Marioo kanishutua kinata big up mnao mkubali kinata like 15
@mahmoudaziz47173 жыл бұрын
Kinata mc noma Sana👏🏼👏🏼👏🏼🌄🇹🇿.
@almasially65093 жыл бұрын
Huyu jamaa mfupi anajua kinyamaaaaaa🔥🔥🔥🔥
@pilikhamis29243 жыл бұрын
Jamani uuuuuuuuuuiiiiiiiiii weuweeeee mfupi una mambo hasa ww uuuuuuiiiiii nafurahi kua mtanzania
@careenmumy1923 жыл бұрын
Yaani Mungu akiamua lake akuna wa kuzuia huyo kajitahidi sana kumbania mwenzie ila ndio katamba Mc Kinata ni hatariii🔥🔥🔥🔥
@sophiashadrack49183 жыл бұрын
Kabisaa, mablich anaroho mbaya
@bongotrends29873 жыл бұрын
Kambana sana kweli lkn ndo anavuma
@ibrahimmaswali14043 жыл бұрын
Uyo mabrich ana roho mbaya sana yani ataki mwenzake aimbe, mngese sana
@danielmwakaseka35553 жыл бұрын
Kinata MC noma
@chidymaletalent46813 жыл бұрын
MC kinata Ni noma sana
@happysalim41203 жыл бұрын
Aisee bila insta nisingewajua aisee 😅😅 Ila Mc kinata ni moto fire , yuko juu kama pierre liquid
@travellingandadventures25493 жыл бұрын
Haha mungu bana ukichunguza kinata kama anabaniwa sana kwa hii interview ila kapata dakika 3 tu kakosha watanzania
@mosesmussa36693 жыл бұрын
Huyu jamaa wa pembeni alimbania sana Kinata
@martinmsigwa90663 жыл бұрын
Mc Kinata 🖖🖖
@abdullahmanmiyanjamo17963 жыл бұрын
Uyo kinata ni🔥🔥🔥🔥🔥
@salumallymngumba3 жыл бұрын
Kinata 🔥🔥
@teenbamazaga99733 жыл бұрын
Mziki wetu asilia Good job 🤣🤣🙏
@mpmsafitz99363 жыл бұрын
Mc kinataa♥️
@Kakamussa18563 жыл бұрын
Instagram ndio imenileta huku 😂
@muhidiniabasi97663 жыл бұрын
@ERICK Instagram ya edokumwembe
@shymedybrown10553 жыл бұрын
Hahaha ha brother hamna lefaaaa unamkatiza katiza mwenzako Mabrich
@Immuh3 жыл бұрын
Kwel tuliona Instagram tujuane kwakwel😂😂
@amrimagambo79023 жыл бұрын
Uyu mabrich mshamba yaan mwenzie akiimba anamnogeshea yy fujo kibao Kusini tushampitisha kwamba kinata ndo king of singeli kanda ya kusini Jitupateri from Tandawise
@sir_leem_marlian11663 жыл бұрын
MC Kinata you kill it 🙌🙌🙌Bless up
@hassanmkwahe95863 жыл бұрын
Amna kama kinat jaman uyo mabirinch hamfikii kinat ata asilimia 1 yaaan
@officialbekajoh39863 жыл бұрын
Kumbe ndio huyu jamaa aliyesema hapanaa😂😂😂
@waggdillerboy4873 жыл бұрын
Aaaaah ni kwele Sana singeli on the next level
@eddyempire97973 жыл бұрын
Tuliomfollow mwana baada ya LE MI GO twendeeeeeeeeeee👊👊👊
@kaundasutikaunda77693 жыл бұрын
Mc Kinata ni fire...
@Petitfally3 жыл бұрын
Mc kinata umeuwa sana 🔥
@herysalumu74203 жыл бұрын
Kinata is so Talented 🏆🏆
@KaoratajrMD3 жыл бұрын
Kinata ndo definition ya singeli 🔥🔥🔥
@kingbashar42933 жыл бұрын
Una mjua meja kunta wew?
@jumalihumbo89373 жыл бұрын
Kinata umetisha saiv kila status upo we mpk Ben pol kaludia mistar yko
@husseinomarymbiki55963 жыл бұрын
kuna mtu ana wivu mpaka kaharibu radha ya hii burudani, mbaya zaidi anajiona yeye anajua zaidi kumbe huyu mc ni FUNDI na nusu, anajua sana, hana wivu, anaenjoy verse za mwenzake mpaka za kwake
@Chiefmukama3 жыл бұрын
Kabisa, mwenzie anafurahia nyimbo zake yeye anamdharau. Mungu aloamua kumuonyesha kuwa kinyongo si kizuri
@HassaniNayaika-os5ft10 ай бұрын
Ndio kaka bhan
@maimamelody3 жыл бұрын
Mabrichi anasumbuliwa na Wivu 😂😂😂 yani Mwenzie akiimba kidogo tu yy Roh ina muuma dah😅
@gasparkiwiapamkiwia81053 жыл бұрын
Kwel kabisa ujakosea
@japhethmangaka37683 жыл бұрын
😂😂😂😂 nikajua peke yangu nimeliona hilo hataki kukubali kuwa aliyepewa kukuzid amekuzid tu
@kingangiejansie77313 жыл бұрын
Na ndio katoboa sasa kipande kidogo tu alichoimba. Hii ndio maana ya msemo usemao, Mungu akitaka kukupa hakuandikii barua
@abduljembe66083 жыл бұрын
Kweli kabisa lkn nae anajua basi tu
@angelapeter10653 жыл бұрын
🤣🤣
@beneboybeneboy43863 жыл бұрын
Fupi ninoma man wapi like kwa fupi ww tujuane bx wadau
@abimkoma86173 жыл бұрын
Wafup tujuane kwa like
@janetfrancis71803 жыл бұрын
Nani mfupi
@sudisultn52372 жыл бұрын
Kinata mc unatisha
@amrikibazo94293 жыл бұрын
Huyo mabrichi ana roho mbaya ataki mwenzie aimbe anatumia ubabe mtazame kinata akiimba yeye anakunja sura zen anataka asikilizwe yy tu mbwa huyo mabrichi
@Djso263 жыл бұрын
kinaaaata🔥🔥🔥🔥👍😅
@mosesabraham87423 жыл бұрын
Mmmmmh,,,pimbiiiiiii anauwezo..nipeni like zangu jmn
@dplunk46233 жыл бұрын
kinAte fundi mmoja
@davidchalambo97463 жыл бұрын
Dah nlicheka sana Instagram nlivyo muona mwamba😜😂😂😂
@rajramson36703 жыл бұрын
Mafundi wawili hawa🔥🔥🔥🔥🔥
@evcloudjuma97903 жыл бұрын
Kinata hatari!
@ayubusalum44873 жыл бұрын
Imenibid niitafute hiii inatrendi san instagram 😂
@magdalenajuma62293 жыл бұрын
Haha na mm
@baltazalbalanzize21933 жыл бұрын
😁😁😁😁 na mm
@DrNick-hg6il3 жыл бұрын
Mi nilimuona marioo kaipost FB😂
@fatumakassim643 жыл бұрын
😃😃😃😃😃😃me nimesaka kweli
@DrNick-hg6il3 жыл бұрын
@@fatumakassim64 nilivyo ona kiingereza kwenye singeli nikasema lazma nimpate😂
@miangijunior43583 жыл бұрын
Mh🔥🔥🔥🔥💥 Kwangu mimi KINATA MC Ndio Noma 💪
@farajingwale9633 жыл бұрын
Mc kinataaaaa Noma sanaaa
@ummyabubakary77423 жыл бұрын
Nakubali Sana kinata
@vitalresspeter72953 жыл бұрын
Nipo dom town ngoma nimeipata vizuli kama wew mtoto wa kusini kama mimi piga like
@minabossbaby68092 жыл бұрын
Oyoooooo
@straightkonect16133 жыл бұрын
Jamaa alichanwa na kiingereza hadi akasema HAPANA🤣
@hansonlz3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@shukurusaria85273 жыл бұрын
😂
@m7d19963 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣✔✔Vijana wangu nawaona 🤴🤴
@mackmtata8277 Жыл бұрын
Naludia kuangalia Leo tarehe 28 /12/2022
@sillab31203 жыл бұрын
Kinata
@allykiukala15403 жыл бұрын
Kinataa
@aikamassawe60733 жыл бұрын
kinata noma 🔥🔥🔥
@mataigajeshi12483 жыл бұрын
Minataka bato na kinata nakaa mtama lindi huyo jamaa nilishawai shindana nae kwenye kucheza ila kaja kwenye mziki nataka ni bato nae naingia mwezi wa 6 hapo mashuja
@Clex-f5s3 жыл бұрын
Jaribu bahati mzee
@omarymtamajika75583 жыл бұрын
Nakupata vzl kutoka maeneo ya Londo
@sharikimuhidin63573 жыл бұрын
Kinata msenge anajuaa🙌🙌🙌
@hamudseif3 жыл бұрын
Dah nimejikuta nimenyanyuka mbele ya mshua nacheza 😆😆, awa jamaa
@rahmadizer17443 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@joycesamwel7993 жыл бұрын
🤣🤣
@sophiajamaly37083 жыл бұрын
Chz kweli 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣❣️🔥🔥
@shedyjr32273 жыл бұрын
Kinata ni noma
@dfexmashairi11313 жыл бұрын
Hatimae nimeipata Huyo Kinata anajua
@gingertheonly33303 жыл бұрын
Huyu mabrich sijui mabrichii hataki mwenzake aimbe ....lakini mungu nani kinata sasa hvi anatrend
@maimamelody3 жыл бұрын
Kumbe umeona eh jamaa anazingua
@hamadbashir64893 жыл бұрын
Kinata tisho
@mackmtata82773 жыл бұрын
Kina amekua mkubw insagram
@geofreykaiza33663 жыл бұрын
Kweli aseeh jamaa anajua
@24magic523 жыл бұрын
Mabrich kuimbaaa hajuiiiiiii
@psj15643 жыл бұрын
Mabrichi unajua lakini mshindi kinata najua zaidiyako
@chris_jabari3 жыл бұрын
Daaaaaaah, kinata nomaaaass 🤣🤣🤣🤣
@kaundasutikaunda77693 жыл бұрын
Noma sana aisee...
@ernestndauka93013 жыл бұрын
😄😄😄😄😄😄 Ndugu yake Piere!!! Nani kaona hilo!!!
@Banushking95743 жыл бұрын
Umetisha mwamba kalisan
@hammyg57143 жыл бұрын
Huyu KINATA aisee ni hatari sana Mwenzake bato hawezi
@farhanmpakata47423 жыл бұрын
Mc mabrichi ninomaaaah anajua an😁😁😁
@othmanjuma46183 жыл бұрын
Kinata 😄😄 ni fireeeeee💥
@letisiamakonda38733 жыл бұрын
Mc Kinata ndo Babalaoo🔥
@johncharles79513 жыл бұрын
Mc Kinata anajua sana
@musictv50203 жыл бұрын
Jama mfupi noma sana 🔥🔥 ana mzuka hatari
@twaribmustapha66023 жыл бұрын
Ufup xio xio kilema
@allyswaleh33793 жыл бұрын
Kinata umeua brooo 🔥🔥🔥
@footmobonline3 жыл бұрын
Mabrich alikuwa anambania mwenzie😂 Halafu kipindi Mabrich anaimba, Kinata alikuwa anaenjoy anachoimba mwenzake. Ila kipindi Kinata anaimba, Mabrich anamind halafu anamkatisha katisha mwenzie😂 Ila Mungu acheni aitwe Mungu, dakika 3 zimetosha kumfanya Kinata ang'ae.
@janethjoshua23533 жыл бұрын
🤣🤣 Ila ni kweliiii
@mustaphagairo19363 жыл бұрын
Kwel kabisa
@danielivan48102 жыл бұрын
😂😂😂kwel
@jumakassim5351 Жыл бұрын
Sijamuelewa kabsa uyo mabrich msenge
@allymselemu56503 жыл бұрын
Nakubal Sana vijana Wang wa nguvu
@edmondjr173 жыл бұрын
MC KINATA 🔥 😃
@gine90113 жыл бұрын
Miezi mitatu ndo imepakiwa hii clip ila tumeiona leo sijui kwa ajili ya Insta😳😂😂
Huyo bishoo hapo pembeni amesimama kuzuia mwenzie hafikii mayck😀😀😀
@shabanisenkunde19272 жыл бұрын
Nakubari sana apo
@evcloudjuma97903 жыл бұрын
Huyu jamaa mabrich anawivu Sana anataka sikilizwe yeyetu
@aikamassawe70013 жыл бұрын
Kinataaaa🤗🤗🤗🤗
@mu-crzymahez92293 жыл бұрын
kinata
@messivini74403 жыл бұрын
Kinata moto
@barakajohnh.b9853 жыл бұрын
Mko vzr👏👏👏
@benedictorgwambasa41593 жыл бұрын
Huyu mabrichiii ndio kampa u staa mwenzakee ila alikuwa kashinda ttzo alivyosema habari za kingerezaa ndio kampa mizuka na kushinda hii battle ila kinacha mkalii
@enockrwehumbiza35553 жыл бұрын
Mabrich anajua kupangilia kuliko mfupi mwenzangu
@mtelewalindi843 жыл бұрын
Kazeni ndugu zangu wa lindi kazi nzuri
@piucevenance31453 жыл бұрын
Kinataaa
@abdulytza92913 жыл бұрын
..awaaa jamaa nomaaa sanaaaaaa
@reginaphilimon7823 жыл бұрын
Hivi kwann hiz lebo kubwa wasichukue nawasanii wa mziki wa singeli watatobowa san
@gibsonkitwaro9533 жыл бұрын
Kinata unajua sanaaaaa mpaka unakera
@jerahdekalax.00223 жыл бұрын
Tulio na mashavu makubwa kam tunapliza moto tujuane