kunambi usikae kinyonge xana kama unamuonea kunambi huruma gonga like hapa.
@WistoniSiliveri10 күн бұрын
Wanao amini kunambi pale kasha pendwa na boss wake gonga like🎉🎉🎉🎉🎉
@ayshatnzana34111 күн бұрын
Wa kwanza leo naombeni like zangu
@MaryamIsmaeel-v3i11 күн бұрын
Mke wa kunambi anikosha co mnyonge anafanya matukio ya hatari ila ajiamini vibaya.hongera kazi nzuri❤❤❤❤❤❤
@RogersRugumisa6 күн бұрын
Kazi nzuri ndio kumsaliti mumewe
@OliverPaul-y3e11 күн бұрын
Wapili amina 😂😂😂 kwa mambo hayo nakukubali😂😂😂 leo mama kayatimba
@EFRAIMTLEMU8 күн бұрын
Ase kunamb umenikumbusha mbali sana nmewashuhudia wengi sana wanaoona bora kazini kuliko nyumbani kama unavyo fanyiwa hongera san kazinjema❤ it.
@AlidaMiracle-s2f11 күн бұрын
Ya mungu mengi yaaani uyo mke wa kunambi kanitowa roho kwa kucheka🤣🤗
@winniemwaka320210 күн бұрын
Anakupenda boss wako kunambi😅😅muache yule bwege😅😅hana mana pamoja na mamake
@NininahazweAdidja10 күн бұрын
Kunanbi nakuonba ujikaze wew nimutoto wakiume
@UnrulyHope-e9j10 күн бұрын
Hawa mafirauni..mafirauni mwenyewe n ukoo wako mama ake sisha anataka change😂😂😂😂😂😂😂 n alisema yeye sio mwizi
@HashimSoud-v2n8 күн бұрын
😂😂😂
@AgnesMINANI7 күн бұрын
Endelea ni nzuri sana🎉🎉🎉🎉
@JastineKalolo10 күн бұрын
Nawapenda sana kwakazi zenu nzuri
@CentrineMusivale11 күн бұрын
Wa kwanza
@samjabri261110 күн бұрын
Muvimzuli sana🎉🎉🎉
@VivianKemunto-x8g11 күн бұрын
Hyu mama atanimaliza na kicheko😂😂😂😂😂anataka change tena😂😂😂
@Eveline-b9y10 күн бұрын
Atakuja kubadilika SKU moja aje kuiba mandisi😅😅😅😅
@erickkipyegon28586 күн бұрын
mama mwizi kweli kweli 😂😂kunambi nawe ata kama ni kuvumilia hii yako hapana 😅😅
@RamadhaniJulias11 күн бұрын
Congrats 👏
@naomikisaba578510 күн бұрын
Et nmechukua vya efsaba miatano hiyo chenji anipe😂😂😂😂😂
@nancyshikuku-vs9le11 күн бұрын
Congrats 🎉🎉🎉
@Cheedmastafilm10 күн бұрын
Kuna nimelupoteza sanaaa
@FranckMastola-v6e11 күн бұрын
La suite svp
@MonicaMkombwe8 күн бұрын
Sasa kunambi ukilia huku unakula hiyo siyo nzr japo tunajua maumivu upitiayo ila siyo kwenye kipengele cha msosi
@Mary-u4b2o11 күн бұрын
😂😂😂😂 mwizi mamako
@ashuramachano8 күн бұрын
Dah kunmbia anatia huruma😢
@abdihakimu685821 сағат бұрын
🎉🎉🎉
@MonicaMkombwe8 күн бұрын
Bonny wetu jamani chaupole wa kendi
@AbigaelMasika-mk5br8 күн бұрын
namupenda sana uyu jeyi
@flowersqueen67510 күн бұрын
Part 5❤
@marieclairehabonimana14638 күн бұрын
🎉🎉
@Akimankevine10 күн бұрын
❤❤🎉🎉
@KulwaAndrew11 күн бұрын
Mbona tunamwona kev apo af kweny muv haonekan y mnafanya hvooo😢
@DivineIngabire-lj3sr10 күн бұрын
Utakuta ndo danga la muke wakunambi
@KulwaAndrew10 күн бұрын
@@DivineIngabire-lj3sr 😂😂😂😂 ni jarufu bana
@DivineIngabire-lj3sr9 күн бұрын
@@KulwaAndrew hatari ndugu yangu kunambi anatia huruma kabisa
@KulwaAndrew9 күн бұрын
@@DivineIngabire-lj3sr 😂😂😂 pole ake sema n muv t ka ni maisha ya kawaida anamchalanga makofi t hakuna mwanaume anavumilia.uchaf uo
@MonicaMkombwe8 күн бұрын
Mdhamini
@EstherMauwa-t8l3 күн бұрын
Pole sana kunambe kwa unayo pitia
@TitusMutemi-y4b11 күн бұрын
Daah hivi bona uwag ana act character ya umalaya sana.kila movie zake karibu zote ameplay part ya umalaya
@MalkaNinik10 күн бұрын
Nani sasa
@KiapoKulwa4 күн бұрын
Mwanaume huyo abonge na mama chips
@SalminaKanju10 күн бұрын
Kwel anadhik kizeee kizim chaiba kuporat nadom lake chafu
@DivineIngabire-lj3sr10 күн бұрын
Uyo mama seshi nimwendawazimu kabisa
@MariaJohn-b9pКүн бұрын
Jamani sehem ya 5
@AneiyaAnwary-d8c10 күн бұрын
ila j mapexa mmemuona jam
@mussakazungu869811 күн бұрын
Nasra wallah huponi kwa Kunambi
@ThierryNduwayesu10 күн бұрын
❤❤❤❤❤🎉
@VeroMelisa11 күн бұрын
Nawapenda ❤❤
@GraçiaShabani11 күн бұрын
amina wewe mambo ya ma denga aukosi
@PhilbertHabonimana-o1z6 күн бұрын
Sisha haiko ikokwenyemchepuko
@ClaudeDelay-m1c11 күн бұрын
mama mkwe wake kunambi iko matata sana
@PhilbertHabonimana-o1z6 күн бұрын
Kumbe niboni 😂😂😂
@heriethsimkoko2307 күн бұрын
Trip hiii kunambi kakamatika
@EdsonStivin10 күн бұрын
Ila amina na hiy my dr yak
@nginambilu504511 күн бұрын
Kunambi jiwekee pesa zako wacha kupea mwanamke asiye na fadhila
@ZakiaMlanzi11 күн бұрын
Mahidiha
@KulwaAndrew11 күн бұрын
Mbona hamjawah mpa amina uhusika wa kuwa ata mke wa mtu mtylivu anaeheshim ndoa yake jamn kila siku ni umalaya ty hakuna la maana 😢😢😢😢😢😢 ss tynamchukulia kama malaya kweli ata uhalisia wake😂😂😂
@BelyseMugisha-b7l11 күн бұрын
😂😂😂😂😢
@KulwaAndrew11 күн бұрын
@@BelyseMugisha-b7l sure mwanangu
@fatuma601110 күн бұрын
Kuna movie alipewa tena alikuwa mke mwema Sana WA kuvaa majalbab na kujistiri vzr
@ElizabethKombe-v7d10 күн бұрын
Kunayo mwaya tena alikua mke mwema atari m venye sikumbuki jina😅