All in all mtambue hapo ma jaj n wawil tu master j na salama wengne washehereheshaj tuu'
@CatherineJamesshirima Жыл бұрын
Dada shishi tulia kidogo dear...usiimbe na wanao imba
@silvernayzer4107 Жыл бұрын
Jamaa alive imba na kinanda alafu an a dready anajua mno walichomfanyia ndokinafanya mashindano yapoteze mvuto kila mwaka judje mudamwingine kama wana kurupuka kwenyemaamuzi napia msanii anapoingia wamwache afanye kilichomleta kwanza akimaliza ndowaanze kuongea wanafanya wawe awajiamini mtu anaanza kuimba judje anaanzisha mada ambayo at a haihusian fanyieni Ilo. kazi show nzuri Sana inajina kubwa ila mnaweka uswahili waajabu Sana ndani
@godwinloburu8646 Жыл бұрын
Bss Kwanza waache kuwaambia watu "una nyimbo nyingine yakidunia" tuwe professional at shilole acha kujiimbisha wakati msanii anaimba angalieni wanavyofanya the voice, x factor mjifinze kitu.
@asmarajabu5786 Жыл бұрын
anakidomodomo kweli Chilole sijui kwa nini wamemuweka kimbelembele kingi
@Untoldafricanstories Жыл бұрын
Kabisa, au waweke wazi kama waimba gospel hawatakiwi
@rasmissionary7518 Жыл бұрын
Na kama ki design kuna beef na Ke music....mtu amepenya na Ngoma ya Kenya? Nil😔
@oscaricky847 Жыл бұрын
@@rasmissionary7518100% bro wanajudge na feelings jamaa wa rasta ameimba vizuri sana wanamtoa coz of confdence yake wamenikwaza sana
@MohamedMohamed-fg1kh Жыл бұрын
Kwa season hii Hii ni mara yangu ya kwanza naangalia videos Bss nipo kwenye dakika ya kumi na 11 nimegundua hiki hiki ambacho unasema shilole acha fujo unamkera mpaka salama apo
@kachee-kenya Жыл бұрын
You are such a beautiful sings 😂😂😂😂😂 wueh!
@saidikikoko Жыл бұрын
Shilole apunguze sifa anaharibu taste ya mashindano anaboa
@aureliebeatrice8356 Жыл бұрын
Shilole you’re doing great unafanya vzr kakını please jaribu kukaa kimya wakati wanaimba it’s annoying
@mtanzaniamwenzangu181 Жыл бұрын
Jamaaa profesional wamemuonea
@dullywa9973 Жыл бұрын
Amina❤❤mshindani mzuri sana, ila kafanya vzuri sana
@khalidchipa98 Жыл бұрын
0019 hamjamtendea haki wallah.. Amefanya vizuri sanaaaaa
@Mimu_Mrigo Жыл бұрын
She was so good wallah😢
@RosePius-w6x Жыл бұрын
Kwani ametolewa
@Olperbenjamin Жыл бұрын
Jaman shishi bhana kwenye hii show ana nikosha sana❤
@WilliamLuvanda Жыл бұрын
Shilole mbon unachek sna kweny vit muhimu km ivyo
@badmanno.1650 Жыл бұрын
Nikiangalia BSS namkumbuka Maunda Zorro .. Rest easy .. her songs are still alive today.
Jaji Salama,sio vizuri kumkatisha mshiriki Abby Africa tamaa Jamaa anakipaji naomba umpe nafasi aendeleze ndoto yake.
@sugutaNyamagara Жыл бұрын
Iv shilole anaujua mziki upi adi awe judge jamani
@AdonisNtihabose-ip1py Жыл бұрын
Waooo 100% nimependa hii post maana nindefu❤❤❤❤❤❤ mina ali thank you keep post videos like this one don't send shot vedeos
@agnesjohn9382 Жыл бұрын
Wasenge wakubwa amina anajua sana tu ❤❤ halafu mtoto mkali kama mmemkataa kumamae zenu
@jalinachilala8465 Жыл бұрын
Bss iwe kila siku jaman msikae sana mnatupa raha muno❤❤❤
@manyamamagambo8890 Жыл бұрын
Amina ni moto aiseeee
@calvinkawiche3665 Жыл бұрын
sema amina ameonewa
@khalliddzoro3293 Жыл бұрын
Razak mnoma natekea tu saana bss from🇺🇸🇺🇸
@mamaabup5817 Жыл бұрын
Dada wa kizungu ameimba vizuri semeni nyie ndio hamuelewi kizungu
@yasminmariambintyusuf5443 Жыл бұрын
Ati beautiful sings 😂😂😂😂 alah.God have mercy😂😂
@INNOHTVWW Жыл бұрын
0057 aliimba vizuri shida ni hao majudge na watanzania in general kwani amukuenda darasa la kingereza .startime ningeomba mtafute majudges wenye wanaelewa pia kingereza mbona wanakill talent ya huyo dada ama mkuje kenya tuwafunze
@dommykatey3037 Жыл бұрын
Unafanana na Ssaru wa Manyaru from my homeland Kenya🥰
@happynesslamecky8268 Жыл бұрын
Shilole mwili mkubwa akili kisoda anaboa bana.
@allydimmy6885 Жыл бұрын
here bcoz of 43:51 favourite jmniii yoh
@kefakibet565711 ай бұрын
😅😅😅walai
@vansclassic2131 Жыл бұрын
bongo star search big up 2023 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@mbarakasaidi8243 Жыл бұрын
Wamemtoa Amina bule aisee
@agnesjohn9382 Жыл бұрын
😂😂😂😂 hospitali ya milembe ipelekwe Arusha
@aminamzuzuri56212 ай бұрын
Hatumtaki shilole ana haribu sana
@stephanomoses7694 Жыл бұрын
Sema chugga patam sana
@joelkihogo9312 Жыл бұрын
Hapo hamna majudge hamko perfect mmemuonea namba 0019
@pizzoyoungpaul1324 Жыл бұрын
Professional music mmembania yuko vizur
@Sasmank11 Жыл бұрын
Shishi mzuriiiii
@ImaniBauhati10 ай бұрын
Dada good ❤❤
@JohOyiaya Жыл бұрын
From 254 bt the girl 019 knows how to sing 🎉...do disappointing that u picked the louder voice than the fillings.
@saudatoller6425 ай бұрын
Hyu shilole anaharibu sana
@oldtv6981 Жыл бұрын
sijui ma judge wana angalia nn but 21 13:42 & 19 deserved kuliko wote walio pata nafasi alaf kuna yule chalii wa professional music wame muomea sana just because amesema anajua professional music wame amua kumprove wrong kwalazima honestly I'm very disappointed
@Moneygamer-1 Жыл бұрын
0019 what the hell dada kaimba vizuri sanaaa
@vocalizertz6868 Жыл бұрын
Shilole ni kichaa sana
@audifacejosephat7071 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂arusha hiii
@fridammari1523 Жыл бұрын
Mko vyedi sana ila naomba msiwe mnawaingilia washiriki wakiwa wanaonyesha vipaji vyao. Muwapa nafasi ya kuwasikiliza wakimaliza ndio mtoe comment zenu😊
@BdjdhHshssgsg Жыл бұрын
Minaona gospels watahama sana kw1 style hii wakifik dar gospel bas
@dullaliverpool6978 Жыл бұрын
Sema huyo mwamba professional wamemuonea pia nilichogundua mageorge hawapendi watu wanaojua sana
@willz1017 Жыл бұрын
Sure kk
@mtanzaniamwenzangu181 Жыл бұрын
Jamaaa kaonewa
@jimwafula4733 Жыл бұрын
shilole please when the contestants are singing just listen cz when you join it is now not ok
@IshaOman-wq3rqАй бұрын
Jmn shilole anakerere atolewe kabisa
@Boaz22 Жыл бұрын
Huyo Benedict james ndo mshindi wa msimu huu, wekeni hii comment yangu, mtakuja ikumbuka🙌
@HalimaGhalibHaleiАй бұрын
36:20 awww💗
@HalimaGhalibHaleiАй бұрын
37:40😊
@HalimaGhalibHaleiАй бұрын
47:42 he is such a vibe🤗
@aslayjuniorroberto24446 ай бұрын
Check artist time 16 minutes 50second he has nailed it. be fair. ameimba sawia na mwenye wimbo
@dullywa9973 Жыл бұрын
Amina ❤❤❤❤
@maishailiyasi2935 Жыл бұрын
SHILOLE UNAKERA KURUKIA RUKIA MTU AKIWA ANAIMBA UNAHARIBUUUU
@mtokambali2320 Жыл бұрын
Abby anajua
@cathymama4010 Жыл бұрын
Enyewe uyo zachu sasaa😂😂😂😂😂
@jacklinemsechu221 Жыл бұрын
Uyu wa shalom wajamen
@patrickwanje6433 Жыл бұрын
019 Hajatendewa Haki shez super talented @madamrita @masterj @shilole @salama
@JacqDaniels-hu5xj Жыл бұрын
Na uzee wote huo hamtaki shkamoo mungu wangu cjui wamama wa ckuiz wakoje jmn😢
@yasminmariambintyusuf5443 Жыл бұрын
So vizuri .. Hawajudges mumekuja chagua watu. Ama kuwacheka .. ..?? This bad..that guy on a tight trouser tried
@richarddulla9850Ай бұрын
These judges hawana Ethics
@PatrickFelly Жыл бұрын
Madam rudisha ommy dimpoz au bella wengin watusumbua tu
@Liltg50123 күн бұрын
Why mna waweka wawe nervous🥲🥲🥲
@adamkisheta8439 Жыл бұрын
Anajuaa razak
@JacqDaniels-hu5xj Жыл бұрын
Salama c astaafu xx hapendezei Tena bna
@westcijosh Жыл бұрын
Jamaa wa professional music wamemkata tu kichuki ila anaeza
@MO12-b1q Жыл бұрын
Huyu dada n mchechi sana
@officialelly24 күн бұрын
Sema huyo jamaa aliyekuja na kinanda mmemuonea anajua
@ramlahmohamed6465 Жыл бұрын
Salama kiukweli hata mimi hiyo chombo ilivyovua miwani nimeiyelewa
Sasa huyo Najma na huyo dada mwenye koti jekundu who's best???mnazingua uyo demu Najma ndio angebaki maana hata kale kademu keupe kamemzidi achen upendeleo wa muonekano🙌🙌😒
@JohOyiaya Жыл бұрын
It's so annoying mazeee
@Basil411 Жыл бұрын
Lazack 0143 is my winner
@bosssyedmund8785 Жыл бұрын
Ila huyo wa honey😂😂😂😂
@Iddahm-vb7nc Жыл бұрын
Hivi shilole uko sawa kiakili kweli😅
@rabielfadhili994 Жыл бұрын
Huyu shilole ameharibu kipindi
@cathymama4010 Жыл бұрын
Uyo wa haniiiiiiii😂😂😂😂😂😂😂
@MonaLis418 Жыл бұрын
Arusha kama uturuk jman
@manyamamagambo8890 Жыл бұрын
Razak ni moto
@nicetasmnganya5680 Жыл бұрын
I'm no sure kama ni mimi tu nime notice,Sina ujuzi sana kwenye mambo ya music ila kwa Shilole ni wrong choice ya judge, I love & Respect her But Again she doesn't deserve to stand there as judge 🙏
@mutsinzigarvey8850 Жыл бұрын
Kwanza yy hana sanautii ya kuimba
@allyahahmed1091 Жыл бұрын
Definetly
@kamole3 Жыл бұрын
17:05 mark his words. 👏👏👏
@kevinwachira4617 Жыл бұрын
0413 will be top 5 in this season BSS take that to the bank.
@Grace_Ministry_International Жыл бұрын
0143 please add your confidence and your punch
@kevinwachira4617 Жыл бұрын
The lady 0019 has talent she was supposed to go to dar judges I appeal her case.
@KhalifaMunyagane Жыл бұрын
I second that -she's extremely good! I'm disappointed by the judges kuacha such a talent!
@MariumOmari Жыл бұрын
Mkaka mweusi alieimba kingereza amenikosha
@Rastaztz Жыл бұрын
Huyu aliyeimba always love you ana tone ya dunia
@yasminmariambintyusuf5443 Жыл бұрын
Disability is not inability
@isabelavictor9964 Жыл бұрын
Shilole waduara ana kiherehere
@richarddulla9850Ай бұрын
LAZIMA Niseme hili the judges wanihitaji kuundergo training, Basically what to judge, I mean iwepo criteria ya adjudication na sio tu kurely on their feeling, SECOND AND MOST IMPORTANT, Ethics and professionalism, (especially Shilole)
@isackjailos1 Жыл бұрын
0019 was the best out of all 😎😎😎
@patrickwanje6433 Жыл бұрын
Imagine tangu jana sijafeel poa first alipoimba walimsifia Kisha baadae walimchuja she has talent tena natural❤❤❤
@yesunialamayakiama.9013 Жыл бұрын
Watu wana moyo, unaimba huku wanakusimanga, dah!
@sophiajuma6798 Жыл бұрын
😂😂😂😂😅 Shilole wewe una wachanganya wenye kuimba hamsikizi ni kucheka cheka tu mda mwengine tulia unabore😂