Hakuna Kazi ngumu kama kujipa jukumu ya kuongelea mambo ya watu, Yani ni moja ya jambo la hatari sana, na maeneo mengine wengine wamekufa kwa ajili ya kuzungumza mambo ya watu. Mungu amlinde tuuu Huyu Jamaa lakini ni moja ya watu wako hatarini sana.
@priscajohn60905 жыл бұрын
Mwijaku upo vzr kweli uwafundishe wanaume wenzio
@shishiromantic36375 жыл бұрын
mwijaku nakupenda unaongea kitu true
@lutemelele96195 жыл бұрын
yaani wewe kaka nakupenda sanaa sanaaa doh watu wamemsema sana huyo dada ila cjaona kosa lake
Yan Ww Jamaa Ww Hatr Cna Yan Umegeuka Mtabili Wa Maisha Ya Watu Yani Unamzungumzia Mtu Kama Unamjua Kiundani Jamaaa Du Kiboko
@idrissatuppa39974 жыл бұрын
Kuna mwanaume na mtoto wa kiume huyu sijui nani🤣🤣🤣sio kwa kuongea huko.
@directorngogo5 жыл бұрын
Mwijaku bnaaa😂😂😂
@agnessmluge57845 жыл бұрын
Mwijaku unaongeaga ukwl nilikua nakusubiri kwa hamu
@rodamulangila89515 жыл бұрын
acheni kumtukana anaongea ukweli huyu kaka
@sakinaomar20905 жыл бұрын
Mwijakuuuuuu
@habibakhalfan10655 жыл бұрын
jamani mapenzi ya wa bongo haya dumu hee nn?tatizo
@kazkaz19435 жыл бұрын
Siku utakayokuta mkeo analiwa ndo mineno itakuisha, Mtume alitushindwa wanawake utaweza wewe kaa kimya usisifie usoyajua wanawake s nomaaa tunaweza chepuka miaka 10 na mume asijue akabak kusema siku ukitoka najua ukilala na mwanaume najua kumbe hata jana umetoka kulalwa we nyamaza
@chandemalletha43795 жыл бұрын
Uyuu MBNA anaongea umbea c maneno ya mwanamke ayaa
@mozasaid38694 жыл бұрын
Mwijaku wee!!
@deboramatpapaztv5 жыл бұрын
Mambo s nuru hayooo
@yusuphharuna14765 жыл бұрын
Mwijaku mm nataka nimuoe
@alyahmuhsin60615 жыл бұрын
Mzee wa kullul khaka kwani sh ngapi kukupenda
@Papa2thaE5 жыл бұрын
Chidi ni kipapa tu.
@mutwalesylvie74434 жыл бұрын
Uyu nae
@glorytarimo97305 жыл бұрын
Nikosa lajinai kutangz mwnzk mgonjwa nakielewa sanaa lkn leo umenikera kenge wew🤔🤔🤔🤔
@hidayankavilavya88905 жыл бұрын
Glory Tarimo wewe ndiye ambae ujamuelewa mwijaku
@kazkaz19435 жыл бұрын
We acha kuongea sana mambk ya chumban waachie wana chumba we wa nje unapimaje wema wa mume/mke wa mtu.
@mbodzebemasika74775 жыл бұрын
Nilikua nasubiri neno la mwijaku😂😂😂😂😂duh hapo pa ukimwi🙄
@halimamohamed16935 жыл бұрын
Naam mathinaa jambo la kheri
@shaabanramadhan67705 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣huyu jamaa bhana
@ramadhanibrahim76195 жыл бұрын
Duh ww kiboko
@majidmasud69605 жыл бұрын
Hahahahaha mwijako
@ramadhankulunge73455 жыл бұрын
jamaa simuelewi
@shabirujuma55 жыл бұрын
Maisha ya watu broo
@stainasmkoko6045 жыл бұрын
Ana mambo ya kitoto mkubwa ovyo hata kama anaumwa sasa inakuhusu
@happynjukiz64955 жыл бұрын
Hili limwijaku anapenda ingilia person issue za watu
@ladoceurtony15675 жыл бұрын
Hahahha mwajaku wakiache yaani wewe mkali
@tonywilliams88195 жыл бұрын
Very true!!This guy talks sense always .
@chandemalletha43795 жыл бұрын
We shoga mwijuka walah
@nyoninyonii69565 жыл бұрын
umeongea point
@jasminiomary77745 жыл бұрын
Mmh makubwa
@glorytarimo97305 жыл бұрын
Wap Sam
@keagleeagle8215 жыл бұрын
Hivi nyie mnafahamu kuna sheria ya HIV? Hivi nani anawapa mamlaka ya kudiscuss status ya mtu? Mnafahamu hata nyie ITV mnaweza kushtakiwa kwa kurusha huyu mpuuzi?
@annievibes87945 жыл бұрын
tatizo serikali haina msimamo huo ingekuwa ulaya chidi angekula mtonyo mkubwa kwa hao wote wanaomsema vibaya na kuntangazia maradhi..hata km anayo its not fear kumtangaza
@keagleeagle8215 жыл бұрын
@@annievibes8794 Yaani natamani sana awashitaki hawa . Watu kutwa kum discuss mtu.
@annievibes87945 жыл бұрын
@@keagleeagle821 sheria hiyo hakuna bongo ingekuwa ulaya wasingethubutu
@keagleeagle8215 жыл бұрын
@@annievibes8794 Mbona nakumbuka kuiona.Kana sio sheria basi ni policy.Inaambatana na ile inayosema hairuhusiwi kumpima mtu HIV bila ridhaa yake.Na zile za unyanyapaa.Pia hata kama hakuna specific ya HIV bado kuna sheria za communication na zile sheria za kumchafua mtu.Akipata mwanasheria lazima atapata kifungu cha kufanyia kazi
@annievibes87945 жыл бұрын
@@keagleeagle821 noo kwa huku niliko ni sheria ya wizara ya afya na Hiv&Aids centre