Ipoo sku yenuu Hii Tanzaniaa mtahama kma mnavyowatesaa watu wa vyama vngne
@yohanalucas6562 сағат бұрын
😂😂😂😂😂
@MngwaliAllykizangwa2 сағат бұрын
Utahama ww sisi tunahitaji ulinzi tutumie tulivyo vichuma siyo siasa zisizo na tija
@jamesjahasa33482 сағат бұрын
Acha ujinga wewe anaetakiwa kuhama ni mtoto sio baba
@allythabiti81502 сағат бұрын
Utahama wewe, yan watu wachache wavunje aman😂😂
@SamiraameirSamira-qt9yn2 сағат бұрын
Ulinzi gn kwa mfn wakati watu wana tekwa na walivyo vichuma 😢@@MngwaliAllykizangwa
@PeterIchobe2 сағат бұрын
Polisi nichawa wa ccm inasikitisha kwakweli awa mapolisi wetu awajielewi kabisa wao wanacho angalia nielatu du! Ifikemaali tuamkejamani tumechoka manyanyaso
@thomasmallya29722 сағат бұрын
Sasa wewe ulitaka polis wa siiitii maagizoo kaz ya jeshi la polis sheria namba moja ni utiii polis awana shida shida iko kwa viongoz kuanzia CCM NA CDM
@aminaomari23122 сағат бұрын
Sababu za maandamano ni nini?hawa Chadema wanavuruga sana amani.@@thomasmallya2972
@evancetarimo1310Сағат бұрын
Ni utii ndo maana hata maagizo ya yule bint wa yombo yalifanyika ipasavyo😢@@thomasmallya2972
@saidymbagalla6622Сағат бұрын
Shida inaanzia kwenye katiba Katiba imempa mamlaka makubwa ya kila kitu Rais yeye ndio anateua wakuu wa idara zingine zote za nchi so mtu akishateuliwa lazma awe mtumwa wa boss wake na mbaya zaid ukimpata rais chiz atatumia vibaya hayo mamlaka ndio inakua shida zaid😢
@walidmgonja364447 минут бұрын
Na wewe hujitambui upo upo tu kama nyumbu,fanya kazi acha umalaya.
@jaderkyser9389Сағат бұрын
Mi naandamana Kimoyomoyo tu Nasiguswi😂 VIVA ROMA VIVAAA
@PrinceByarugaba2 сағат бұрын
Kamateni wanaoteka watu!!
@ericconstantine8912 сағат бұрын
Podium ni fridge la coco cola kwel tumefikia hapa
@nuliatbaraka63502 сағат бұрын
Yote yanayotendeka Mwenyezimungu anayaona tuwe na imani na subra kila mwenyehaki atapata haki yake bila kutumia nguvu Inshaallah.
@frolamtei1152 сағат бұрын
Mnatunia nguvu kubwa Sana kujilinda na kujitetea mlaniwe sana
@JuhudyMacheteСағат бұрын
Mimi nilikuwa mrilo anatoa taarifa kwamba wamewakata wanaoteka watu ivi hii nchi ni ya watanzania wote au ni ya ccm tu mungu ikumbuke nchi yetu na watawala dharimu hawa
Chukia tuu kama huwezi kukemea, Kemea kama huwezi kuchukua hatua za Haki. Amebakia mmoja tuu anayeweza kuchukua hatua za haki. Mola Mlezi, Hakimu Mwenye Nguvu.
@MIBWA2 сағат бұрын
Atuna democracy
@emlongetcha882 сағат бұрын
Naomba, aulizwe swali kuhusu kaulu za viongozi wa ccm ambazo zinaelekea kuvunja Amani... Je, nao watakamatwa lini? Naomba aulizwe swali hilo tafadhali
@MiriamAbdallah2 сағат бұрын
Police wanalinda chama cha mapinduzi
@gracebwimbo18892 сағат бұрын
kweli kabisa mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.Hivi vyeo ni dhamana tu wasijiinue MUNGU WA MAJESHI NDO BWANA WA MAJESHI KIBURI CHAO CHA KUTUMIA MAMLAKA WALIYONAYO HAKIKA MUNGU Hashindwi atawaondosha ghafla
@jumaseifally6337Сағат бұрын
Acha kumuweka Mungu kwenye ujinga bhana
@husseinmtima6106Сағат бұрын
Friji la coca-cola limekuwa podium!
@saidymbagalla6622Сағат бұрын
Swali Zuri sana ila kwa hao waandish uchwara hawawez uliza ilo swali ila ni mwamba Salim Kikeke pekeyake
@cleopajackson99342 сағат бұрын
😂😂sasa friji lanini mnahangaika nalo...office Haina meza
@HabibtyjojoСағат бұрын
Kumbuka walisema wapo kambi
@Patriotism-x3v2 сағат бұрын
Mkamateni na mafwele
@IsmailjumaTenge2 сағат бұрын
Tanzania inathamini uchawa KULIKO haki jeshi la polisi la Tanzania hawajielewi wote machawa tu subirini nkifika kwa mungu kama mtakuwa machawa
@facef55772 сағат бұрын
😂😂😂 hv uvunjifu wa amani ni upi wanaongelea... watu wanatekwa wanaona amani ipo, vichaa wa akili wapo wengi
@HassanNdauka-x1z2 сағат бұрын
Watekaji wanatokea chadema kwa ajili ya kuichafua serikali, na aya mambo yanashamili sana kipindi cha uchaguzi, kama unabisha mfuate Dr slaa atakusibitishia, upande mwingne ni iman za kishilikina ndugu tunauwana sana alafu lawama tunazipeleka serikalin
@FRPBYPASSTZСағат бұрын
@@HassanNdauka-x1z sasa kama watekaji wanatokea chadema na polisi wanajua mbona hawachukuliwi hatua
@JumaMataoСағат бұрын
Wanajiteka wenyewe
@FRPBYPASSTZСағат бұрын
@@JumaMatao kunbe
@robertzamani561230 минут бұрын
@@HassanNdauka-x1zUnaushahidi
@SamiraameirSamira-qt9yn2 сағат бұрын
Ivyo unavyo ongea kwa gogi utasema ukaa maisha kwenye hicho cheo 😂 lkn tunashukru maana mumesema km mumewakamata hamukusema kamechukuliwa na watu wasojulikana 😂😂😂
@ameirzapy1318Сағат бұрын
Ni majukumu yao kuhakikisha amani inaendelea, watu wachache wavuruge amani ikisha kichaka tunaonewa😢
@Mosmwampa2 сағат бұрын
Polisi mnatumika vibaya kuminya demokrasia, ujinga mnaofanya leo utatesa vizazi vyenu baadae maana sio wote watakuwa polis kama ninyi
@walidmgonja364441 минут бұрын
Wewe ulitaka wafanyeje?
@JamesMsuya-xp5gm2 сағат бұрын
Kutoa taarifa mnapomkamata mtu ni jambo zuri na la busara ila kuzuia maandamano sio sawa hapo demokrasia imekiukwa Yani askari n kama mtumwa tu yani unalazimika kufanya jambo ambalo wew binafsi unajua si sawaa
@AnthonyChaula-d8l2 сағат бұрын
Mimi ninachotaka kusikia mmewakamata watekaji habari za kusema mmewakamata waandamanaji kwa hazina mashiko leteni wauwaji hapa
@kassimomar7589Сағат бұрын
Hao kila siku Wana fanya funjo kama waislamu mwenge watesa mukasema magaidi
@Queen-be1uf3 сағат бұрын
Aibu si ndogo. Fridge ndio podium😂😂😂😂😂. Tanzania nchi ya wajinga
@sautiyawanyonge25112 сағат бұрын
😂😂😂😂😂
@SamiraameirSamira-qt9yn2 сағат бұрын
🎉
@amandojonase24283 сағат бұрын
Wanamakosa gani ni uonevu tu kwa sababu kama mnasema nchi inauhuru na demokrasia na katiba inaluhusu maandamano kwa nini serikali haitoi vibali kama kweli serikali haionei raia wake.
@jeunajuatv8172 сағат бұрын
Hakunag kubali cha maandamano
@DeogratiusAndrew-zi7zv2 сағат бұрын
Alafu kuna watu wanasema Tanzania kuna amani, mimi nasema kunautulivu, maana kama kuna amani huyu amekamatwa atakuwa na amani au familia yake itakuwa na amani, hii sio
@nizarrama2252 сағат бұрын
unaongea ukiwa unakunya..?😂 Ikiwa timu za mipira wanaruhusiwaga kuandamana namashabiki zao kufurahia ubingwa, kwanini vyama vya siasa visiruhusiwe kuandamana tena kwa aman!i@@jeunajuatv817
@edwinmbelle42072 сағат бұрын
Uhuru wa katiba ? Marekani wanafunzi walioandamana walifanywa nini ? Je katiba yao inasema nini ?
@abdallahasilia99182 сағат бұрын
Uonevu upi acheni uchochezi kwaiyo kutokee vurugu kisa watu kuandamana mbona waliachiwa waandamane kipindi cha nyuma nikuwa sasa hizi wamepanga vurugu
@Martin-w2l9p2 сағат бұрын
Nguvu wanayotumia kwa chadema wangeitumia kuwasaka watekaji na wauaji wa raia wasio na hatia. Mwenye akili lazima ashangae
@DiwaniMwafongoСағат бұрын
Hamna kesii hapo ..... Mbwa Koko kwa kazi yenu na akili zenu askari polisi!!!
@mathahosea67832 сағат бұрын
Safi kabisaaa Mimi wala siwahurumii maana hawataki amani
@saidrakwe872734 минут бұрын
Kamanda kasema kweli kuwa hawajatekwa,,wamekamatwa 👍🏿
@abassjuma6248Сағат бұрын
Uko vizuri kamanda
@norobo2052 сағат бұрын
Itabidi cocacola wawalipe mmewatangazia biashara ya vinywaji
@MeryKusekwaСағат бұрын
😂😂😂 mi nikajua nimeiona mtu Hilo friji nikajua waandishi wanapewa vinywaji baada ya heka heka kumbe friji linafanywa meza😅😅😅😅🙌🙌🙌
@Whizra3 сағат бұрын
kukatwa kwa mbowe ita leta vurugu sana naona polisi wame kosea sana , ila usi sahau hali iliyo tokea kenya sababu ya ubuuzi kama hu , vijana wenzangu kecho tukutane msimbazi mata
@husseinyathuman872 сағат бұрын
😅
@saliminyusuph61222 сағат бұрын
Atutaki maandamano. Tunapambana na Hali yetu ya kimaisha na familia zetu.
@nicodemashaggite84292 сағат бұрын
Kaandamane na familia yako
@barakanaseeb71552 сағат бұрын
KaJifunze kuandika kwanza
@jamesjahasa33482 сағат бұрын
Usifananishe police wakenya na tz
@husseinguga27012 сағат бұрын
Uyu mjomba linajionaga kama ni lirobot😂😂😂😂😂😂😂😂😂 cheki anavyoongea na waandishi wa abari yani kama hii nchi niyao sisi ndo wageni😢.That day will come.
@humphreybilly74373 сағат бұрын
Kwanini mmewakamataa? Acha huonevu maisha Ubadikika pia na Afya TAUNI YAJA KWA KILA MTU ALIE ONESHA UBAYA KWA KILA TUKIO LA LEO.
@goodlucknnko12802 сағат бұрын
Njoo wewe kaa hapa.. Kwani Body guard wa Kamishina alikuwa wapi?
@allythabiti81502 сағат бұрын
Kamata wote weka, nchi yetu aman kwanza
@MSOMBAAlon-gh3psСағат бұрын
Ww unayesema kazi nzuri mjinga hujitambui kazi nzuri hao ni majambazi? Hujui kuandamana ni haki ya kikatiba pumbuvu sana lichawa ww
@asmasamata526811 минут бұрын
We unaandamania wap mpenz
@saaduneСағат бұрын
Wanainchi are helpless in a police state. Viongozi wamekamatwa???wametekwa??kuna tofauti gani nchi hii???
@IbrahimAli-u1qСағат бұрын
Kazi nzur❤❤
@ThomasfrancisMvella2 сағат бұрын
Hivi ndivyo mataifa makubwa yanavyopenda,,,yanawaweka buyz na mifarakano, huku operation zao zinaendelea nchini pasipokuingiliwa,,,,na yapo tayari hata kuzamini ili hii mifumo ya vurugu vurugu iendelee....da! Hawa wanasiasa bwana...shkamoo siasa...I pray for our president samia to stay very strong , kwani nchi nyingine waliananza hivi hivi, wanakuja kushtuka too late,,,,hoja zijibiwe kwa wakati....ila harakati zozote zitakazo bainika zinazidisha migogoro zidhibitiwe very soon........
@Winifrida-j9w2 сағат бұрын
Wazi
@NassorHamad-dj6sv2 сағат бұрын
Wewe una akili kubwa ya analyse mambo. Big up
@edmundsilayo27362 сағат бұрын
Zero minded mission, why don't you guys deal with kidnapers and allocate your energy there?
@PrinceByarugaba2 сағат бұрын
Ungekuwepo ulinzi mbona watu watakufa jamani??
@salumbujjo23202 сағат бұрын
Hii ni moja ya sekta mbovu katika ufanyaji kazi na wana mazingira magumu kuanzia maisha mpaka mazingira yao ya kazi
@psttitonakazaelimjema.95622 сағат бұрын
Washukuru kampuni ya coca-cola, imewasaidia friji, maana hawana hata meza.
@mageuzijumanne189421 минут бұрын
Kama mbabe wa dunia alikufa basi naamin one day yote haya yataisha
@wazirimwanazuoni5567Минут бұрын
Jumanne Mlilo yuko vzr sana, Masha Allah.
@sadicksingogo26055 минут бұрын
Futeni vyama kielleweka,kibaki ccm maana ni mateso sana,tuludi Kwa mkoloni bola
@BiharamuloOrganizaton-oz1wc2 сағат бұрын
Polisi hamtendi haki acheni ukweri uonekane
@nuswemwakasala86872 сағат бұрын
Mungu yupo ipo siku Moja tutajua mbivu na mbichi
@MIBWA2 сағат бұрын
Atuna nchiii
@philemontemi44692 сағат бұрын
Soka na wenzake wako wapii, tolea taarifa hili
@JacquelineMacha-y3n3 сағат бұрын
Kwanini wawakamate sasa,,,maandamano ni halali kikatiba maandamano yenyewe mbona niyaamani kabisa sasa
@husseinyathuman873 сағат бұрын
Sikiliza ndio utoe lawama
@AminaMkumba-u3z2 сағат бұрын
Safi kabisa Kama mbona vurugu sio nzuri,maanake watakaoteseka hapo ni akina mama,watoto,wajane,virema. Hivi Nini hivi.
@AsifiweAfya2 сағат бұрын
Kama hivo mbona hamfanyi hivo sikuzote.nandomana tunashangaa Jeshi kuzunguka na bunduki mtani
@TheBakari2 сағат бұрын
Plz kwani lazima chama kimoja kila siku then it means kwa serikali ya tanzania inaonyesha iko na makosa mengi
@abubakarahyan95152 сағат бұрын
Hahhahaa et tumewakamata hwajatekwaa hahhaha nafurahishwa Na jesh la police
@saidrakwe872741 минут бұрын
Wote waliotajwa ni vichwa adimu sana ( talent man)
@AshwarSalonСағат бұрын
Naomba mungu silaha mlizo beba ziwalipukie
@paullameck-r5j2 сағат бұрын
Hivi ile kesi ya wale wabakaji iliishia wapi mbn ni kama tumezimwa kiaina
@tumainilaizer6517Сағат бұрын
Namm nataka kujua ila tumuulize nani jamani😮😮
@secundawabura79022 сағат бұрын
safi kabisa kamanda mrilo umejibu vizuri sana kazi ya jeshi la polisi ni kuzuia jambo lisitokee 👏👏👏👏👏
@issakisalu92372 сағат бұрын
Mmmmh
@hassanlubola4142 сағат бұрын
Mimi nimeona tu askari wa kumlinda kamanda Mrilo wakibadilishwa
@BiharamuloOrganizaton-oz1wc2 сағат бұрын
Wanatumia nguvu kubwa kuwakamata watetezi waliwaacha watekaji inauma Mungu ni bora aangegarikisha taifa hiri
@gabrielsanya32786 минут бұрын
Viongozi wa CHADEMA wamekamatwa, makosa watakayo tungiwa ni UHAINI kama yale aliyo shitakiwa anayo Mbowe. Polisi wamaisha elekezwa cha kufanya na Rais Samia ametoka amri wakatwe MIKIA. Sio mikia tu wanaweza wakawapoteza.
@godfreywilly6392 сағат бұрын
Freezer la Coka
@NuhuPesambili2 сағат бұрын
Mhhhhhh
@joeljekela12192 сағат бұрын
Fridge ndiyo platform
@bakarimashi848Сағат бұрын
Masikini nchi yangu 🥲
@bishopprofvictorchisanga20092 сағат бұрын
AFANDE MULILO: Binafsi naona moyo wako ni mazuri. Uziri huo ukaitete HAKI na KWELI; ili AMANI nchini ikawe yenye kutokana na HAKI, wala isije tokana na vitisho, ujeuri, ukatili, uuaji Kwa lengo la KUNDI fulani kukaa madarakani milele kinyume na matakwa ya wengi. Mungu azidi KUKUPA HEKIMA Mulilo ili TANZANIA iliyofika PABAYA SANA ipone.
@RajabuSuleiman-e2b50 минут бұрын
Amani ni Muhimu Sana kukiko kuutafuta urais wa nchi.Mimi yangu ma ho na masikio.😂😂😂😂
@johnpeterbarongo64452 сағат бұрын
Wananchi lazima tusiwaelewe. Polisi mnatumia nguvu kubwa kuzibiti wapinzani na wananchi wanaodai haki kwa amani au kwa sababu wanamshinikiza mama kuwatumbua mabosi wenu
@AlikinaHassan30 минут бұрын
Kamanda watu watatu usitunyime usingizi sisi tupo bze kutafuta pesa piga kazi mzee jumanne
@AmaniManase-x1i41 минут бұрын
Hii nchi bora wakoloni warudi tu maana tumeshindwa kuwa huru manyanyaso kwa Sana pumbafu kabisa serikali yetu
@atupegemwakahesyaСағат бұрын
Utawala wa Sheria umetoweka katika nchi yetu. Lakini CCM wakitamka maneno ya kutishia usalama wa raia, wao ni Ruksa. Wala hakuna tuliyemshuhudia amekamatwa na polisi. Sasa tuieleweje nchi yetu?
@AbuJunaidiСағат бұрын
Huyo lisu na mbowe hawna manufaa katika Jamii. Hicho. Chamakifutwe mqana hawafuatimikoo y a nchi
@Mrsalt-z9mСағат бұрын
Kkk
@ndimimaskati3641Сағат бұрын
Maandamano ni HAKI ya kila MTANGANYIKA sheria na KATIBA inaruhusu maandamano.
@ShabanimuhamedSuleimane2 сағат бұрын
Kuna haja kubwa ya kupigania uhuru kwani Tz.haijawa huru. Tunahitaji uhuru Kwa Amani Kabisa.Wananchi wanaelewa Hila za viongizi wetu wa serikali na ccm.
@adamwoiso21802 сағат бұрын
Yaani kituo cha police hakina podium mpaka Kamanda anaongelea juu ya fridge 🤣🤣🤣🤣🤣
@abdallahdataguyСағат бұрын
😂😂😂
@aishahazary40972 сағат бұрын
Utakapopigwa risasi hutamuona Lisu Mbowe wala Lema.Utaozeana Moi na ndugu zako watakopa mpaka basi..
@musamusa62132 сағат бұрын
Safi sana chadema wanapenda nchi imwage damu sisi hatupo tayali tunatafuta pesa tu
@asslammachano14832 сағат бұрын
Na sik ukij kutekwa ww au mzee wako ndipo utakapokuj kuach kutaft pes na kuutaft uhai na uzima wao. Think about it
@Kwelihukuwekahuru2 сағат бұрын
Mbona damu ilishamwagika au ile ilikuwa maji Kibao Azori Mawazo Kanguye Ben Saanane Lisu Sativa nk
@Kwelihukuwekahuru2 сағат бұрын
Na sasa hatuna hakika kama ya Soka Mlay na Mbise haijamwagika MUNGU ajua
@BENEDICTMHINA-pd1krСағат бұрын
Pesa gani unayotafuta wewe unaganga njaa unasema unatafuta pesa
@BENEDICTMHINA-pd1krСағат бұрын
Mbona Kenya wanaandamana af fresh tu
@euremwacha8702 сағат бұрын
NJIA MNAZOTUMIA WAPINZANI HAZITAKAA ZIZAE MATUNDA KAMWE. WATU HAMKO SIRIOUS. YOU ARE WESTING PEOPLES' TIME. MBOWE NA CHADEMA WAIMBE WIMBO WA SARAFINA "FREEDOM IS COMING TOMORROW" And If I don′t live to see the day You better believe it I'll be there This is my home and I′m here to stay Freedom is coming tomorrow Get ready mama prepare for your freedom Freedom is coming tomorrow Get ready mama prepare for your freedom Yaahooo woza uzojaiva mama Yaahooo woza uzojaiva mama Yaahooo woza uzojaiva mama Freedom is coming tomorrow Freedom is coming tomorrow Freedom is coming tomorrow Hey"
@AliciaKyaiСағат бұрын
Hakuna kitu hapo polisi awajui Sheria unamkamata mtu arafu ujui Sheria inasemaje
@EidAlnadabei-uc4cb59 минут бұрын
Kwani maandamano serikali wameona Kuna hvunjifu wowote Hakuna pia mboe alikua pekeake anahojiana na waandishi WA Habari kunakosa Hakuna wamwaachie haraka iwezekanavyo
@sylvanusshadrack172450 минут бұрын
haya matukio ya uvunjifu wa amani ni kwenye maandamano tu mbona hawa wanaoteka watu na kuwaua hatuoni kukamatwa?!!
@themaestro-24Сағат бұрын
ASANTE KAMANDA KWANI TUNATARAJIA UTUELEZE JUU YA WATEKAJI NA MLIPOFIKIA.HILO NDILO MUHIMU KWA WATANZANIA.
@rasmorgan972059 минут бұрын
Kenya polisi opposition leaders.😂hawez kutokea.
@williammbuzimai57448 минут бұрын
Mmmmmmmmmh Mlilo mlilo Nicole amexhukuliwa na police tukimuona kwa macho yetu, unavyokataa upo serious kama mwanasiasa.
@VeronicaRugoyi33 минут бұрын
Nilichokiona hapo polisi wanatetea mkate wao hakuna kingine
@israelmpiluka-gu6vh2 сағат бұрын
Wananchi tunahofu kubwa kutokana jeshi a polisi kushindwa kuwatambua watekaji nawauaji hatuna amani kabisa.
@edsonkuyunga2 сағат бұрын
Polisi nyie kazi yenu ni kutetea wanannchi na sio hao ma-ditecta wanao jilimbikizia mali za wananchi... SHAME ON YOU😡
@suleymanimixkatafighter266924 минут бұрын
Kuna mambo hayapo Sawa kbs hapa wangewaacha Tu waandamane tena ni maandamano ya Amani .Wangepewa ulinzi kama mwanzo walivyoandamana lengo Lao ujumbe wao ufike na utekelezaji ufanyike
@beatricejohn16593 минут бұрын
Mmewakamata kwa kosa gani mbwa nyie? Serikali imejaa uonevu hamtaki kuambiwa ukweli ni mabavu tuu Kikio changu ni kwa shirika la haki za binadamu liingilie Kati serikali imejaa uonevu tuu wanatumia mabavu tuu hatuwataki ondokeni kwani lazima mtuongoze..tumewachoka wicked leaders
@gonsalvamswaga6471Сағат бұрын
nawaza tu hawa police walivyokuwa wengi mtaani ingekuwa kila siku hivi hata vibaka wasingekuwepo kabisa mtaani, kumbe tunaweza kuwa salama na mali zetu
@AbelJohn-tx4inМинут бұрын
Mijitu mingine sijui inatokea nchi gani, ndiyo maana mnaambiwa watanzania ni marehemu wanaotembea, vichwa vyao vimejaa wadudu ndani bongo zao zimeliwa na wadudu
@NaftaryMgoyeСағат бұрын
Tanzania bila chadema inaweza msajiri wa vyama futa chadema ili amani iwepo Hawa ndo waliomba kuwa na jeshi lao wakawapeleka vijana mafunzo ndo hao wasiojulikana wanaisumbua serikali
@petergasaya24452 сағат бұрын
Jukumu lenu polisi ni kuzuia maandamano ya chadema peke yake au hata jukumu la kuwatafuta wakina soka ni lenu?
@Skomi-0nedayyes57 минут бұрын
Ni afadhari niwe raia wa Malawi mara 10 kuliko kubaki kuwa raia wa Tanzania nchi isiyo tambua haki za raia au haki za binadamu kuish. I hate Tanzania government.
@walidmgonja364438 минут бұрын
Sasa unangoja nini kurdish Malawi kwenu we choko,hama haraka utuachie nchi yetu bwege wewe
@EdithaKessyСағат бұрын
Nyinyi serikali ndio mna toesha amani mnakamata watu na kuwauwa pumbavu nyinyi
@abdallahibrahim90522 сағат бұрын
😂😂😂mimi nikajua kuna party flan hivi ila ni aibu sana au ndio amiri mkuu nae aone kama na yeye hawatendei haki hawana hata meza😂😂😂😂😂😂
@AnociathaChuwa-cb5nk2 сағат бұрын
Ndio mliyotaka Haya mtuambie mmewakamata wamekosa nini Kwa kuwa wameongoza maandam ya amani au kwa kupaza sauti zao dhidi ya maovu yenu na ya serikali ENDELEENI TU KUWATESA WATETEZI WETU WA HAKI MUNGU ATAWAADHIBU VIBAYA . SIKU MOJA MTAYALIPA HAYA YOTE
@ChristineElias-bn4dw2 сағат бұрын
Mwandishi umekosea kusema sema jasho la police ama josho la police sio jeshi la police lingekua jeshi la police wasingefanya ujinga huo kukamata watu wasiokua na makosa
@jaderkyser9389Сағат бұрын
Who is JESHI LA POLISI BY THE WAY.. SHAMEFUL
@AyoubPapiy2 сағат бұрын
Muliro good answers 😂😂😂😂😂
@2002-m3i2 сағат бұрын
Hao akina Abubakari na Waislam wengine waliokamtwa ndo muwabamize kabisa , manake wanashirikiana na makafiri wenye chuki na Samia kwa sababu ni Rais Muislam, wabamizeni hadi washike adabu, poa yawezekana nao siyo Waislam ni makafiri kama makafiri wengine