Chapati Mchambuko. Taaamu

  Рет қаралды 57,150

Malkia Foods

Malkia Foods

Күн бұрын

Пікірлер: 49
@ShaydaAlly-rm8ft
@ShaydaAlly-rm8ft 10 ай бұрын
hongera sana dada ang unapka vzur sana
@SadaMussa-h4c
@SadaMussa-h4c Жыл бұрын
Nashukuru mungu sasahv nimekuwa mtaalamu wakupik chapati
@zengeummu9575
@zengeummu9575 Жыл бұрын
Maaaashaallah huwa nakufatilia sana my dear na huwa najifunza mengii
@malkiafoods
@malkiafoods Жыл бұрын
Barikiwa sana love
@MissRahma-z2h
@MissRahma-z2h 5 ай бұрын
Jamani dada sorry naomba unitajie hz ingredients bulizzoweka chumb sukar na nn
@abdullahalmahrooqi8306
@abdullahalmahrooqi8306 11 ай бұрын
Assalam Aleikum mambo yamekwenda vizuri kilicho haribu mambo yote ni hizo kucha ndani umejaa uchafu wa kila aina hata ukinawa kwa sabuni hujawa msafi dawa yake uzikate kama za kubandika ndio balaa zaidi uamuzi uko kwako lakini ujue unalisha watu uchafuuuuu!!!!!
@magrethmlewa3422
@magrethmlewa3422 8 ай бұрын
Ila watu mmezidi ujuaji kwenye maisha ya watu unakula wewe kwan ebu acheni watu waishi maisha yao uyo ni mtu mzima anajua anachokifanya
@abdullahalmahrooqi8306
@abdullahalmahrooqi8306 8 ай бұрын
@@magrethmlewa3422 huu ndio ujinga wacha watu wafanye mambo yao kama haya ya mtoto kaingiliwa na baba yake kaka kamuowa dada yake tena anatolewa kwenye mitandao anahojiwa halafu anajibu mtoto mzuri kama huyu nimeona hasara aolewe na mtu baki Subhana Llah nyie wapigieni debe mtayakuta na mtaulizwa hata ikiwa kafiri Mungu ni yuleyule mmoja.
@abdullahalmahrooqi8306
@abdullahalmahrooqi8306 8 ай бұрын
@@magrethmlewa3422 huyu ni mwanamke ndio ukaingia kati kujibu angelikuwa mwanamme ungetia lako au unataka akupende kwa kumtetea? Wewe hujui kama kuna watu wakienda haja wanapangusia karatasi au jiwe sasa huyo akusukumie chapati itakuwaje utasema unahisi harufu ya hiliki au karafuu?
@ElizaJovita
@ElizaJovita 5 ай бұрын
Kwan ww xi upokee elimu unayopewa kucha zinakuhusu nini umbea tu afu ww mwanaume acha hizo
@cookingwithmimmo
@cookingwithmimmo Жыл бұрын
Asante kwa mapishi yako, nimeipenda sana
@mercymuhunyo8434
@mercymuhunyo8434 Жыл бұрын
From Tiktok am here❤
@patriciandinda8582
@patriciandinda8582 7 ай бұрын
Wow the chapati ever🙏🙏
@esterdanford5563
@esterdanford5563 11 ай бұрын
Wakati wa kukandia unaeka vegetable fat oil kama kimbo au prestige?
@SaudaMuhammedyussuf
@SaudaMuhammedyussuf Жыл бұрын
Mimi nataka kuku😊😊😊😊
@ElicahMugitya-ql7mo
@ElicahMugitya-ql7mo Жыл бұрын
Nimependa huwa nakufatilia na kujifunza kama maandazi n.k 😘
@AshuraJuma-r5d
@AshuraJuma-r5d Жыл бұрын
Nataka kujiunga na darsa lako naomba muongoz
@sarahbuberwa7219
@sarahbuberwa7219 28 күн бұрын
jamani nafanya njia zote hizo lkn azipati leazi nakosea wapi?
@NackNzily
@NackNzily 6 ай бұрын
Jamn napenda niifnye biashar mtaj kam shingp
@delightnkya6086
@delightnkya6086 Жыл бұрын
Nimeweza aisee Kila siku natamani kupika chapati
@nattymnaro541
@nattymnaro541 Жыл бұрын
Samli ipi unatumia Malkia?
@abdullahalmahrooqi8306
@abdullahalmahrooqi8306 Жыл бұрын
Salam tuandikie vipimo unga wa maziwa vijiko vingapi? sukari chumvi? Maji glass ngapi? Mafuta? Na huyo jogoo hana heshima anapiga kelele au anataka chapati mpe mimi nitalipa.
@malkiafoods
@malkiafoods Жыл бұрын
Angalia kwenye description box dear
@roseberryhamoud6542
@roseberryhamoud6542 Жыл бұрын
Kucha zikiwa ndefu kwenye upishi ni mtihani.
@zengeummu9575
@zengeummu9575 Жыл бұрын
Nataka kujiunga na madarasa yako, Naomba muongozo
@JobNdeke
@JobNdeke Жыл бұрын
🎉🎉
@TeclaMtweve
@TeclaMtweve Жыл бұрын
Dada malkia mejaribu kupika mara ya pili mefata process zile ila zimekuwa ngumu nimefeli wapi sijui
@makynicky2970
@makynicky2970 4 ай бұрын
Inaweza kuwa moto wakupikia. Umeweka mdogo ndio zinafanya ziwe ngumu ,,,moto unatakiwa uwe wa saizi ya kati
@TimaFood-r2p
@TimaFood-r2p Жыл бұрын
Wanawekaga hamira hawasemi
@sary-s6i
@sary-s6i Жыл бұрын
Alf kweli nimegundua
@happylema6763
@happylema6763 Жыл бұрын
Hakuna hamira inayowekwa bwana jaribu kila mara utapata matokeo mazuri zinavimba vizuri tuu
@lilianjulius9500
@lilianjulius9500 Жыл бұрын
Mbona zangu hazichambuki hivo,nakosea wapiii😢
@AAA-zu1vy
@AAA-zu1vy Жыл бұрын
Pol sn my 😂😂😂😂 jaribu tena uone😅😅😅😅
@Awatee
@Awatee Жыл бұрын
​@@AAA-zu1vy😂😂😂
@zainablema17
@zainablema17 Жыл бұрын
@maryjoseph926
@maryjoseph926 Жыл бұрын
Sijawahi jaribu haki jumapili ntajaribu
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib Жыл бұрын
Ndio kila mkunjo unamatokeo yake
@HappynesMedard
@HappynesMedard Жыл бұрын
Nielekeze vitu ulivyochanganya
@kakozietho2303
@kakozietho2303 Жыл бұрын
❤❤❤❤
@neemakusenha2540
@neemakusenha2540 Жыл бұрын
Dada unga ni ppf??
@malkiafoods
@malkiafoods Жыл бұрын
Ndio dear
@esthermollel1461
@esthermollel1461 Жыл бұрын
Kama hupendelei sukari unaweza usiweke.
@malkiafoods
@malkiafoods Жыл бұрын
Ndio, usiweke dear
@fooddiarytz
@fooddiarytz Жыл бұрын
Chapatii ❤
@ElicahMugitya-ql7mo
@ElicahMugitya-ql7mo Жыл бұрын
Hello
@stellashayo1242
@stellashayo1242 Жыл бұрын
Mafuta gani umechomea chapati zako? @malkia?
@malkiafoods
@malkiafoods Жыл бұрын
Samli
@faridarashid1198
@faridarashid1198 7 ай бұрын
kwanza sili chakula cha mtu mwenye kucha ndefu wrong personal hygiene
@ElizaSaka
@ElizaSaka Жыл бұрын
1% vs 100% #beatbox #tiktok
01:10
BeatboxJCOP
Рет қаралды 67 МЛН
Chapati Lain bila kukanda /chapati mchambuko
4:42
Fooddiary Tz
Рет қаралды 8 М.
I wish I knew this Chapati recipe before!
12:47
Phil's Kitchen
Рет қаралды 2,5 МЛН
How to make Swahili Chapatis | FarahsKitchen UG
12:15
Farahs Kitchen UG
Рет қаралды 10 М.
Siwezi Kula mikate Mingine zaidi ya hii. tengeneza uenjoy
5:51
Malkia Foods
Рет қаралды 17 М.
Jinsi ya kupika chapati laini kwa muda mfupi
6:34
MAPISHI TV
Рет қаралды 12 М.
Maini Malaini na Matamu sana. enjoy
4:40
Malkia Foods
Рет қаралды 44 М.
MFAHAMU ATAKAE WAANGAMIZA WAYAHUDI (SEHEMU YA KWANZA):SHEIKH MSELEM BIN ALI
24:36