Mm naonanga babangu akieda kununua mbuzi anatuma mtu ako na nguvu Dio akiiinua iyo mbuzi mwenye anauza asione iko na kilo mingi 😂😂😂😂😂.sio kama uyu Wa mbote karibu akunie 😢😂😂😂😂
@NaomiWambui-u6sАй бұрын
😂😂mzae anashangaa na kitambi mpaka anapapasa😅
@susanwanjiku9323Ай бұрын
Yaani mm nmetembea leo as if nlkua na nyinyi...kazi poa mbote
@IANWAYS-w8qАй бұрын
Tuned mbote🥂
@planta254Ай бұрын
Nyma..Kwa nyama
@DansonMwauraАй бұрын
My brother mbote 🎉
@joycelinekariuki3021Ай бұрын
Weee tupostie anything tutalike ,tucomment na tushare😂
@tommacharia7279Ай бұрын
Awesome, keep going...tunangonja hio day ya sikukuu tuone wife😂
@MwangiCatherineАй бұрын
Gai mbote pombe tena😂😂😂😂
@joelnyaga1985Ай бұрын
Hio ni kondoo Sio mbuzi
@linahmuthoni487Ай бұрын
No 1
@Stevellah_Mavellah053Ай бұрын
Huku ni wapi niambieni nifike nibuy mbuzi
@puritymurage7404Ай бұрын
Huku ni soko wapi twende na my brother
@davidnjoroge4975Ай бұрын
huyu jamaa hukua vibe
@DansonMwauraАй бұрын
Unataka kusema aje kuhusu mbote
@DansonMwauraАй бұрын
🎉
@WildWonders_402Ай бұрын
Mbote huyo mzee anaguza kitambi kama mimba.
@Maryanne-se8elАй бұрын
Huyo mzae ni vibe kabisa
@NJOROWAKANAIROАй бұрын
Muthee akonsawa na rwimbo
@JacintaKamau-gc9ycАй бұрын
Weee ata hamngojei nyama ikatwekatwe kwa amani weeeeeh
@santanasfatherАй бұрын
Utakula stori ukingoja😂😂😂
@joycenyambura2620Ай бұрын
Tuned
@estherwanjiru2740Ай бұрын
Umetuweka sana
@joelnyaga1985Ай бұрын
Hapo Kwa wife umetuchocha😂
@rlenytrendy4954Ай бұрын
Mbote maasai wanaona mmaajabu mtu ako na kitambi,ungemwambia ni kitambi ya pesa🤣🤣🤣🤣🤣
@Moh-v6bАй бұрын
Wee mbote na njohi 😂😂😂dikamera daa
@GraceWachira-jc6djАй бұрын
Ilimea huoni hiyo tumbo
@PeggyAttalahАй бұрын
Huku ni wapi 😂ata niliwa nathani ni kiseran
@Sniper4-33Ай бұрын
Kazi nikukula
@estherwanjiru2740Ай бұрын
Ìno nì ng'ondu ti mbùri
@joelkamau8857Ай бұрын
Ma mbote we wana ati dream ya mburi ni ki??😅😅😅😅
@oursimplejourney5490Ай бұрын
nataka 5 acres ?
@davemo4176Ай бұрын
Hii beast yako imetoka huko kwote aje ikiwa na taa ya fuel? 🤣
@tabithawaweru-jz2cmАй бұрын
yani mbote hutafuti mbuzi unatafuta pombe
@gerald1208Ай бұрын
Gwatho 😂😂
@martinschannel5906Ай бұрын
Song title please 24:30
@pckaruriАй бұрын
Ukiskia ni Low ni Low
@johnnjorososАй бұрын
huku kanaweza enda😂
@NJOROWAKANAIROАй бұрын
Kau gathenge nikagira muno..kuhorera ta gathemba
@thebens6212Ай бұрын
Gùku
@PeterKamauMuigaАй бұрын
Hiyo soko mlinunua mbuzi iko wapi specifically?
@mbotenjoguАй бұрын
Ewuaso
@federico_sАй бұрын
Ewuaso Kedong
@marykanyo621Ай бұрын
Huku ni bisli
@estherwanjiru2740Ай бұрын
Nilikuwa nimeona kama ni BIssil but soko ya BIssil ni kubwa
@federico_sАй бұрын
Ewuaso Kedong
@marywanjiku350Ай бұрын
Mbote nlikuwa karibu nikuulize kwani huapload video 😅
@marynjengah2771Ай бұрын
Haiya guku nikuo gwatho mi huskia tu
@adamjaama9746Ай бұрын
Huyu mjama nimjinga sana anaweja kukanyaga shingo hanauruma