Mbeya boy✔✔ Pongezi ulistahili kutwaa taji homeboy✔✔ Mbeya House of Talent💝💝
@theclabatromeo90894 жыл бұрын
IVARN GASPER Tisha sana
@marrymichael6754 жыл бұрын
Yaan Jana nimekaa nikimuombea sana meshaki walahi nimefurahia ushindi wake kama vile tutagawana😀😀mungu nimwema nilikua Nikimuombea xana jamani.
@masoudmussa72424 жыл бұрын
Ametixhaaa xana
@johgalamwenda14644 жыл бұрын
Namkubal San huyo jamaa
@zawadielias62514 жыл бұрын
Hahahahahahaaaaaaa!!!!!
@magzakky27814 жыл бұрын
I need this guy he sang so much.. With perfection he made the song his he reminds me of lucky dube.... Kweli MBEYA pple are also talent like kigoma pple mmmmmm.. Rayvanny watch your bro.... Napenda bongo napenda wabongo much love from Kenya #254 🇰🇪❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@bakarionesmo81904 жыл бұрын
Dogo hongera sana aiseee nakukubali sana unajua kutembea na beat 😂😂😂 like zenu kama unamkubali jamaa uyu
@hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын
Ndio bakar na mwaka huu Kuna vipaj vikal Kuna ay, kiba na zuchu hatar kwel kwel mambo ni moto
@hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын
Ya anakweda na biti kaka yangu ni msanii analipaj cha kuimba na kulapu mkal naye walikuwa kitaa na makempu wanamkubal wanamualika anatunga na nyimbo
@hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын
Zaman alikuwa anakwendaga Sana Kwa mastar j nilianza msikiaga kwake
@hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын
Naipendaga hiyo nyimbo nyimbo nyingi za laki dube nazipenda
@hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын
Anajuwa kuivuta saut
@winifridasylivestermachila94904 жыл бұрын
Ukweli ni haki yako kushinda sababu unazo Vigezo unavyo Uwezo unao God bless you Akufanye mshindi kakita kila hatua bg up Meshack I love youuuuuu❤️💞💋
@jastinmtewele87924 жыл бұрын
Hongera meshack Hakika umestahili kua mshindi. God bless you
@neemamaisely3084 жыл бұрын
Hongera meshack wangu😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊Nakutakia kila la heri baba kaza buti utafanikiwa zaidi na zaidi ngoja niendelee kunywa juice ya ukwaju😋😋😋😋😋
@anethnyanga38484 жыл бұрын
Aiseeeee umetisha Meshack gooooooood
@carolmwinzi98454 жыл бұрын
U are real a star ,may God shine ur stars bro from Kenya, I liked everything u did all the way.
@betinaidifonce82134 жыл бұрын
wap wa2 wa mbeya jaman nilikuwa nataman sana uwe mshind na kwel imekuwa hongra sana ❤️❤️
Yan kumbe kuna watu wanaimba vzr to mlikuwa kila siku hamis hamis aaaaaah big up meshaki
@raheemalewa92194 жыл бұрын
umeonaeee
@angeljohn61164 жыл бұрын
Nakupenda meshack Rudi mbeya kwa kishindo 😚😚😚
@fahammbegu88254 жыл бұрын
Angel John bondiamwakinyo
@zabronsimfukwe4 жыл бұрын
Ajee om tumpeshangwee
@amanimanase57944 жыл бұрын
Nyimbo za marasta wooote duniani pqmaoja na Master J ndo maana kawa mshindi BSS
@mohamedmwandugu66274 жыл бұрын
Meshack keep going bro and let the sky be the only limit in your dreams,mob love from#254 Mombasa
@agneschinguku10224 жыл бұрын
Hongera meshack umetuwakilisha mbeya vizur
@mathewandrew31414 жыл бұрын
Meshack ni moto msingine
@elizabethafrolence64994 жыл бұрын
Umeona jamani
@amynarajab95574 жыл бұрын
Meshack jmn hujui ni jins gan nilikua nataman ushinde
@prosperjuma9054 жыл бұрын
BSS mmetenda haki kabisa hapo. Big up
@seyaorongo74664 жыл бұрын
Meshack Meshack Meshack Meshack Meshack Meshack umestahili kuwa mshindi Mungu awe pmj nawe ktk sfr yako ya muziki hongeraaaaaaaaaaa mwaaaaaaaaaah
@victoriamkilya9284 жыл бұрын
Hongrera sana Meshack, ulistahili. Hongereni pia judges mmetenda haki. Heshima ya taasisi yenu imekua sana!
@charayohana34634 жыл бұрын
saf sna meshack kwa kazi nzuri uliyoifanya
@erickjery88844 жыл бұрын
Big up meshack
@feysanga41724 жыл бұрын
Waohhhhh so lovely God bless you meshack
@arbogastemiykimario27214 жыл бұрын
Ni nipo tafauti hii mambo inakuaga ni uwezo but plus bahati bana .kama unanikubalia gonga like
@sharifaselemani46084 жыл бұрын
Mi nilianza kukupenda nangia umeingia mbeya kwenye usahili love u my brother
@priscargodwel83334 жыл бұрын
Daaaaaaah!! Nilijua tu kua mshindi atatoka mbeya kozi daaaaaaha hongera meshack
@jesusislordrepentanceandho44324 жыл бұрын
Am so much excited I was wishing for him
@benpius30764 жыл бұрын
You have nailed it mercilessly brother and you deserve to be le champione ... congratulations
@maryfocus54994 жыл бұрын
U made day happier thanks meshack 😍😍😍
@tuntumajan50914 жыл бұрын
Mimi simkubali masta J. Wala meshak. Hamis ndo alikua mpango mzima. Japo Mm napenda reggae music. Ila hamis ni nooma
@rabbythedon7534 жыл бұрын
mwanangu umetisha sanaaa nakukubali💪💪💪
@stephanomwankamanga4724 жыл бұрын
Mshind tulimuon tokea mwanzo
@halisiaisaya78324 жыл бұрын
Asante Mungu kwa kujibu maombi yngu.
@kelvincharles53314 жыл бұрын
Hahaha
@aishaqute76564 жыл бұрын
Meshack 💕💕💕💕💖
@anethjoachim5804 жыл бұрын
Hongera mungu ni mwema wewe ni muimbaji hatari
@biviankamulali21694 жыл бұрын
Bonge la star ktka mbeya ongera sana
@rahimmanjolo73124 жыл бұрын
Meshack atari sana🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@monicasimon68454 жыл бұрын
Ila humu wanafki mwanzo mlikuwa mnamsifia hamis sasa hivii kwa kuwa kaanguk mnaanza kumponda kwel binadam sio watu
@azizimakotha49294 жыл бұрын
Hahahaha
@salumramadhan62214 жыл бұрын
Jaman like hata moja
@mwajejasson69954 жыл бұрын
Mbeya city home bress to meshark mungu kakufungulia njia
@seyaorongo74664 жыл бұрын
Mwaje Jasson Mungu ni mwema maombi yetu yamesikika nilimuombea sana Meshack ashinde
@mwajeynzitto23674 жыл бұрын
Sjawah kukupa kura yangu lakin hongera mpepo na hamis kidogo maana alikupa changamoto ya kujitma zaidi
@annahkimani31414 жыл бұрын
Mwenye aliimba wa kwanza naeza mpataje I would like to join him
@amourzubeir73064 жыл бұрын
Jamaa ameweza kama mwenyew amefufuka dah aiseee ,anabalaa hyu jmaa, congratulation boy marshak
@mbarushimanajeanmarieviann62754 жыл бұрын
I like
@cristianjackson61284 жыл бұрын
Criaz nkachukuw nyimba ya chrss brown nikaa naataye imba ya reyvan vizur ila yule wa chrss ilye znguwa ataonekana anauwezo mkubwa sana kibongobongo
@anthoniajulianus74944 жыл бұрын
Kwa straggler hii afu mtu anadhulumiwa asee walaaniwe wote waloshiriki upuuuzii huo
@mariamusaid28514 жыл бұрын
Hongeraaa
@kisegeselokisegeselo38154 жыл бұрын
Kura nilizopiga hazijaenda bure hongera Meshack Fukuta mbeya boy
@hildakalist76514 жыл бұрын
daaaah umeshinda kiharali big up
@hassanmsonde74264 жыл бұрын
Jamaaaa co pouw kabx
@shalifumlanzi73284 жыл бұрын
M nlisema toka mashindano yanaaza mshind n meshack fukuta weng wakabisha sasa wamejionea hamis kuimba ilkuA n 0 n nyota tu ndo ilmpa Cheo fukuta safffffff
@jailosmbwilo58624 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😘😘😘😘
@jumalove26314 жыл бұрын
Ana style msim huu mlizingua kwa Mariam tu yule Dada alikua shida
@zuhuranadahhinda13664 жыл бұрын
Duwa zangu zimepokelewa
@braysonmajani85574 жыл бұрын
Wangempaga tu mapema mbona nilijuaga kua anastahili ushindi hongera Sana meshaki nakutakia mafanikio
@mrzugamelck62474 жыл бұрын
Jamaa anaimba ni fundi
@hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын
Hivi kumbe alishindaga meshak mwaka uliopita nilikuwa namkubal naye nilizan alishinda sarafina kama naye alishinda.
@loner_wolf4 жыл бұрын
Good trial brother
@zabronsimfukwe4 жыл бұрын
Wale tulio mbeya oyeee home boy oyeee nilijua
@abbynimel-kindy51074 жыл бұрын
😭😭😭Remember Me Rip Lucky Dude
@floraritha14544 жыл бұрын
.ajal
@jacquecharles92824 жыл бұрын
meshak SAFIIII,,, unastahil
@haggymeee5304 жыл бұрын
Congrats meshack👏👏👏👌
@saidsoud59674 жыл бұрын
Meshack ni msanii zamani huyu
@emmanuelqaday69494 жыл бұрын
anafaa hongera sana tangu mwanzo nilikuwa mshabiki wake
@dunianitunapita35354 жыл бұрын
Yaan watu hawana nyota kabisa pamoja na kufanya vzr ila hamisi ndio maarufu sana utafikiri ndio mshindi wa bss 2019
@nyandongotv75854 жыл бұрын
Good
@jacquriciouslusekelo30964 жыл бұрын
Jomooon hom boy nlikup mia toka nmekuona japo Leonard alikuw akinitixh ckukat tamaa kusem wew and mxhind chezea mbya 2018 tulichukua namb mbil ya asagwile now ni balaaa mbya hatujawah kufel
@annnyoks70084 жыл бұрын
Million votes
@mkandaabushiri54814 жыл бұрын
Kilichomwokoa ni kelele za mashabiki tu kweri maleem alikuwa akiimba ivyo mh izi BSS jamani mashabiki kelele tu bas
@minaside67174 жыл бұрын
Alafu bado mdogo , Mungu akukuzie kipaji chako.
@daniellaaidal22334 жыл бұрын
Congratulations Meshack
@gelefasjames42874 жыл бұрын
Anastahili Jamaa Yuko poa Sana'a
@rahmaramadhan97734 жыл бұрын
Nilihisi ndiyo atashinda hongera Sana hakiyako
@elizabethafrolence64994 жыл бұрын
Tunashukuru hm boy na mbeya tumeonekana
@yunnpaulo81314 жыл бұрын
Nom cna ongera
@elizabethafrolence64994 жыл бұрын
@@yunnpaulo8131 asantee
@frankmussa40934 жыл бұрын
Halina ubishi ni moto🔥
@edsonpeter52694 жыл бұрын
yaan bila unafki huyu dogo anajuaaa yaan n fundii wa muzikii
@hidayayussufu70804 жыл бұрын
Kujiamini raha Sana,huwezi kukuta unakosea popote kwa kujiamini kwako.hongera sana
@evachengula14734 жыл бұрын
Kweli kabisa kujiamini ndo kila kitu
@hidayayussufu70804 жыл бұрын
@@evachengula1473 kabisa yani
@Johnnyphilimon4 жыл бұрын
Mbeya stand up
@loner_wolf4 жыл бұрын
Lkn Hamisi alipaswa kuimba Redemption song ya Bob Marley kwa utulivu wake angewabwaga naamini🇦🇽🇦🇽
@hadijasalimu18084 жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤💪💪👄👄👄ninavyo penda iyi nyimbo
@jastinmamba60224 жыл бұрын
Ukhuty khadija hii nyimbo inaiywaje nataka nitafute mana yake jina la nyimbo please na msanii alieiimba
@amidusamson81684 жыл бұрын
Jamaa anaweza
@beatricenzagara84314 жыл бұрын
Thanks God for Meshack
@yudaseleman83204 жыл бұрын
Figisu San hastahili uyu bora hamiss
@anethjeremiah26594 жыл бұрын
Hongera mno mdogo wangu
@salmasaid24014 жыл бұрын
Hingera meshark ila angeliwekwa hamis fainal usingelishinda kwa kweli
@happyjustine33644 жыл бұрын
Hamis hat kam angelikuwep asingeshinda
@nurumnyota86154 жыл бұрын
Huyu si wa kumfananisha na mtu ambaye hajaingia final dear,huu mziki mnene😍😍😍
@atasioanatenda6104 жыл бұрын
Asante dogo
@goodlucktemu31494 жыл бұрын
🔥
@benjamindenice534 жыл бұрын
Diamond tafadhari, usitupe hiki kipaji
@michaelgermany1734 жыл бұрын
Dogo ww ni sumu unajua hatar yaani ww ni staa tu haina namna konki huyu dogo
@priscargodwel83334 жыл бұрын
Mimi nilisema mshindi anatoka mbeya kozi dogo unajua jamani
@eliluckgodluck6424 жыл бұрын
ulistahili kupata tunzo kijana kwanza unaonekana unanidhamu
@harithiothman70744 жыл бұрын
Hongera
@winfridamchelema78764 жыл бұрын
Meshack mungu ni mwema
@hildakalist76514 жыл бұрын
umeitendea haki hiyo nyimbo saf
@loseaofficialchannel46654 жыл бұрын
Lady jay dee timiza haadi yako
@neemakombe45354 жыл бұрын
Kwa kweli alisema ata ritaya
@barakaeleneus78594 жыл бұрын
Frank alipotoka jide alikasirika akaondoka hakurud tena
@loseaofficialchannel46654 жыл бұрын
Kiukweli sitegemei kumuona tena maana Frank alikuwa anajua lakn ndo ivo @lady jdee timiza hii haadi plz😊😋
@KhibeHulama4 жыл бұрын
mshind na nusu wa bss ndo huyu
@masoudsaid64274 жыл бұрын
Kuna kitu cha kujifinza utawala huu watu hawatunzi vyuma v.....
Tokea mashindano yanaanza niliwaambia home huyu ndo mshind wa bss
@happydavid71944 жыл бұрын
Mbeya oyeeee
@hamiskalulumbe77684 жыл бұрын
Noma xana jank katixha mbaya mazeee
@captenndunga61994 жыл бұрын
Mi naonaga hii BSS kama kaujinga flani hv mngekua mnawaambia washiriki waimbe nyimbo za kutunga wao na hayo ndo mashindano ya kutafuta vipaji sasa mtu anakua mshindi kwa nyimbo za watu... NDO MANA MIAKA YOTE MSHINDI WA BSS HAFIKI MBALI. Sasa hapo anaimba vizur lakini kumbe utakuta kwenye utunz wa nyimbo zake ni bora ukawasikilize SIKINDE NGOMA YA UKAE.
@gisellebusime65784 жыл бұрын
CAPTENN DUNGA siyo kilamutu anakipaji chakutuga nyimbo kunawasani wegi ambao wako na sauti nzuri ila awajuwi kutuga iyo nikipaji kigine kutoka kwa Mungu ata America got talents wanaimba Ka zawatu siyo tu BSS na usisahau kuwa ata kuimba nyimbo zawatu nayo nikipaji kigine siyo wote njo wanawezaka kuimba zawatu
@captenndunga61994 жыл бұрын
@@gisellebusime6578 sasa huo sio usanii na ndio mana nikasema namba moja wa BSS hawafikagu mbali hata huyo mpe mwaka 1 utamsahau au niambie ni namba 1 gani wa BSS yuko kwenye indasri? Ila PITA MSECHU, KALA JEREMIA, LINNAH, ni matunda ya BSS na hawakua namba 1.. kwa mfano huo utaona kabisa kua kuimba nyimbo za watu bila kujua kutunga za kwako sio kipaji.