“CAG alipoulizwa akasema ataendelea kuita DHAIFU”- Mwakasaka

  Рет қаралды 53,408

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 255
@jumbelbrownman1295
@jumbelbrownman1295 5 жыл бұрын
Like ikiwa ni kweli.. KUWA MSOMI WA KWELI HUMU AFRIKA NI JANGA...
@enockmasesa1513
@enockmasesa1513 5 жыл бұрын
tena dhaifu sana bibi kizee hakuna bunge apo ni mkusanyiko wa wabunge wa ccm
@lydiathadeous6644
@lydiathadeous6644 5 жыл бұрын
MWANAUME 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🤛🏾🤛🏾🤛🏾🤛🏾🤛🏾🤛🏾 NANYOOSHA MIKONO NA MIGUUU JUU TENA NAKUSEMA CAG WEWE NI MWANUME 💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾 BINAADAMU NI MISIMAMO KATIKA MAISHA .
@williamngalla7637
@williamngalla7637 5 жыл бұрын
Nipo na wwe CAG nakuunga mkona 100%...proffessor Asadi anaponzwa 1.5 Tr
@williamngalla7637
@williamngalla7637 5 жыл бұрын
Umenyoosha hadi miguu hongera sna
@josephharri9015
@josephharri9015 5 жыл бұрын
Yupo sahihi
@actwazalendo2784
@actwazalendo2784 5 жыл бұрын
Mmewako wewe
@lydiathadeous6644
@lydiathadeous6644 5 жыл бұрын
ACT Wazalendo am just being real bruuuh
@chiefmkungirwa8667
@chiefmkungirwa8667 5 жыл бұрын
Ukituliza akili vzr ukaipa uhuru utagundua CIG yuko sahihi Allah ambariki
@sigorijoseph4977
@sigorijoseph4977 5 жыл бұрын
Chief Mkungirwa kwwli kabisa
@anthonymgina2253
@anthonymgina2253 5 жыл бұрын
Kwanza lugha yenu haijitoshelezi kwanini msitumie kamusi ya kihasibu?.
@moringelangas7276
@moringelangas7276 5 жыл бұрын
Hata ww uneingia kwenye mtego wa CAG!Umeonesha udhaifu wako.
@mosessamwel1179
@mosessamwel1179 5 жыл бұрын
Mimi naomba msome kwanza comment zetu ili mwone Je sisi wananchi tuliowapigia kura na kufanya nyinyi mjulikane, tuna mawazo kama ya kwenu au LA! Na kama sivyo, Je mnadhani ni mambo mangapi mmeyaamua kinyume chetu ambayo sisi hatuyapendi lkn nyinyi mkasema ni maamuzi ya watanzani wote? Je ni nani kati yenu atakayesimama mbele ya Hukumu ya Mungu na kuyajibu haya kwa niaba yenu? Mimi nawakumbusha Duniani sisi ni wapitaji, iko siku ambapo Bunge halitakuwa mtetezi, wanadamu hawatakuwa watetezi, Jamii yako au ndugu wa karibu hawatakuwa watetezi. Siku hiyo kila mtu ataubeba msalaba wake mwenyewe! KUMBUKA: Maandiko yanasema Sisi uwenyeji wetu uko Kule Mbinguni wafilipi 3:20-22, Pia Mkumbuke maandiko yanasema Baada ya kufa ni Hukumu Waebrania 9:27, Sulemani akamwomba Mungu ajue namna ya kuwahukumu watu kwa Haki. Remember our lives under the earth is just temporary. No body will live forever. None!
@jumajaffary9698
@jumajaffary9698 5 жыл бұрын
Yeye ni mhasibu, lazima atumie lugha ya kihasibu, kumbuka yeye si kama mbunge Msukuma, yeye ni professor katika fani yake.
@tmt2642
@tmt2642 5 жыл бұрын
Live Long Mussa Assad...Hakika umeonyesha msimamo unaotakiwa kuijenga nchi..hakuna kubadili badili maneno...
@waltermbelwa4973
@waltermbelwa4973 5 жыл бұрын
Ndio heshima ya mtu kuwa Professa.Kusimamia kile unachokiamini hata kama kitakupunguzia shibe.Bravo Camarada Assad.
@japhetmaturo4073
@japhetmaturo4073 5 жыл бұрын
I stand with CAG
@antonykashube2065
@antonykashube2065 5 жыл бұрын
Kuna watu wanadhani ni salama kusema hakuna Mungu kuliko kusema binadamu wana mapungufu. Mungu mbariki CAG wetu, Mungu libariki Bunge letu, Mungu ibariki Tanzania. Ndugu zangu wahasibu poleni, najua mnashangaa hadi mnachoka. Haya najisomea hapa ISA 265 -' communicating deficiencies...'
@ngalelefijo2545
@ngalelefijo2545 5 жыл бұрын
CAG nakupenda kwa msimamo bunge la ndugai na tulia akson ni dhaifu hovyo na hao viongozi ni mafisadi wanataka kuficha wizi wa Magufuli wa triloni 2.4
@kiatu
@kiatu 5 жыл бұрын
Just retire/fire him - he is insensitive, arrogant and selfish. Sasa hivi nina imani sana vijana, hebu hicho cheo wa rika ya kina Makonda, Hapi, Polepole, Lema, and the like. Naogopa sana wazee wakipewa madaraka makubwa - wanaka-mindset fulani ambako hakaendani na ICT era, vision ya Rais na contemporary way of thinking. Hongera kamati kwa kazi nzuri, japo majibu ya kimtaani ndio yayolikuwa yanapigiwa makofi.
@movicksungu7210
@movicksungu7210 5 жыл бұрын
safi CAG umesimamia ukwer. God blesa you.
@husseinidd5751
@husseinidd5751 5 жыл бұрын
kusema kweli sijamuelewa Mh aliekua anasoma ...
@mohamedothman9769
@mohamedothman9769 5 жыл бұрын
Sifa pekee ya 'uongo' ni kukosa maelezo yanayoeleweka
@getaromagaiwa7918
@getaromagaiwa7918 5 жыл бұрын
kweli kabisa bunge ni goi goi
@ashraphurassa3861
@ashraphurassa3861 5 жыл бұрын
Bunge ni dhaifu mnacho bisha ni nini
@lydiathadeous6644
@lydiathadeous6644 5 жыл бұрын
ahraph urassa mtenda akitendewaaa 😂😂
@ruthmoleli4978
@ruthmoleli4978 5 жыл бұрын
ahraph urassa Ni kweli bunge ni dhaifuuu
@hashimally1078
@hashimally1078 5 жыл бұрын
ahraph urassa 😀😀😀
@tumainrenatus3572
@tumainrenatus3572 5 жыл бұрын
CAG mungu akubaliki sana
@francischikwindo2616
@francischikwindo2616 5 жыл бұрын
Haya wenye nchi mnafanya maamuzi juu ya maisha ya sana nchi.
@omaryyusuph3251
@omaryyusuph3251 5 жыл бұрын
Hongera CAG tulishalijua hili ipo siku ukweli utajulikana hata kama itachukua muda. Ukweli ni kwamba action speak louder than words sasa mkitulazimisha tuseme 2 wakati mnamaanisha1 tutawashangaa
@luqmanmohamedy3860
@luqmanmohamedy3860 5 жыл бұрын
..mmejipanga kukataa ripoti ili tusione madudu yenu...iko wap tr1.4 ..Nchi inahitaji wasomi kama Assad sio nyie vichw Butu
@reusmayerere5743
@reusmayerere5743 5 жыл бұрын
ndiooooo,ndiooo kila kitu, no questioning mind
@hellenalex9541
@hellenalex9541 5 жыл бұрын
kweli bunge ni dhaifu jamen msituchoshe
@olekoreka
@olekoreka 5 жыл бұрын
ukitaka kujua udhaifu wa bunge ndiyo huu sasa wamedhibitisha wenyewe kuwa wameendana kabisa na maana ya hilo neno dhaifu kama walivyo tafathili wao wenyewe...... Mungu inudhuru Tz..
@salumumsike8175
@salumumsike8175 5 жыл бұрын
Nampenda CAG,... Kazi ya CAG pengine itajulikana baada ya miongo kadhaa...
@sk-wj9or
@sk-wj9or 5 жыл бұрын
Kwanini mkiambiwa ukweli mnacharukwa badala ya kujirekebisha? ??
@japhetmaturo4073
@japhetmaturo4073 5 жыл бұрын
Kisa kusikika Dunia nzima mnakasirika #bunge dhaifu la Tanzania
@josendaki2321
@josendaki2321 5 жыл бұрын
Kweli
@TheTemba1
@TheTemba1 5 жыл бұрын
Bunge la sasa ni Dhaifu tena Goi goi...... Kila kitu bora liendeeeeee, Hakuna Bunge siku hizi kuna tawi la chama Tawala CCM ambalo ndio linaongozwa na Bwana Ndugai
@gwamakaadamson2909
@gwamakaadamson2909 5 жыл бұрын
Tena lege lege nyoronyoro
@magigejoseph255
@magigejoseph255 5 жыл бұрын
Unachoongea kimetoka moyoni au umetumwa
@ibrahimtesha2733
@ibrahimtesha2733 5 жыл бұрын
Bunge si goigoi! Ni dhaifu tu kwa maana aliyosema CAG. Tuandike mambo ya heshima humu. Watu walipochagua wabunge hawakuchagua goigoi unavyodai Novatus! Tuache matusi kwa sababu hoja ya kweli haitaki matukano! Hata hivyo Baba wa Taifa alitoa mausia fulani katika TANU na baadaye CCM yaliyosema kukosoana ni jambo muhimu katika maendeleo hata kama anayekosolewa anaudhika. Kama tungejua baadhi ya wabunge wangeenda bungeni kujikweza, kususia wakaguzi wa hesabu za serikali na kuzima uhuru wa wapiga kura kuwaeleza wanapokosea (bila kujali msamiati) tusingewachagua na kama wangeteuliwa bila kujulikana wana hulka ya kususia wanapokosolewa tungemwomba mwenyezi Mungu atuepushe nao apendavyo. Mungu tu ndiye hakosolewi! Kweli Mh. Spika ametusaliti sisi pamoja na Rais wetu kwa kufanya jambo hilo dogo kuwa tatizo la kufarakanisha watu badala ya kujikita kwenye kuangalia udhaifu ulikuwa wapi, warekebishe nini hasa au angemwambia Mh. Rais amwambie mteule - Prof Mussa atumie msamiati fulani kufikisha hoja yake. Sasa badala yake wanasusa wajibu wao na wanafukuzana bungeni na kujitutumua kuita vikao vya kutiana adabu, kwamba wana ubabe dhidi ya kila mtu na hawaambiwi! Heshima ipo tu kwamba tunatambua ni wawakilishi wetu kwa sababu wote hatuwezi kujazana bungeni kujadili maslahi yetu kwa jumla. Mheshimiwa huwa hahitaji kujipongeza!
@lusekelomasika9247
@lusekelomasika9247 5 жыл бұрын
Novatus Tanzania o
@rahelassery6658
@rahelassery6658 5 жыл бұрын
Duh.
@groungreen4013
@groungreen4013 5 жыл бұрын
Acheni ujinga,fanyeni kazi mnalipwa hela nyingi sana,achaneni na CAG ni mkaguzi wa kimataifa
@saimonrweyemamu6855
@saimonrweyemamu6855 5 жыл бұрын
mda walioupoteza kumjadili CAG bora wangerudi vijijini wakatatua matatizo ya wananchi.......kukubali ukweli kwa mtanzania huwa ni kazi maana tunapenda kujitetea sana...big up CAG umetoa yaliyo moyoni....
@jafarimchomvu9623
@jafarimchomvu9623 5 жыл бұрын
CAG Hana kosa ccm hebu acheni uonevu hebu jadilin mambo ya msingi ya nchi hii. Hiki Ni kipindi cha mwisho kwenu sijui mtatumbia nini mkirudi omba kura. Miaka mitano imeisha hakuna lolote tuona kiki tyu. Siku zote ukweli huwezi kua uongo Cag yuko sawa namuunga mkono.
@luciuskibaasa28
@luciuskibaasa28 5 жыл бұрын
This is a real professor... Anasimamia anachokiamini
@anthonymgina2253
@anthonymgina2253 5 жыл бұрын
Bunge ni dhaifu tena sana
@jamaikasanga7964
@jamaikasanga7964 5 жыл бұрын
ndembendembe
@reaganswai5034
@reaganswai5034 5 жыл бұрын
Naomba kuuliza swali, je darasa la saba anaweza kuwa CAG, na darasa la saba anaweza kuwa mbunge nini tofauti hapa.
@anthonymgina2253
@anthonymgina2253 5 жыл бұрын
Reagan Swai - daah wewe ni shidaa nimekuelewa vizuri acha na mm niseme pia bunge ni dhaifu
@jacksonsungwana2344
@jacksonsungwana2344 5 жыл бұрын
Hapo ndipo udhaifu ulipolala,huyo darasa LA saba anaelekezwa tu cha kufanya lkn msomi professor anatumia akili yake mwenyewe kuchanganua mambo.
@allymaibisa1255
@allymaibisa1255 5 жыл бұрын
Kinachoendelea hapa,tunasubili kauli ya mheshimiwa,kama ikishindikana kabisa kuelewana.!!!?
@rabielulomi8607
@rabielulomi8607 5 жыл бұрын
Heshima ya Binge na uzalendo ni pamoja na kuusema ukweli. Hakuna anaehoji ukweli Wa maneno yake ila heshima tu!!! H eshima IPO kwenye ubora wa kazi yenu na sio kwenye vifungu vya sheria.
@elymollel
@elymollel 5 жыл бұрын
Am with CAG
@amanimtasha9168
@amanimtasha9168 5 жыл бұрын
CAG atabaki kileleni chiiiiiiiiiiiiiiii 😂😂
@benjaminobadia4542
@benjaminobadia4542 5 жыл бұрын
Hata kwenye mambo ya kitaaluma na kitaalamu "udhaifu" unaweza ukajitokeza tu ktk mazingira yoyote yale kwani hakuna aliyekamilika kwa asilimia zote isipokua M/Mungu pekee tu.Ikumbukwe kuwa udhaifu hautokei tu kwa mtu(Binadamu) bali hata taasisi mbalimbali ziwe za binafsi au umma.Na ndo maana tunakua na ukaguzi wa tofautitofauti kwa lengo la kuboresha na kupunguza udhaifu unaokuwepo kwa wakati huo ili tu ufanisi na uthabiti uchukue nafasi yake.
@neymarsuleyman8602
@neymarsuleyman8602 5 жыл бұрын
Kwamaneno yote mawili (dhaifu na pungufu), yote mawili yanapatikana tu
@josephharri9015
@josephharri9015 5 жыл бұрын
Mngekuwa unawauliza watz mngegundua CAG yupo sahihi.
@amosjustine8959
@amosjustine8959 5 жыл бұрын
nime penda msimamo wa CAG tungepata mutu kama huyu awe ndie Raisi wanchi nchi ingekua sarama, maana anjitambua.
@emuthree
@emuthree 5 жыл бұрын
Hivi hili linawasaidia nini wananchi, au nchi....mbona tunageuka kuwa wanangonjera badala ya kuangalia mambo mengi yanayowaumiza wananchi...tatizo tunapenda kuongea sana, kunyambulisha maneno, utafikiri sisi ni wasafi saana..., kwann hatupendi kuambiwa ukweli...!!! CAG, leo wanakufanyia hivyo, ila historia itakuja kuandikwa, wewe ulichosema ni 'ukweli, na ukweli unauma...'
@jadenhoope5371
@jadenhoope5371 5 жыл бұрын
Tatizo kubwa ni siasa!
@benjaminobadia4542
@benjaminobadia4542 5 жыл бұрын
Sasa jamani neno "Dhaifu" limekua changamoto sana hvyo.M/Mungu mwenyewe alituumba sisi wanadamu lakini bado tu dhaifu kwasababu hakuna aliyekamilika ktk maisha haya tunayoishi.So sikuzote ziendazo kwa mungu ni siku za KUJIFUNZA KWA KILA MWANADAMU.
@happinessmwenda2773
@happinessmwenda2773 5 жыл бұрын
Nchi za Afrika uwa tunasifia tu kukosoa ni mwiko na usaliti.Tuna karne moja yaani miaka 100 kutoka kwenye unafki huu.Ndio maana tuko tulipo.
@gavanashy3197
@gavanashy3197 5 жыл бұрын
Kwani uongo udhaifu wa bunge ..bunge dhaifu ....yuko sahihi C.A.G pro.asadi
@kelvinalex5644
@kelvinalex5644 5 жыл бұрын
Mmezoea kuombwa misamaha Sasa hapo sijui mtafanya Nini make jamaa hataki kupelekeshwa
@frankkashner
@frankkashner 5 жыл бұрын
Nyinyi ni Dhaifu siasa tu, ingefaa ningelifuta bunge kabisa niunde chombo kingine
@mofetyendi691
@mofetyendi691 5 жыл бұрын
kama si bunge cheo chake kisingekuwepo.bunge si ndugai ni lazima ujue bunge ni nini na ndugai ni nani
@mofetyendi691
@mofetyendi691 5 жыл бұрын
kuna haja ya bunge kumuita rais bunge ni tuone atakataaa au atawahi kufika huko.ili iwe mfano kwa watumishi na RAIA kwa ujumla
@AP-uk3mq
@AP-uk3mq 5 жыл бұрын
Wewe mwenyewe ni dhaifu.
@magrethamalliya8031
@magrethamalliya8031 5 жыл бұрын
Kwani tatizo nini?kwani hakuna udhaifu hapo?acheni porojo nendeni kwa maslai ya wananchi.
@eliassylvester8150
@eliassylvester8150 5 жыл бұрын
Inachukiza sana kuona watu wazima mnaongelea mambo ya kamusi kila baada ya maneno mawili lazima ataje kamusi yan hakuna sababu yenye mashiko kwenye suala hili CAG tuko pamoja mzee baba
@actwazalendo2784
@actwazalendo2784 5 жыл бұрын
Nyie wabunge hamna wajibu wa kumuwajibisha CAG hamjui mkifanyacho nyie wabunge na bunge ni dhaifu
@susankilimtali5025
@susankilimtali5025 5 жыл бұрын
IPO siku mtakuja kujua wtz ni watu wasiopenda ujinga mnaambiwa dhaifu afu mnashindwa kujilekebisha afu mnazidi kufanya viburi mnakula jasho LA wtz IPO siku na siku hiyo yaja
@jamaikasanga7964
@jamaikasanga7964 5 жыл бұрын
mmeona ana uchademachadema hata nchi inaona udhaifu mkubwa ndy man mnatumia nguvu badala y akili hatar
@kato_tz
@kato_tz 5 жыл бұрын
The true meaning of the statement is from the one who said it, sasa yeye CAG aliwaambia alichomaanisha then nyie mnasema hakumaanisha hivo. This brings even more attention aisee
@actwazalendo2784
@actwazalendo2784 5 жыл бұрын
Jamani mbna nyie mnapitishia sheria za hovyo mbna hamuwajibishwi msiambiwe ukweli
@westonmbuba6421
@westonmbuba6421 5 жыл бұрын
Wasomi hatutumii kamusi kufasiri dhana mbalimbali. Kamusi zina fasiri finyu. Maneno na dhana huwa na maana finyu na maana pana. Mimi ni mwalimu. Huwa tunawaandikia watoto vizuri sana, vizuri, wastani, dhaifu na dhaifu sana. Kwa hiyo tunaposema dhaifu sana tunamaanisha goigoi sana? Au gonjwa sana?
@shabanabdullaziz9934
@shabanabdullaziz9934 5 жыл бұрын
Kwa maamuzi haya sasa tumepata ithibati kuwa Bunge letu ni dhaifu kweli. Kama nyie sio dhaifu kinachowachomachoma ni nini?
@amanipascal2823
@amanipascal2823 5 жыл бұрын
Kamati ya ajabu sana.badala ya kuangalia ni wapi CAG alitaka bunge lijirekebishe ,badala yake kamati inamshambulia.ili maovu na mapungufu ya bunge yasijulikane kamwe.
@deustutu1162
@deustutu1162 5 жыл бұрын
CAG yuko vizur sana ukwel utakuwa ukwel tu
@boyhamimboy5384
@boyhamimboy5384 5 жыл бұрын
wana ccm 2500 wanazidiwa hekima akili na muono na mpinzani m1
@boyseleman658
@boyseleman658 5 жыл бұрын
Bunge nidhaifu sio utani kabisaaaa nyie mnapelekwa pelekwa mkuu akitamka mnafyata mikia
@kombuchahluckyMartin
@kombuchahluckyMartin 5 жыл бұрын
Yeye ni Muhasibu.
@josephharri9015
@josephharri9015 5 жыл бұрын
CAG YUPO SAHIHI, MNAMWONEA TU.
@janeobure1859
@janeobure1859 5 жыл бұрын
Nyie hamtaki kuambiwa ukweli ukikosea lazima uambiwe ukweli Sasa Nyie ukweli hamuutaki mtaka uongo. Mtuambie basi labda Nyie ni Malaika Kati ya spika alevuruga bunge na bunge kuwa dhaifu zaidi kuliko yote ni huyu asyetaka kuambiwa ukweli utadhani n Malaika Wakati ni binadamu mwenye mapungufu kama binadamu wengine. Unajiona wa maana saaaaana hipo siku mungu atasikia kilio cha watanzania.
@kato_tz
@kato_tz 5 жыл бұрын
Mhhh kwa hiyo sasa hivi ni mwendo wa Kamusi eh, hii nayo kali
@idrissaismailhaidahaida5287
@idrissaismailhaidahaida5287 5 жыл бұрын
Kweli C A G we ni mwanaumme hasaaaaaa
@waltermbelwa4973
@waltermbelwa4973 5 жыл бұрын
Neno moja tuu.
@shabanabdullaziz9934
@shabanabdullaziz9934 5 жыл бұрын
Sasa mnachobisha nnini? Kwani tatizo lenu nini? Kwani ni uongo? Bunge kweli ni dhaifu...
@neymarsuleyman8602
@neymarsuleyman8602 5 жыл бұрын
Mbona nyinyi huwa hamchagui chombo maneno yakuzungumza mkiongea na watu wachini yenu???
@abdimtemba8525
@abdimtemba8525 5 жыл бұрын
kwa mwendo huu wa hili bunge letu kuhusu CAG ,waTZ hesabuni maumivu maradafu ktk bunge&ktk maisha ye2 ya @siku
@mageminja8052
@mageminja8052 5 жыл бұрын
huo ni ukweli bunge dhaifu
@hamedmaskari518
@hamedmaskari518 5 жыл бұрын
Mh Rais usije ukafanya mistake ya hio tumbua yako ukamfukuza huyo msomi kama kweli unataka mahisabu yende vizuri huyo mtu wanamlia nchi nyingi tu nakupa ushauri huo la kama vp unataka kumuweka msukuma afanye manyago ni wewe mwenye mamlaka
@actwazalendo2784
@actwazalendo2784 5 жыл бұрын
Sasa BUNGE mmepishana na ofisi ya rais wamewapinga
@hamedmaskari518
@hamedmaskari518 5 жыл бұрын
Kwanza hakuna liye kuwa si dhaifu binadam wote ni dhaifu
@ttec9431
@ttec9431 5 жыл бұрын
Malaika wetu wasiokosea ....wao wako sawa kwa kila kitu hawakosei ... Ndo udhaifu wenu huo Kama hamujui
@mweec
@mweec 5 жыл бұрын
CAG endelea kutumia neno hilo had waelewe tu
@saeedal-awen2190
@saeedal-awen2190 5 жыл бұрын
basi nyie imara. mwacheni Assad afanye kazi.
@mohamedothman9769
@mohamedothman9769 5 жыл бұрын
😂😂😂
@paulmollel5861
@paulmollel5861 5 жыл бұрын
hahaaaa umetisha
@mosesmkoma6882
@mosesmkoma6882 5 жыл бұрын
😂😂😂😂
@walidsultan7486
@walidsultan7486 5 жыл бұрын
nyie mnatafuta sababu tu hamna lolote
@ernestsinje9532
@ernestsinje9532 5 жыл бұрын
Bunge ni dahaifu mnajitetea nini ?mnatupotezea pesa zetu bure kumhoji msomi aliyesema ukweli BUNGE NI DHAIFU Tanzania yote tunajuwa
@papadimayo1chanel.747
@papadimayo1chanel.747 5 жыл бұрын
Acheni ujinga wa kuukata ukweli. Prof aliulizwa mbona kila mwaka mnafanya hesabu lakini hakuna kinachoendelea?. Alijibu kuwa hill c majukumu yetu, mm ninavyona ni udhaifu wa bunge. Fanyeni mjadala juu ya hilo na wananchi tusikilize cyo mtueleze tu mnavyoona nyinyi yafaa. Prof hasadi yuko vzr. Yuko kwa ajili ya maslahi ya taifa na anaonekana ana uwezo mkubwa wa kutumia taaluma yake na Uhuru wake wa kikatiba.
@heavymachineproduction.4613
@heavymachineproduction.4613 5 жыл бұрын
SIJUI USWAHILI UTAISHA LINI. WATU WASOMI LAKINI USWAHILI NI BADO GONJWA
@mtumishipetermiselya1288
@mtumishipetermiselya1288 5 жыл бұрын
Mkikubaliana na udhaifu uliosemwa na cag msifikiri wabunge ndo wadhaifu,, ninyi wananchi ndo dhaifu maana wabunge ndo wawakilishi wetu,, sisi ndo wabunge kama hamjui,, katutukana watanzania huyo
@jamalnaeem369
@jamalnaeem369 5 жыл бұрын
CAG atabaki kuwa juu kileleni .
@nethomalata3179
@nethomalata3179 5 жыл бұрын
kwani mtazamo hasi ni kosa je kama MTU kalewa akiambiwa wewe ni mlevi ni kosa ilhali neno mlevi ni kitendo hasi.lakini pia mwenyezi mungu anatutahadharisha kuwa mwanadamu si timilifu, na kukosolewa si kosa kwan hata mungu anatutaka tutubu kwasababu anajua ni wakosaji, ukiwa mwanadhuoni lazima uzingatie weledi wa taaluma yako tusinafikie taaluma zetu eti umekosea unataka usemwe kwa woga na umtaarifu aliyekosea kwamba sasa naenda kukkosoa da hongereni tumombe mungu watanzania tuendelee kuwa na hali hii ya uelewa
@emmanueltarimo892
@emmanueltarimo892 5 жыл бұрын
Mkiambiwa ukweli mnakimbilia kamusi
@noorsalim9963
@noorsalim9963 5 жыл бұрын
Prof alitumia kitu kinaitwa Contextual meaning ktk semantics....halafu alikuwa anaongea na wataalamu wenzake huko nje na wala si watanzania!!
@paulinamon9087
@paulinamon9087 5 жыл бұрын
Alikuwa aneleza udhaifu wenu ktk kujibu hoja za kazi aliyotumwa na Katiba.
@geofreywadeya9972
@geofreywadeya9972 5 жыл бұрын
Upo sahihi kabisa. Nadhani hawaelewi maana nyingi ya tafsiri au ni njia tu ya kulazimisha wnachokitaka
@mohamedothman9769
@mohamedothman9769 5 жыл бұрын
Tatizo shule kk
@clausemsemwa3704
@clausemsemwa3704 5 жыл бұрын
Alikua anaongea na wenzie huko......wanaofikiri kama yeye ahahahhaha
@richardyusuphmsongolomakat2049
@richardyusuphmsongolomakat2049 5 жыл бұрын
NOOR Salim Ndugu yangu usijisumbue sana Bunge dhaifu...alisikika CAG
@rashidmfaume1819
@rashidmfaume1819 5 жыл бұрын
Tumekuelewa CAG
@aginiweyessayakyando9855
@aginiweyessayakyando9855 5 жыл бұрын
Ingawa haya maneno ni makali kwa mujibu wa walalamiwa, lkn iko sababu ya kukaa na kufikiria kwa nn wameitwa dhaifu
@ismailngolloh4517
@ismailngolloh4517 5 жыл бұрын
Safari bado ni ndefu.....na ...muda hausubiri
@heavymachineproduction.4613
@heavymachineproduction.4613 5 жыл бұрын
Maana ya Uzalendo ni nini?
@marcoyohana9530
@marcoyohana9530 5 жыл бұрын
Kwahyo mlitaka awaiteje??
@beroyatv3499
@beroyatv3499 5 жыл бұрын
Nadhani alitaka waitwe, WACHAPAKAZI, MAHODARI
@ramadhanmanko4614
@ramadhanmanko4614 5 жыл бұрын
Huyo ni profesa
@heavymachineproduction.4613
@heavymachineproduction.4613 5 жыл бұрын
So CAG aruhusiwi kusema dhaifu , this is disgusting argument
coco在求救? #小丑 #天使 #shorts
00:29
好人小丑
Рет қаралды 120 МЛН
В Швеции ищут, кто разорвал подводный кабель
1:01
Euronews по-русски
Рет қаралды 49 М.
Втратив сина, онуку і невістку через обстріл
0:32
Суспільне Новини
Рет қаралды 28 М.
coco在求救? #小丑 #天使 #shorts
00:29
好人小丑
Рет қаралды 120 МЛН