Рет қаралды 198
AMANI MARSABIT
Shughuli ya kuhamasisha amani linaendelea kuzaa matunda huku shirika la Child development program ambalo ni shirika ambalo lisilokuwa la kiserikali wakishirikiana , Interpeace/NCIC na serikali ya kaunti ya marsabit wameandaa warsha kubwa katika ukumbi wa shule ya bubisa ambalo limewaleta wanafunzi kutoka shule ya manyatta jillo,manyatta Daaba na bubisa.
juhudi kuu wa shirika hilo ni kuhamasisha wanafunzi ili wapate mafunzu kuhusu umuhimu wa amani na uwiano katika jamii.
Akizungumza katika warsha hilo mkuu wa shirika la Nawiri child development program amesema kuwa watoto ni wanaharakati ya amani huku wakisambaza ujumbe huo muhimu kwa wazazi na hata kwa jirani zao
pia amesema kuwa watoto ni viogozi wa kesho na inajumuhisha kila mtu katika jimbo hili la marsabit na kuna umuhimu kwa sasa wakipata ufahamu wa amani na upendo.
Aidha Waithaka amewataka wazazi wachukue ujumbe huo wa amani kwa uzito na kusukuma gurudumu ya amani jimboni.
SUBSCRIBE,LIKE AND SHARE MUBBO TUBE
MUBBOTUBENEWS;Simple, transparent and accurate We brings all news ,political news, all Breaking news, county news and all Local News . Contact us : johnboru80@gmail.com Tell: +254796674498 . If you have any copyright issues with our site please Before you report claim contact us through our email johnboru80@gmail.com. Or call: 0796674498. We can immediately remove copy of your claims. Beside that we use the domain as news updates to improve journalistic carrier. All the content that is used whether videos or photos or inserts is in adherence the given guidelines of terms and conditions given; Any content used with regard with or without the concept of the owner is accredited and otherwise in accordance to copyright allowances of: DISCLAIMER: ALLOWANCES IS MADE FOR FAIR USE AS PER THE COPYRIGHT ACT 107 OF 1976 THAT ALLOWS FOR FAIR USE.