CHEKI BATO KALI YA SINGELI KATI YA KINATA MC NA MC MABRICHI

  Рет қаралды 657,234

Mashujaa TV

Mashujaa TV

3 жыл бұрын

#mashujaatv
Follow us
mashujaatv...

Пікірлер: 482
@rashidatymayad5221
@rashidatymayad5221 3 жыл бұрын
Marioo kanishutua kinata big up mnao mkubali kinata like 15
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 3 жыл бұрын
Kinata mc noma Sana👏🏼👏🏼👏🏼🌄🇹🇿.
@almasially6509
@almasially6509 3 жыл бұрын
Huyu jamaa mfupi anajua kinyamaaaaaa🔥🔥🔥🔥
@pilikhamis2924
@pilikhamis2924 3 жыл бұрын
Jamani uuuuuuuuuuiiiiiiiiii weuweeeee mfupi una mambo hasa ww uuuuuuiiiiii nafurahi kua mtanzania
@careenmumy192
@careenmumy192 3 жыл бұрын
Yaani Mungu akiamua lake akuna wa kuzuia huyo kajitahidi sana kumbania mwenzie ila ndio katamba Mc Kinata ni hatariii🔥🔥🔥🔥
@sophiashadrack4918
@sophiashadrack4918 3 жыл бұрын
Kabisaa, mablich anaroho mbaya
@bongotrends2987
@bongotrends2987 3 жыл бұрын
Kambana sana kweli lkn ndo anavuma
@ibrahimmaswali1404
@ibrahimmaswali1404 3 жыл бұрын
Uyo mabrich ana roho mbaya sana yani ataki mwenzake aimbe, mngese sana
@danielmwakaseka3555
@danielmwakaseka3555 3 жыл бұрын
Kinata MC noma
@chidymaletalent4681
@chidymaletalent4681 3 жыл бұрын
MC kinata Ni noma sana
@happysalim4120
@happysalim4120 3 жыл бұрын
Aisee bila insta nisingewajua aisee 😅😅 Ila Mc kinata ni moto fire , yuko juu kama pierre liquid
@travellingandadventures2549
@travellingandadventures2549 3 жыл бұрын
Haha mungu bana ukichunguza kinata kama anabaniwa sana kwa hii interview ila kapata dakika 3 tu kakosha watanzania
@mosesmussa3669
@mosesmussa3669 3 жыл бұрын
Huyu jamaa wa pembeni alimbania sana Kinata
@martinmsigwa9066
@martinmsigwa9066 3 жыл бұрын
Mc Kinata 🖖🖖
@abdullahmanmiyanjamo1796
@abdullahmanmiyanjamo1796 3 жыл бұрын
Uyo kinata ni🔥🔥🔥🔥🔥
@salumallymngumba
@salumallymngumba 3 жыл бұрын
Kinata 🔥🔥
@teenbamazaga9973
@teenbamazaga9973 3 жыл бұрын
Mziki wetu asilia Good job 🤣🤣🙏
@mpmsafitz9936
@mpmsafitz9936 3 жыл бұрын
Mc kinataa♥️
@Kakamussa1856
@Kakamussa1856 3 жыл бұрын
Instagram ndio imenileta huku 😂
@muhidiniabasi9766
@muhidiniabasi9766 3 жыл бұрын
@ERICK Instagram ya edokumwembe
@shymedybrown1055
@shymedybrown1055 3 жыл бұрын
Hahaha ha brother hamna lefaaaa unamkatiza katiza mwenzako Mabrich
@Immuh
@Immuh 3 жыл бұрын
Kwel tuliona Instagram tujuane kwakwel😂😂
@amrimagambo7902
@amrimagambo7902 3 жыл бұрын
Uyu mabrich mshamba yaan mwenzie akiimba anamnogeshea yy fujo kibao Kusini tushampitisha kwamba kinata ndo king of singeli kanda ya kusini Jitupateri from Tandawise
@sir_leem_marlian1166
@sir_leem_marlian1166 3 жыл бұрын
MC Kinata you kill it 🙌🙌🙌Bless up
@hassanmkwahe9586
@hassanmkwahe9586 3 жыл бұрын
Amna kama kinat jaman uyo mabirinch hamfikii kinat ata asilimia 1 yaaan
@officialbekajoh3986
@officialbekajoh3986 3 жыл бұрын
Kumbe ndio huyu jamaa aliyesema hapanaa😂😂😂
@waggdillerboy487
@waggdillerboy487 3 жыл бұрын
Aaaaah ni kwele Sana singeli on the next level
@eddyempire9797
@eddyempire9797 3 жыл бұрын
Tuliomfollow mwana baada ya LE MI GO twendeeeeeeeeeee👊👊👊
@kaundasutikaunda7769
@kaundasutikaunda7769 3 жыл бұрын
Mc Kinata ni fire...
@Petitfally
@Petitfally 3 жыл бұрын
Mc kinata umeuwa sana 🔥
@herysalumu7420
@herysalumu7420 3 жыл бұрын
Kinata is so Talented 🏆🏆
@KaoratajrMD
@KaoratajrMD 3 жыл бұрын
Kinata ndo definition ya singeli 🔥🔥🔥
@kingbashar4293
@kingbashar4293 3 жыл бұрын
Una mjua meja kunta wew?
@jumalihumbo8937
@jumalihumbo8937 3 жыл бұрын
Kinata umetisha saiv kila status upo we mpk Ben pol kaludia mistar yko
@husseinomarymbiki5596
@husseinomarymbiki5596 3 жыл бұрын
kuna mtu ana wivu mpaka kaharibu radha ya hii burudani, mbaya zaidi anajiona yeye anajua zaidi kumbe huyu mc ni FUNDI na nusu, anajua sana, hana wivu, anaenjoy verse za mwenzake mpaka za kwake
@Chiefmukama
@Chiefmukama 3 жыл бұрын
Kabisa, mwenzie anafurahia nyimbo zake yeye anamdharau. Mungu aloamua kumuonyesha kuwa kinyongo si kizuri
@HassaniNayaika-os5ft
@HassaniNayaika-os5ft 10 ай бұрын
Ndio kaka bhan
@maimamelody
@maimamelody 3 жыл бұрын
Mabrichi anasumbuliwa na Wivu 😂😂😂 yani Mwenzie akiimba kidogo tu yy Roh ina muuma dah😅
@gasparkiwiapamkiwia8105
@gasparkiwiapamkiwia8105 3 жыл бұрын
Kwel kabisa ujakosea
@japhethmangaka3768
@japhethmangaka3768 3 жыл бұрын
😂😂😂😂 nikajua peke yangu nimeliona hilo hataki kukubali kuwa aliyepewa kukuzid amekuzid tu
@kingangiejansie7731
@kingangiejansie7731 3 жыл бұрын
Na ndio katoboa sasa kipande kidogo tu alichoimba. Hii ndio maana ya msemo usemao, Mungu akitaka kukupa hakuandikii barua
@abduljembe6608
@abduljembe6608 3 жыл бұрын
Kweli kabisa lkn nae anajua basi tu
@angelapeter1065
@angelapeter1065 3 жыл бұрын
🤣🤣
@beneboybeneboy4386
@beneboybeneboy4386 3 жыл бұрын
Fupi ninoma man wapi like kwa fupi ww tujuane bx wadau
@abimkoma8617
@abimkoma8617 3 жыл бұрын
Wafup tujuane kwa like
@janetfrancis7180
@janetfrancis7180 3 жыл бұрын
Nani mfupi
@sudisultn5237
@sudisultn5237 2 жыл бұрын
Kinata mc unatisha
@amrikibazo9429
@amrikibazo9429 3 жыл бұрын
Huyo mabrichi ana roho mbaya ataki mwenzie aimbe anatumia ubabe mtazame kinata akiimba yeye anakunja sura zen anataka asikilizwe yy tu mbwa huyo mabrichi
@Djso26
@Djso26 3 жыл бұрын
kinaaaata🔥🔥🔥🔥👍😅
@mosesabraham8742
@mosesabraham8742 3 жыл бұрын
Mmmmmh,,,pimbiiiiiii anauwezo..nipeni like zangu jmn
@dplunk4623
@dplunk4623 3 жыл бұрын
kinAte fundi mmoja
@davidchalambo9746
@davidchalambo9746 3 жыл бұрын
Dah nlicheka sana Instagram nlivyo muona mwamba😜😂😂😂
@rajramson3670
@rajramson3670 3 жыл бұрын
Mafundi wawili hawa🔥🔥🔥🔥🔥
@evcloudjuma9790
@evcloudjuma9790 3 жыл бұрын
Kinata hatari!
@ayubusalum4487
@ayubusalum4487 3 жыл бұрын
Imenibid niitafute hiii inatrendi san instagram 😂
@magdalenajuma6229
@magdalenajuma6229 3 жыл бұрын
Haha na mm
@baltazalbalanzize2193
@baltazalbalanzize2193 3 жыл бұрын
😁😁😁😁 na mm
@DrNick-hg6il
@DrNick-hg6il 3 жыл бұрын
Mi nilimuona marioo kaipost FB😂
@fatumakassim64
@fatumakassim64 3 жыл бұрын
😃😃😃😃😃😃me nimesaka kweli
@DrNick-hg6il
@DrNick-hg6il 3 жыл бұрын
@@fatumakassim64 nilivyo ona kiingereza kwenye singeli nikasema lazma nimpate😂
@miangijunior4358
@miangijunior4358 3 жыл бұрын
Mh🔥🔥🔥🔥💥 Kwangu mimi KINATA MC Ndio Noma 💪
@farajingwale963
@farajingwale963 3 жыл бұрын
Mc kinataaaaa Noma sanaaa
@ummyabubakary7742
@ummyabubakary7742 3 жыл бұрын
Nakubali Sana kinata
@vitalresspeter7295
@vitalresspeter7295 3 жыл бұрын
Nipo dom town ngoma nimeipata vizuli kama wew mtoto wa kusini kama mimi piga like
@minabossbaby6809
@minabossbaby6809 2 жыл бұрын
Oyoooooo
@straightkonect1613
@straightkonect1613 3 жыл бұрын
Jamaa alichanwa na kiingereza hadi akasema HAPANA🤣
@hansonlz
@hansonlz 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@shukurusaria8527
@shukurusaria8527 3 жыл бұрын
😂
@m7d1996
@m7d1996 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣✔✔Vijana wangu nawaona 🤴🤴
@mackmtata8277
@mackmtata8277 Жыл бұрын
Naludia kuangalia Leo tarehe 28 /12/2022
@sillab3120
@sillab3120 3 жыл бұрын
Kinata
@allykiukala1540
@allykiukala1540 3 жыл бұрын
Kinataa
@aikamassawe6073
@aikamassawe6073 3 жыл бұрын
kinata noma 🔥🔥🔥
@mataigajeshi1248
@mataigajeshi1248 3 жыл бұрын
Minataka bato na kinata nakaa mtama lindi huyo jamaa nilishawai shindana nae kwenye kucheza ila kaja kwenye mziki nataka ni bato nae naingia mwezi wa 6 hapo mashuja
@Clex-f5s
@Clex-f5s 3 жыл бұрын
Jaribu bahati mzee
@omarymtamajika7558
@omarymtamajika7558 3 жыл бұрын
Nakupata vzl kutoka maeneo ya Londo
@sharikimuhidin6357
@sharikimuhidin6357 3 жыл бұрын
Kinata msenge anajuaa🙌🙌🙌
@hamudseif
@hamudseif 3 жыл бұрын
Dah nimejikuta nimenyanyuka mbele ya mshua nacheza 😆😆, awa jamaa
@rahmadizer1744
@rahmadizer1744 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@joycesamwel799
@joycesamwel799 3 жыл бұрын
🤣🤣
@sophiajamaly3708
@sophiajamaly3708 3 жыл бұрын
Chz kweli 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣❣️🔥🔥
@shedyjr3227
@shedyjr3227 3 жыл бұрын
Kinata ni noma
@dfexmashairi1131
@dfexmashairi1131 3 жыл бұрын
Hatimae nimeipata Huyo Kinata anajua
@gingertheonly3330
@gingertheonly3330 3 жыл бұрын
Huyu mabrich sijui mabrichii hataki mwenzake aimbe ....lakini mungu nani kinata sasa hvi anatrend
@maimamelody
@maimamelody 3 жыл бұрын
Kumbe umeona eh jamaa anazingua
@hamadbashir6489
@hamadbashir6489 3 жыл бұрын
Kinata tisho
@mackmtata8277
@mackmtata8277 3 жыл бұрын
Kina amekua mkubw insagram
@geofreykaiza3366
@geofreykaiza3366 3 жыл бұрын
Kweli aseeh jamaa anajua
@24magic52
@24magic52 3 жыл бұрын
Mabrich kuimbaaa hajuiiiiiii
@psj1564
@psj1564 3 жыл бұрын
Mabrichi unajua lakini mshindi kinata najua zaidiyako
@chris_jabari
@chris_jabari 3 жыл бұрын
Daaaaaaah, kinata nomaaaass 🤣🤣🤣🤣
@kaundasutikaunda7769
@kaundasutikaunda7769 3 жыл бұрын
Noma sana aisee...
@ernestndauka9301
@ernestndauka9301 3 жыл бұрын
😄😄😄😄😄😄 Ndugu yake Piere!!! Nani kaona hilo!!!
@Banushking9574
@Banushking9574 3 жыл бұрын
Umetisha mwamba kalisan
@hammyg5714
@hammyg5714 3 жыл бұрын
Huyu KINATA aisee ni hatari sana Mwenzake bato hawezi
@farhanmpakata4742
@farhanmpakata4742 3 жыл бұрын
Mc mabrichi ninomaaaah anajua an😁😁😁
@othmanjuma4618
@othmanjuma4618 3 жыл бұрын
Kinata 😄😄 ni fireeeeee💥
@letisiamakonda3873
@letisiamakonda3873 3 жыл бұрын
Mc Kinata ndo Babalaoo🔥
@johncharles7951
@johncharles7951 3 жыл бұрын
Mc Kinata anajua sana
@musictv5020
@musictv5020 3 жыл бұрын
Jama mfupi noma sana 🔥🔥 ana mzuka hatari
@twaribmustapha6602
@twaribmustapha6602 3 жыл бұрын
Ufup xio xio kilema
@allyswaleh3379
@allyswaleh3379 3 жыл бұрын
Kinata umeua brooo 🔥🔥🔥
@footmobonline
@footmobonline 3 жыл бұрын
Mabrich alikuwa anambania mwenzie😂 Halafu kipindi Mabrich anaimba, Kinata alikuwa anaenjoy anachoimba mwenzake. Ila kipindi Kinata anaimba, Mabrich anamind halafu anamkatisha katisha mwenzie😂 Ila Mungu acheni aitwe Mungu, dakika 3 zimetosha kumfanya Kinata ang'ae.
@janethjoshua2353
@janethjoshua2353 3 жыл бұрын
🤣🤣 Ila ni kweliiii
@mustaphagairo1936
@mustaphagairo1936 3 жыл бұрын
Kwel kabisa
@danielivan4810
@danielivan4810 2 жыл бұрын
😂😂😂kwel
@jumakassim5351
@jumakassim5351 Жыл бұрын
Sijamuelewa kabsa uyo mabrich msenge
@allymselemu5650
@allymselemu5650 3 жыл бұрын
Nakubal Sana vijana Wang wa nguvu
@edmondjr17
@edmondjr17 3 жыл бұрын
MC KINATA 🔥 😃
@gine9011
@gine9011 3 жыл бұрын
Miezi mitatu ndo imepakiwa hii clip ila tumeiona leo sijui kwa ajili ya Insta😳😂😂
@dionisjabir2863
@dionisjabir2863 3 жыл бұрын
Yuko vizuri jamaa!!🔥🔥🔥🔥
@sunncilaveda8360
@sunncilaveda8360 3 жыл бұрын
Jaman iyo ngoma aitengenezwe kaa vp itolewe
@saidbobea6922
@saidbobea6922 3 жыл бұрын
😂😂😂 anatetemeka muache aje kwangu uyoooooooooooo 🔥🔥🔥🔥
@shedyplatinumz4853
@shedyplatinumz4853 3 жыл бұрын
Mmetisha 😁😁😁🔥🔥
@JoshuaMollel-bx8zb
@JoshuaMollel-bx8zb 15 күн бұрын
Good sana hii
@samiaarimkonekonko5096
@samiaarimkonekonko5096 2 жыл бұрын
😍😍😍😍😍
@halifabarnaba5584
@halifabarnaba5584 3 жыл бұрын
Mhh jamaaa noma
@digosmart4179
@digosmart4179 3 жыл бұрын
Nakubar wanang
@sakinakhalifa5586
@sakinakhalifa5586 2 жыл бұрын
Wawooh nyie noma hongereni sana 🙏🙏
@faidhalungi1975
@faidhalungi1975 3 жыл бұрын
Huyo bishoo hapo pembeni amesimama kuzuia mwenzie hafikii mayck😀😀😀
@shabanisenkunde1927
@shabanisenkunde1927 2 жыл бұрын
Nakubari sana apo
@evcloudjuma9790
@evcloudjuma9790 3 жыл бұрын
Huyu jamaa mabrich anawivu Sana anataka sikilizwe yeyetu
@aikamassawe7001
@aikamassawe7001 3 жыл бұрын
Kinataaaa🤗🤗🤗🤗
@mu-crzymahez9229
@mu-crzymahez9229 3 жыл бұрын
kinata
@messivini7440
@messivini7440 3 жыл бұрын
Kinata moto
@barakajohnh.b985
@barakajohnh.b985 3 жыл бұрын
Mko vzr👏👏👏
@benedictorgwambasa4159
@benedictorgwambasa4159 3 жыл бұрын
Huyu mabrichiii ndio kampa u staa mwenzakee ila alikuwa kashinda ttzo alivyosema habari za kingerezaa ndio kampa mizuka na kushinda hii battle ila kinacha mkalii
@enockrwehumbiza3555
@enockrwehumbiza3555 3 жыл бұрын
Mabrich anajua kupangilia kuliko mfupi mwenzangu
@mtelewalindi84
@mtelewalindi84 3 жыл бұрын
Kazeni ndugu zangu wa lindi kazi nzuri
@piucevenance3145
@piucevenance3145 3 жыл бұрын
Kinataaa
@abdulytza9291
@abdulytza9291 3 жыл бұрын
..awaaa jamaa nomaaa sanaaaaaa
@reginaphilimon782
@reginaphilimon782 3 жыл бұрын
Hivi kwann hiz lebo kubwa wasichukue nawasanii wa mziki wa singeli watatobowa san
@gibsonkitwaro953
@gibsonkitwaro953 3 жыл бұрын
Kinata unajua sanaaaaa mpaka unakera
@jerahdekalax.0022
@jerahdekalax.0022 3 жыл бұрын
Tulio na mashavu makubwa kam tunapliza moto tujuane
@taizermelody9261
@taizermelody9261 3 жыл бұрын
Hawa wote 🔥🔥🔥🔥
@allygoodboytzsdoneintanzan3970
@allygoodboytzsdoneintanzan3970 3 жыл бұрын
Mnajuwa sana mashaili yenu duu
SINGELI BATO: SHIZZO NA STAKA MUSIC WAKICHUANA NANI MKALI WAKO?
9:57
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
Nutella bro sis family Challenge 😋
00:31
Mr. Clabik
Рет қаралды 14 МЛН
DO YOU HAVE FRIENDS LIKE THIS?
00:17
dednahype
Рет қаралды 112 МЛН
HII NI NYINGINE TENA KUTOKA KWA TALENTED KINATA MC
6:44
Mashujaa TV
Рет қаралды 69 М.
TAZAMA JAMAA ALIVYOPIGWA K.O KWENYE RAP BATTLE YA BIG SUNDAY LIVE
14:11
Bambalu_Akitimua kibati Cha urugwai mkataba abaki ooii😆😆
9:57
Bambalu_Mr_Vibenga
Рет қаралды 5 М.
KAJE 45  AKUTANA TENA NA  KISIKI
30:01
KIBATI CHAURUGUAI LIVE
Рет қаралды 70 М.
MCHAGA ASHINDA KWA MICHANO KWA STYLE YA KIARUSHA | BIG SUNDAY LIVE
14:46
KINATA MC X SNURA _KUCHI KUCHI OFFICIAL MUSIC VIDEO
4:55
MSAFI MEDIA ONLINE(MMO)
Рет қаралды 3,2 М.
Msanii wa singeli k zungu akifanyaa free style🔥🔥🔥🔥
5:51
pichamali_studios
Рет қаралды 51 М.
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42