Mathayo 24:29 Lakini mara, baada ya dhiki ya siku zile, jua litatiwa giza, na mwezi hautatoa mwanga wake, na nyota zitaanguka mbinguni, na nguvu za mbinguni zitatikisika; 30 ndipo itakapoonekana ishara yake Mwana wa Adamu mbinguni; ndipo mataifa yote ya ulimwengu watakapoomboleza, nao watamwona Mwana wa Adamu akija juu ya mawingu ya mbinguni pamoja na nguvu na utukufu mwingi. 31 Naye atawatuma malaika zake pamoja na sauti kuu ya parapanda, nao watawakusanya wateule wake toka pepo nne, toka mwisho huu wa mbingu mpaka mwisho huu.
@JonasIbrahim-wt8uy3 ай бұрын
Uongo huo we hata usome wapi lakini neno la mungu bila roho mtakatifu huwezi kuelewa
@JonasIbrahim-wt8uy3 ай бұрын
Mtasikia vita na matetesi ya vita lakini msitishwe lakini kutatokea manabii wa uongo ndo hao sasa hata walio wake watadanganywa kuwa makini na hao wachungaji
@masanjasabanja3789 Жыл бұрын
SOMA DANIELI 12:1-3:ACHA KUPOTOSHA SOMA VIZURI BADO HUJAELEWA BADO. Wakati huo Mikaeli atasimama, jemadari mkuu, asimamaye upande wa wana wa watu wako; na kutakuwa na wakati wa taabu, mfano wake haukuwapo tangu lilipoanza kuwapo taifa hata wakati uo huo; na wakati huo watu wako wataokolewa; kila mmoja atakayeonekana ameandikwa katika kitabu kile. 2 Tena, wengi wa hao walalao katika mavumbi ya nchi wataamka, wengine wapate uzima wa milele, wengine aibu na kudharauliwa milele. 3 Na walio na hekima watang'aa kama mwangaza wa anga; na hao waongozao wengi kutenda haki watang'aa kama nyota milele na milele.
@petermalema570211 ай бұрын
Ooooooh
@EnockKibona-xe5hp Жыл бұрын
Mzee wangu! ebu tafiti vizuri maandiko.Yesu alipo alipo ulizwa na wanafunzi alisema kizazi hiki hakita pita! Kwani kizazi kina miaka mingapi? Kama100 tangu Yesu mpaka leo! Miaka 100 bado haijafika?
@jeffkipkorir87223 ай бұрын
Kuna kizazi kitacho shuhudia mti ulio katwa ukichipuka tena (fig tree). Kizazi kilicho zaliwa Israeli ikiiunuka tena kama taifa hakitapita.
@petermalema570211 ай бұрын
HAPANA KANISA HALITAPITA KWENYE DHIKI KUU. KANISA HALIHUSIKI NA DHIKI KUU.
@benjaminchuma546829 күн бұрын
Omba sana usiangukie kwa uongo. Dhiki kuu itatangulia unyakuo
@benjaminchuma546829 күн бұрын
Umeangukia mafundisho ya uongo. Omba Baba wa Mbinguni kwa jina la Yesu mwana wake hili akufunulie. Huwezi ukaelewa usipopewa kutoka juu
@mjumbewaaganoduniani Жыл бұрын
Unyakuo ni sasa NENO ameisharudi, Ufunuo wa Yohana 19:11-16. Malaki 3:1-6.
@BahatiMwangoka-b1g4 ай бұрын
.NENO LIKIRUHUSU VILEVILE TULIO KATIKA DHIKI KUU NDIYO TUNAO FAHAMU KUA VILEVILE TUKO KATIKA DHIKI KUU
@mjumbewaaganoduniani Жыл бұрын
Siku ile ya kuokolewa hakuna ajuaye, NENO halifafaniwe kwa usomi wa lugha bali ni ufunuo wa Roho.
@margretdionese49311 күн бұрын
Dhiki kuu italikuta kanisa ndugu zagu
@DeboraMembiАй бұрын
Naitaji kua naroho mtakatifu
@MjumbeAganoАй бұрын
Watu wengi wamedanganywa na watumishi wa UONGO kama hawa, unyakuo ni kutolewa kwenye ufalme wa shetani, na kuingia kwenye ufalme wa Mungu kwa njia ya habari njema ya ufalme wa Mungu hapa duniani na mjumbe wa agano duniani uingie kwenye ufalme uepukane na dhiki kuu inayoujilia ulimwengu wote fuatilia you tube MJUMBE AGANO upate semina ya ukamilifu wa kristo.
@benjaminchuma546829 күн бұрын
Dhiki kuu yaja kwa ajili ya wateule
@mjumbewaaganoduniani Жыл бұрын
Mmoja ameokolewa mmoja ameachwa, lakini wapo wote wawili hapo hapo kama kipindi cha Nuhu walikuwepo hapo hapo,
@EnockKibona-xe5hp Жыл бұрын
Mathayo 28:20 Yesu anasema nipo pamoja nanyi hata ukamilifu wa dahari! Nenohilo lina tafsri wakati uliopo! au wakati ujao?
@JifunzeNenoLaMungu Жыл бұрын
Hii SoMo limekua invalid maana hakuna mwenye akili sawa asiye jua unyakuo ni kuchukuliwa/kotolewa Arudi afundishe vizuri..
@obyigogo99207 ай бұрын
Kwa mustakabali wako
@mjumbewaaganoduniani Жыл бұрын
Kutwaliwa ni kuchukuliwa,sio mwili ni fikra zako kuchukuliwa toka kwenye uongo kama huo, na kuingizwa kwenye ukweli wa mitume na manabii wake. Sio mwili kutwaliwa.
@FloridaSyombua9 ай бұрын
Hii yako sio.kweli
@peterdaimon-ug6fd9 ай бұрын
Na wewe fundisha sio kumwambia mwenzako amekosea ukimwambia mwenzako amekosea tuambie wewe sasa ukweli wako
@micahnjoroge368511 ай бұрын
Ugongo. Kanisa halitapita kwenye dhiki
@margretdionese4932 ай бұрын
Litapita ndugu
@EnockKibona-xe5hp Жыл бұрын
Paulo alipo ongea nawathethalonike aliwambia wafarijiane kwa maneno hayo! Nawewe unatufariji?Yesu atakuja tena kimwili wakati alisha kuja kwa roho?
@micahnjoroge36859 ай бұрын
Nyamaza kama ujui maana ya unyakuo
@marionoti57609 ай бұрын
Nawe umegeuzwa Zombi? Ukimvaa kristo, hunahaja ya kuweka kambi ya kubwabwaja juu ya unyakuo kwenye vyombo vya habari ukipoteza muda na kukwepa kuvuja jasho la haki kwa manufaa ya taifa la Mungu. Bwana wetu Yesu Kristo amesema, hakuna ajuaye saa wala siku ya ujio wake, tuwe tayari wakati wote, maana yake tumuishi kristo maisha yetu yote toka tulipomvaa Kristo. Wanao jihangaisha na kuwianisha matukio ya Dunia hii na maandiko(walikuwepo toka enzi za mitume) wanamalengo yao ya kutoa vitisho kwa wenye imani haba ili kufanikisha nia zao ovu (ni akina Yuda Eskarioti wa kizazi hiki(Pamoja na kujipachika majina makubwa ya kidini ni Matapeli)).Ufunuo upo kwa kila mwamini (pazia la hekalu lilisha pasuka katikati patakatifu pako wazi kwa kila mtu).
@marionoti576010 ай бұрын
Ili kupiga hela, Mungu wa upendo haina maana. Makanisa au vikundi vya aina hii vinahangaika na maandiko ya vitisho, ili hasa waumini watetemeke, wahofu kuwa siku za kuja kwa mwana wa adamu zimewadia kwa manufaa ya matumbo yao, hasa kwa wenye uelewa hafifu wa maandiko. Tabiri hizi zimekuwa zikifanywa mara kwa mara na wanaojiona ni wajanja toka karne ya kwanza. Matapeli hawana hofu ya Mungu wala aibu.
@kalebuwilliam10149 ай бұрын
Soma biblia mkuu,hofu ya Mungu huwaleta watu kwenye toba.Ukiona unahofu nyingine jua una dhambi moyoni inakuhukumu.Watu lazima tuambiwe ukweli ili tupone.Sindano inauma ila ndo kupona kwenyewe.Ubarikiwe
@marionoti57609 ай бұрын
@@kalebuwilliam1014 Kwahiyo hata matapeli wa injili wanapotafsiri kwa hadaa na uwongo maandiko matakatifu, tusiwakemee ila tuendelee kusoma Bibulia? Mbona mafarisayo walikariri Bibulia agano la kale lote lakini Yesu akawakemea kwa kutoyaishi yale waliyo yakariri, akawaita wanafiki. Hata leo kuna watu wanatembea na Bibulia lakini, matendo yao ni unafiki, kwao utakatifu ni kutokunywa pombe , masengenyo, uwongo, hadaa, na husuda, kwao sio dhambi. Nasema haya ili mzinduke. kumtumikia mungu wetu ni kwa kutumia akili zetu. kumbuka hadaa za akina, kibwetele,Makenzie na zumaridi. usifikiri waliokufa huko ni tofauti na wewe, walipofushwa. kumbuka: Amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu kama kinga yake. Mnahadaiwa na mtu( anayejiita mchungaji na eti anaupako), Hana tofauti na mganga wa kienyeji, mpiga ramli). Mnasoma Bibulia gani? Mumekuwa watumwa, mumeelemewa, ijueni kweli ili muwe huru, kwani pazia la hekalu lilisha pasuliwa na yesu katikati ili kila mwamini aweze kupafikia patakatifu pa patakatifu. Pole.
@FloridaSyombua9 ай бұрын
Naomba usome neno na uelewe Yesu kristo anarudi sioni ni kipi kinakuchanganya hapo,,tangu nyakati wa Nuhu watu hawakuelewa
@geraldndone74389 ай бұрын
Mpendwa! Mungu kwa upendo wake ametoa vitu vitatu;Upendo, wokovu na msamaha wa dhambi.Ukivikataa hivyo huwezi kukwepa hasira ya Mungu.mwamini na Umpokee YESU sasa ili uwe na ujasiri siku ya kuja kwake.Ukimpata Yesu umepata vyote.
@marionoti57608 ай бұрын
@@kalebuwilliam1014 Ukisha jikabithi kwa Mwanadamu, na ukadhani ndiye mwenye upako kuliko wewe, mara nyingi hugeuka zombi. Unakuwa unamtumainia yeye kama kinga yako. Mfano, mtu anaye amini kwamba mazingaombwe ya mganga wa kienyeji yanamponya, ukimwambia huyo anakudanganya, aweza hata kukuzuru wakati unalomwambia ni ukweli. Uzombi wa neno la mungu umetuangamiza waafrika. Mfano; kibwetele wa uganda, zumaridi wa mwanza, juzi tu Makenzie wa kenya na wengine wengi. Pole sana mpendwa ktk Bwana, kutoka wakati wa mitume(yaani wakristo wa mwanzo) mpaka miaka takribani 1400 BK (baada ya kristo) haikuwepo biblia, lakini ukristo ulikuwepo na uliendelea kuenea pande mbalimbali za dunia kwa namna roho alivyo wafunulia. Biblia (sanamu - kielelezo cha maandishi) unayoikumbatia kila siku, ilikusanywa na warumi takribani miaka 1600 BK. Mafarisayo walikariri baadhi ya maandiko ya wakati ule wakawa wanawatafsira wengine kwa kadiri ya maono yao, Yesu aliwakemea. Pia kumbuka kuwa pazia la hekalu lilipasuka ktkt kila mtu anauwezo wa kuufikia utakatifu. waganga njaa walikuwepo hata enzi za Yesu ndio maana walimusulubisha bila hatia. Leo wanaoishi bila jasho kwa kutumia jina la Yesu ni wengi (akina Yuda Eskarioti).
@masanjasabanja3789 Жыл бұрын
INASIKITISHA KUONA WAUMINI WENGI KAMA HAO AMBAO NI KONDOO WA BWANA UNAWAPOTOSHA,KAMA HAUJUI BORA UNYAMANZE MAANA FUNDISHO LAKO NI POTOFU,UNAJARIBU KUJIFISHA KWENYE LUGHA LAKINI BADO SANA HAKUNA UNYAKUO WA SIRI,FUNGU LA MATHAYO HALIMANISHI HIVYO ULIVYOTAFASIRI
@agnesdaud8215 Жыл бұрын
Barikiwa Masanja maana nilitaka kumkosoa sasa nimeona umesha mariza ivyo sinahaja yakurudia Tena ila tu Hawa watu ndio wale wachungaji wauongo nasasa wapo kazini wametumwa nababayao ibilisi kuwaandaa watu waajili yakumpokea mpinga kristo yaani huyu wakwanza kuja
@juliusmshani6985 Жыл бұрын
Kuna kazi kweli tatizo kubwa ni kutofautisha dhiki kuu na ghadhabu ya Mungu kiuhalisia ghadhabu ndo wanaita dhiki ukisoma math 24:29 yesu ana sema mara baada ya dhiki ndo kutakuwa na unyakua dhiki ni Ile ya mpinga kristo hapo kanisa litakuwepo duniani hiyo dhiki inapokomeshwa ndipo unafuata unyakuo Kisha inafuata ghadhabu ya Mungu Kwa walioshindwa kujitetea Imani ukisoma ufu 20:4 utaona sifa za walionyakuliwa ambao watatawala na kristo miaka 1000 aakofu anaposema kuhusu gharika au sodoma na gomora zote ni ghadhabu za Mungu Kwa wakosaji kabla ya gharika nuhu alipitia dhiki na hata lutu alipitia dhiki Kisha Mungu alileta ghadhabu Kwa waliomwasi Kwa hiyo Kwa unyenyekevu naomba tupate maandiko sahihi ya kutuaminisha kuwa kanisa hhalitapita kwenye dhiki
@DismasVenance2 ай бұрын
ASKOFU WANGU NAKUPENDA ILA HAPA UMECHEMKA NA UMEDANGANYWA NA WAZUNGU.
@micahnjoroge36859 ай бұрын
Acha Uongo wako wewe unakosea. Sana. Kanisa halitapitia katika dhiki. Angalia. Wakati wa Nuhu Na Sodom