The Man of Inspiration, Honorable. Freeman Aikaeli Mbowe.
@simonnembomadola75122 жыл бұрын
Kumweka ndani Mbowe kumempa millage sana.
@godblessmbowe15142 жыл бұрын
Penye wengi kuna mengi na penye mengi kuna Mungu, God bless us
@opynassary24692 жыл бұрын
Safi sana✌️
@joejosca75942 жыл бұрын
mpaka rahaaaaaaaaaaa😁💪🏿✌🏾
@salimmohammad36272 жыл бұрын
Kk mbowe wewe unawaza kuwa raisi wa tz ila piko kitu kimoja unafaa ujuwe kuwa mangufuli alikuwa anapendwa sana na raia Sasa ivi wanakosa mtu wakuwa tetea uki taka uwe raisi ongea mangufuli vizuri na ambia raia kama utawafanyia yote kama mangufuli ngizi alikuwa na wapenda na utakuwa raisi ya wanyonge...kk utakuwa raisi wa tz vizuri sana ..God bless you sir
@sesicasi1364 Жыл бұрын
Eti kama magufuli.
@angiringalyimo3652 жыл бұрын
CHADEMA inakubalika!! 2025 uchaguzi uwe huru tu masanduku yataongea!!!
@it-vw4zj2 жыл бұрын
Honorable Mbowe tupo pamoja tunakuombea Dua upate nguvu na afya zaidi mpaka nchi yetu ikomboke kwenye makucha ya CCM
@khalidballeth59572 жыл бұрын
Hili jamaa Kama utani vile litakuja kuwa Moto wa kuotea mbali..... Kama utani vileeee,,,,,
@mosesmacha60072 жыл бұрын
Mungu anamakusudi na mboe mateso aliyo
@danielchibo62332 жыл бұрын
Inapendeza Sana
@elizabethcharles62282 жыл бұрын
Nice baba
@hezronsanga51972 жыл бұрын
Akili kubwa nguvu kidogo Chadema aman ndio nguzo yetu
@johnsonbagambi19082 жыл бұрын
Ataliiii
@immanuelinvocavith1498 Жыл бұрын
Hii ndo MACHAME bw
@happinesssamwely47962 жыл бұрын
Hai oyee kwasha kaka akika ni upendo mkuu mno
@papaamashana39622 жыл бұрын
Hongela mweshimiwa mbowe
@felixkamkala33032 жыл бұрын
Watu awana kazi zakufanya aisee wanapoteza mda wao
@johndaniel6172 жыл бұрын
Wewe fanya kazi
@Kwelihukuwekahuru11 ай бұрын
Kila jambo na wakati wake kuna wakati wa kazi kuna wakati wa kukaa pamoja kuna wakati wa kulia kuna wakati wa furaha nk hawa unaowaona hawanaga utani na kazi acha wivu na chuki angefanyiwa unayempenda ungeshangilia
@saebajoma84192 жыл бұрын
Yaani lazima nirudi Tanzania kupiga kura tuu naipenda chadema
@kevinmtei14572 жыл бұрын
Upendo ni kila kitu
@abdulhakimhasan76732 жыл бұрын
Inuka Tanzania na nguvu zako kwa pamoja , na sukuma gurudumu la maendeleo bila kuhadaika .
@GhaniaSaid-u5k29 күн бұрын
Kaingia kanisani haramu kwa muislamu ht kasali unaweza
@oyay28212 жыл бұрын
Waliomfunga Mbowe wamempa umaarufu zaidi kupitiliza