BURKINA FASO WANATAKA TRAORE ASIONDOKE MASARAKANI AENDELEE KUWAONGOZA

  Рет қаралды 81,507

UKUU WA MWAFRIKA (IBM)

UKUU WA MWAFRIKA (IBM)

Ай бұрын

Mpenzi mtazamaji wa IBM CHANNEL endelea kutufuatilia kwa ajili ya kupata elimu zaidi ya uzalendo, ukombozi wa kifkira na ukuu wa Mwaafrika hapa hapa. tunakupa pia makala mbalimbali zinazohusiana na ulimwengu tunaoishi na taarifa zetu ni za ukweli na uhakika sio za uongo. karibu tuendelee kuwa pamoja. kama hauja-subscribe tafadhali fanya hivyo ili usipitwe na chochote.

Пікірлер: 168
@kaderbakshamin2345
@kaderbakshamin2345 Ай бұрын
Allah amlinde na ahudumie nchi yake na wawe na amani amiin amiin endelea mwamba mungu yuko nyuma yako
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 Ай бұрын
Eeee Mungu naomba unijaalie ktk uzao wangu nipate Mtoto Mzalendo na Jasiri kama Ibrahim Traore.
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m Ай бұрын
Yes matrekta kama yote. Safi sana kamanda wa Burkina Faso.
@abdullahhashimu2380
@abdullahhashimu2380 Ай бұрын
Allaah amdumishe selekarini akiwa kama raisi yaani wewe nikama magufuli wetu alivyo pendwa adi nchi jirani❤ nguvu moja💪
@hamisijuma3276
@hamisijuma3276 Ай бұрын
RIP
@rehemanhende9237
@rehemanhende9237 24 күн бұрын
Huyo kijana wa Bukinabe kaonyesha uzalendo kwa nchi yake nampenda sana, tunakuombea kwa Mungu azidi kukulinda na kukupa ujasiri wa kuendelea kupambania nchi yako.
@phelixoluoch1854
@phelixoluoch1854 14 күн бұрын
Ibrahim is a true leader,,aendelee na uongozi
@StanfordPaul-kw3cg
@StanfordPaul-kw3cg Ай бұрын
Kipindi Tanzania ikiongozwa na raisi kipenzi hayati John Pombe Magufuli, wananchi wengi nchi jirani zetu walimtamani saaana, na walitamani kuhamia Tanzania 🇹🇿, kwa sasa Bukinafaso kumenoga, Nakupenda sana Ibrahimu Traole, piga kazi mwamba.
@Silay1034
@Silay1034 20 күн бұрын
Syo utoe mfano wa Dicteta Magufuli chizi nn
@JackKanyigo
@JackKanyigo 19 күн бұрын
Alikuwa kipenzi kwako ww tu zuzu ..umesikia watu wanapotea huko au watu wasiojulikana
@anastahiliutawala3879
@anastahiliutawala3879 12 күн бұрын
Magu du
@daudinyello4033
@daudinyello4033 Ай бұрын
TUNATAKA MAJEMBE KAMA HAYA, SHOBO NA WAZUNGU HATUTAKI MANA WALITUTESA SANA HAWA WAPUUZI
@user-ze6lx9ng6s
@user-ze6lx9ng6s Ай бұрын
Facts tupu mtumishi wa mungu, viongozi wa Tanzania wananunua midoli
@anizethjoseph2914
@anizethjoseph2914 Ай бұрын
Umechambua vizur Sana... Ahsante
@PeterMshali
@PeterMshali 13 күн бұрын
Masarakani ndio kitu gani aisee
@user-zk2cg9yx4v
@user-zk2cg9yx4v Ай бұрын
Nampenda sana Traoré Viongozi wainchizingine wangeiga mfano kwa huyo president Traoré respect Traoré
@Silay1034
@Silay1034 20 күн бұрын
Mbn alipokea huyo magu na kukopa juu
@Silay1034
@Silay1034 20 күн бұрын
Nan alisema Magu aongezewe
@salimramadhani740
@salimramadhani740 Ай бұрын
Asante ❤️ ❤️ Viva africa from Burundi 🇧🇮 Lives in cape Town ❤️
@user-nh7ie5kz7l
@user-nh7ie5kz7l Ай бұрын
Apumzike kwa amani Maguli Mungu amtunze.
@user-nh7ie5kz7l
@user-nh7ie5kz7l Ай бұрын
tunamwomba Mungu Magufuli mwingine apatikane mapema sanasana'
@zawadisisto8188
@zawadisisto8188 Ай бұрын
Uko vizuri sanaa mwalimu
@salimramadhani740
@salimramadhani740 Ай бұрын
Viva africa 💪 Good News ❤❤very Good ❤️
@AbdulMayunga
@AbdulMayunga 21 күн бұрын
Kweli wewe ni mwalim mim nakuombea uijuwe haki kwamaana yakuwa mwislam
@user-gx4jx4gv9l
@user-gx4jx4gv9l Ай бұрын
Jembe la bukinafaso ilo,rip jpm alitufaa sana na wengi tulifarahia kuwa watanzania saiz tuuwakiwa tunabaki kuwatamani waliotutamani.
@josephatogoijohn9627
@josephatogoijohn9627 21 күн бұрын
I like 👍 him God bless him we need this ride in Africa 🌍 God bless Ibrahim turaore
@nassibhassanali5082
@nassibhassanali5082 3 күн бұрын
Nawakubali sana natamani siku moja ninywe soda na nyie
@musamagulu2023
@musamagulu2023 Ай бұрын
Kweli hao mabepari wanajiona Mungu mtu
@emmanuelkanyela275
@emmanuelkanyela275 Ай бұрын
mwalimu unavyomtaja JPM naumia sana maana alikuwa mzalendo sana na nchi
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx Ай бұрын
Mimi pia naumia sn hata kusikiliza vipindi za magufuli yaan nateseka sn.nilimpenda sn
@toymadebho7048
@toymadebho7048 Ай бұрын
MWALIMU VP BHN SERIKAL HAIKUON UNAKI2 KIKUBW NDANIYAKO KWEL😢😢😢😢😢
@selemanshaban7496
@selemanshaban7496 Ай бұрын
HUYU BENSON HAWEZI KUONEKANA KWENYE SERIKALI ZETU ZA KIAFRIKA SABABU VIONGOZI WA NCHI KAMA TZ WANAUCHIKIA UKWELI WAKE
@profs.a5412
@profs.a5412 Ай бұрын
Aachee ujingaaa, abakieee madarakani , na ikiwezekana aiunganishe Africa iwe nchi mojaaaa.....
@daudinyello4033
@daudinyello4033 Ай бұрын
TUNATAKA MAJEMBE KAMA HAYA
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 Ай бұрын
Mwamba tunamuombea sana..na sisi huku Tanzania atokee kama IBRAHIM TRAORE
@ChembaBoy-fw4tz
@ChembaBoy-fw4tz Ай бұрын
Ongera sana brother umeongea poit
@monicasimpilu6257
@monicasimpilu6257 Ай бұрын
Nampenda sana kijana mdogo wa buki Mungu aendelee kuongoza kwa kweli. Mbeba maono. Kijana mdogo mwenye kipawa.
@THEWAYOFSUCCES2024
@THEWAYOFSUCCES2024 Ай бұрын
Waouh good 🔥 love from Burundi ❤
@babawakanairokenyan7569
@babawakanairokenyan7569 Ай бұрын
Kazi Safi kaka 🎉🎉
@karimdaud3993
@karimdaud3993 23 сағат бұрын
Nafkiru viongozi wa kiislam ndio bora
@user-or8cq1ks5g
@user-or8cq1ks5g Ай бұрын
Hakika na mm naunga mkono raisi huyo aiondoke maana anafanya kazi vizuri sanaaa, ata Kwa kipindi kifupi alichokaa anajua sanaa uongozi , aendeleee kupiga kazi sanaa ata mm nimekubali Sana uongozi wake Kwa kipindi hiki kifupi
@SaidyMwajeka-tr7oj
@SaidyMwajeka-tr7oj Ай бұрын
Nice wakuu
@saidhamisibora1057
@saidhamisibora1057 Ай бұрын
Wanatokeaga mmoja mmoja sana kwa maeneo tofauti
@paschalfausitine7108
@paschalfausitine7108 Ай бұрын
Kungana ndo kipengere labda wakina, twaole, na wengine wawashawishi,waliolala,ila,mzungu ,wamagaribiatachukia naomba mungu litokee nikiwa hai
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk Ай бұрын
Africa lazima tuungane manyang'au sio watu ni mashetani
@Mobmob2013
@Mobmob2013 Ай бұрын
Manyang'au tunayo hapa hapa ndani yameshiba rushwa yananuka ukatili CAG acha kisukari, presha na kiharusi kiwale.
@user-ux4wp6xe8x
@user-ux4wp6xe8x Күн бұрын
Anastahili kuongezewa muda wa Utumishi madarakani kwasababu tunataka viongozi wenye maono kama yeye
@mbwanarajab7238
@mbwanarajab7238 Ай бұрын
Afrika inatakiwa wananchi waungane watafute maendeleo kwa kupindua viongozi wanaojilimbikizia na kukubali kuwa vibaraka wa wazungu huku wananchi wao wakifa njaa na maisha magumu
@YustoYindi
@YustoYindi Ай бұрын
Leo mwl ISAYA umeongea vyema! ila hapo ni MUNGU akiwa upande wa Ibrahim akuna alie juu yake uyo mwingni Ako na mwisho pia
@ismaildavid6970
@ismaildavid6970 Ай бұрын
mimi natamani hata niamie burkina fasso ibrahim traore ndo kiongozi wa wananchi.
@robisonikadogo7371
@robisonikadogo7371 Ай бұрын
Hibrahimu ata Mimi nampenda ,anajari wananchi ,kama makonda
@valentinenyagisera7784
@valentinenyagisera7784 Ай бұрын
If we Africans we are not going to think deeper, we gonna suffer and suffer
@abdull_hafidh
@abdull_hafidh Ай бұрын
Hapa Tz Tunae makonda tu
@estambuya3901
@estambuya3901 Ай бұрын
Siamini huyo anapenda sana vyombo vya habari (Mr misifa).
@user-fs7xc2bb5d
@user-fs7xc2bb5d Ай бұрын
Makonda,Ally Happy, Jerry Silaa
@kichenjewillian5720
@kichenjewillian5720 Ай бұрын
Kaka respect sana ...nakubali sana ibm channel n mda skuwapo on line niliyakosa haya .
@user-zv4sx9iv8z
@user-zv4sx9iv8z 26 күн бұрын
Mach'Allah tume nafwata tokea Lubumbashi Wantashi DRC CONGO
@GabrielMelkiard
@GabrielMelkiard Ай бұрын
Kiongozi mzuri sana ibrahim
@user-vi7ly9zh1q
@user-vi7ly9zh1q Ай бұрын
Nawakubali sana kaka 🎉🎉
@aziza9093
@aziza9093 Ай бұрын
Mwlimu hujatuleteya yakogo tunakusubili wa habali
@FredrickKabura-gd7hg
@FredrickKabura-gd7hg Ай бұрын
Long live comrade prayers for you amen.
@hassangaddafi2347
@hassangaddafi2347 Ай бұрын
Asante sana wamkuu ❤❤❤
@abednegomhamba1471
@abednegomhamba1471 Ай бұрын
Amekuwa tofauti sana na viongozi wengi wa Afrika
@emmanuelkanyela275
@emmanuelkanyela275 Ай бұрын
sasa hvi maumivu kwenye nchi yetu
@bakarijuma7258
@bakarijuma7258 Ай бұрын
Anaitwa MOBUTU SESESEKO KUKUNGWEND{ WAZABANGA
@user-wk6tf1yg8g
@user-wk6tf1yg8g Ай бұрын
😂😮😊umenifanya nichekee blood umeshindikana Mobutu seseko wazabanga
@hakimabdul7494
@hakimabdul7494 Ай бұрын
Love this
@user-zv5kg5kv9y
@user-zv5kg5kv9y 22 күн бұрын
Mungu amlinde
@allanlarge7794
@allanlarge7794 26 күн бұрын
Wewe jamaa uko vizuri
@valentinenyagisera7784
@valentinenyagisera7784 Ай бұрын
Let God bless him and fight for him forever
@BilalMuhammad-jt6sq
@BilalMuhammad-jt6sq Ай бұрын
Nice mwalim
@petercostakisoka
@petercostakisoka Ай бұрын
Uyo kamanda anafaa kbs
@daudinyello4033
@daudinyello4033 Ай бұрын
TUNATAKA MAJEMBE KAMA HAYA
@harithimahmoud1577
@harithimahmoud1577 Ай бұрын
Hii imekaa pw sana
@DottoMussa-ro6rw
@DottoMussa-ro6rw 28 күн бұрын
baba unanikosha roooo baba,,ukiwa chini ya Putin nani alie juu Yako?,,,mzee nakubali sana
@IsihakaAlly-fj4qo
@IsihakaAlly-fj4qo Ай бұрын
Hapo kwenye mizee nimepapenda 🎉
@user-mo2sb2nh8u
@user-mo2sb2nh8u Ай бұрын
Upo vizuri kwenye uchambuzi
@francissimwinga-gb2vd
@francissimwinga-gb2vd Ай бұрын
Harafu njaa inazalisha machawa watu wakiwa wanashiba kwenye nchi wanakuwa na akili timamu
@juchaonline4084
@juchaonline4084 28 күн бұрын
Mungu awajalie muende Crown fm😅😅
@fredrickwiliam6176
@fredrickwiliam6176 Ай бұрын
Tanzania nasi tutamkubali traore kama walivyomkubali magufuli
@captshaky
@captshaky 23 күн бұрын
Tunataka uongozi kama huu WA bokinafaso mtetezi WA raiya wake Africa yote
@LusajoKabuka
@LusajoKabuka Ай бұрын
Tuna bandali na lango la sadeki na madini maisha Sasa aaaa Tz
@DansonMtambi-fq2ff
@DansonMtambi-fq2ff 11 күн бұрын
Kweli wewe ni mwalimu nakuelewaga sanaaa
@noelnoel4916
@noelnoel4916 Ай бұрын
Studio engineer Mwakilembe
@user-eb2gw5ic2q
@user-eb2gw5ic2q Ай бұрын
Anton Nade kutoka Tanzania komado aiedelee
@AllyMtondo
@AllyMtondo Ай бұрын
We jamaa uko vizr
@noelonesmo9946
@noelonesmo9946 11 күн бұрын
Sana
@salummilanzi7936
@salummilanzi7936 Ай бұрын
NAMUONA MAKONDA HAPO ,,,,,,
@godsonkyense4742
@godsonkyense4742 12 күн бұрын
Mwl Isaya Mwakilembe uko bias ndiomaana makala zako Huwa sipendi kuzifuatilia though unajua mambo mengi ukiwa neutral utakuwa mchambuzi mzuri
@sakaraboy8951
@sakaraboy8951 19 күн бұрын
Americans Country we need , this
@fadhilidanieli1478
@fadhilidanieli1478 Ай бұрын
Nimekuelewa saaana...
@shiracque8524
@shiracque8524 Ай бұрын
Amen 🙏🙏🙏🙌🙌🙌
@FrankMagambo-fs1oh
@FrankMagambo-fs1oh Ай бұрын
Nimemkubali mwalim
@paschalfausitine7108
@paschalfausitine7108 Ай бұрын
African boy,umepotea kijana
@user-bz2yc2td3c
@user-bz2yc2td3c Ай бұрын
Kweli manyang,auw
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 Ай бұрын
Mzalendo waukweli
@abednegomhamba1471
@abednegomhamba1471 Ай бұрын
Utashangaa watamuuwa chap!
@ga2revocatus91
@ga2revocatus91 Ай бұрын
kifo Cha mjomba magu bado nifumbo kwa wa Tz tunaomba uchambuzi
@user-ku6sc2zx2o
@user-ku6sc2zx2o 22 күн бұрын
Muda wa mwafrika tayari
@AyoubMsonga-ch5xg
@AyoubMsonga-ch5xg Ай бұрын
Mimi nahamia bukinafaso ccm imenichosha jamani hatuna miamba Kama hiyo dogo
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx Ай бұрын
Tunae makonda sasa
@ismaildavid6970
@ismaildavid6970 Ай бұрын
huyu naye mwizi hana sifa .
@andrewmoi2186
@andrewmoi2186 Ай бұрын
Tafuta nafasi serikalini bro hii akili yako uwapelekee mbungeni
@LucianAlfred
@LucianAlfred Ай бұрын
Andelee nikiozi bora
@PeterJacob-ji7fo
@PeterJacob-ji7fo Ай бұрын
Mwandishi umeandikaje hapo
@MajutoElliasi
@MajutoElliasi Ай бұрын
Tunaomba nawewe utuogoze
@feliciarfrancis2388
@feliciarfrancis2388 Ай бұрын
Nani anaweza kumrudisha Horn Joseph Magufuri of TZ?
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx Ай бұрын
Dah
@daslamonline4665
@daslamonline4665 Ай бұрын
Hapa kwetu wizara ya kilimo maV8 mkulima analima na mikono kupeana maposho bungeni serikali Haina shamba hata la kusaidia kupunguza mfumko wa bei ya chakula ,, tu nategemea misaada ya chakula UNICEF,
@jimjam-xg7rv
@jimjam-xg7rv Ай бұрын
Big up mwalimu
@hancekasililika9532
@hancekasililika9532 Ай бұрын
Watu kama hapa Africa ni wachache moja ni Ibrahim taule Tomas Sankara Muhamad gadafi ni hawa kwa africa
@daudinyello4033
@daudinyello4033 Ай бұрын
TUNATAKA MAJEMBE KAMA HAYA
@Salvatorylwiwa
@Salvatorylwiwa Ай бұрын
Putin ndiyo mkombuz waafrica
@user-bz2yc2td3c
@user-bz2yc2td3c Ай бұрын
Ibra traore hoyeee
@chrisshonga
@chrisshonga 20 күн бұрын
Video yenu ni nzuri ila mjitahidi sana kwa kuwa hii video inasambaa na kusikilizwa ulimwengu mzima basi muwe makini sana kabla hamjairusha mtandaoni basi hakikisheni details zote ziko kamili zaidi katika kichwa cha habari manaake hapo mlipoandika MASARAKANI ni ujumbe ambao unaharibu massage nzima zaidi kwa watu wasiojua Kiswahi na wangetaka kupata tafsiri kwa kiingereza
@mutuajoseph3853
@mutuajoseph3853 22 күн бұрын
1:53
@oparetionmaalum9030
@oparetionmaalum9030 Ай бұрын
Tutayarishie makala mahusiano yetu Tanzanizia na iran yapoje Naomba
@salimmbilu4524
@salimmbilu4524 Ай бұрын
Mnamuonaj January Makamba kwa taifa hili?
@NicholousNgwasi
@NicholousNgwasi 3 күн бұрын
Sagi
@user-rl5tf5lg2c
@user-rl5tf5lg2c 29 күн бұрын
Kamwe kamwe nchi za Afrika,kushinda vita yahawa wazungu,, Neva Neva ,,hawa wazungu hizi nchi 54 za Afrika ni mashamba ya wazungu mtake msitake ,hata huyu dogo mda wake si mrefu dunia ataiacha tu,,,
RTB -Halte mémorable du chef de l’Etat, le capitaine Ibrahim Traoré à Péni
13:12
RTB - Radiodiffusion Télévision du Burkina
Рет қаралды 414 М.
OMG🤪 #tiktok #shorts #potapova_blog
00:50
Potapova_blog
Рет қаралды 18 МЛН
Sigma Girl Past #funny #sigma #viral
00:20
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 30 МЛН
MEGA BOXES ARE BACK!!!
08:53
Brawl Stars
Рет қаралды 35 МЛН
Kim Jong un drives Putin during state visit to North Korea
1:39
The Times and The Sunday Times
Рет қаралды 6 МЛН
President Ruto full speech
13:27
KTN News Kenya
Рет қаралды 93 М.
Matangazo ya Dira ya Dunia TV Jumanne 21/05/2024
28:10
BBC News Swahili
Рет қаралды 10 М.
UNGEMPA USIA GANI KWA UMPENDAE ?SHEIKH OTHMAN MAALIM
1:04:46
arkas online tv
Рет қаралды 6 М.
Halte mémorable du chef de l’Etat, le capitaine Ibrahim Traoré à Péni
4:39
علماء بوركينافاسو
Рет қаралды 526 М.