Zatiti wallah umeniboo yani ukirudi kwa chiko sifatili tena house girl kama muko na mm like plz
@JaphetNoah2 сағат бұрын
Hayo n maigizo tu dingiii kwan unazan chikko n mbaya kweli jaman???
@LisaLemiСағат бұрын
Hawezi kurudi jamani angekuwa wa kurudi kwa Chiko asingeenda kusema kule kuwa aliemteka Kay ni shiko
@Hapygideon3 сағат бұрын
Kwa hiyo zatiti unamaanisha nini baada ya hayo masaa,na kwa huyu mpuuzi ulienda kutafuta nini,,ambao hatujapenda zatiti kwenda kwa chiko like zenu
@SharonChepngeno-d7e3 сағат бұрын
Ameanxa kukera😢
@RukiaJaji2 сағат бұрын
mm hata ashaniboo najisikia kuacha kuangalia hii house girl
@AgnesMINANI2 сағат бұрын
Nikweli anakelaa
@PillyDaniel2 сағат бұрын
Zatiti anakela mpaka anakela tena ntaanza kukuchukia sasa kama utarudi Kwa chiko
@Aminah-r4s2 сағат бұрын
Kabisa Yani mpaka basi😢😢
@YusraSiyaleo-yk2fzСағат бұрын
Kwa wale tulokuwa.tukiichungulia jana kutwa nzima gonga like hapa 😂😂😂😂😂😂
@DianaMkembelwa20 минут бұрын
346,,,Zatiti umefeli sana.,pili Tasha umekosea kumruhusu Zatiti kwenda kwa chiko.namchukia chiko😂😂😂😂
@thommasemanuell43202 сағат бұрын
Habari wapendwa leo mimi kutoka kenya nimekua wa 157 hatakama nimechelewa jaman nipen like zangu namungu hawabariki
@JumaMsiriСағат бұрын
Wangap wamemic kumuona rahma na mke mwenza masoz like hapa😂😂😂
@esthermabuga125911 минут бұрын
Mm hapa walaaah nimewamisna bwana yao chisa😂😂
@Thekingofgodmmm3 сағат бұрын
Nawao omba sania azae mtoto atakaye zaliwa amefanana na ngonde like tijuane
@rehemalimonga905833 минут бұрын
Move tamu lkn mjitaidi kutoa vipande viwili2 hili twende faster2
@AsmaKhamis-y8rСағат бұрын
Jamn na mm naomba like jpo 2 t
@GilbertEdson-mh1ti4 сағат бұрын
Tujuane tunaongaria movie hii tukiwa na stress kidogo
@esthermabuga125910 минут бұрын
Mm stress za pesaa eeei😂😂😂😂😂😂
@GloriaNahimana-x8p3 сағат бұрын
Kweri kama unapenda zatiti na Tacha tujuane🎉🎉🎉
@DamarisMoraa-y5d3 сағат бұрын
Sijajelewa team gulf tunaopenda tasha na zatiti ebu tujuane wale tulipigia chiko simu kuwa anadhulumiwa ktk saudi arabia
@SdFft-j5g2 сағат бұрын
Kwni papa tatizo lao nn, washafanya njia ya mkato wamepata card ya Kendi, mbna hawamwachii kai, alfu zatiti kama ungetaka kusaidia ktka hili swala la kai mbna haunge record anavyojigamba hyu Chiko, ila si kweli ila afadhali hangeenda kituo cha polisi labda angetambua hao kina papaa, alfu kitu kingne zatiti ukijrbu kurudi kwa Chiko naacha kuangalia hii movie
@Mwana85Mwana85-wz1ol2 сағат бұрын
Zatiti acha ujinga ww San km utarudia na chico mm siagali ten wallah sijapenda mm zatiti Kwa hili
@deboradeo-o2k4 сағат бұрын
Naipenda jmn mpk naumw zatiti love you Tammy pia leo nmewah naomben like❤
@BrendaMogambi3 сағат бұрын
Wanao jungulia kila wakati Tukisubilia chiko arudi vile kitamramba😅😅😅😅
@fatumaselemani38077 минут бұрын
Mashallah ❤❤❤❤❤❤mungu abaliki sana kazi zenu
@QweenNickson4 сағат бұрын
I can't believe kama nimekuwa wa kwanza jamani. Nawapendaa sanaaa watazamaji wenzagu pamoja na Wana Busati TV.❤❤❤ Like zenu please 🥰🥰🥰
@busatitv3 сағат бұрын
❤❤❤
@godfreychambo104052 минут бұрын
Zatiti kazingua
@QweenNickson42 минут бұрын
@@godfreychambo1040 sanaaaaaaaaa.
@TimotheoNdonde2 сағат бұрын
Tunao amini kuwa Kai atatoka kweny mikono ya papaa, na candy atafer mipango yake gonga like❤❤
@SadaDjuma-e9b4 сағат бұрын
Amani ya Mungu iwe juu yetu sisi ote tunaofuatiliya hii movies House girl,Ninawapenda saaan,Amani ya Mungu iwe juu yetu sisi ote 😘😘
@deboradeo-o2k4 сағат бұрын
Jmn jmn zatiti Nakupenda mno wakwanza Leo naombeni like zn
@RoseNanzu12 минут бұрын
Huyu zatiti akirudi huku siangalii tena hii house girl
@marykadzo56722 сағат бұрын
Nyanyake zuu alikua mrembo sana enzi zake ......nampenda sana
@JaneMhango-yl7xo3 сағат бұрын
Wooooh kazi mzuri dada zatiti kwakujua ukweli kuhusu sania
@etsareliza66876 минут бұрын
Zatit umenikela sana kwenda kwa chiko alafu umekaa mwenyewe umejituliza umebowa sanaaa
@SofiaAliAli3 сағат бұрын
Zatiti kama wewe umefundwa ukafundika uwezi kumuwacha mumeo tacha na kurudi kwa chiko,wadau like hapo
@TzSweetheart29 минут бұрын
Uyo Sania kisura chake😂😂
@Saumu-vr4bc3 сағат бұрын
Chiko Chiko Choliko unasema Zatiti n malkia wa moyo wako baada ya kujua kua ww huna kizazi, Pole yako
@doroblessing3779Сағат бұрын
Zatiti anajua kucheza na akili za chiko,zatiti anampeleleza vizuri chiko
@Hailshhasibu-xx2kd4 сағат бұрын
Aslamualeikum warahmatullah nipewe
@deboradeo-o2k4 сағат бұрын
Naipenda jmn mpk naumw zatiti love you Tammy pia leo nmewah naomben like
@SalmaYusuph-y8o4 сағат бұрын
Jaman leo mie wa kwanza kutoka gulf naomben like
@KhadijaMwinjuma37 минут бұрын
Kigogo wa konekshen au baba kai😊
@HappyDickson-d2g3 сағат бұрын
Wangapi walikuwa wamemisi house gro jaman❤❤❤
@egnusmhesi544411 минут бұрын
Sasa hii movie malizeni mnakoelekea mnaharibu.
@ZabibusuphianialisuphianiAlly4 сағат бұрын
Nimewahi kiasi mnipee like sijui nitazipeleka wapi 😂😂😂😂😂 team busati tv twende nalo guys tap tap screen 🎉🎉🎉😂😂😂😂😂😂😂😂
@petromgaya174644 минут бұрын
Zatit ushaaanza kuzinguaaa kwann huna msimamo wew kwa chicko umefata nn wew😢😢
@buru12353 сағат бұрын
Mashallah n vile nimegojea Sana wow thanks for the update
@CharlesSebunga7 минут бұрын
Hili movie kama mlevi linaenda hatua moja mbele na kurudi hatua kumi nyuma ni ujinga tyuu
@haythammohd55994 сағат бұрын
Nimekua wa kwanza leo weeeeee amkeni jamanii sania anakichambo chake ukuuuuuu
@sayunimnguruta9815 минут бұрын
Zatiti cheza na akili ya Chiko 😂😂😂 Tumia Akili kichwani hapoo Nakuaminia hujawahi kuniangusha
@TahiyaSaleh3 сағат бұрын
Waojuwa kuwa zatiti atacheza na chiko kumtowa Kai gonga like apa 😊
@MargaretKilongi4 сағат бұрын
🎉🎉 tulikua tukiongoja kwa hamu weka tick
@kelvingosbert693 сағат бұрын
Now days naangalia hii movie uku napeleka mbele imekuw ndefu sana inapoteza radha😥
@goodluckjohn2 сағат бұрын
Yani wameifanya ndefu mpaka inakera
@GladyJackson-ub5qf2 сағат бұрын
Upo kma mimi
@GladyJackson-ub5qf2 сағат бұрын
Masuala mengine hayana umuhimu kma kutekana ya nini,,
@goodluckjohn2 сағат бұрын
@@GladyJackson-ub5qf sio pw
@AzizahMustafa-j9nСағат бұрын
@@GladyJackson-ub5qfile maana halisi ya house girl imepotea kabisa
@Juliety-v3o3 сағат бұрын
Kama zatiti akirudiana na chiko naomba tu mmalize move coz naona kabixaa ladha inaisha
@Mwana85Mwana85-wz1ol2 сағат бұрын
Mm ndyo siagali kabisa
@MaggySemkande37 минут бұрын
Umekoment ukiwa wapi😅@@Mwana85Mwana85-wz1ol
@Lornagari33 минут бұрын
Baba kai anakaa ako na homa hiyo sauti mbona kama ya mchina
@Tynamnyilis98244 сағат бұрын
Wa tatu like zote kwangu
@RizikiZiki3 сағат бұрын
Tatizo lenu mutu akitekwa kusema arudiye mpaka mutukaushe roho jamani iishe basi tusije tukaumwe maugonjwa ya moyo kisa nyiye Zatiti ndouyo kaisha jipeleka kwa Ciko munategemeya nini sasa ebu tuaceni siye imalizeni mutuleteye nyengine iyi tumeishiba sasa
@bintijumachongoa8922 сағат бұрын
Kbsa ishasinyaa yaan atutamani kuona mbele
@RehemaMwakisyala-k9u2 сағат бұрын
Zatt anaakili nying sana munaoona kawakwaza subilien ni gem ilo anacheza Tena kwa akili mutamuelewa tu
@Amal-iq1wgСағат бұрын
Yeah nimchezo Ana chezaa
@FaustaLutugely20 минут бұрын
Jamani mm zatiti ameniboa sana Kama mnakubaliana na mm like jaman
@NeemaEli-wl1dzСағат бұрын
Tumehipenda sana himuvi nizuri sana mungu hawahinuwe juu sana
@Najmahnyangasi3 сағат бұрын
Kazi nzuri sana ❤❤❤❤❤❤nawapenda bure watazamaji wenzangu na busati Tv 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@AminaKidare2 сағат бұрын
Mi nmemuelewa sana zatiti ,hapo anaweka kamtego tu anajua chiko ni dhaifu kwake
@ElizabethMumbi-c6x4 сағат бұрын
Leo nimewah jamna mauwa yenu busati Tv🎉🎉
@AngelMayani3 сағат бұрын
Mbona mnachelewa sana kuhusu kutuma hizi sio kama zamani
@saumodzumbo96712 сағат бұрын
Yaani da zatiti ukirudi tena kwa chiko utatuangushaa sana ndugu yetu 😢😢😢😢
@SalomeSumbizi-ll9wcСағат бұрын
Zatiti anacheza na akili ya Chiko nyie hamjui tu
@ElinahChama2 сағат бұрын
Jamani movie zuri ila dakika ni chache sn jaribuni kuongeza dakika
@esterkimalio88463 сағат бұрын
Malizeni movei yenu bhana,,sielewi inakoelekea,,,,mioyo yetu inataka kutulia sasa tumechoka vita ya chiko
@YunucKhalid3 сағат бұрын
Muhusika mmoja hawez kuharibu movie Bora iendelee tuone khatma ya mtu kuwa na majigambo kma chiko
@esterkimalio88462 сағат бұрын
@@YunucKhalid sawa basi
@JentrixSungu2 сағат бұрын
Chiko unaongea vizuri sania ananyonga malkia wa chiko😅😅😅😅😅😅
@meshackdyanka782639 минут бұрын
Busti hamjui kutunga story
@Salmasaidi-h5p34 минут бұрын
Chiko utapigwa na kitu kizito wew zatiti sio mjinga 😂😂
@yktitho649347 минут бұрын
Kweli kuvaa kiatu cha mtu kazi Jasmin ilitakiwa ndio awe anamfariji zuri yeye hayupo
Mwezenu zatiti amenitibua balaaa natamani nisiangalie tena muvi yenyewe aaah
@husnababe2 сағат бұрын
Zatiti leo umenikasir8sha sana
@AnnethEfrahimСағат бұрын
Yani zatiti akiludi Kwa chiko sifatilii Tena house girl
@AllyBabu-kr6lg3 сағат бұрын
Wakwanza na wamwisho mama kiriku mbona umekua ruba kwenye laif za watu😅😅
@VivianSimidiСағат бұрын
Aky sijapenda zatiti kwenda kwa chiko 11:58😢😢😢
@JoselineJuma-r7o9 минут бұрын
Kila mtu anamlaumu Zatiti lakini hamuoni kuwa Zatiti anacheza kama undercover mwenye anakubaliana na mm anipe like
@abdallahassan63783 сағат бұрын
Jmn nimewahi kidg🎉😂
@MercyMercy-lm8nq58 секунд бұрын
Mm cjapenda zatiti kwenda Kwa chiko
@SamiHamood-x3b33 минут бұрын
Zatiti ulikuwaumefata nin kwa mjinga huyo chiko wala simupendi kabisa maana kila sehemu et aingie chiko ni mjinga hata hana kizazi
@StulidaNgombe-k3k3 сағат бұрын
Leo nimewah jaman naomba like
@JacintaMaloba4 сағат бұрын
Mie wa mwisho 😂 sitaki like zenu
@Fatuma-e7k3 сағат бұрын
Pia ss atukupi😂😂😂
@AnnaBura-p2gСағат бұрын
Bwana tupe faraja 🤔🤔🤔 hii mbn vita
@fatfat90932 сағат бұрын
Najua.zatiti ametaka kupewa masaa 24 kufikiria hili.akatoe taarifa kwa.familia zote 2 chiko nahakika kitakuramba tu Asante bibi kutegua kitendewili hila alomteka kai c chiko anajifanya tu apte zatiti hila ni papaa naatajulikana pia
@PurityDida2 сағат бұрын
❤❤❤❤🎉🎉 house girl pambe🎉🎉🎉
@ChimammyMummy2 сағат бұрын
🤣🤣🤣chiko na bidii zako zote afu end of the day zikuponzee ndio nitajua mandevu zako n Bure bilash hata beberu anazo
@MtumishiEstonFidelMtumishiEsto2 сағат бұрын
Hiiii move kuna mda ina boa kishenz
@JulieMisanaСағат бұрын
Dah!!! Mambo msongamano
@SusanNthenya-s6j38 минут бұрын
Hiyo maneno ya chiko n kelele tu ana lolote kwa mr tasha 😂😂
@Mariahkahind50 минут бұрын
Zatity hujamtendea haky tasha....kilicho kufanya uende kwa chiko ni nn...umetuangusha 😢😢😢😢😢😢😢
@FatumaChindoro-p8o2 сағат бұрын
Siku hiz mwachelewesha house girl kweli mwatuboo
@husseinbaraza319437 минут бұрын
Hii mov mimi naona inaendea kunchosha zatty kafwata nini kule
@happysamson915Сағат бұрын
Duuuuuuh zatiti anazingua kinoma mmmmmmh na hii move tena basi tena
@DanMark-jy2hk3 сағат бұрын
Wale tulikuwa tunangojea tuko wapi?👍👍👍
@PriscaBenjamin-ub7lu3 сағат бұрын
Mnatucheleweshea Sana jaman
@SharonChepngeno-d7e3 сағат бұрын
Wapi Mauwa ya mama tasha❤❤❤❤❤❤❤
@NeemambagaEneza3 сағат бұрын
Mnatucheleweshea sana busati leteni mambo
@افااقع40 минут бұрын
Mimi acheni niwambie ukweli zatiti akirudiana na chiko hamnioni tena hapa
@samsonkaboko51372 сағат бұрын
Chico ni mdhaifu Kwa zatiti ndo maana kaja huku kuperereza
@EasterSimiyu2 сағат бұрын
Mbona mnaleta movie Haina picha tena mwaleta mojamoja
@AisherJuma-d2qСағат бұрын
😂😂😂😂ety chiko amekuwa Gen z aaaaah wpi
@FloraMkumbo3 сағат бұрын
Kasiriii ilo kwiooo chiko bhan😂😂😂😂
@MartinNiyukuri-n2t2 сағат бұрын
MV tayari tumeichoka
@EzekiaMsemwa-sk7ow3 сағат бұрын
Hapo chiko ilitakiwa achukuliwe sheria kwasababu kakili yy mwenyewe kuwa kamteka kai
@EstherMwalukasa-i7r57 минут бұрын
Zatity utafanya watu waache kufuatilia hii movie achaujinga ww Mdada utaharb movie
@mapesaomary-ip3vfСағат бұрын
Sania anafaa sana kuwa kiongoz wa vikoba vya marejesho
@Agacouture4 сағат бұрын
🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 sisi wa kwanza ku commentaires, aime, na ku partager 🎉🎉🎉🎉🎉