Huko mbinguni tutafika tumechoka sana, ajuaye Mungu Ila uhuni mwingi, mama Mtumishi, suruali ya kubana, uhuni tu
@simonzakaria47702 жыл бұрын
Kweli aise
@agathaabinala7503 Жыл бұрын
Kweli kabisa
@humphreyfungo76692 жыл бұрын
Mama mtumishi mbona kavaa suruali halafu imebana sana. Wanawake si wanatakiwa kuvaa mavazi ya heshima na ya kujisituri . Hapo wapo watu anawakosesha .
@jacquelineelly66844 жыл бұрын
Kama umeangalia video hii zaidi ya mara 7 gonga like tujuane 💃💃💃... it's so beautiful, i love the whole idea. Mama deserves this and more❤
@zakariakabasa37902 жыл бұрын
Brother!. Umepotea brother, umepotea brother, Umepotea brother???? Unaruhusu mavazi yanayochochea hisia za zinaa kwenye nyumba ya Mungu?? Daaaaahhh baba zetu, waliotumiwa na Mungu kuyanena maneno yaluyoroka kwa Mungu, wangeyaona yanayoendelea leo, sipati picha kwa moyo wao ingekuwaje!!.
@cecilrose62303 жыл бұрын
Sijapenda vazi la mama aah poo mbingu unasema nini
@user-ne6bh3gl5u7 ай бұрын
Napenda sana mafundisho yako mtumishi ila mavazi ya mkeo yamenitoa kwenye imani!!!!! Mavazi ya heshima kwenye madhabahu siyo hayo!!!!
@giftjannet1047 Жыл бұрын
Waoooo Asante sana Kwaupendo munaonyesha kanisa na mataifa nawapenda sana muishi myaka mingi katika jina La Yesu
@sirnunda37583 жыл бұрын
HAPO MUNGU HAYUPO HAPO.KWA MAVAZI YA AINA HIYO MNADANGANYANA NA KUPOTEZA MUDA WENU
@doricemwalongo15843 жыл бұрын
Na mm natamani kuwa na mume kama wewe postel mtalemwa ,niombee na mm nipate wangu 💕
@marygregory75663 жыл бұрын
Live long Mama mchungaji..ila mom naomba mavazi badilisha kidogo Mama.
@angelmchome55263 жыл бұрын
Kwel mavazi hayamtukuz Mungu
@jacksonpatrick28464 жыл бұрын
Mke wa mchungaji unavaa modo tena ya kuchanika duh kweli hizi no siku za mwisho
@youngbilioners46313 жыл бұрын
Wembwa kerere
@gloriambanda59083 жыл бұрын
hongereni sana Mungu awezidishie miaka mingi ya kuishi na upendo katika ndoa na umoja kati yenu katika Kristo Yesu Amen.
@markodaniel26622 жыл бұрын
Vema sana, ila hii mivaliyo ya suruali kwa wake za wachungaji imetoka wapi
@ruffinbagula76542 жыл бұрын
Be blessed Pastor. We're so thankful from Bukavu/DRC
@lumuliasibwene8864 жыл бұрын
Ndio nguo gani hizo mke wa mtumishi, kanguo kanabana, hakuna ushuhuda hapo
@annajustine51044 жыл бұрын
Mmmh yetu macho
@sharonyasin75213 жыл бұрын
Nguo hiyo sio mahala pake
@elizabethmwasile28713 жыл бұрын
Yaani nguo haina ushuhuda kbsaaaa
@elizabethmwasile28713 жыл бұрын
Yaani nguo haina ushuhuda kbsaaaa
@valentinandukuvalentinandu47793 жыл бұрын
kumbe tupo wengi nilidhani ni mimi tu nimeona
@RedemptaShio-yi9dx3 ай бұрын
Amen mtumishi
@queenyahaya31474 жыл бұрын
Jamani adi raha hongera sana baba 👏👏 mie natamani atokee ata wa kunipenda tu ni wachache sana katika dunia hiii
@kenonpeter3692 Жыл бұрын
Amen Mtalemwa na yapenda mahubiri yako sana
@AdelaidaZachariah-id9ft Жыл бұрын
The best of you mama, God bless you!!!😊
@leerimoy54774 жыл бұрын
Our Very Own Pride! Mama and Half! My Angel on earth!! I love Loving You. Proudly a Member of this Family
@vailethywalter56744 жыл бұрын
nimeipenda sana papaaa gud mungu ampe Mamy maisha marefu Na afya njema.
@neemasamwel8968 Жыл бұрын
😅😅nimeipenda hongera kwake
@donnngeta20224 жыл бұрын
nlichokigundua mama mtalemwa hajapenda pikipikii
@salomefesto92254 жыл бұрын
Woooow asante daddy kumfurahisha mama
@julianamsofe64454 жыл бұрын
Amazing soo lovely ,and you deserve it Happy birthday our lovely mama mentor ,GOD bless you
@doricelema25914 жыл бұрын
Wooow! Happy Birthday Mama ❤❤❤. And Congratulations for Toyo and BMW Latest version.
@jemimahowiti2 жыл бұрын
Waaaw,i just love the simplicity and how you celebrate with everyone!
@lilianlubanga40103 жыл бұрын
Wonderful Mama Happy birthday to you.
@irenengina2332 жыл бұрын
Wow! Happy birthday to mrs mtelemwa
@gabriellyadam94152 жыл бұрын
amaizing sana mbarikiwe baba na mama mnatufundisha upendo
@naomifavor28873 жыл бұрын
Hata kama ,si vyema the dressing is indecent
@zenalawlent2660 Жыл бұрын
Mungu mbariki
@kenonpeter3692 Жыл бұрын
Mependeza sana chifu
@rosemarylamsy32304 жыл бұрын
Mungu awabariki sana, nawakumbuka sana
@kaboberdo2273 жыл бұрын
Happy birthday to you 🥂🥂🥂
@dorkasfrank69444 жыл бұрын
Happy bon day mamaah ishi sana kwasababu yetu maaaah
@ruthmaurice4964 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu mama nawapend sana
@eliadimsaki97543 жыл бұрын
Hongera sana Baba Nabii Mtalemwa Mungu awajalie maisha mema.!
@joycejumaa71814 жыл бұрын
Wauuuuu happy birthday mama
@eliarichard92184 жыл бұрын
mungu ampe miaka mingi sana ya kuishi na mtu wa mungu.
@salomeshila36713 жыл бұрын
Ilipendeza mnoo!!
@elizabethnyato14494 жыл бұрын
Mungu akutunze mama yetu
@ruthmuia22282 жыл бұрын
Love this video
@vickiemerere40563 жыл бұрын
Kama uliona kuwa mama hakufurahia toyo gonga like
@libinarobert38303 жыл бұрын
Hata aibu hamna nguo gani hio kavaa dunia simama nishuke mm
@uwrtvuwrtv35754 жыл бұрын
Safi chief mtalemwa
@joylethfaustine59702 жыл бұрын
Waoo hongera sana faustina
@ibrahimpius49064 жыл бұрын
Hbd to u,Hakika Mungu amewatoa mbali,nakumbuka wakati ukiwa TTC,njisi mlivyokuwa mnapendana
@merryjohn95202 жыл бұрын
Waoh 🥰
@emilygesare5084 жыл бұрын
Nimependa sherehe lakini mbona akavaa trouser jamani mwanamke kiongozi, mungu turuhumie sisi
@Neema.kitchen3 жыл бұрын
Unahitaji kuhurumiwa wewe mpenzi na kujifunza kwamba Suruali sio dhambi
@everlyneiminza57223 жыл бұрын
Tena ile bottle tight kabisa anyway atakae toa hukumu ni Mungu tu SSI macho tu
@mariamnamwa1883 жыл бұрын
@@everlyneiminza5722 pia mm sijapenda.
@wilfredroberttv76194 жыл бұрын
Hakika umefanya mambo ya kushangaza kabisa HBD
@janeisaac45304 жыл бұрын
Papa your too much. Your true Dady. We love you Dady. Happy birthday Mama. She deserve.
@gerryanvolan20214 жыл бұрын
Papa truly you have a kind heart
@clairemuchai6233 жыл бұрын
Wow 🥺🥺🥺🥺 nice
@asifiweabellumato42624 жыл бұрын
Hi cku ilikuwa nzur Sanaa
@gloriamalisa30334 жыл бұрын
it was so amazing, waooo!!!
@arthurmwakanyamale76514 жыл бұрын
Nzur sana
@annyungelle37924 жыл бұрын
God namimi Baba k aninunulie
@kasekebukaba29412 жыл бұрын
Ongera sana mutu wa Mungu.
@pastoremmanuelmhomisoli97824 жыл бұрын
Hakika hii siku niliipenda Mungu awabariki watumishi wake na kuwatunza
@gamelahg46134 жыл бұрын
waooo
@julianayoramu97804 жыл бұрын
Hbd Mamaa
@grolyqueen58332 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 nimeipendaaa Sanaa hii zawadii
@happinessmwenda27733 жыл бұрын
HAYO MAVAXI SIO KWA MAMA KIONGOZI.IGA MFANO KWA EVELYNE JOSHUA.HAKUJA HAJA YA KUONYESHA VITU HIVYO MAKANISANI AU KTK MITANDAO.VIMEMCOST BUSHIRI
@mercylineinjoke96823 жыл бұрын
Wow maixha ikiwa hivi utatamani kifo kweli
@entoroboyamama22393 жыл бұрын
Nakwambia
@valentinandukuvalentinandu47793 жыл бұрын
happy birthday mama
@juliethbaraka48564 жыл бұрын
Tunakushukuru Mungu kwaajiri ya mama,Zidi kumpa maisha mazuri na marefu,Happybirthday mom ninakupenda sana
@happynessminja4874 жыл бұрын
I Connect
@happynessminja4874 жыл бұрын
Happy Birthday mama Chief
@annyungelle37924 жыл бұрын
I connect
@lucasgasper52353 жыл бұрын
MAMA MCHUNGAJI ANAVAAA NGUO ZA KUBANA IVO SURUALI MANYWELE YA BANDIA ANAFUNDISHA NN WAUMINI WE MTALEMWA MBONA HUJAVAA PENSI FUNDISHA UVAAJI NA MAPAMBO YAANZIE KWA MKEO NI DHAMBIKUBWA SANA NI WAKALA NN
@raphaelkatanga53352 жыл бұрын
Mungu yupi huyo
@ruthmaurice4964 жыл бұрын
i connect mamy
@shqueenmody96124 жыл бұрын
🙏😍
@jacksonpatrick28464 жыл бұрын
Ww mchung aji sio acha kuibia watu
@faidaimmaculee282 жыл бұрын
Amen
@elishapeterbalele38794 жыл бұрын
we love you Mama.
@douglaskimala99254 жыл бұрын
What comes out of someone's mouth define him or her self
@philemonmagesa55482 жыл бұрын
huyu mama mchungaji ni miyayusho nguo alizovaa hazimfai
@framsirona4 жыл бұрын
POWER POWER POWER
@simonzakaria47702 жыл бұрын
Mnapomwombea msisahau kumwombea akome kuvaa hivyo vijisuruali vya kishetani
@salmahassan35213 жыл бұрын
Mama mtalemwa Mungu hajawahi sema na wewe hata siku moja kuhusu mavazi?, Try to be like a real mama
@eunicehezron34813 жыл бұрын
But Our God have mercy
@annyungelle37924 жыл бұрын
She is soo beautiful like rwandanian
@deograciakashaigili59733 жыл бұрын
Hakika. Sura za kinyarwanda hizo.
@saidimulengima3673 жыл бұрын
Pahahahahaha nimefurahia hahaha
@youngbilioners46313 жыл бұрын
Mhh bahati zao
@samrecordvwawa91332 жыл бұрын
Namba huo wimbo kwanza
@monicakatabi43064 жыл бұрын
Mbona hamjamwogesha mama yangu??
@bukuruphilibert296811 ай бұрын
Mafundisho mazr ila kwa mavaz hayo ya kikahaba hamna nisamehe kumsema vibaya ubavu wako
@gracekwila56744 жыл бұрын
Hii inaitwa zawadi na nyongeza ya TOYO
@tausimhando68664 жыл бұрын
Chiiiiiiiiiif,nimeona iyo apostolic gift ya toyo hahahaaaa, nawapenda watu wa Mungu
@olesimangakimbey41472 жыл бұрын
sas hapo nan mama wakaty wote wawili mmevaa surually mwenyezi Mungu awasamehe sna coz sio kwa. Mavazi hayo na ndiomaana kitabu Cha yeremia inasema kua watu wangu wamekua kondoo waliopotea wachungaji wao wamewapoteza
@jjbornagain8133 жыл бұрын
Haya mambo binafs siyo ya kufanyia madhabahuni madhabahu ni maalumu biblia inasema je hamna nyumba za kulia nakunywea mpaka iwe nyumba ya Mungu alafu unawatumia watu wa Mungu kwa mambo ya ajabu yakumfurahisha mke wako nawatoto hayo ndyo inayomgharimu bushiri now
@careeninnocent738 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣💐🎈🥃
@ilovecomputers16304 жыл бұрын
Inasikitisha kuona watu hawakenei mavazi ya kikahaba kama hayo alievaa anayejiita mama kanisa
@annaurio48734 жыл бұрын
Malaya mbovu wewe mavazi ya kikahaba unayajua mbwa wewe au unawashwa unahitaji kutiwa vidole nguruwe wewe shenzi kbsa
@annaurio48734 жыл бұрын
Wewe malaya uliyeshindika na walimwengu njoo na wewe tukuite mama mchungaji kama unawez ili uvae kimalaya n wewe mbwa mwitu wewe
@ilovecomputers16304 жыл бұрын
Biblia inasema nyakati za mwisho Mungu ataachilia nguvu za upotevu kwa sababu watu hawapendi kuambiwa ukweli, kama mama wa Kanisa kweli kampokea Yesu hawezi vaa mavazi kama hayo
@ilovecomputers16304 жыл бұрын
@grace kwila asante, ila jua Yesu hakuja kufa msalabani ili ujinga kama huo ufanyike kanisani, nakuombea siku uokoke umpokee Yesu kabla hujachelewa
@asifiweabellumato42624 жыл бұрын
Pastor mwaminifu njooooooooooooooooo
@samrecordvwawa91332 жыл бұрын
Yaaani wewe inanibidi niseme tuu jamaa maana kuna wakati nafurahi sana najiona nipo hapo kwakweli
@proviousnatukunda38922 жыл бұрын
Am so disappointed in you mama mtalemwa the way u a dressing in front of congregate and yet I once had your husband preaching about bad dressing and that's what made me start following your channel
@daudimwakalinga27683 жыл бұрын
Kumbukumbu la toratI 22:5
@ilovecomputers16304 жыл бұрын
Mavazi kama malaya wa buguruni
@asifiweabellumato42624 жыл бұрын
Kumbe Malaya huwa Wana pendeza HV?? Haa haha haaa
@asifiweabellumato42624 жыл бұрын
Kumbe Malaya huwa Wana pendeza hvii ?hahaha haaaaa
@asifiweabellumato42624 жыл бұрын
Em nitumie hapa ,Wachungaji wako wanavo vaa jmn ,,,
@blazelupine8014 жыл бұрын
Shida yako ni kua uncivilized uneducated unglobalized to the fact that ur simple incompetent mind can't begin to fathom the greatness of God's grace coz if u did then u wouldn't be spitting unethical rabbish out of ur bowel that u call ur mind
@douglaskimala99254 жыл бұрын
So kituo chako ni buguruni....uko vizuli mpaka unajuwa vituo...ebu niambie sasa wewe katika kituo cha buguruni unava je. Etakuwa yakwako ni bala...
@rhodagiston34432 жыл бұрын
Po
@delehfinakabamba1832 жыл бұрын
Mavazi tumwokope Mungu yooooooo
@delehfinakabamba1832 жыл бұрын
Mavazi hayafanani na mmamtumishi sijapenda mavazi hatukouraya niafric
@delehfinakabamba1832 жыл бұрын
Mavaziyamama asirudikutuvaria hivi utazuiya wengiku okorewa tutaonamengi tumwokope Mungu
@delehfinakabamba1832 жыл бұрын
Mapenzimengine yanatakiwa cumbani hayana ushuhuda
@happynessisack79182 жыл бұрын
Kwenye mavazi 0:0=000
@magdalenaobet85024 жыл бұрын
Yaani umeonyesha upendo was dhati si kwasababu ya zawadi kumuwazia tu hbd. Wanaume Kama ww wanaofanya hivyo ni wachacheeee