Zatiti gooooood Leo umenifurahisha sanaaaa❤❤❤❤❤❤ nakupenda sana
@saidaathuman12093 күн бұрын
Sanaaa
@DenmarkOngera3 күн бұрын
Wale tunapenda house girl kuliko my mother tujuane kwa like
@WinnieSanga-r6y3 күн бұрын
Sijawahi hata kuangalia
@hotlinechebet60513 күн бұрын
Sijawahi hata penda
@EliasGwaya3 күн бұрын
Sijaiangalia kabisaaa
@Madam2553 күн бұрын
Siiangaliii kabisaa
@shebaarita41023 күн бұрын
Mwanzo hiyo my mother sijahi kabisa
@MadamOrida3 күн бұрын
Aliee kasiloshwa na mama Tasha kumkaribisha Sania nyumbani kwa Tasha goga leks
@Leilajepmtu3 күн бұрын
Zatiti umechesa kama wewe dada usirudi tena saniya dada 🙏🙏🙏🙏plz zatiti
@Leilajepmtu3 күн бұрын
Mama Tasha pokeya Maua yako mama 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹 from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 mama
@NuraMunyasia3 күн бұрын
Mamake Tasha alipotoshwa na chiko kumbuka maanake hamjui chiko
@MajidMau3 күн бұрын
Nmeacha kutizama my mother kitambo tu
@MariamJaberi-g5y3 күн бұрын
Zatiti na Mr Tasha mungu akupe umri mrefu nawapenda San jaman ❤❤❤
@AgnessDama3 күн бұрын
Michambo y Zatiti kw sania iko kw stile yke😂😂, aliefurahishw na Zatiti kuvunja ukimya mueke like zake apa pls
@joyrami3 күн бұрын
Wakwanza Kwa team strong wenye wako Riyadh.. like ata moja😊
@ceciliawilly85733 күн бұрын
Much love shangala mwezagu ❤
@christinewanga73853 күн бұрын
@@ceciliawilly8573Riyadh❤️❤️❤️
@SofiaMwashasha3 күн бұрын
Kiukwel mam tasha umemkosea San Tasha HV unajuw deal yenye iko Kwa life Yako km umeudhka n na mam tasha dondosha like
@EmelyneNzoyikorera3 күн бұрын
zatiti nakupenda San kwamajibu yako kwa sania❤
@BornfaceMenza3 күн бұрын
Kabisa zatiti leo amecheza poa sana kumbe unaujasiri hivyo good nimependa majibu yako ulivo mjibu sania waauu!!!
@DominPallangyo3 күн бұрын
Asante Mungu kwa siku nzuri ya leo uliyotupa Nguvu ya kuamka salama mpaka kutembea maana sio kwamba sisi ni wakamilifu kuliko wengine ila Ni kwa neema tyu ...🙏🙏🙏🙏 muwe na Jumatatu yenye neema na Baraka kila mpitapo na mkajazwe zaidi ya mliyokuwa mnatarajia mkaandamane na kibali Cha Kimungu ...Amen 🙏🙏🙏
@JescaYusuph-m4y3 күн бұрын
Amen🙏
@mbikamtanganaki3 күн бұрын
Amen
@mbikamtanganaki3 күн бұрын
Mfukuze mbwa huyomama hajui kinachowndelea
@AminaSalim-u6c3 күн бұрын
Aamin Yaa Rabbi
@AminaKavuo-gj3oc3 күн бұрын
Amen Amen Amen
@rabiambaga83563 күн бұрын
Wangapi wamefurahi Kama mm jmn naipenda sana story hii
@HamzaMihosho3 күн бұрын
Yani Iko moto mpaka sitamani iisheee wanaoungana na mm like bas
@DomitilaEmily3 күн бұрын
Zatiti hongera sana maana Sania katumwa na chiko avuruge, hongera kwa kumpa Sania makavu🎉❤
Mr tasha asante sana kwa msimamo wako . Km unapenda dakika ziongezwe kwa like
@LuciaBukula3 күн бұрын
DK 1 me nakuwa view wa 50 comment 20 😂😂😂🎉🎉🎉🎉 watazamaji wa busati tv mnaolala humu kuigijea house girl 🙌🙌🙌
@JescaDenis-d2r3 күн бұрын
Sania nenda Kwa mume wako mganga ngonde ukapige manyanga tuachie Tasha wetu anaeungana na mm tujuane Kwa like 😂😂😂😂
@ginafaruque53353 күн бұрын
Zatiti nakupenda sana kumbe unaweza duuuh du sania kuishah
@NulhatihusseinMaarifa3 күн бұрын
😂😂😂😂
@PillyYusuph3 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@salhaissa-xq9ov3 күн бұрын
Safi zatit leo umempa makavu sania 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@finedichengula68163 күн бұрын
Jamani waliofulahishwa na majibu ya kikatili ya zatiti kwa sania gonga like hapo🤣🤣🤣
@TimotheoNdonde3 күн бұрын
Jamani tunaochukizwa na tabia za candy gonga like.
@abidandastanmaliyatabu13733 күн бұрын
Kendy kiyama yake inafika si mda
@YunucKhalid3 күн бұрын
Tena namchukia candy
@VicentPaschal-w7x3 күн бұрын
Safi sana Mr. Tasha Fukuza, timua hilo li Sania hali fai kabisaa. Pokea maua yako Mr. Tasha 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@mbikamtanganaki3 күн бұрын
Uyo sania kama anajijua hana wazazi angekuwa natabia nzur mbwa sana😂😂😂😂😂😂😂😂
@Asiamohammed13173 күн бұрын
Asante sana busati ombi langu kulifanyia kazi aliyegundua matepeli leo wamepewa muda kidogo tupitiane,pamoja hadi busati lichanike😂
@AminaSuleiman-sr4oo3 күн бұрын
Hee jaman nimekua wa kumi na sita baas nikajua nimewah kumbe nimechelewa ivyooo Ila siyo mbaya hongeren kwa Kaz nzur san
@mercyassy54693 күн бұрын
Sania anapata wapi nguvu ya kumtukana maza house wakati.....😢
@نيجي-ن1د3 күн бұрын
Hafadhiliki huyu shetani wa mguu mmoja ngoja akaishi majalalani mwanzo mpuuzi huyu
@MauaMbarouk3 күн бұрын
Ztt njoo uchukuwe zawd zanzbar🎉
@NestorySanga-y2j3 күн бұрын
Tasha naomba uwe na msimamo huo huo
@everlynemwame74273 күн бұрын
Kweli kabisa asiwe kama zuzu kai
@HillarySendeu-ht3lj3 күн бұрын
Jamani ma kibendu anapitia wakati mgumu hapa tunajifunza tuwatii wazazi wetu haijalishi umekuwa namna gani au waweza kujitegemea kumbuka kuwa yule ni mzazi haijalishi vipi🤲🤲🙏
@AshaHamisi-tf3kkКүн бұрын
Leo bubu kasema aiseee nimekupenda bule zatiti pambania ndoa yako vibelenge wapo wengi mitaani❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@JullietiVictor3 күн бұрын
Sasa kisania kinganizi kama kupe kinangania kanakwamba nyumba iyo Yako Jenga Yako ujue uchungu wa nyumba
@hawaali83713 күн бұрын
Kibendu Na Mama Yake Mashaallah
@MauaMbarouk3 күн бұрын
Tash dram umeijua kuicheza ilove🎉
@Saumu-vr4bc3 күн бұрын
Watu wanafungua kinywa na house girl 🥰🥰🥰
@JemimahNzai3 күн бұрын
Kwa kwel tasha ana msimamo sana kuliko kai,tasha mob love kababaaaaaaa❤
@DidaAlly-iz1it3 күн бұрын
Kwaiyo ndo mkaamua kuvaa sare sania na zatiti😏😏😂😂
@Jasweety3 күн бұрын
Iishe tu maan story haiishi khaaaa
@DidaAlly-iz1it3 күн бұрын
@@Jasweety mpaka himeisha makari yaani imepoa😂😂😂
@sifamaureen27923 күн бұрын
Hii yaleo mumeicheza sawa saana team busat TV,pongezi kwenu,🎉🎉🎉🎉
@RosemaryMurefu3 күн бұрын
Leo nimekuwa wa kwnza jamaniii like zenu😂😂
@Fettysaid-u8fКүн бұрын
jqmani tunaobwai kukopa bando kwa ajir ya house girl tujuaneee😂😂😂
@Mwana85Mwana85-wz1olКүн бұрын
Tasha Tasha Tasha mashallah mtowe hyoo kidagaji tu anenda Kwa ngode ngode
@ceciliawilly85733 күн бұрын
😂😂😂😂 jamani kamkonde leo umenifurahisha sana,ebu harakisheni next expose plz tunaiwait kwa hamu na ghamu,inakaa kuwa tamu zaidi ....😂
@NeemaDenja3 күн бұрын
Jaman na mmi nimewahi naombeni laiki zangu nawapenda sana malafiki zangu🙏🙏🙏🫶🫶🫶🫶❤️❤️♥️♥️♥️
@SharonChepngeno-d7e3 күн бұрын
Kai na candy mnaturudisha nyumaa bana😢😢😢😢Kai ungemsikiliza zuuu hii tatizo ingetokelezea
@UmayyaMunisi3 күн бұрын
C ndo hapo😢😢wanaume hawa
@ZahraFakihi-d4q3 күн бұрын
Atimuliwe huyo shetani
@LillianKathini3 күн бұрын
Akwede nauko huyo sheitani
@DorineWanyama-cp5et3 күн бұрын
Kanaitaji kufa kawache kukusumbua mimba kapeleke kwa konde wake
@ZahraFakihi-d4q3 күн бұрын
@@DorineWanyama-cp5et hahaha umeona eee
@ZulphaSaid3 күн бұрын
Nimeipenda hiyo kuteka mabwana tuuh kumuhudumia mama aaaah.
@FunnyBanjo-xm8cz3 күн бұрын
Zatiti Leo umenifurahisha yani nimependa sana Acha kuwa mnatutia uroho
@umfahad26093 күн бұрын
Leo namimi nimewahi jamani. Hamjambo wote humu? Nakutakieni cku njema.💕🌹
@abdallahhalifa58603 күн бұрын
Siku Zatiti amenifurahisha ni leo kwenye hii clip amevunja Ukimnya wake Pongezi kwako Zatiti
@watisonywatisony76593 күн бұрын
Hakika
@mohamedlopa84103 күн бұрын
Ambao tunaomba candy kimrambe na kuomba mama ake msamaha please like hapa tujuane,,,,,❤😅😅❤😂😂❤😂❤😂
@LillianKathini3 күн бұрын
Kimrambe kabisa haishiwe na pesa
@JoyceJoseph-te6go3 күн бұрын
Wanaotamani house girl iishe weka like zenu hapa❤❤❤
@LinasMwenda3 күн бұрын
Hakuna 😢
@RachelEmid-jq6eo3 күн бұрын
Kwendraaaa yaan sisi bdo tunaipenda house girl yetu😍😍😍😍😍
@lutfiyahsaidi66663 күн бұрын
😂😂😂 iishe iende wap tena iyache itumalizie MB
@salehHassan-rl8bd3 күн бұрын
Ady kimrambe candy
@fatumazakalia-yx4kg3 күн бұрын
Hatutaki iishee 😂😂😂😂😂
@RadhiaChibwana3 күн бұрын
zatiti safi sanaaaa tetea ndoa yako
@GRACEKAPONGWA3 күн бұрын
Zatity leo umenifurahisha sana big up umejitutumua
@JaneChaula3 күн бұрын
Sania na kimdomo chake kmy yaan atakuwa mama kirikuu kama candy alivyosema mke wa ngonde😅😅😅😅
@NonoNoella-f1h3 күн бұрын
😂😂😂
@AsmaJuma-rd9xl3 күн бұрын
Weeh ❤❤❤ mambo ni 🔥 jamani like zenu 😅😅😅😅
@Amal-iq1wg3 күн бұрын
Nakuambiaa halafu napendezwaa na zatiti na tasha na majibuu yasaniaa kikorofi kama mshipa wa shingo😂😂😂😂😂😂😂
@AsmaJuma-rd9xl3 күн бұрын
❤❤❤
@Tynamnyilis98243 күн бұрын
Wa nne si haba nipen like basi hata moja😂😂
@RosemaryMurefu3 күн бұрын
Jamani sania si aende kwa ngonde akaleee kirikuuu wake 😂😂😂😂
@JessicaJennifer-l6m3 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@SmilingRockBand-ju2cy3 күн бұрын
😂😂😂
@JescaYusuph-m4y3 күн бұрын
Ma kirikuu
@AgnesMINANI3 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@JaneChaula3 күн бұрын
Hahah ngonde ana mpaa mpk kuku
@sweetgirl22093 күн бұрын
Tuko home Leo ni mashujaa day tuleteeni vipindi via house girl mingi
@FalidaIssa3 күн бұрын
Mama tasha mama mstarabu Leo Sania anakufunjjia hashia kawamanao
@hutahuta11703 күн бұрын
Mm namkubali tasha anamsimamo sio.kamahuyo kai kamazuzu ndomana yamemkuta.makubwa🎉🎉🎉tasha
@RoseCharles-e5y12 сағат бұрын
Kwl 6:30
@IldaRafaelElias3 күн бұрын
Kazi zuri sana 🇲🇿🇲🇿
@GianMwangomale3 күн бұрын
😂😅😅 bintiii wa kifilipimoo 😅😅 mtu mwenyew nyama zake mjiniiiii ila saniaaa linazd kukurambaa
@saumodzumbo96713 күн бұрын
Zatiti umenifurahisha sana dadangu love you so much ❤❤❤❤❤
@MustyNgongo3 күн бұрын
Wakwanza leo😂😂 naomba ata like kumi wajamen
@HabibaAthumanMwaboko-vq4qk3 күн бұрын
Yani namuamini Tasha sana nimume jasiri sana amesimama kama wanaume 100🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
@ThaBroski3 күн бұрын
Kweli
@afridatКүн бұрын
Shida ni shape hata mende anayo😂dah zatiti kampata sania kwa kweli😂😂😂
Sania analazimisha sana i say bna hatakiwi angojee tu tasha amtimue
@ThaBroski3 күн бұрын
Mama tasha kiboko ❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉
@BoboEliphazstephan3 күн бұрын
Nimekua wakwanza nipe commentaires
@cairolucas38763 күн бұрын
Nimewai leoo nipe like zangu
@AshaCharo3 күн бұрын
Wapi likes za mother house wa Tasha
@ASHANDEGWA3 күн бұрын
Maua yko Tasha🎉🎉🎉🎉
@aishajuma71283 күн бұрын
Tasha ana musamo c kama Kai anakaa kama ameshutiwa hana msimamo zu atalia sana
@REUBENIAGUSTINO3 күн бұрын
Leteni epsod nyingine fasta😂😂😂
@ThaBroski3 күн бұрын
Patamu hapo😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉😊😊😊
@REUBENIAGUSTINO3 күн бұрын
@@ThaBroski sana Yan patamu hapo😂😂😂
@SanuraNamlola3 күн бұрын
Uja uzito upeleke Kwa ngonde chimamula sania😂😂😂😂haki tabia Ni ngozi Sania ubadiliki ,,🥹🥹🥹🥹
@UmmulkheirHassan3 күн бұрын
Jamanniii ata kama nimechelewa naombeni likes
@SanuraNamlola3 күн бұрын
Hii movie haki wife material Ni zatiti na zuunlkn ndio wanapata vikwazo sana katika maisha yao na Hawa mishangazi wawili candy na Sania kudanga tu ukarimu aaah
@VicentJonh-b7o3 күн бұрын
Kai kimemlamba🎉🎉🎉🎉🎉
@FaithJoshua-n8n17 сағат бұрын
Wao zatiti ushaanza kujiamini sasa
@Mabuga723 күн бұрын
Hongera kwa Kaz nzur
@GloriaIrabaruta3 күн бұрын
Hongera sana zatity leo umekomaa,pole sana mama tasha ulimkogota shetani na kumkaribisha nyumbani
@moodylenovo1003 күн бұрын
Kimbeleke arudi kwa ngonde please
@PetronilaMtewa-g3hКүн бұрын
Patamuuu apoo saniaa kinakulambaa😢😮😮😅😅😊soon
@MeshaLeckison3 күн бұрын
Wakwanza naombeni like
@KhadijaKhadija-mj5ub3 күн бұрын
Sijawahi kuichoka hii movi kila nikiiangalia nikama picha linaanza nawapenda wote mlio shiliki 🎉🎉
@Saumu-dq9lj3 күн бұрын
Leo nimekuwa wa mia nne hamsini 55 nimewahi
@Giftbugalama3 күн бұрын
House girl ya busati tv itakuwa series bora ya mwaka, na tuzo tunayo 🎉🎉, nani anabisha?
@MwanamisiMuna3 күн бұрын
Doo mumekawia lkn kzi iko swa sna big up sna ss tuleteeni part nyengin n kwa Mr Genius kumewaka moto
@ShamimShamy3 күн бұрын
Tasha amirijeshi mkuu big up kazi nzur Sana Allah akujaalie MToto haraka tuwafunge watu midomo zatiti ❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@SakoSaka-kc2mt3 күн бұрын
Wangapi wanachukizwa na tabia za sania 😂 mama tasha ziba sania slap moja atoke hapo 😅😅
@ThaBroski3 күн бұрын
😂😂😂😂😅😅😅 mama afanye nini😂😂
@SakoSaka-kc2mt3 күн бұрын
@@ThaBroski 😂😂🫢
@AdvelajosephMtinya3 күн бұрын
Ubora wa movie unaisha fanyen iishe
@Liliankerubo-ye1le3 күн бұрын
Sania anataka kuongeza machoraa kwa hii dunia😂😂😂 ni kama mama tasha ajui uyo mtoi wa sania Ngonde junior 😂😂😂
@familyvibesonly34193 күн бұрын
Wanahopenda house girl isiishe gonga apa ❤
@busatitv3 күн бұрын
😍😍😍😍 Kumbe Mpo vipenzi vyetu ambao mnataka tuwe isidingo 🤣🤣
@SHARONMBONE-u5t3 күн бұрын
😊hii kipindi imenifunza sana
@GalaxyA-ve8tu3 күн бұрын
Sania kweli chizi jamani mimba ukapewe na mganga ukambambikizie tasha jaman😂😂 pole unalo limekuganda
@MpashiKennedy3 күн бұрын
❤❤❤❤ film zenu kila siku zinanipa furaha good lucky guys
@JoyceKayombo-y3g3 күн бұрын
Ila Sania umechekesha ngonde kule anahangaika kuleta supu ya kuku hutaki....kulazimisha tu ka damu ka ngonde kimamla 😂 kwa Tasha kumtia minuksi ya mganga 😂😂😂....naenda tu mwaya kwa ngonde mkasaidiane kurogaaaa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅
@shamusathebeautifully59453 күн бұрын
Nzuri sana sana ❤lakini tunawaomba mutuletee episode 2 kwa siku
@Frola-r9z3 күн бұрын
Hongereni sana❤❤❤
@SophieMogiti3 күн бұрын
Watatu mimi kutoka kenya Maua yangu 🎉🎉🎉🎉
@SarahCharls3 күн бұрын
Mama tasha nilikiamin sana ata kama ndo mlivozipanga scn zenu lkn kitendo cha kumpokea sania umeharib najua wengi hatujapenda 😏😏