Рет қаралды 57,933
BREAKING: RAIS MAGUFULI AKIWASILI MSIBANI KWA MAMA ERIC SHIGONGO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli leo Julai 29, 2018 amefika nyumbani kwa marehemu Bi Asteria Kahabi Kapela akiwa ameambatana na mkewe mama Janeth Magufuli kwa ajili ya kuja kutoa pole kwa watoto wa marehemu pamoja na familia kwa ujumla.
Mama mzazi wa Mkurugenzi wa makampuni ya Global Group ,Eric James Shigongo, amefariki dunia julai 27, 2018 katika taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete Hospital ya Taifa Muhimbili alipokuwa amelazwa akipatiwa matibabu.
Install GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Suazi1
/ uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .