CHIEF GODLOVE ATOA CONNECTION LEO KWA MALA YA KWANZA TANGU AZALIWE TIZAMA HAPA CONNECTION

  Рет қаралды 15,096

Chief_Godlove

Chief_Godlove

Күн бұрын

Пікірлер: 60
@GivenGodwinGodwinbahem
@GivenGodwinGodwinbahem 7 ай бұрын
Kweli brother uyasemayo niukweli mtupu tuko nyuma yako respect
@MangeMaange-s9v
@MangeMaange-s9v Ай бұрын
Safi kk nipe mchongo
@JoyceWilfred-s4g
@JoyceWilfred-s4g 3 ай бұрын
Kanuni (1)Fanya KAZI Kwa bidii Kwa kujali muda na wakati (2)Komaa kumwomba mungu,funga omba (2)Nenda kanisani mtolee mungu sadaka Utafanikiwa kama Mimi.
@magdah5618
@magdah5618 7 ай бұрын
am willing brother, ni connect
@FidkimKim
@FidkimKim 3 ай бұрын
Fidd Kim✌️👁️✌️💯❤️✨💥
@AndrewKyule
@AndrewKyule 7 ай бұрын
kama sio ushetani mbona hauna familia.Unajifanya unajua ila sisi tunaielewa hii dunia kukuliko.Hauna nafsi na hauwezi kua na familia.Pesa unazo ila sio pesa umezichokea,Uliuza nafsi ila wewe omba tu usife.
@AronKazungu-h5r
@AronKazungu-h5r 7 ай бұрын
Endelea kubweka..hakuna unachojua acha shobo
@AronKazungu-h5r
@AronKazungu-h5r 7 ай бұрын
Onyesha maajabu yako tuyaone kenge wewe.acha tufanikiwe wewe ukiendeleza mdomo
@AndrewKyule
@AndrewKyule 7 ай бұрын
@@AronKazungu-h5r wewe maiti tu.Najua unanielewa
@dandy_unique
@dandy_unique 7 ай бұрын
Kwan ambae hana familia ..ni shetani mbna kuna masikin hana familia
@SamweliJacob-bm2ij
@SamweliJacob-bm2ij 3 ай бұрын
wewe familia unayo mpaka leo inalia njiaa tu kwasababu huna akili unatumia matako kufikilia uyu haongelei familia hapa anaongelea mafanikio sikiliza kwa masikio usitumie pumbu kusikiliza
@victoriamtangi3287
@victoriamtangi3287 2 ай бұрын
Wakati mwingine anaongea point Sana ila usitukane watu basi. Ni kweli umaskin ni maind set😢 usipoweza kufikiri na kusubutu ukiendekeza waganga umekwisha
@Jay-Ningo
@Jay-Ningo 7 ай бұрын
We nimwamba blo nakubali sana
@ramadhanimohamed4190
@ramadhanimohamed4190 2 ай бұрын
Ebu tuonyeshe vidole vya miguu yko kwanza ndipo tukuamini
@JamalYahaya-xv7mu
@JamalYahaya-xv7mu 7 ай бұрын
Kwanza angalia picha ilioko nuumayake yann
@ashuramuhammed3257
@ashuramuhammed3257 3 ай бұрын
Umenitapeli Hela yangu ya ugali watoto wanakufa njaa nrudushie
@saleemsuleiman2220
@saleemsuleiman2220 3 ай бұрын
Anekupiga shillings ngapi 😂😂😂😂😂
@SamwelMahabula
@SamwelMahabula 7 ай бұрын
Msaada gan hadi ulipishe hela acha utapeli kaka
@LovelyMountainLandscape-dd4xe
@LovelyMountainLandscape-dd4xe 7 ай бұрын
Broo unaongea fact sana nitajiunga kwenye grop
@KundaeliJacobo
@KundaeliJacobo 5 ай бұрын
Kweli mkuu
@AllenNevele-v2c
@AllenNevele-v2c Ай бұрын
Nisaidia kaka kila nikijalibu kujiajili nafeli naweza kutumia njia Gani ili nifanikishe
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 7 ай бұрын
😂😂😂maskini kuweni wapole
@issafwendem1758
@issafwendem1758 7 ай бұрын
Nice
@FaridiBuruani
@FaridiBuruani 4 ай бұрын
🎉
@TAYTA_MEDIA
@TAYTA_MEDIA 6 ай бұрын
💪🏿💪🏿💪🏿
@hamzamfyagidzi6344
@hamzamfyagidzi6344 7 ай бұрын
Masikini kuwa wapole Mtajiri naongea hapa😂😂😂
@KhadijaSidi-i5v
@KhadijaSidi-i5v Ай бұрын
nakam uko mbali jee
@ashachitemo7816
@ashachitemo7816 2 ай бұрын
Mmmh! Kwa hiyo zile kilo tano za mchele ndiyo unataka tulipie laki moja jamani...😂😂😂
@JoyceWilfred-s4g
@JoyceWilfred-s4g 3 ай бұрын
Msije kudanganywa na huyu jamaa pesa zipo mbona Mimi ninaela za kutosha Kwa maombi na kumwomba mungu, kufunga na kuomba.pesa zipo tu
@stephanomtila6189
@stephanomtila6189 2 ай бұрын
Mzee acha kupotosha watu maana maandiki yanasema mungu atabariki kazi ya mikono yako na Wala sio maombi bila kifanya kazi😂 🤣
@JoyceWilfred-s4g
@JoyceWilfred-s4g 2 ай бұрын
Ujasoma meseji yangu ya pili hapo chini nimetoa kanuni za mafanikio, nimesisitiza maombi na kufunga NI hili sasa mungu akupatie KAZI ya kufanya yaani usijichagulie wewe KAZI ya kufanya mana kuna KAZI Nyengine NI machukizo MBELE ZA mungu ukadhani NI KAZI Tu kumbe unajenga ufalme na utawala wa ibilisi bila kujua.
@JoyceWilfred-s4g
@JoyceWilfred-s4g 2 ай бұрын
Mimi Kabla sijawa na pesa nilianza na Mwenye pesa yaaani mungu "Baba muumba wa vyote"nikapata KAZI mbali mbali na vyanzo vingi vya kiuchumi pasipo kuelewa elewa yaani kama Bahati Bahati Tu. Vingine naota kwenye ndoto alafu baadae Sana nashangaa ninavyo.
@devidmafuru5538
@devidmafuru5538 7 ай бұрын
Sawa me kwel sina
@ABDUL-WAHIDMACHANO
@ABDUL-WAHIDMACHANO 7 ай бұрын
Safi sana broo
@stephanomtila6189
@stephanomtila6189 2 ай бұрын
Kuna watu ni majinga mno 😅😅 sijaona cha kushangaa kuhusu kiingilio cha laki moja kwenye group la uyu mwamba sababu ni osifi yake kama unaweza na wewe fungua lakwako la ngono waimize watu waingie..kuna watu wanaofisi zao yaani ukienda ofisini tu kuonana nao unatakiwa ulipie hata laki au zaidi hapo ni kuonana nae tu 🤣🤣 sasa cha ajabu ninini hapo kwa uyo jamaaa..acha mwamba azidi kipiga hela zake
@LuluByams
@LuluByams 3 ай бұрын
We Unafanya kazi gani
@victoriamtangi3287
@victoriamtangi3287 2 ай бұрын
Matajiri hawalali
@FaridiBuruani
@FaridiBuruani 4 ай бұрын
Nakuerew mwamba
@AnnaCharles-g1p
@AnnaCharles-g1p 3 ай бұрын
Nipe michongo kaka
@KundaeliJacobo
@KundaeliJacobo 5 ай бұрын
Nakuelewa
@USDisdoomed
@USDisdoomed 7 ай бұрын
Bdo tujueje hizi mbinu njia
@victoriamtangi3287
@victoriamtangi3287 2 ай бұрын
Maskin kuweni wapole anaongea kufuru huyu mtu mtoto unachangia
@IbraahchatySabini
@IbraahchatySabini 2 ай бұрын
Jicho latu?
@subiralema
@subiralema Ай бұрын
Mke wako mbona atumuoni
@Egideo-zx5ik
@Egideo-zx5ik 3 ай бұрын
Yani uhuyu jama anaongea mpaka inachoma😅😅
@HilaryHamza
@HilaryHamza 3 ай бұрын
Samahani Baada ya kulipia nini kinafata
@OmaliMsafili-zg3qw
@OmaliMsafili-zg3qw 6 ай бұрын
Chifu godilafu shikamo
@FedhaVanbility
@FedhaVanbility 4 ай бұрын
Pesa bandia
@kinjekitilew
@kinjekitilew 6 ай бұрын
Zaasubui mr money mr famous hakuna kubisha nikuombe msada wako maisha yangu haya eleweki kabisa niko namajukumu kunawakati nashindwa kuya tekeleza niombe msada wako namimi niwe mutu kama wewe ama watu wengine
@malkavoice2570
@malkavoice2570 7 ай бұрын
Unajiungaje bro,unatuma tu laki alafu nakupataje?
@ussiussi3413
@ussiussi3413 7 ай бұрын
Mafumbo mengi hayaagui majibu sahihi bali hukuacha kapuku tu, ww huna uwezo wa kumjenga mtu bali uwezo wako ni ku-diversify anuai ya mafanikio tu na kumuacha mtu njia panda. You're not a mentor but a complicator.
@simonitolya8029
@simonitolya8029 7 ай бұрын
Choko ww
@HamisMbonde-wm8bs
@HamisMbonde-wm8bs 3 ай бұрын
Kichaa bwamdogo wewe unazalau sana mjinga wewe je sisi wenye ela tusemaje
@AbubakariKisuju
@AbubakariKisuju 6 ай бұрын
Vimbao
@SamwelMahabula
@SamwelMahabula 7 ай бұрын
Nimeita umenitapeli
@youngchoppa-ik9uo
@youngchoppa-ik9uo 7 ай бұрын
ch godlove natakakuota ndotoya freemason 🏴‍☠🏴‍☠
@SadickShedrack
@SadickShedrack 7 ай бұрын
Acha kudanganya watu wewe
VIDEO ZA HATARI TANO ZA CHIEF GODLOVE UTAOGOPA
8:39
Chief_Godlove
Рет қаралды 6 М.
KUPATA MALI KWA KUTOA KAFARA
7:00
Chief_Godlove
Рет қаралды 4,8 М.
Это было очень близко...
00:10
Аришнев
Рет қаралды 6 МЛН
Who’s the Real Dad Doll Squid? Can You Guess in 60 Seconds? | Roblox 3D
00:34
Когда отец одевает ребёнка @JaySharon
00:16
История одного вокалиста
Рет қаралды 16 МЛН
Elza love to eat chiken🍗⚡ #dog #pets
00:17
ElzaDog
Рет қаралды 11 МЛН
Utajiri unatafutwa usiku msikilize chief godlove
5:11
Chief_Godlove
Рет қаралды 6 М.
HATA MTUME ALIKUWA NA LISHANGAZI.
12:31
WACHOKONOZI
Рет қаралды 7 М.
BIASHARA ZA KUFANYA KWA KUTUMIA MTAJI MDOGO - FIDELIS RUGARABAMU.
6:50
Fidelis Rugarabamu
Рет қаралды 3,2 М.
Это было очень близко...
00:10
Аришнев
Рет қаралды 6 МЛН