Eti kwann niende kumsikiliza mtu niliyemsubiri kwa dk 40 wkt yeye kaniita ndani ya dk 5 🤣🤣🤣🤣
@Razkenya0015 ай бұрын
Nimeipenda hii kauli... one love mwanangu Chidi.. Hizo mada zinagonganisha sana wasanii.
@JimmyWilliam-mf4of4 ай бұрын
Chidi nimekukubar sana big up broo
@SaidMkwabi-ho8yy4 ай бұрын
Uposahihi sana chidy benzi wape ukweli hao wanatumalizia mb zetu kwaumbeya wao
@alvinmalle96245 ай бұрын
Huyu jamaa yuko vizuri sana kichwan..
@ProsperReuben-fg6uh5 ай бұрын
Shetan haangaikagi na fala ukiona mtu shetan kamteka anakitu kikubwa Cha kimungu ndan yake
@shedrackmathias21384 ай бұрын
Kweli kabisa @@ProsperReuben-fg6uh
@joycemaige68384 ай бұрын
Yani wewe unayo akiri kubwa mno umeona mbali sana huo ndio ukweli shetani hawezi akapigana na mtu kumpa matendo mabaya au kuwapa watu mitazamo mibaya kama uyo mtu hana kitu kikubwa ndani yake kama yule Q j dah Mungu awasaidie watu wenye kazi za Mungu ndani yao Amen @@ProsperReuben-fg6uh
@JamesDadu-h5l4 ай бұрын
Man is very bright... Chichichi----chid benzino
@TheReporter-A475 ай бұрын
😂😂😂😂😂 vichwa vya habari kama hivi ndy amekataaaa
@Millerremmy5 ай бұрын
😂😂😂😂 nampenda kakangu chidi Benz mwandishi wa habari Kala interview
@jaylazorschannel56815 ай бұрын
Legend! Chchchchch! From 🇰🇪
@AndrewMajingwa-ln7oi5 ай бұрын
Jamaaa hili limepiga kwenye mshonoo
@lulugama15474 ай бұрын
Nakukubali sana Benz❤❤
@FedrickAloyce-nl1pl5 ай бұрын
Na akachukuliwa mwandishi wa habari akaanza kuhojiwa na ikabidi awe makini kujibu maswali chid beeenz😂😂😂
@JumanneRobert-f3y5 ай бұрын
Hakuna wandishi hapo , chidi 🔥🔥🔥
@zawadjose54404 ай бұрын
Chid Benz yuko smart sanaaa
@tnftz14614 ай бұрын
Mkiambiwa chid ni akil kubwa muwe mtaelewa💯🙌
@joshuamuro94944 ай бұрын
Kabisa Genius
@iddymvukuye25024 ай бұрын
Chid benz kawa mwandishi wa habari 😂😂 Naombeni like zenu, eti harmonize huyu sio
@mansoursaid84 ай бұрын
Duhh aisee kweli kabisa waandishi wa habari wana ugonjwa uwo sijuwi kwa nini wanashindwa kuandika kilichopo.
@kajsun59184 ай бұрын
Chid hapo umewaeleza vizuri hao waandishi wa habar wajisimamie vyema na misingi yao wasikiuke
@pena_tz5 ай бұрын
Wakitoka hapo wanaandika "sakata la chidii , mapya yaibuka" 😅😅
@agustinojoseph44505 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 wamekoma awam hii
@newforcejv97214 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅
@newforcejv97214 ай бұрын
Kwakweli mapya yaibuka
@BIGGIEBOOST5 ай бұрын
Benzino mamae unajua San asee 🔥🔥
@RahimMatambala-w7r4 ай бұрын
Kawaonyesha jinsi gan mtangazaji anatakiwa kuhoji maswali ya msingi
@OmmyLily5 ай бұрын
Fact broh respect
@VivecCarol4 ай бұрын
Chiddy Benz UNA AKILI SANA.
@mjroyaltz83224 ай бұрын
Leo mwandishi wa habari anahojiwa😂😂😂😂🙌
@ahz69074 ай бұрын
Gemu limegeuka.😂
@AmisamauridNgagada4 ай бұрын
Brother chid ameongea point xana🔥🔥🔥🔥
@IsmailYusuf-nb9jt4 ай бұрын
Yule jamaa wa chidi ana mke leo kaamua kufunga bakuli lake 😂😂😂
@GeorgeEdward-e1e5 ай бұрын
Bado tena mnaandika chid bez atinga na mikwala 😂 daah waandishi awasikii kbsa awa
@jamescustom66995 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂duh
@aminmohammed42495 ай бұрын
😂😂😂ni wapuuzi
@themoredwamichano86364 ай бұрын
Yani Bongo mijinga mingi sana 😂😂😂
@mdachiog52114 ай бұрын
😂😂
@josephlemi80844 ай бұрын
😂😂😂
@ludotheplanet74754 ай бұрын
Respect you chiiiiddd benz
@sarahkinyashi62134 ай бұрын
Safi sna CHIDY🙏🙏🙏🙏wachaneeee
@nourahismaily5 ай бұрын
Respect my brother Huwa sikupingi 👊👊👊
@rasvuaimarley40495 ай бұрын
Huyo mwaandinshi leo amekutana na kibokoo😂😂
@erqmusic59734 ай бұрын
😂😂😂😂
@adrophinamwanguse15104 ай бұрын
Bora umewambia washenzi sana hao😊
@mussarashid22164 ай бұрын
Kuna mtu ana Doubt na hilo kauliza CHID...May God bless u son,Ila siku ukikata KAULI wataongea mengi kuhusu MJOMBA