kufanya usiku,tena usiku wa manane,,mob love from Kenya
@rizikisam648110 ай бұрын
Kibonge mayele kanifurahisha eti hapo ndo unapowachefua watu na mimate 😂😂😂
@MahadMenze-kf3kv10 ай бұрын
Brother shadow samahan Sana kwa usumbufu brother... shida yangu ni kupata nafas ya kuzungumza na ww... ninashida Sana brother
@obadianzigilwa225410 ай бұрын
Tena😂
@GroliaMbuligwe10 ай бұрын
Nzr
@saumbliz898310 ай бұрын
Shadow mwenyewe atafuta mtu ampe shida zake na wewe wataka mwambia zako
@MahadMenze-kf3kv10 ай бұрын
Daaah!! Sio hivyo ndg zangu....shida yangu mm ni kupata nafas ya kushiriki ktk group hili ili nifanye kaz na mm..... napenda Sana na imani yangu ni kwamba naweza.... naiman ipo siku moja nitapata nafas ya kuonyesha kpaji changu na watu watanikubali inshaallah.
@taharamohd485310 ай бұрын
@@saumbliz8983mbn umekatisha mwenzio sio vizur muache afanye alichotaka kufanya
@FahymaIsmail-m4q10 ай бұрын
Kibonge mayele umepungua best ang umekuwa na mwili mzuri dear
@gracekayumba-z9l10 ай бұрын
Ee uwe unameza bhana kichef chefu gan kisichoisha kumbe unapuliza ugolo
@vinniechymall98019 ай бұрын
MarshAllaa Sonia kaumbika Mrembo Aisee
@Neema_officialy110 ай бұрын
Jaman shado mzuri 🥰🥰muendelezo
@barakajoackim-xu3hi10 ай бұрын
Hivi hawa rey na sonia ni mapacha au kufanana tu
@RAMADHANIABDALLAH-c6d10 ай бұрын
Mimi uyo sonia shadow tutapasuana karoho kanapwita kazi nzuri ila sonia namkibali sana🤗
@HashimMakungu10 ай бұрын
Kibonge mayele usiku wa manane umepigaje apo
@mrcheustv717710 ай бұрын
Nakubali sana 🔥🔥
@Kolonbarisa10 ай бұрын
Good job🎉❤. Nipeni likes zangu hata kama ni 5
@shaffibrown700610 ай бұрын
Kaka shadow 🔥🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲 umetisha kaz nzur san
@purityneema21810 ай бұрын
😂😂😂 apo kwa kutema tema mate apo mwavunja mbavu zangu 😂😂 ila kweli kweli bwana acha kutema😂😂
@amanchuphichuphi472510 ай бұрын
Uko juu bro Shadow kazi nzur saaaanaaaaaa
@tetri-numz9610 ай бұрын
😂😂😂 Kumbe kuna Hadi wachawi chipukizi 😂😂😂
@RAMADHANIABDALLAH-c6d10 ай бұрын
Sonia the best actress love you mchumba ❤❤
@mohammedkidody561810 ай бұрын
Wow leo nimekuwa wa kwanza❤❤❤🎉🎉🎉
@Jaydannychawaboy1.10 ай бұрын
Nishatokea jamani nipeni likes zangu basi hata tano tuh ❤❤❤❤❤❤❤😢😢😢😢😢😢😂😂😂😂😂😂😂😂
@Lilianmwaijibe-uj1zs10 ай бұрын
Unaweza kaka💪
@yunuschum375410 ай бұрын
Wa 7 🥴🔥🔥
@biashasalem387310 ай бұрын
Movie nzur sana
@philipmutua664310 ай бұрын
Shadow tafadhali usikae sana kabla ya kuleta EP 4 ❤❤❤❤
@LakenYassin10 ай бұрын
Leo wa kwanza naomba like zenu❤❤
@hamimumatola282910 ай бұрын
Mnachelewa cnaaa
@josephrwakayonza365410 ай бұрын
Xhida mnaichelewexha sana
@atukuzwedzombe-rj8mq10 ай бұрын
Na si watazamaji atupendi iyo mimate khee
@aminaugumba647910 ай бұрын
Kazi nzuri ila unachelewa sana kutoa
@FrankLuhaha-p2m10 ай бұрын
Goods jobu from shadow🎉🎉🎉🎉🎉😅😅😅
@BabyeSaumu10 ай бұрын
Afadhali kibonge mayele umemwambia ukweli Gozi ,mi mate ina chefua😊😊
@Grace-rx5xy9 ай бұрын
Wakwanza. from Kenya much love 🇩🇲
@MrMona_TZ10 ай бұрын
Gozi bhn ety mjomba tena wataka kuninyima nn 😂😂😅
@ThumaAli10 ай бұрын
Ana chefua sana gozi na mimate 😂😂😂 ila nawakubali sana team shadow salute kwako bro ❤❤
@martinskabwe10 ай бұрын
Wakwanza from Burundi nipeni likes zangu ❤❤
@kubwimanairene231910 ай бұрын
Hatimaye nimekuwa Wa 1941😅😅
@princekillian364010 ай бұрын
Wakwanza from kenya much love 🇰🇪🇰🇪🔥🔥
@ndeiyandorongei361710 ай бұрын
Daa hii move kali Gozi & Shadow 💪
@brothersAlaki-4610 ай бұрын
Pogezi sna #shandow tv appreciate🎉🎉
@lovelyakvee10 ай бұрын
Mwenyekiti kibonge mayele kwenya aladin😂😂😂
@norinbinngelelo967kviews210 ай бұрын
😂😂
@sofiaabdallah874110 ай бұрын
Wakwanza leo ❤❤😊
@thuwaibamkana969110 ай бұрын
Apo sawa mimate ilikuwaina chefua
@MusadaudiSilvester-dq4wn9 ай бұрын
Unajuwa kaka niko nawe
@GastonKitungwa10 ай бұрын
Shado man nakukubali man
@NiyonkuruEspoir-v8e10 ай бұрын
Gozi ndo mbabe wengin wanaigiz tu
@HashimMakungu10 ай бұрын
Kweli kabisa gozi ni mbabe sana
@joycesamwely789610 ай бұрын
Kumbe na hiyo kutema mate ya gozi ilikuwa ni seen😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂sisi tulikuwa hatuelewi tulikuwa tunachefuka tuu ila mmetupiga