CAF CC | PENATI ZOTE HIZI HAPA | ORLANDO PIRATES 1-0 SIMBA SC (PEN 4-3)

  Рет қаралды 605,868

TV3 TANZANIA

TV3 TANZANIA

Күн бұрын

Пікірлер: 124
@hamidayanga8224
@hamidayanga8224 2 жыл бұрын
Safi sanaaa Orlando mmejua kutupa amani mjini mana tulikua hatupumui ligi ya bongo hadi iliitwa ligi ya mbuzi aisee kweli Mungu fundi🙏
@balakakashomwa360
@balakakashomwa360 2 жыл бұрын
Washamba utawafaham
@immahjr.4622
@immahjr.4622 2 жыл бұрын
Acha ushamba ww Africa 36 umezidiwa had na namngo ushamba tu
@donedaddy4561
@donedaddy4561 2 жыл бұрын
HAKUNA MWANAUME ANAE KUBALI KUPIGWA MBELE YA MKEWE ahsante SIMBA
@immahjr.4622
@immahjr.4622 2 жыл бұрын
Africa yanga 72 namngo 56 Simba 12 angalia umbal huo na mayeleko wenu huyo tuone mtafika wap
@tausshasani2064
@tausshasani2064 2 жыл бұрын
@@immahjr.4622 75 sio 36
@zaitunialliiy6075
@zaitunialliiy6075 2 жыл бұрын
Conversations za Kapombe na Kipa Wa Orlando nimezipenda sana.
@lululawrance8084
@lululawrance8084 2 жыл бұрын
Nimejikuta nairudia pa1 na kagere
@selemaniselemani7014
@selemaniselemani7014 2 жыл бұрын
Kuna watu lazima tukubali wanatuwakilsha vema hawa wazawa munula, kapombe na shabalala wanaupiga mwingi penalt hazinaga mwenyewe lkn hawajamaa wako vizuri kabisa kiukweli mimi nawaombea wafike mbali kama samata na msuva in shaa allah.
@agilimohamedi3779
@agilimohamedi3779 2 жыл бұрын
Hongera Air Manula Molo akupe afya njema na aibariki kazi ya mikono yako
@aprow2059
@aprow2059 2 жыл бұрын
Hongereni mmepigana sana penati ni bahati
@damsonkelvin1215
@damsonkelvin1215 2 жыл бұрын
Kama umependa filamu ya Kapombe na kipa wao gonga like 👍🏿
@husseinabdhallah8792
@husseinabdhallah8792 2 жыл бұрын
Shukran simba mmejitahid sana
@titobernard383
@titobernard383 2 жыл бұрын
Game nzuri !! Asante kwa kutuwakilisha !
@edsoneliah2802
@edsoneliah2802 2 жыл бұрын
Orlando Pirates walijua game itakuwa rahisi sana kwao. Mambo yakawa tofauti. Hongera Simba mmeiwakilisha Tanzania na mmetupa heshima kwenye soka la kimataifa
@bashirumilumba8421
@bashirumilumba8421 2 жыл бұрын
Hivi watarudi kucheza tena ligi ya Mbuzi?
@bashirumilumba8421
@bashirumilumba8421 2 жыл бұрын
Tuna penda wangefika mbali ila kauli zao za kashfa na maneno kama ya waimba taarabu yanachosha bora wafungwe tu
@halimajuma2340
@halimajuma2340 2 жыл бұрын
Jaman jamn mnyonge mnyongen hak yake mpen pamoj na kwmba simba imefungwa lkn wanaume wamepambana wat waltegemea simba itaoga magol kam yote lkn wameobexh sok la kiume hongeren san simba kukosea njia ndo kujua njia msim ujao mtafany vzur zaid
@winfridagama5832
@winfridagama5832 2 жыл бұрын
Kabisa
@ummuruwaida3440
@ummuruwaida3440 2 жыл бұрын
aliyepambana niyule aliyeshinda simba nisawa na kichaaa mwendo mrefu anarudi na makolokolo
@rossmaryphases8509
@rossmaryphases8509 2 жыл бұрын
Kfngw ni kfngwa 2
@salimramadhani5237
@salimramadhani5237 2 жыл бұрын
Mmebakwa kwa mbinde😂😂😂
@Emedroadtocanada
@Emedroadtocanada 2 жыл бұрын
tunasogea sasa leo timu inatolewa kwa penalt hii inaonyesha ukomavu unaongezeka sasa insha allah msimu ujao tutasonga mbele
@maryjkiosa3380
@maryjkiosa3380 2 жыл бұрын
Na bado tulikua pungugu next time tutakua imara Zaidi 🦁
@hajihija1903
@hajihija1903 2 жыл бұрын
Kapombeee unatufaaa Wanajangwani unajiamini sana kuliko wale wa kongo wachafu kina inonga
@fatumasophu5855
@fatumasophu5855 2 жыл бұрын
Tuwe na shukrani kaaaaaah mbona inonga kafanya kazi kubwa sana looooh
@fatumasophu5855
@fatumasophu5855 2 жыл бұрын
Inonga huna baya na sisi mashabiki wako kukosea penalty kawaida sana Wala isikupe shida kazi kubwa unatufanyia
@uwesushabani2181
@uwesushabani2181 2 жыл бұрын
Hapewi pole mwenye kilanga
@sosomacharles6685
@sosomacharles6685 2 жыл бұрын
Shomiii jina la kiislam but yy kaamua kuwa mkristo👏👏👏👏
@josephatmassae7316
@josephatmassae7316 2 жыл бұрын
Kumbe na wew umeonaee
@janethsemboni9874
@janethsemboni9874 2 жыл бұрын
Ukiwa na Yesu mambo ni 👍
@sosomacharles6685
@sosomacharles6685 2 жыл бұрын
@@janethsemboni9874 kweli
@ericksangajr7173
@ericksangajr7173 2 жыл бұрын
Anaitwa Shomary Salumu Kapombe lakini ni mkristo😀😀
@sosomacharles6685
@sosomacharles6685 2 жыл бұрын
@@ericksangajr7173 Kafuata kwa mama yake mzazi.
@wazirimpeo8995
@wazirimpeo8995 2 жыл бұрын
Keeper'you again?,,Kapombe after penalt kick'Yes Iam..
@sultanseifu2555
@sultanseifu2555 2 жыл бұрын
😂
@xaverisunday699
@xaverisunday699 2 жыл бұрын
#aboi_4rm_makambako simba bhn wamechoma na moto ktk ya uwanja kwl mpira wa africa mhhh pmj nakuchoma lkn ndo hv tena mmerudi kwenye kombe la mbuzi
@salumalele4850
@salumalele4850 2 жыл бұрын
Kifafa kitajirudiaa tarehe 30 mchezaji wa kimataifa ana pressure mpk anapata kifafa aibuuu 9:30
@georgenorasco1705
@georgenorasco1705 2 жыл бұрын
Kapombe manuna shabarara nawaelewa Sana kabla hata ya kufanya vizur
@lovemwagala8259
@lovemwagala8259 2 жыл бұрын
Manura Fundi jmn
@iuem5792
@iuem5792 2 жыл бұрын
Game la kimataifa hili,mtu anabeza aisee
@najmakhamis335
@najmakhamis335 2 жыл бұрын
dah inaniuma sanaaaa ila naamini apo tulipo fika Ndo allah alipanga
@alfredidabaliga814
@alfredidabaliga814 2 жыл бұрын
Kazi mmeifanya wanaume
@georgenorasco1705
@georgenorasco1705 2 жыл бұрын
Mkunde na inonga mmeweka ustaa, hii game kwenye matuta ilikua yetu, BC tu
@emeldaswai9221
@emeldaswai9221 2 жыл бұрын
George kweli kabisa wanajikutaa saa hasaa inonga
@jacklinmasawe2697
@jacklinmasawe2697 2 жыл бұрын
Simba hatuna wapiga penati kabisa
@fadinangemae253
@fadinangemae253 2 жыл бұрын
Tumejitaidi kwakweli
@hamidayanga8224
@hamidayanga8224 2 жыл бұрын
Kwahyo hapo inonga alikua anatetema kwakutumia mikono au??🤣🤣🤣🤣
@michaelmisana650
@michaelmisana650 2 жыл бұрын
Polen kwa kubakwa
@ip_header
@ip_header 2 жыл бұрын
Asanteni kwa Kuja...!
@zunnahmohammed4719
@zunnahmohammed4719 2 жыл бұрын
Simba wamepambana kiume wamefia vitani kuimbambania taifa lake
@paulshuna6596
@paulshuna6596 2 жыл бұрын
Kuimbambania
@budodilufega8597
@budodilufega8597 2 жыл бұрын
Kipaa ameni furahisha Kama mayele 😅😂😂
@cleofasnyoni3836
@cleofasnyoni3836 2 жыл бұрын
😂🤣🤣🤣
@jeffreymgaya7568
@jeffreymgaya7568 6 ай бұрын
Kumbe mwakarobo kitambo mpaka shirikisho
@petit1078
@petit1078 2 жыл бұрын
Hiv Shomari kapombe n dini gan?
@livinusmugisha5469
@livinusmugisha5469 2 жыл бұрын
Acha ujinga dini inaingiaje humu au hauna la kusema???
@gladnesisrael5515
@gladnesisrael5515 Жыл бұрын
Mkristo
@reubenismail3672
@reubenismail3672 2 жыл бұрын
Simba penat hakuna wapigaji kabisa!lkn kocha umechemka Sana dakika za mwishoni ungeingiza wapigaji penati Kama boco na nyoni!Kama walikuwepo bench lkn
@nakampephillemon8848
@nakampephillemon8848 2 жыл бұрын
Good
@linuskyando4155
@linuskyando4155 2 жыл бұрын
WAKONGOMAN WA SIMBA HAWAJUI KUPIGA PENALT
@rajaabuseifu66
@rajaabuseifu66 2 жыл бұрын
Simba mmejitaidi
@edsoneliah2802
@edsoneliah2802 2 жыл бұрын
Kwa watu wanaojua mpira lazima waipongeze simba . Sasa kuna wake viraka wacheza bao
@yasiniselemani2412
@yasiniselemani2412 2 жыл бұрын
Wacha wapigwe maana taraweh imehamwa kisa mpira
@ummuruwaida3440
@ummuruwaida3440 2 жыл бұрын
uliskia wapi simba kashinda kwa matuta
@danikilawe7498
@danikilawe7498 2 жыл бұрын
Simba siku zote atabaki kuwa timu bora,,huwezi mlinganisha na Yanga,,aliyetolewa round ya kwanza tu .Kukosa nusu fainal ni mipango ya Mungu iwe hivyo.,,, hakuna wakumpinga.
@alexapolinaly4755
@alexapolinaly4755 2 жыл бұрын
Kwani nyie makolo mlitolewa raund ya ngapi au nmesahau mmekula tatu kwenu na kutupwa kwa looser uko
@ukweli255
@ukweli255 6 ай бұрын
Tuko hapa baada ya Mamelodi kumtoa Yanga Sc
@rashidsaid1092
@rashidsaid1092 2 жыл бұрын
Katika penalty zote kapombe nimeipenda sana penalty yake anajiamni an utulivu sana..mkude kinachomsumbua ni dharau...jamaa ana dharau sana... penalty nyingi anapiga kidharau
@enickosanga4921
@enickosanga4921 2 жыл бұрын
Dah simba tumetolewa lakini sina kinyongo wala sijaumia mmetuonyesha mpila mmetuonyesha kua mnajigambua kwa timu kama orando Dah tunajipanga upya nahakika msim ujao titafika final
@salimramadhani5237
@salimramadhani5237 2 жыл бұрын
Mmebakwa bila kondom😂😂😂
@enickosanga4921
@enickosanga4921 2 жыл бұрын
@@salimramadhani5237 kua na heshima kaka kama huwezi kukoment achananyo tu sio kila mtu anapenda kujibizana lugha za hovyo naomba jitahidi kwa hilo
@sbusisoqmbhele3665
@sbusisoqmbhele3665 2 жыл бұрын
Up the buck s,,🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@ellyswai1801
@ellyswai1801 2 жыл бұрын
Kapombe hana dini hawez mfanya mwingine vbaya ivo
@salimramadhani5237
@salimramadhani5237 2 жыл бұрын
Wamebakwa lkn kwa tabu
@salimramadhani5237
@salimramadhani5237 2 жыл бұрын
Orlando mnaenda peponi woooote
@HawaArkam-dj8zg
@HawaArkam-dj8zg Жыл бұрын
Nikii itazama hii kitu namuonea huruma inonga jinsi anavyo tetemeka
@chejamuya2470
@chejamuya2470 2 жыл бұрын
Yani nikiangalia hv nasisimka 🙄jmn Simba
@mikidadijoseph5612
@mikidadijoseph5612 2 жыл бұрын
Kagere wetu huyo anamiaka 25
@sosomacharles6685
@sosomacharles6685 2 жыл бұрын
Inonga katetema kama Mayele wakati hajafunga.
@jerryjulius6421
@jerryjulius6421 2 жыл бұрын
Diamond
@edsonyahaya1227
@edsonyahaya1227 2 жыл бұрын
Hamna kufa kiume
@emmanuelpaulmadahagoi7017
@emmanuelpaulmadahagoi7017 2 жыл бұрын
orando mmefanya lamaana Sana
@jumaothman9449
@jumaothman9449 2 жыл бұрын
Muwende kwa yanga mukajifunze kupiga penalty
@kadsam9779
@kadsam9779 Жыл бұрын
Unyama
@linuskyando4155
@linuskyando4155 2 жыл бұрын
MKEKA UMECHANIKA
@linuskyando4155
@linuskyando4155 2 жыл бұрын
SIMBA WANASONGA UGALI
@rashidmohammed4887
@rashidmohammed4887 2 жыл бұрын
Kifo ni kifo tu. Ukifa kiume au kike mwisho ni kuoza tu
@hamidayanga8224
@hamidayanga8224 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@shijamasunga6889
@shijamasunga6889 2 жыл бұрын
Utatulinganisha na utopolo hata mia hamkupata hata mia mlipigwa mbele na nyuma 😂😂😂 fyuuu
@rossmaryphases8509
@rossmaryphases8509 2 жыл бұрын
Point hyo
@geofreymahally7115
@geofreymahally7115 2 жыл бұрын
kachinjwa hd huku... bora ngj tuwape dozi nyingine kwa mkapa
@georgenorasco1705
@georgenorasco1705 2 жыл бұрын
Mtakimbiana
@mgundamgobajaphety8551
@mgundamgobajaphety8551 2 жыл бұрын
katkat
@barnabasluambano6794
@barnabasluambano6794 2 жыл бұрын
Hivi Shomari Kapombe anafahamu maana ya ishara anayoifanya?Au anaiga tu bila kujua,hajui kuwa ina maana ya ISHARA YA MSALABA ambayo inatumika na wakristu na yeye ni muislaam?Kwa ishara hii hana haja ya kwenda msikitini tena.
@gladnesisrael5515
@gladnesisrael5515 Жыл бұрын
Yeye ni mkristo
@sosomacharles6685
@sosomacharles6685 2 жыл бұрын
🐖🐖🐖🐖🤣🤣🤣 huku kwetu mpaka sasa bado wamelala.
@sosomacharles6685
@sosomacharles6685 2 жыл бұрын
Manula penalty ya pili kaishia kupoga goti tu
@yujinxhing3766
@yujinxhing3766 2 жыл бұрын
Kwani kapombe ni mkristo😳
@dunstangeorge3263
@dunstangeorge3263 2 жыл бұрын
Kapombe ni RC
@mohamedsalum3112
@mohamedsalum3112 2 жыл бұрын
hata mm pia nimejiuliza
@emmadora7848
@emmadora7848 2 жыл бұрын
Dini yake inakuhusu nn?
@nuury6220
@nuury6220 2 жыл бұрын
Kipa Katetema. Mayelee
@hadijamaiga948
@hadijamaiga948 2 жыл бұрын
Ndo nn
@nuury6220
@nuury6220 2 жыл бұрын
@@hadijamaiga948 tuyaache ila usisahau kula daku
@bwagizoselemani8434
@bwagizoselemani8434 2 жыл бұрын
Mayele ndio nani kama angekua na uwezo amekuja yanga kufata nini siangeenda mbele nawala musijal mwakan mutaenda kuyaona
@swaleheismail46
@swaleheismail46 2 жыл бұрын
@@hadijamaiga948 ushamba ndo unaowasumbua kumbuken simba ndo mbabe wenu
@nuury6220
@nuury6220 2 жыл бұрын
Offline
@HusseinKarim-f4d
@HusseinKarim-f4d 3 ай бұрын
MK14
@konayamaarifa8643
@konayamaarifa8643 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/e2GqknaBlst6otU Msaada kwa Mtu aliyezimia
@mnyamatv505
@mnyamatv505 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/Z3aWg3Z7o8qMaZY tazama benzema akipewa heshima na cristiano Ronaldo
CAN YOU DO THIS ?
00:23
STORROR
Рет қаралды 42 МЛН
Will A Basketball Boat Hold My Weight?
00:30
MrBeast
Рет қаралды 124 МЛН
DOGO SELE NA BOSI KIMARO UTACHEKA DALALI WA MCHONGO
13:26
Fecha Sharon
Рет қаралды 3,3 МЛН
Highlights | Simba SC 7-1 Tanzania Prisons | NBCPL - 30/12/2022
24:15
I LOVE MY TEACHER | 3 |
20:24
CLAM VEVO
Рет қаралды 247 М.
CAN YOU DO THIS ?
00:23
STORROR
Рет қаралды 42 МЛН