Kazi nzuri wana donta hakika mna ndoto zinazoendana na ndo maan mnafanya kazi kwa pamoja siku zote mwisho wa movie napenda kuangalia story imetungwa na nani kila nikifuatilia basi naona kila mtu ana participate hongera TINA INAFUNDISHA,,, SANAA KWA STORY YA KUFUNDISHA
@JullianaEmmanuel-tm5xg24 күн бұрын
Kwny hii movie ka Tinah kapole, Alf Love sasa duuuh kanaroho mbaya jaman
@JullianaEmmanuel-tm5xg24 күн бұрын
Hivi n kawnn mtu hata kama n mnzr ila akiwa na roho mbaya anakuwa mbaya, Mungu n fundi jaman
@joycemuenimutua4506Ай бұрын
Mm apo kwa Figo caddy tunaeza onana kado tuongee ka watu wazima 😂😂😂😂, anyway kazi zuri sana loveness my dear leo umekua na roho mbaya lakini nakupenda tu bure 🇰🇪
@NoorEesaАй бұрын
😂😂😂😂😂😂mm pia pia candy ebu dm 😅😅😅😅😅
@user-pm8vd9ni9yАй бұрын
Duu leo nimekuwa number one maua yangu jamn😂😂😂
@AsiaHassani-kf8wwАй бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😢🎉
@rizikimohamed244913 күн бұрын
Loveness ujeuri utakuishia siku Moja hujafa hujaumbika dada ww
@Peninah-o9l28 күн бұрын
Jamani msiwe roho chafu km huyu msichana😢😢😢😢
@omondinjaakali638216 күн бұрын
Wow Mungu azidi kubless kipaji yenunawapend san❤
@MaA-kn9tyАй бұрын
Kazi nzuri sana Wana donta family chukueni 🎉🎉🎉🎉🎉🎉yenu nawapenda ❤❤❤❤❤sana 😂😂😂😂😂 wa 2 kutoka 254
@MwangiraniElvisАй бұрын
Hongereni sana wana donta family ❤❤❤❤❤bigger up
@TantineZuzuАй бұрын
Kazi nzuri sana ❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@EddyNifashaАй бұрын
Tunaaaaanzaaa burundiii🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@kokenye9003Ай бұрын
Loveness jamani huruma basi hata kindogo 😢😢❤❤❤❤🎉🎉🎉
@Peninah-o9l28 күн бұрын
Boss lady smart,maboss wote wangekuwa km ww,mungu akubariki uzao wko
@user-ef3lt3nm1wАй бұрын
Kazi nzuri sana kongole kwenu wana Donta family endeleeni na moyo huohuo ♥️❤️❤️
Love haupendezi iyo roho mbaya kipande iko angekuwa shangazi
@StellahMwasembeАй бұрын
Ila tina wew ni mrembo sana
@RizikiZikiАй бұрын
Lavenesi aca roho mbaya 😢😢unamunyanyasa mwenziyo kiasi ico he😊
@EsterSaidi-gx3xoАй бұрын
Nice movie ❤❤🎉🎉🎉🎉
@EdwardMweruАй бұрын
Lovenes ngoja nikuambie kitu dada yang roho mbaya haijeng hata sikumoja hata ivo ww mwenyewe unalelewa tu tambua sio kila mtu nitajir wengine tunapambana katika njia mbalimbali moja wap ni hiyo
@EstherNaliaka-bf4swАй бұрын
Kazi nzuri sana Wana donta tv
@user-xe4hc2ey6iАй бұрын
Hakika kazi nzuri🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Ezraloyibobo10Ай бұрын
We loveness mbona ivo jamani 😢😢 unanyanyasa mwenzako hadi mwisho 😢😢❤❤🇧🇮🇧🇮
@ruthgloriaobonyoАй бұрын
Hongera sana dada Tina kwa msimamo wako na upendo kwa dadako.
@MasikaSuleimaniАй бұрын
Nawapenda sana wana donta
@user-vz5ti5ot8uАй бұрын
Nimejifunza ktu,wakat unaokata tamaa ndipo Mungu anapokuinua na kukubalk,ubalikiwe sana Wana donta TV 🙏🙏
@KennethMAMBAАй бұрын
wew loveness mungubanakuona
@magrethemmanuel5479Ай бұрын
Wow hatimaye nmemuon candy nlikumic san nana wapend wot
@mwanamisimwapula8392Ай бұрын
Na shanaiza yuwapi
@user-tn2co6ps7qАй бұрын
uko kam mim tuu at mim nlimmis
@FabianoJumanee28 күн бұрын
mmmmmmmh loveness umekuwaivyoooo
@user-gi6su7jw1hАй бұрын
Laiti ningejuwa walahi nsinge angalia hii cz love ata ujui kesho yako astaghafiru allah😢😢😢😢😢
@ZeinabBakar-je4nrАй бұрын
Mko namafunzo hki mungu wabariki
@AndreConstancioАй бұрын
Kavunese mbwa
@user-ec2cj5om7vАй бұрын
Hata sina lakusema zaidi yakuwapenda tu❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-xr6xk9lb5cАй бұрын
Kenya Watching, twapenda
@user-ic8mc3bd8lАй бұрын
Much love from Kenya ❤❤❤❤❤❤❤😮😮😮😢😢😢😢😢😢
@Aishaynah_innahАй бұрын
Tina niambie insta unatumia jina gan nateseka ujue loveness anites hadi we jmn❤❤ 😄
@user-on7oo9et1o25 күн бұрын
😂😂😂nelly mwizi wa unga jmn
@user-xf5xr3uv8bАй бұрын
Good job tina❤❤
@zieeppiemorara847Ай бұрын
Kazi ni motoooo❤❤😊😊
@MarimGodifreyАй бұрын
Waoooo kelvin ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@jobsimpamba71Ай бұрын
Vizuri sana tina❤❤
@AnnajumwaАй бұрын
Kazi nzuri sn lkn love uneniboesg sn Leo
@NoelaKkАй бұрын
Kasdweiukwe cheswa these kmnb Love❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@AminaKhalfani-ib7shАй бұрын
Kaz nzur
@umaima1178Ай бұрын
Umasikini mbaya 😢😢😢😢😢
@sfiaalanazi5479Ай бұрын
Rashid mungu yuwakuona😅😅😅😅😅
@AsharobiMwita25 күн бұрын
Big up❤ guys
@MauwaAseseАй бұрын
mnafanya vizuri sana pia napenda sana kazi zenu lakini story zenu zinafanana sana hivyo ndugu zangu badirisheni sana aidia maana aidia zenu nimoja sana a
@doricemwakasengo1167Ай бұрын
Vibaka wa siku izi wapola mpaka unga robo kulalekii
@user-rz7kv9pn8mАй бұрын
🎉🎉🎉🎉 congratulations donta tv hamboeshi
@paulinekombe3753Ай бұрын
Wow amazing ❤❤
@wemasangasanga757Ай бұрын
Jamani love hufai kuw na roh mbaya hiyo😢
@SamuelIbrahim-u7pАй бұрын
Nice 👍👍👍👍 ndonta
@ChausikuJoseph-bd9fxАй бұрын
Upo vzur sana da Tina
@GiftbugalamaАй бұрын
duuh kazi nzuri sana, ila loveness roho mbaya kama iyo umeanza lini?
@user-ec2cj5om7vАй бұрын
Kweli nashangaa
@ruthgloriaobonyoАй бұрын
Ni uigizaji WA series jamani,,unacheza kulingana na mipangilio ya wakubwa.
@user-ge3tn7zs8rАй бұрын
Thamini utu usitamani kitu
@user-rd6nr4qq3sАй бұрын
Wapi #Shenaiza ki sauti
@user-hc5no2bj4zАй бұрын
Jaman had huluma
@denique438Ай бұрын
Hapo loveness alitaka kuchekaa
@LinetmokogotiАй бұрын
Wow nice ❤❤🎉🎉
@user-cb1xx5bl5mАй бұрын
Lovness acha roho mbay
@NASRAFAKIHBADRUАй бұрын
Nawapenda San jmn kaz nzr
@Peninah-o9l28 күн бұрын
Ww msichana ww ndio chora,ujui usemalo.
@PrettySalmah-tt8bhАй бұрын
Weeeeee mchumbaa 😅😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kaka brother nae anatia aib 🤣🤣🤣asa huo unga vip🤣🤣love sijapend tabia yako😓😓
@appsplay4324Ай бұрын
Nice movie❤❤❤
@user-ex6tg6di7rАй бұрын
Nimeingia Kwa mpigo 🏃🏃🏃🏃
@JanetRiziki-ut2isАй бұрын
Tina asante sana kwa maamuzi yako
@MbondeiMbondeiАй бұрын
Hupendezei kuecti roho mbaya
@RukiaDzombo-uf7wpАй бұрын
Loveness ckudhania atakua na roho mbaya kiasi hcho
@rynekyle4797Ай бұрын
Anaigiza jmn😂
@user-tn2co6ps7qАй бұрын
wow candy wangu huyo karud
@gonzabwojoАй бұрын
Namimi ni miongoni mwao walo tangulia
@user-ok6wi2jb4xАй бұрын
hongereni
@FeristerKivembeleАй бұрын
😂😂😂😂😂 ety hekaru jaman
@Aisha-ld3ol27 күн бұрын
😢😢😢❤❤🎉😂
@patientlulibaАй бұрын
Apana muna juwa tafuta hela kabsa.
@user-ep5sz1cv6pАй бұрын
Zur jaman
@HusnaOmarryАй бұрын
Nelly hata haendani na hiyo sekta mliompaa,,,,
@HashimHakikaАй бұрын
Dada mkari uyu
@metrinemanyonge6055Ай бұрын
Nko ndani nawapenda bure
@faizamohamed6993Ай бұрын
👌👌👌👌
@sofiakinyia2734Ай бұрын
🎉🎉🎉❤❤❤
@beatricesanga7856Ай бұрын
Apa mmetuibia mawazo
@user-lp3ho7le1jАй бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤
@ThamimaRajabu-bs2ndАй бұрын
❤❤❤
@JoelkambaleWikere21 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@user-rd6nr4qq3sАй бұрын
Wakati TINA yupo uku yule dada mlemavu kule anaishi na nani ??
@ReginaDuniaАй бұрын
🎉🎉🎉
@salomembise4538Ай бұрын
Jmn candy tulimmis
@AsdOo-fs1jdАй бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-lz8kb9ds8kАй бұрын
Like inaanza 🇰🇪 jamani au sio
@Wraptablet416Ай бұрын
Kumbe story bilawakaka inawezekana asanteni kwadalasa mlilonipa nawapenda mno❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤