goodluckmmasa68244 жыл бұрын
@@aggreymsemwa1249 atulie bhana sometime hawa jamaa wanachambua kishabiki..
@aggreymsemwa12494 жыл бұрын
@@goodluckmmasa6824 Kwel Kabisaa
@elizaatilio5274 жыл бұрын
Mpk sasahv Dauda hajazungumza chochote kuhusu Morrison, hvi vile vitakwimu vyake alivitoaga wapi au alipewa na manala?
@goodlucktemu31494 жыл бұрын
atutumii ilizi si ni uwezo toka kwa Mungu, yanga iko vizur kwa sasa
@katsoasali4 жыл бұрын
Nami pia nimcheza mpira toka beni drc
@emmanueljohn89704 жыл бұрын
Kashapotea kaja Yanga Mamaaa kuna mikosi pale 😅😅😅😅,.. Ila Yupo Vizuri da Vyura wamebahatika
@severinmmassy76274 жыл бұрын
Morise yupo sawa sanaaaa lakin kwayanga kiwango kitashuka kama majiiii
@hawasaidy97124 жыл бұрын
W mungu
@agnesrichard64564 жыл бұрын
Daaah me pia naona kwa kuwango chake ni sawa na kushuka ngaz baada ya kupanda kuelekea juu zaid ukwel kapoteza kuja huku
@salimmlala53514 жыл бұрын
Huyu jamaa kwa hzi chenga watu watavunjika viuno
@angelfesto47653 жыл бұрын
.
@RashidMrisho-u7d Жыл бұрын
The new African ronaldinho!!
@Melanin_King8953 жыл бұрын
Good luck to anyone looking for an English comment🙆
@mindlo20793 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭
@Anza_tz4 жыл бұрын
tumekuja kumfuatilia wakili msomi hahaha
@triplea34634 жыл бұрын
Tupo
@otmarykiowi41324 жыл бұрын
Kabla ya kuanza kumshangilia, tujiulize kidogo mfumo wa hapo alipo unafanana na hapa anapokuja?
@hajihassan49014 жыл бұрын
Tusubir
@abdoulrahimmigomba38854 жыл бұрын
Yanga mnkwama wapi?
@edgarndoleki76394 жыл бұрын
Safari hii taifa kila baada ya dk 10 tunashangilia na wawa atakuwa kaisha teguka nyonga
@elizaatilio5274 жыл бұрын
Hahahaaa
@depaolo34614 жыл бұрын
Sijaona magoli zaidi ya chenga tu
@yusufufraiton43704 жыл бұрын
dah kila nikisoma nacheka sana
@pauljoseph18004 жыл бұрын
Delete comment yako tafadhali maana saivi Morrison ni adui yako, mamae!
@ommyngigidy20874 жыл бұрын
Mbona Kama ni balaaah hii
@tumainimatemba78944 жыл бұрын
Morrisoooo welcome yangaaa
@kondosaid2164 жыл бұрын
Waletwe 3 wengine kutoka pale pale alipotoka Morrison wataisoma no
@husseinkalamba13844 жыл бұрын
Aisee kwani sisi na mkia nilini mahana morson hatar
@isayamwidete64204 жыл бұрын
12/07/20 na majibu mliyapata 😀😀😀😀mleteni na messi. Kabisa
@minskbelarus72554 жыл бұрын
Morrison anatufaa saaana SIMBA. YANGA wanataka tumchukie tu. Waarabu watatukoma. Miquison na Morrison...... nyuma yao Chama na Kahata🤔🤔🤔🤔🤔 siku hiyo YANGA wataonja Juice ya TEMBELE
@loner_wolf3 жыл бұрын
Huyu jamaa anatakiwa kuanza game za CAF za Simba SC ...... anakitu ktk mpira.
@FootballGalacticos2 жыл бұрын
Morrison 🔥🔥
@davisalphonce70014 жыл бұрын
umekuja mkununguni aka utopoloni🐸🐸 umewapanda vichwan had wanaomba pooh😂😂😂
@mtumishi19043 жыл бұрын
Lakini kuna kitu nimekigundua Tanzania mpira unazidi kukua Aisee unajua unaweza kumchukulia Morsoni wa kawaida angalia Timu ambazo amecheza nazo na amezifunga kama Ajax hivi Nani aniambie Africa nzima kuna Timu ya kuifikia AJAX Tuhamke hawa wachezaji tujue kuwatumia Aisee
@BNT05 Жыл бұрын
He seemed to have the potential to achieve bigger things with the right coaches and good attitude along the way: but that is gone, now! A lot of showboating with little or no end product underpinned in this compilation. Unfortunately, with his age now, it appears everything is a pie in the sky to change his fortune and be the best he can be... In a nutshell, this is how African talents are wasted. Big time! Not only in football but in many aspects of life. Until we learn how to properly use our talents, Africa will prosper on many fronts. Otherwise, we will continue to be a "pushover" and 'weeping boy" of other continents.
@emmapoulo36514 жыл бұрын
Kwa mpira wa tz ataweza hivyo maana wachezaji wa tz wanakaba hadi kivuli
@perfecttz26904 жыл бұрын
VP bado unaongea shdu
@barick3 жыл бұрын
2021 mo fire
@cosmasdaud90884 жыл бұрын
Nimekuja kuakiki ubora wa wakili msomi wa Simba huyu bwana anajua
@sirajimkongewa67644 жыл бұрын
Kabla hauja msifu angalien kwanza wachezaj haliokuwa nao wanauwezo sasa wachezaj alio wakuta huku wakina kaseke ngassa
@emmanuelkasuwi69014 жыл бұрын
Hujuwi hata kuandika
@mtupeactambi57734 жыл бұрын
Chama hata akaroge km kagere lkn hmfkii huyu Fundi
@isayamwidete64204 жыл бұрын
😀😀😀😀🐸🐸🐸Utopolo sasa mnaoneana haibu tu!!!kombe mlilonalo mwaka huu ni. La kuongea tu😀😀😀😀#Na zaid chama mchezaj bora waASFC,na kiungo bora wa mashindano. Gongowaz nyie
@seiphajalomba74564 жыл бұрын
Yupo kama Idd Nado tuuu...anachezea mpira ila hawez kufunga
@mohamedisadiki38644 жыл бұрын
kumbe nawe umeona jamaa sio mfungaji
@edgarndoleki76394 жыл бұрын
Sisi atutaki afunge tunamleta ili amvunje wawa nyonga
@richardmwandali77222 жыл бұрын
Uyo ndoo bm3 💪🏿
@morelovekombe95484 жыл бұрын
Siyo mfungaji jamaa ila kabumbu analiweza sanaaa
@mashalubumngazija91684 жыл бұрын
Simba na yanga
@dhulfiqaarally72744 жыл бұрын
He is good player
@rummyyusuph96644 жыл бұрын
Mitimingi
@rummyyusuph96644 жыл бұрын
Life chamitimingi
@rummyyusuph96644 жыл бұрын
Kifochamitimingi
@benardsenguji82544 жыл бұрын
Jamaa yuko poa,wasiwasi wangu msimu mzima wa 2019 hakuwa na timu
@isaacmatandu14434 жыл бұрын
Anajua
@ramabendera81834 жыл бұрын
Uxijali kama unajua unajua tu
@mkhondoj.feruzi20524 жыл бұрын
kweli jamaa anajua
@zuberhonomar41014 жыл бұрын
Nawaonea hurumua Tim flan ivi watakavyopelekwa mbio na huyu kiberenge
@jonasamos5554 жыл бұрын
wapelelezi wa mwananchi tupo hapo
@furahasimon2154 жыл бұрын
Anafaa kucheza beki maana hana uwezo wa kufunga😂😂
@ninjadamour55924 жыл бұрын
Furaha Simon au sio 😀😀
@joshuamchiwa8614 жыл бұрын
Tujuane wote tunaoangalia hii baada ya Morrison kuhamia chama kubwa mnyama SIMBA SPORTS CLUB.
@husseinkatunka75483 жыл бұрын
acha Ayo mambo
@abrahambalamba71084 жыл бұрын
Duh! Huyu jamaa mbona siyo wa level zetu, kaja bongo kuua kipaji chake tu
@juliusneymar84244 жыл бұрын
Jmaa anajua mpk keroo yn mikia kz wanayo
@kadehajoseph48524 жыл бұрын
Najiuliza kwa niini kaja bongo?
@dboy92934 жыл бұрын
Huyu jamaa angeshikana na makambo
@elizaatilio5274 жыл бұрын
Ingekuwa balaa kubwa
@paschalmnaly88844 жыл бұрын
Sasa mbona kazi ya kukosa 2
@raymondkipipi5164 жыл бұрын
Ha ha ha 😂😜😜😜
@muhubiriproduction694 жыл бұрын
yanga kumedamsh mbaya
@isdorykitunda4 жыл бұрын
Morrison ni moto wa kuotea mbali
@johnchale9394 жыл бұрын
Kwa nini kaja yanga wakati hata fedha haina mmejiuliza lazima kama mchezaji mzuri kiwango hicho kimeshuka maana mchezaji mzuri angeshasajiriwa na timu kubwa zenye fedha why yanga?utata hicho kiwango hakipo
@husseinmillinga19204 жыл бұрын
Nizam yetu kujakumuangalia morrison
@andulilemwakihabha20484 жыл бұрын
Kribu Simba sport club Morrison
@franciskitte1984 жыл бұрын
Wananchi mpooo😁😂
@marceclasisc54804 жыл бұрын
T
@benedictodamas72274 жыл бұрын
Francis kitte Matuo. Yareo
@abuukhudheifajuma52814 жыл бұрын
Tupooooooo
@hamisyohana82454 жыл бұрын
Mchezaji mzur ila kwatim aliyo fikia atashuka kiwango
@daniellaaidal22334 жыл бұрын
Acha uchawi
@azizymachadeson35774 жыл бұрын
Hamis Yohana we ulitaka afikie wapi kwa mfano
@elizaatilio5274 жыл бұрын
Acha wivuuu Yanga co km cmba inayoua viwango vya wachezaji ww,
@hamismgonyoro21114 жыл бұрын
Huyu jamaa mhuni sana alifunga goli la mkono "aliu tambwe"
@salimsalum77284 жыл бұрын
Yaani unatoka South una kuja jangwani?
@daniellaaidal22334 жыл бұрын
Kinakuuma nn
@daniellaaidal22334 жыл бұрын
Ulitaka aje bunju kwa magofu au
@elizaatilio5274 жыл бұрын
Ukiona unaumia Morrison kuja Yanga ruksa kwenda kushtak FIFA!
@franciscomasungulwa38204 жыл бұрын
ulitaka aje kwa HAMIDA?????
@habibaiddy85894 жыл бұрын
Na aloyetoka Brazil kaja hirizi Fc
@bishopmosesmagadula75723 жыл бұрын
TALENTED PLAYER BUT MISSING DISPLINE
@BMGOnlineTV2 жыл бұрын
Hahahaaaa
@dianajeremiah31804 жыл бұрын
Simba inabidi tumsajili Morison atatufaa sana badae
@muhmmadilutando95614 жыл бұрын
Morrisoni mpira anajua
@idrisali28913 жыл бұрын
Yaa
@ahmedabdalah34 жыл бұрын
Angekuwa anajua asingekuja bongo
@franciscomasungulwa38204 жыл бұрын
Kwahiyo Chama hajui????
@aidanjulius30334 жыл бұрын
Kama wabrazili
@morlovzeboy49264 жыл бұрын
Aiseee hi ni sumu kwel ten duuuh
@halfahalfa97284 жыл бұрын
Nimekuja kujiridhisha kumbe nilivyoviona Taifa hakuwa anabahatisha
@jafetmichael79154 жыл бұрын
Karibu sana yanga
@afidbillmusic84614 жыл бұрын
Yaani mbwembwe zote imeonekana assist 1 na goal 1??? 😂😂😂😂