BILA UOGA MZEE AFUNGUKA "RAIS MAGUFULI BIASHARA SIO NZURI, TUPUNGUZIENI BEI, USHURU"

  Рет қаралды 66,376

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

JPM katika ziara ya kikazi mkoani Morogoro amewasikiliza wafanyabiashara katika soko Kuu la Manispaa ya Morogoro

Пікірлер: 80
@abdulaziz703
@abdulaziz703 3 жыл бұрын
Baba Bakarii kuwakilisha wafanyabiashara wanyonge.. SAFI SANA
@kelvinisrael7339
@kelvinisrael7339 3 жыл бұрын
Nikajuaa nimemfananisha
@sharifuhamisi4190
@sharifuhamisi4190 3 жыл бұрын
Huyuu baba bakari katika maneno ya kuambiwa jaman au macho yangu!
@hamisiharuna3099
@hamisiharuna3099 3 жыл бұрын
Ni yeye
@kingtv5600
@kingtv5600 3 жыл бұрын
Ndio uyo uyo ase
@samsonsadiki8715
@samsonsadiki8715 3 жыл бұрын
Ndo yeye huyooo
@gervasjustn2842
@gervasjustn2842 3 жыл бұрын
Ni yeye
@chauligemeka7840
@chauligemeka7840 3 жыл бұрын
Ndo yeye
@sendaalexandre9078
@sendaalexandre9078 3 жыл бұрын
Mzee wa maneno ya kuambiwa
@farhafarhan4393
@farhafarhan4393 3 жыл бұрын
Senda Alexandre nilikuwa nafananish nisha wahi kumuona wapi huy mbona sura yake siyo ngeniii
@jollityjorgan5920
@jollityjorgan5920 3 жыл бұрын
Baba bakariiii
@lichilasalumu7983
@lichilasalumu7983 3 жыл бұрын
Eti una miaka mingpi wew 😀😀😀😀😀😀😀
@shedrackmwaipopo9427
@shedrackmwaipopo9427 3 жыл бұрын
Kumbe umeona
@brightonchedego8100
@brightonchedego8100 3 жыл бұрын
Baba Bakari akiwa anatiririka huku akijiamini kabisa mbele ya mkuu wetu,Safi sana
@salmaathuman9156
@salmaathuman9156 3 жыл бұрын
Yaan hapa wanachezea sharubu za magufuli😂mzee umewakilisha wenzio yaan kuna rushwa hapi
@halimamuketi6738
@halimamuketi6738 3 жыл бұрын
Semeni alhamdulillah watz
@fahimabdalah5491
@fahimabdalah5491 3 жыл бұрын
Watanzania muko n bahati mumepata rais mzuri
@thekingbudah3711
@thekingbudah3711 3 жыл бұрын
Jamani tuongee ukweli jpm raisi wa watanzania wote kumbukeni mataisi waliopita walikuaje walikua wanawajari watanzania kama hivi!
@sharifuhamisi4190
@sharifuhamisi4190 3 жыл бұрын
Kutoka afu 60 kwa mwaka hadi laki 3 na 60 duuh so poa
@hancymachibbula4355
@hancymachibbula4355 3 жыл бұрын
Wazee kama hawa ndyo nguzo imara ya Taifa siyo wale Wazee waoga waoga wanaongelea chinchin
@Manfilly
@Manfilly 3 жыл бұрын
Aliye muona mzee KAMA (Baba Bakari) wa Maneno ya kuambiwa aje hapo
@badmanwilly1784
@badmanwilly1784 3 жыл бұрын
Ndio mwenyew bab bakar
@sumaiyusuph8844
@sumaiyusuph8844 3 жыл бұрын
Baba bakariiii maneno ya kuambiwa
@hazjay4671
@hazjay4671 3 жыл бұрын
Huyu C Mzee Wa Maneno Ya Kuambiwa #Baba_Bakari...!! #MzeeKama!!
@dotnatajoseph2620
@dotnatajoseph2620 3 жыл бұрын
Baba na huku kwenye biashar ya sim haki tete
@mohamedkuchengo9477
@mohamedkuchengo9477 3 жыл бұрын
Huyu baba bakari wa maneno ya kuambiwa
@safakilasa3123
@safakilasa3123 3 жыл бұрын
Baba bakari
@simontchaz5272
@simontchaz5272 3 жыл бұрын
Kweli kodi kubwa biashara ngumu sana aiseee
@mr_kajomba_og43
@mr_kajomba_og43 3 жыл бұрын
Huyo mzee sindo kacheza kwenye maneno yakuambiwa
@tatuhongeranurushaus485
@tatuhongeranurushaus485 3 жыл бұрын
Ndio yeye
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 2 ай бұрын
Ndio huyo huyo kacheza isidingo
@valenakomba4453
@valenakomba4453 3 жыл бұрын
Muheshimiwa magufuli sasa ni wakati wa kwawezesha wananchi ,Hii Tanzania siyo ya watu wasomi peke yao. Sisi wote ni WTANZANIA, na tunahitaji kuishi kwa raha pia kama Binadamu wengine. kutokuosoma kwetu hakumaanishi sisi hatufai.
@drgeofreykupaza7707
@drgeofreykupaza7707 3 жыл бұрын
Eeeehee maneno ya kuambiwa umejieleza vzr tena kwakumshawishi kiongozi bila ya kigugumizi umeokoa wengi mzee
@bulayaconfidential7212
@bulayaconfidential7212 3 жыл бұрын
Mzee wa maneno ya kuambiwa!!
@emanuelmasele8213
@emanuelmasele8213 3 жыл бұрын
Kumbe Na wew umelitambua eh. Babake Na Stan bakora# Maneno ya kuambiwa
@shijacs23
@shijacs23 3 жыл бұрын
Wakiona gari tu hao!! :))))
@alfredyfredrick8955
@alfredyfredrick8955 3 жыл бұрын
maneno ya kuambiwa nimekukumbuka mzee
@pendopaulo2268
@pendopaulo2268 3 жыл бұрын
Bibi
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 3 жыл бұрын
Watoza ushuru wa halmashauri wamekimbia
@rehemasalim4590
@rehemasalim4590 3 жыл бұрын
Babake bakar maneno ya kuambiwa 😂😂
@gastonmahenge602
@gastonmahenge602 3 жыл бұрын
Mwenyew huyu
@asteriambwei3349
@asteriambwei3349 3 жыл бұрын
Ushuru mkubwa na biashara hamna
@victorsanga2229
@victorsanga2229 3 жыл бұрын
Yani kizima tsh 360,000 kwa mwaka bado wapunguziwe?
@Mohamedkasim2
@Mohamedkasim2 3 жыл бұрын
Mama stani kanchukulie mkoba wangu tunomkumbka gonga chin😅😅😅
@tatuhongeranurushaus485
@tatuhongeranurushaus485 3 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁😁
@elishakilasi6793
@elishakilasi6793 3 жыл бұрын
Saf-mzeee
@thekingbudah3711
@thekingbudah3711 3 жыл бұрын
Masikini Wamesaurika wanaitwa walala hoi WABUNGE kilasiku ulaya na madili Rakini leo jpm kama sisi tu sema yeye ndio baba wetu tunamshukuru mungu kutuletea kutoka mbinguni
@thekingbudah3711
@thekingbudah3711 3 жыл бұрын
Marais Waliopita ukimsimamisha kwenye msafara mnapigwa Risasi wote na Amumuoni. Usogerei walikua Wanasaini mikataba ulaya
@paschalnkuba6758
@paschalnkuba6758 3 жыл бұрын
Sasa mbona tarfa fup
@dostovan5142
@dostovan5142 3 жыл бұрын
Mpaka raisi aende , viongozi wengne wako wapi
@kambiayoubu4923
@kambiayoubu4923 3 жыл бұрын
Mzee kama
@mathayonyerera3144
@mathayonyerera3144 3 жыл бұрын
Wote kila siku mnaongelea biashara na hakuna kinachofanyika tuacheni na shida zetu!! Wanasisa wanafiki
@tegezdomin8363
@tegezdomin8363 3 жыл бұрын
Wafanyakazi wa halimashauri huwa wanafanyakazi kuwaumiza wananchi hawaangalii hali za wananchi
@naivashaazori6233
@naivashaazori6233 3 жыл бұрын
Safi sana
@hamisiwaziri2360
@hamisiwaziri2360 3 жыл бұрын
Tatizo anae ambiwa pia hajui tatizo liko wapi😁 Tanzania bhana duuh
@fatmazena8886
@fatmazena8886 3 жыл бұрын
Baba Bakari
@shaddybmc8342
@shaddybmc8342 3 жыл бұрын
Jaman huyu mzeee muuza soko sio wa FILAMU YA maneno ya kuambiwa
@abdinasirshukri1218
@abdinasirshukri1218 3 жыл бұрын
Ukimaliza miaka 5 raisi tz kuja Kenya tunateseka walai
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 3 жыл бұрын
Mbona Uhuru anafanya vizuri sana jmn...Kenya mnabahati sana
@abdinasirshukri1218
@abdinasirshukri1218 3 жыл бұрын
@@jedidahbintidaudi8241 magufuli namba moja
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 3 жыл бұрын
@@abdinasirshukri1218 unajuaje? Ona vile Kenyatta anavojenga nchi yake..
@fahdihasnuu9034
@fahdihasnuu9034 3 жыл бұрын
Nchi hii maish ni magum san maan hyo biashara haina wanunuzi na kodi nying san
@hangayamafenya8883
@hangayamafenya8883 3 жыл бұрын
poa.mzee
@expert5898
@expert5898 3 жыл бұрын
Sasa inaingilianaje na UOGA hapo?
@natafutamatatizo4382
@natafutamatatizo4382 3 жыл бұрын
WANYOGE HAO WANYONGE POMBE! BEI YA KIZIMBA IMEPANDA MARA 6??? POMBE OYEE NA UTAWALA WAKO NA TAYARI TUMESHALEW😂😂😂
@mbuganitv3021
@mbuganitv3021 3 жыл бұрын
kama wewe ni mtoto / ndugu / mchepuko ambae unapewa pesa hela unanunua bando za kukomentia "mitano tena" bila kujua ugumu wa hii pesa like hapa
@glorykarim1570
@glorykarim1570 3 жыл бұрын
Ni kweli kabisa hahahaha wengi awajielewi kabisa😂
@BarakaWaya
@BarakaWaya 3 жыл бұрын
Mzee wa maneno yakuambiwa
@mnomahboybright4743
@mnomahboybright4743 3 жыл бұрын
Mzee kama
WATCH: Trump meets with Pakistani prime minister Imran Khan
40:00
PBS NewsHour
Рет қаралды 3,1 МЛН
Real Or Cake For $10,000
00:37
MrBeast
Рет қаралды 60 МЛН
Gli occhiali da sole non mi hanno coperto! 😎
00:13
Senza Limiti
Рет қаралды 24 МЛН
What will he say ? 😱 #smarthome #cleaning #homecleaning #gadgets
01:00
How to win a argument
9:28
ajaxkmr
Рет қаралды 512 М.
M V Raghavan in Nere Chowe | Old Episode | Manorama News
25:16
Manorama News
Рет қаралды 420 М.
Tony Stark vs Two F-22 Raptor Fighters in the movie IRON MAN (2008)
5:00
FIGHTING CINEMA
Рет қаралды 16 МЛН
Rules Former Presidents Have To Follow
10:04
Grunge
Рет қаралды 14 МЛН
How the Most Elite Spy Agency Operates
22:42
Newsthink
Рет қаралды 1 МЛН
Nobel Peace Prize-winner Muhammad Yunus
1:00:47
Georgetown University
Рет қаралды 447 М.
Ip Man 2 | The Boxing Competition
15:57
Cinewatch
Рет қаралды 7 МЛН